annuur 1204

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 20-Feb-2018

994 views

Category:

Documents


1 download

TRANSCRIPT

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    1/20

    Ndoto ya Rais Magufulikubakia alinacha iwapoR A I S J o hn P o m beMagufuli, ameonyeshakuwa ana ari kubwana hamasa ya kutakakusukum a m a m bo

    mbele.Lakini ndoto yake

    haiwezi kutimia bilamchango mkubwa wawawekezaji wa ndani.

    Na hawa sio akinaBakhresa, ReginaldMengi, Mohamed Dewjina Rostam Aziz.

    (Uk. 16)

    WAZIRI Mkuu mteule, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa.Habari kamili Uk. 4

    MKUU wa MUM, Hajat Malale (katikati), kulia Prof. Njozi Makamu Mkuu waMUM katika mahafali ya nane ya Chuo Kikuu hicho wiki iliyopita.

    Nionavyo: Kuna daliliCUF kuutia ulimi puani!

    Uk. 18

    Waziri Mkuu ni Mwalimu Majaliwa

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1204SAFAR 1437, IJUMAA , NOVEMBA 20 - 28, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

    Sasa Wakristo kwao, Waislamu kivyaoWanahabari, wanausalama wanahusikaMasheikh kuweni makini na propaganda

    Ugaidi waigawa dunia

    Mahafali Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro

    Roho mchafu amekitamizizi Zanzibar

    Yuko wapi Daud ampigie Shein Kinubi?Ikilia ya Mgambo ujuwe kuna Jambo

    Kibonzo hiki kwa hisani ya mitandao ya kijamii

    ANNUUR NEW.indd 1 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    2/20

    2 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    Mafundisho ya Quran Aal Imran: 40

    Makala

    Fethullah-Gulen

    ALISEMA Zakaria Ee Bwana wanguvipi atanipatikaniamtoto na hali ya kuwaumenikia utu uzimana mke wangu nitasa. [Aali-Imran 40]

    Zakaria aliyasemamaneno haya pamojana kuwa alikuwaamemuomba Bwanawake huko nyuma:

    Ee Bwana wangunipe kutoka kwakomtoto mwema. [Aali-Amran 38]

    N a w a k a t ialipoipokea habarinjema ya kukubaliwakwa maombi yakealisema akiwa katikamchanganyiko wa

    furaha na fazaa. Vipiatanipatikana mtoto?"

    Pamoja na kwambahuenda hapa katikamtazamo wa kwanzaikaonekana tofauti,kat i ya hali mbil ii s ipokuwa mfanowatofauti hii haupo.Hilo ni kwa sababuZakaria (a.s.) wakatialipoelekea kwa Bwanawake kwa mwili wakena roho yake kwakumwomba alikuwakatika hali ya kiroho

    ya kina sana. Kwasababu hiyo haikupitamoyoni mwake duarana mchango wa sababukwa hiyo kuzivukas a b a b u ku l i ku w aku n a o n go z w a n angazi ya maombi.K a m a a m b a v y omaombi yalikuwayanalichukua jambola kiakhera lenyekufungamana na urithi

    wenye kungojewa waUtume isipokuwa yeyealiporejea kwenyeu l i m w e n g u w aumacho ikiwa msemoutakuwa umevukampaka na akaingiakatika ulimwenguw a s a b a b u n aakayaangalia masualakupitia ulimwenguwa sababu alifurahina akafadhaika kwahiyo akasema: Vipiatampatikania mtotona ha l i ya kuwanimeka utu uzima namke wangu ni tasa.

    Kuna jambo jinginemuhimu kunapasakul i fanyia i sharakatika nafasi hii naloni kwamba, vitabuvingi vya tafsiri vyazamani vinaifasirikauli ya Zakaria (a.s.)Vipi atanipatikaniam t o t o k w a m b am a n e n o h a y o n imaneno yaliyo katikamuundo ya kustajabu,wakati mimi ninaonakwamba maneno hayoyamo katika muundo

    w a k u j i t u k u z apamoja na kutoshewakutokana na uwezowa Mwenyezi Mungu.I w a p o t u t a j u w akwamba ngazi yaj u u s a n a k a t i k angazi ya kufadhaika,tutaelewa kwambah u k u k u t o s h e w an a k u s t a a j a b uhakupingani na darajal a u t u m e . Nd i yoalisimama Mtumeambaye alikia katikautu uzima kiwangokikubwa sana na mkewake ni tasa kwa

    kuonyesha kufadhaikakuliko changanywa nakuelewa kwake kwautume kumwelewaMwenyezi Mungum t u k u f u . K i s h ak u o n y e s h a h i s i an a k u v u t i w a n ak u n e e m e k a k w auwezo wa MwenyeziMungu na kuielezeafazaa hii na kutukuzahuko na kuneemekakwa kutumia mifumo

    ya kutamka yenyekulingana na utambuzina hizia zetu.

