21.a – maria kim
DESCRIPTION
Mkutano ya SifaTRANSCRIPT
fertiliser
CONTACT: Amiran Kenya LimitedP. O Box 30327-00100 Nairobiwww.amirankenya.comemail: [email protected]: 0719095000/226/327
Buy fertiliser poa ndiyo pia uweze kujipatia harvest
safi...
water tank + irrigation
system
3.
Sifa ni wapi huko unataka tujikate?
Kuna place wanapanda nyanya, na I think ni njia
poa sana ya ku-make mawinch.
Sasa nyanya mtu anaanzaje
kupanda?
Najua mimi ni orphan, na nime-grow-ia ghetto, lakini siwezi stand story za corruption. Niko ready kwa any challenge!
• Uta-harvest baada ya miezi 3 Harvest early – 2 months• Utaziuza bei poa na u-get profit!• Buy mbegu poa. Utaziuza kwa muda mreeefu!! • Hizi nyanya zina-taste poa na zina demand!
Ina-sound kama
dooh mob lakini
mkiwa kwa group,
mnaweza apply-ia
loan. Vitu zikienda
poa, mtalipa hiyo
loan mkianza
ku-make dooh
ya maana!
KU-START UTA NEED...
Amiran Kenya Ltd
greenhouse
Penye uta-control
environment yamimea yako.
Pia ni rahisi ku-control pests kwa
greenhouse.
1.
Ni rahisi
kuzi-installna ina-economise
utumizi ya maji. Pia utawezaku-store
maji.
2.
* cheki meaning kwa sheng dictionary
KUPANDA NYANYA NI IDEA KALI SANA...…
CHEKI REASONS…
**
hawa pia wanaweza ku-help...
3
Mkutano ya Sifa
Eh, sibebangi viwete, hawalipangi gari! Dere twende!
Ai?! Huyu si kiwete, ni mlemavu,
unaongeaje?!
Mbona wasee wanadharau
walemavu hivi?!
Hata ndio hii matatuimefika...
Hiyo place ni far sana!
Afadhali ningekuwa na wheelchair!
Hii imekuwa too much! Maria Kim,
nisaidie kuita wasee, nataka kuwa-show reality juu ya kuwa
mlemavu kwa hii society.
Poa! nitakusanya wasee u-meet
na hao.
4
Niaje Ibra! Na-organize
ka-mkutano ya kuchanua wasee juu ya ulemavu. Utatokelezea?
Poa! Lazima nitokelezee.
Sema Caro! Umeskia juu ya
ile meeting napanga? Uta-come?
Lazima ni-come
niwakilishe!
I wish tunaweza get-ia Sifa wheelchair. Si twende tu-research kwa internet juu ya funds za
wasee disabled?
Wazi!
Deno, una-come ile
meeting?
Sifa ni wewe? Nitakuja!
Manze, sioni…
Ngoja, tuendelee ku-search usi-quit!
Ebu cheki hapa…ni kama wana-empower disabled people…
5
6
Poleni nimechelewa na asanteni kwa ku-come… Nimewaita huku
kuwa-show juu ya wasee wengine
wenye huwa tunawasahau,
yet...
wana talents poa zenye
zinaweza inua hii community…
Huyu ni Caro, anashona nguo vipoa na
cherahani yake…na huyu ni Ibra, artist mnoma kabisa. Na
Deno hapa ana sauti poa sana…
7
mayuts pamoja tuta-achieve anything.
Form group ili m-change na mupande nyanya - ili mu-make
dooh!
Try hii ideana u-show
DJ B!!sms3008nyanya
TUMA
SMS KWA 3008 NA VIEWS ZAKO UKIANZA NA NENO NYA
NYA
8