    K u f u a t a n a n am a z o e a y e t u n ikwamba si kat ikataratibu za MwenyeziM u n g u k u b e b amimba mwanamkeambaye amekia umriwa kukata tamaa nakukatika ada yakeya mwezi matokeoyake akawatasa. Kwamsingi huo, kudhihirimfano wa tukio hili,ambalo si la kawaidan a k i n y u m e c h amazoea yenye kupita,

    kulikuwa katika nafasiya ishara ya kuzinduakuliko changanyikana kufadhaika katikar o h o y a M t u m e ,ambaye anazitukuzaneema za MwenyeziMungu ukweli wakuzitukuza. Hisia yautukuzo inaitanguliahisia ya furaha. Nah i l i n i j a m b o l akawaida. Linakwendasambamba na cheo chautume.

    K i s h a y a k a w am a n e n oyaliyofuatishiwa kwa

    aya hii: K a m a h i v y o ,M w e n y e z i M u n g uanafanya anavyotaka.[Aali-Imrani 40]

    M a n e n o h a y ay a m e l e t w a i l ikuashiria kwambam a t u k i o m e n g iyanayofungamanana Maryam na Isa(a .s .) yatatuka nayataonekana. Maanani kwamba pamojana matukio ambayoyanatuka kufuatanana duara la sababuna matokeo yake nakufanana na taratibuza Mwenyezi Munguambazo zinafanyakazi pasi na kizuizichochote. Yatatukam a t u k i o a m b a y oh a y a f u n g a m a n in a s a b a b u z e n yekuonekana ili ikamilikei s h a r a k w e n y ematakwa ya MwenyeziMungu yaliyohuruwakati wote.

    Jee Unajua?

    MASUALA1.Jee utowaji wa majina kwa vimbunga umeanza mwaka gani? 1850, 1950,

    1988. Jawabu: 19502.Litaje shirika linaloratibu utowaji wa majina ya vimbunga. WHO, WMO,

    WCO, Jawabu: WMO3.Majina yepi yanatawala kuitwa kwa vimbunga, majina ya Kiume au

    Kike? Jawabu: Kike4.Bengal, Kashmiri, Bhopal ni mji upi ndio uliripotiwa duniani kwa mara

    ya kwanza kukumbwa na janga la kipindupindu? Jawabu: Bengal5.Anayosababisha kipindupindu ni Kirusi, Kugwi, Bakteria. Jawabu:

    Bakteria6.Saratani ya dami inajulikana kwa jina gani? Jawabu: Leukimia7.Nini jina la ndege Hoope (Hud hud) kitaalamu? Upupa epopos8.Jina la ndege Hoope linaekwa kwenye familia gani? Jawabu : Upupudiae9. Itaje Miji 3 muhimu katika eneo la Palestine. Jawabu : Jeruselem10. Nchi gani yenye wakazi wengi wa dini ya Kiislamu ikiwa ipo

    sehemu Ulaya na sehemu Asia . Jawabu : Jawabu :Turuki

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 26

    CHEMSHA BONGO: 27Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

    MASUALA1. Walioshi na Mtume (SAW) wakiwa wa Islamu wanaitwaje?2. Mwaka aliozaliwa Mtume (SAW) waitwaje?3. Ami yake Mtume (SAW) jina lake.4. Mtume Muhammad (SAW) alpomuoa Bibi. Khadija alikuwa

    na umri gani na Bibi Khadija akiwa na umri gani?5. Jina la ami yake Mtume Muhammad (SAW) aliouwawa

    katika vita vya Uhud.6. Majina ya watoto wa kiume wa Mtume Muhammad (SAW)7. Chakula alacho mnyama Panda.8. Mnyama Kangaroo maarufu anaonekana nchi gani?9. Millennium 1,000 au 10,000 au 1,000,000.10. Mwanadamu ana mbavu ngapi?

    1. Jee unajua jumba lenye urefu koliko yote duniani lipo katika zanchi za Falme za Kiarabu-UAE lijulikanalo kwa jina la Burj Khalifa, kujuazaidi ingia: hp://www.popularmechanics.com/technology/design/g1705/21-tallest-buildings-in-the-world/ na:

    h t tp : / / w ww . teleg rap h . co . uk / new s/ wor ldnew s/ m iddleeast /saudiarabia/10775224/Top-seven-tallest-buildings-in-the-world.html

    2. Daraja ilio na refu wakwenda juu na urefu wa masafa dunianiipo Ufaransa kwa jina la Millau Viaduct: hps://en.wikipedia.org/wiki/List_of_tallest_bridges_in_the_world

    3. Sultan Kosen ndio mtu mrefu duniani katika nyakati hizi akiwa naurefu wa Centimtre 251cm sawa na Futi 8 na inchi 3, hata mikono yake nimirefu kupita kiasi : hp://www.guinnessworldrecords.com/world-records/tallest-man-living

    4. Majengo 10 yalio marefu koliko yote Afrika kati ya hayo 6yanaonekana nchini Afrika ya Kusini : hp://howafrica.com/list-of-10-tallest-

    buildings-in-africa-6-are-in-south-africa/

    5. Sheikh Ali Mullah amekuwa akiadhini katika Msikiti Mtukufuwa Makka kwa zaidi ya miaka 32: hp://www.sunniforum.com/forum/showthread.php?38117-MAKKAH-FAMOUS-MUADHIN-%28CALLER-TO-PRAYER%29Sheikh-Ali-Ahmed-Mullah

    6. Wajue wasomaji Quran mahiri duniani, 1.Abdullah AwwadAl-Juhanny, amezaliwa mwaka 1976, Ph.D. Madinah, Saudi Arabia. 2.Mishary Rashid Alafasy, Kuwait, amezaliwa mwaka 1976, msomi wa SaudiArabia. (www.alfasy.me). 3. Abdul Rahman Al-Sadais, amezaliwa mwaka1960, Riyadh, Saudi Arabia, Ph.D. 4.S alah Budair amezaliwa Hudoof,Saudi Arabia, Imam of Madinah Munawwarh, Masjid Al-Nabi. 5.Saud Al-Shurain, amezaliwa mwaka 1960, Hanbali, Ph.D. Imam, Masjid Al-Haram,Makka. 6.Abdul Basit, amezaliwa mwaka 1927, amefariki mwaka wa 1988,Egypt. 7.Tawfeek As-Sayegh, amezaliwa mwaka 1970, Asmara, Eritrea, a mSci.Instiehitimu Chuo cha Jeddah, Imam, Lami Mosque, Jeddah. 8.AbdelKarim Edghouch, amezaliwa Morocco, amehitimu Quranic Institute Rabat,Morocco kisha akaenda Marekani mwaka wa 2000. Anaishi mji wa Dallas,Texas, akiwa Mkurugenzi wa Quranic Institute: hp://www.dailymotion.com/video/x1bzbzx_some-best-quran-reciters-in-the-world_music

    7. Misikiti 10 yenye haiba duniani wa mwanzo ni Al-Haram uliopoMakka ukifwatiwa na Al-Masjid an-Nabawi uliop Madina, Al-Aqsa-Palestina,Hassan II-Morocco, Sultan Omar Ali Saifuddin-Brunei, Masjd Zahir-Malaysia, Masjid Faisla-Islamabad/Pakistan, Taj ul uliopo Bhopal nchiniIndia, Masjid Badshaihi uliopo Lahore Pakistan na MAsjid Sulta-Singapore:hp://www.wonderslist.com/10-most-beautiful-mosques-in-the-world/

    B B J E R U S A L E M B L

    E H U S T B I T I U A A E

    N O S A F G H J K L M K U

    G P U T T U R U K I Z T K

    A A H A I F A Y A F A E I

    L L U P U P I D A E E R M

    U P U P A E P O S B H I I

    K U G W I A K I R U S A A

    K I U M E S U K I K E Y O

    1850 WHO WMO WCO G X U C R Y 1960 Z 1950

    B M W A K A W A T E M B O

    A K A S S I M J U M A N A

    M A B D A L L A S A L U M

    B I B R A H I M A L I S A

    O B I L A L H I S H A M U

    O Z U B E Y R A W A M N L

    2 H A M Z A A B U B A K R

    6 A B U T A L I B U M A R

    8 S A H A B A 25 35 45 40 20 30

    A U S T R A L I A 1 0 0 0

    ANNUUR NEW.indd 2 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    3/20

    3 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015Habari

    Maendeleo si kumuasi MunguM A E N D E L E O s i okwe nda uchi wa lak u k o s a a d a b u n akutupilia mbali utu.

    Hayo yamesemwa

    na Mkuu wa ChuoKikuu cha WaislamuMorogoro (MUM), HajatMwantumu Malale.

    A k i o n g e a n aWaandishi wa Habarimara baada ya shereheza Mahafali ya nane yaChuo hicho yaliyofanyikaJ u m a m o s i ya w i k iiliyopita katika viwanjavya Chuo hicho, HajatMalale amesema kuwanidhamu na maadilimema kwa wanavyuo,ni vitu ambavyo lazimaviende pamoja ili kupataviongozi wenye maadili

    kazini na katika jamii.Al ikuwa aki tolea

    u f a f a n u z i s w a l ialiloulizwa kuwa yapomalalamiko kwambaM U M , u n a w e z akufukuzwa si kwa kufelitaaluma, bali kwa kuwana nidhamu mbovutofauti na Vyuo vingine.

    Akifafanua swali hilo,Hajjat Malale, alisemakwa kawaida katikasafari ya kupata elimu,nidhamu ni jambo lamsingi ili kuleta utendajibora wa kazi baada ya

    masomo.Hajjat Malale alisemah a j a w a h i k u s i k i amwanafuzi asiye nanidhamu pamoja nakufaulu vizuri hukua k i w a n a m a a d i l imabovu akaja kuwa nimtendaji mzuri katikakuwatumikia wananchina Taifa lake.

    A l i s e m a , a n a j u akwamba kuna watuwachache wana mtazamohasi juu ya sheria zaC hu o c hao (M U M )k a t i k a k u s i m a m i amaadili na staha ya

    mavazi kwa wanachuolakini akasema, wengiwanapongeza hatuahiyo.

    N i n a v y o f a h a m umimi, katika suala lamaadili, watu au jamiiinafurahia kuona mabintina vijana wetu wakiwakatika stara na kuzingatiamaadili ya Mtanzaniatofauti na vyuo vinginena tumekuwa tukiulizwatunawezaje kuwaleavijana katika hali ya

    Na Bakari Mwakangwale,Morogoro.

    MKUU wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro(MUM), Hajat Mwantumu Malale.

    nidhamu namna hii.Alisema Hajjat Malale.

    A i d h a , a l i s e m aifahamike kuwa maadilini utashi wa mtu pia,kwani wengi akiwemoyeye (Hajat Malale)wamesoma katika Shuleza kawaida (si za dini)lakini wamedumu katikamaadili kwa kustahimienendo yao, lugha zaona mengine yanayolindaheshima na utu.

    C h a m s i n g i n amuhimu kinachotakiwan i k u h i m i z a n akusimamia maadili nasi kwa mtu au watuk u l a l am i k a , t a t i zoni kwamba imeingiadhana katika karne hiiya Sayansi na Teknolojiakuwa, uhuru ni kufanyakile mtu anachokitakabila kujali mipaka ya utuna kumuhofu MwenyeziMungu. Alisema HajjatMalale, akisimamia hojayake ya kulinda maadilikwa vijana Vyuoni.

    Kwa ujumla, alisemahaiwezekani kiongozik a t i k a j a m i i a i s h i

    anavyotaka kinyume namaadili bali ni lazimaawe na nidhamu kwajamii atakayoitumikia ilikila mwananchi anufaikena uadilifu na nidhamuy a k i o n g o z i , k w amaana hiyo akasisitizakwamba MUM, kulindana kusimamia nidhamuna maadili ni jambo lalazima.

    A k i z u n g u m z i ac h a n g a m o t owanazokumbana nazokama Chuo Kikuu hicho,Hajjat Malale, alisemakama Vyuo vinginenchini ambavyo ni vya

    binafsi , wanakabil ianana uhaba wa walimukutokana na kuwa mudamrefu hakuna utaratibuwa kuzalisha walimu waVyuo Vikuu.

    Kwa upande wake,Profesa Mussa Assad,alisema msingi mkuukatika kazi ni maadilimema na suala la maadilihalianzii Chuoni, baliinapaswa mtu awe namaadili mazuri kuanzia

    katika ngazi ya familiayake alikotoka.

    A l i se m a, e ndap o

    kijana amefundishwatoka nyumbani kwaokuwa udokozi (wizi)haufai au kuvaa yanusu uchi hayafai naanapoingia shule mpakaChuo napo akakosamalezi na mwongozo wanidhamu, hawezi kujakuwa kiongozi mzurikatika utendaji wakekazini.

    Profesa Assad, alisemaC h u o K i k u u C h aWaislamu Morogoro(MUM) kinaji tahidikuwajenga na kuwaleawanachuo wake katikamaadili kwa lengo lakutoa wanataalumaambao hawawezi kuwawezi wa mali ya ummaau watovu wa nidhamukatika maisha yao ya kazipopote wataka pokuwa.

    Kwa upande wake,mmoja wa wahitimun g a z i y a S h a h a d ak at i k a t aa l u m a y aSharia na Sheria, Bw.Turinawe Kashagama,akizungumzia taalumayake, alisema pamojana kwamba kuna usemikuwa Serikali haina dini,

    lakini ifahamike kuwawananchi wake wanadini.

    Akifafanua tofautik a t i y a S h a r i a n aS h e r i a , m a s o m oambayo ameyasoman a k u y a h i t i m u ,alisema Sharia ni zilekanuni zilizowekwana Mwenyezi Mungumwenyewe katika Quran, i l i kuwaongozawanaadamu.

    B w . K a s h a g a m a ,alisema kwa kawaidaSharia zinatekelezekakama zilivyo shushwa

    na Mwenyezi Mungun a k u a n d i k w a n ahazibadi l ik i , lakiniSheria ni yale mawazona mtazamo wa watuwanavyohisi kuendeshamambo yao na inawezakufanyiwa marekebisho.

    Alisema, wananchihawa wenye dini ndiowanaohitaji elimu hii yaSharia, na sio Serikaliinayohitaji Sharia kwamaana hiyo akasema

    kundi hilo linahitajiwataalamu wa maswalaya Sharia ili wawezekuishi kama walivyoamuliwa na Muumbawao.

    Alisema, kutokanana umuhimu wa Sharia

    k a t i k a k u w a j e n g awatu katika utii ndiomaana viongozi waSerikali , huwaombav i o n g o z i w a D i n iwawahimize wafuasiwao kumcha Munguna kufuata taratibu zanchi kwa sababu, Shariandio inafanya Sheriaitekelezeke ikiwa watuwatakuwa na hofu yaMungu.

    Ama akizungumziakuhusu masuala yamikopo kwa wanafunziwa Vyuo Vikuu nchini,Bw. Kashagama, aliitakaSerikali kuangalia suala,

    la uwiano katika kutoamikopo kwa wanafunziwote nchini , kwanialisema kuna ambaowanapata asilimia miamoja na kuna wenginehanakosa kabisa.

    I n g e k u w a n ijamb o bo ra wa we keuwiano sawa kwa kilamwanafunzi, mfanokama mimi nilikuwanapata mkopo wa Shilingilaki moja tu, lakini kunawengine wanakosakabisa, katika hali hiyoinakuwa si sahihi kumpapesa kamili mtu mmojawakati wengine hawana

    kabisa. Alisema Bw.Kashagama.A l i s e m a , m b a y a

    zaidi katika mgawanyohuo kuna swala laulasimu, akidai wengiwanaopata mikopo hiyokwa ukamilifu huwani watoto wa vigogona watoto wa walalahoi wanaachwa, jamboambalo si haki kabisa.

    Akizungumzia suala lauwepo wa Mahakama yaKadhi nchini, akizingatiataaluma aliyohitimu yaSharia na Sheria, Bw.Kashagama, alisemakimsingi suala hilo nimuhimu kuwepo katikajami i kwa kuzing at iakuwa Serikali haina Dinilakini makundi ya raiawake wana dini.

    Alisema uwepo waMahakama ya Kadhiitasaidia kuwepo kwanjia mbadala kwa raiaanayetaka kutumiachombo hicho cha Kadhikatika kupata haki yakebadala ya Mahakamazinazotumia Sheria.

    ANNUUR NEW.indd 3 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    4/20

    4 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    JUMANNE wiki hii, ndegembili za abiria zikitokeaM a r e k a n i k u e l e k e aUfaransa, zilikatiza safarizake baada ya kupokeakitisho kwamba kunaMujahidina walikuwawametega bomu katikandege hizo.

    Kwa mujibu wa taarifaza shirika la habari la AP,Ndege hizo za shirikala ndege la Ufaransa,zil i lazimika kubadilimwelekeo na kutua katika

    viwanja vya karibu ndaniya Marekani na Canada.Ndege ya kwanza ilikuwa-Air France Flight 65iliyokuwa ikitokea LosAngeles InternationalAirport, kuelekea Charlesde Gaulle Airport, Paris,ilibadili mwelekeo nakutua katika uwanja wandege wa Salt Lake City(Salt Lake City International

    Airpor t, katika Jimbo laUtah, ndani ya Marekani.

    Ndege ya pili ilikuwa,Air France Flight No. 55,iliyoondoka uwanja wandege- Dulles InternationalAirport, Washington,pia kuelekea Paris, lakiniikabadili mwelekeo na

    kutua Halifax, PwaniMashariki ya Canada.Maelezo yaliyotolewa ni

    kuwa kulipokelewa kitishokwamba kuna Waislamuwa IS walikuwa wametega

    bomu. Kitisho chenyewekama kilivyofafanuliwana makachero waliofanyaupekuzi, ni anonymousth rea t , kwa maan aya k i t i sh o ambach ohakijulikani kinatoka kwanani hasa (ila ni katikaWaislamu IS). Hata hivyo

    ba ad a ya nd ege hi zokutua, abiria wakapelekwamahali salama na ndegekupekuliwa, hapakuwana kitu chochote hatarikilichoonekana katika

    ndege hizo.Katika kukipa uzitokitisho hicho, taarifainamalizia kwa kusemakuwa il ibidi kit i l iwemaanani kwa sababukimekuja siku chache

    baa da ya shamb ul io laParis lililofanywa na IS nakuuwa watu 130.

    Hebu jaaliya kwambaulikuwa mmoja wa abiriakatika ndege hizo na ulivaakanzu na kofia au kamani mwanamke umepigahijabu ya sawasawa!

    Zipo taarifa kuwa

    msomi, mwana mahesabuProfesa Opeyemi Enoch,wa Chuo Kikuu OyeEkiti-Federal Universityof Oye Ekiti (FUOYE),N i g e r i a , a m e t e g u akitendawili cha swali lahesabu lililoshindikanakwa miaka 156 (156-Year-Old Maths Problem.)Kama itathibitika kwamba

    jawabu alilotoa ni sahihi,atapata zawadi ya DolaMilioni moja.

    Swali hilo linahusu

    n a d h a r i a i n a y o i t w aRiemann Hypothesis-ambayo i l i tolewa nam w a n a m a h e s a b u(mathematician) BernardRiemann mwaka 1859, juuya distribution of primenumbers. Kwa miaka 156,wataalamu wa hesabuwamekuwa wakikunana kupasua vichwa, nahawakupata ufumbuzi.

    T a a s i s ii n a y o j i s h u g h u l i s h an a h esabu-Th e ClayMathematics Institute,ilichukua swali hili nakutangaza kuwa itatoaz a w a d i y a P a u n d i -658,000 kwa atakayepataufumbuzi. Sasa Dr.

    Enoch anasema amepatajibu na akaonyesha jinsinadharia hiyo inavyowezakutumiwa katika utaalamuwa cryptography, quantuminformation science na katikaquantum computers.

    Kutokana na ugumu wanadharia hiyo, bado hatawaliotoa swali na kuahidizawadi, hawajawezakuthibitisha kwambaan ach osema ProfesaEnoch, ndio jawabu sahihila Riemann Hypothesis

    juu ya distribution of primenumbers.

    Hata hivyo, baadhi yavyombo vya habari vyaMagharibi vimedai kuwaProfesa Enoch alifanya

    ghishi, utapeli. Hakupatajawabu la hicho kilichoitwa T h e R i e m a n n Z e t aHypothesisa 156-year-old mathematical problem.(Tazama: Wrong answer:The Nigerian mathematicsgenius who fooled theBritish media.)

    T a a s i s i - C l a yMathematics Instituteya Marekani ilichaguamaswali saba ambayoyamekuwa vigumu kupatamajibu yake iliyoyapa jilala seven Millenniumproblems na mpaka

    sasa ambalo limethibitikakupatiwa jawabu sahihini lile linalotambulikakama Poincar Conjecturelililojibiwa na GrigoriyPerelman mwaka 2003.Mengine sita bado.

    Katika dunia hii, zipokra na nadharia ngumuk u f a h a m i k a . L a k i n i

    sio hili la Vita dhidi yaugaidi, Al-Qaida, IS, AlShabaab, Boko Haram namajina kama hayo kamayanavyotumiwa hivi sasakupandikiza na kupepeakitisho cha ugaidi.

    M w a n d i s h i n am c h a m b u z i G l e n nGreenwald akichambuas h a m b u l i o l a P a r i sanasema kuwa watuw a m e p a n d i k i z w amihemko wala hawatumiitena akili kutafuta ukweliwa mambo na kumjuamshambuliaji halisi waParis. Anasema, japoimethibitika kwambakat ika matukio 150yaliyodaiwa kuwa niya kigaidi yaliyodaiwakufanywa na Waislamu,y a l i f a n y w a n a F B Iwenyewe, yalikuwa falseFBI sting operations, FBIorchestrated terror plots,lakini bado yakitokeamatukio kama hili laParis, watu wakishajazwamihemko, wanakuwahawana muda tena wakutuliza akili zao nakutafuta ukweli-nanikahusika hasa! (Tazama:Exploiting Emotions AboutParis to Blame Snowden,Distract from Actual CulpritsWho Empowered ISIS.)

    Ambalo linaonekana

    hapa ni kuwa hapakuwa nakitisho cha kulipua ndegehizo na yote yaliyofanyikailikuwa ni usanii mtupuna lengo lake ni kuzidikutisha watu, kuzidishamihemko na kuwajazachuki dhidi ya Waislamu.Hivi sasa kule Ufaransatoka lifanyike shambulio laParis, imekuwa ni kawaidapolisi kuvamia makaziya Waislamu wakidaikusaka IS. Lakini pia Raiswa nchi hiyo FrancoisHollande ametangazakuwa atafunga misikitiyote yenye siasa kali.

    Sasa unapofanya usaniikama huu unaoleta woga,

    kitisho na usumbufu kwaabiria, unazidisha chuki yawasio Waislamu dhidi yaWaislamu na unahalalishal o l o t e u t a k a l o f a n y adhidi yao na ukapatauungwaji mkono. Hikindicho kinacholengwakatika usanii huu waanonymous threat.

    Ambalo ni muhimu hapakwa Waislamu kulizingatiani kuwa Marekani naNATO wanaojidai kuipigaIS hawana mpango huokwa sababu hao ni watu

    wao. Kama alivyosemaWaziri wa Mambo ya Njewa Urusi, Bwana SergeiLavrov, Marekani naNATO wanawatumia ISkumpiga Bashar Assadna kuivuruga Syria .Lakin i kwa upan demwingine, hawakusudii

    kwamba IS wakimalizakazi hiyo ndio watawaleSyria. Watashughulikiwana kumalizwa kamawalivyosambaratishwaM u j a h i d i n a w aAfghanistani waliotumiwakumpiga Mrusi.

    Kuyafah amu h ayakwetu sisi Waislamun i muh imu san a i l itusijeingizwa kwa ujingatu katika propaganda hizina kujidhuru sisi wenyewe.

    K a t i k a K a d h i a y aMwembechai, ilipigwapropaganda kwambakuna vijana wa Kiislamu,siasa kali, wamejichimbiandani ya msikiti huo nawameficha shehena yasilaha. Polisi walipovamiamsikiti ule, waliingiana ufahamu huo ndiomaana wakapiga sanawatu, wakijua kwambakama watafanya mzaha,siasa kali hao wanawezakuwawahi wakawamalizaau japo kuwajeruhi vibaya.

    Kwa bahati mbayasana, na kwa hakika

    jambo la kusiki tisha nakuhuzunisha, baadhi yaMaheikh wetu, akiwemoSheikh Haamid Jongowalitumika sana katikakupiga propaganda hiyoiliyoishia kuuliwa watu

    wasio na hatia.Mzee Yusufu Makamba,

    akiwa Mkuu wa Mkoa waDar es Salaam, alipodaikuwa msikitini kunasilaha, alijua wazi kwambaanalosema ni uwongo,anapiga propagandakuhalalisha uovu uliokuwa

    umepangwa. Kwa hiyomasheikh walioungananaye katika kile kikaoalichofanya pele msikitini

    b aa d a ya Wa i s l a m ukuuliwa, walishirikiananaye na kumpa nguvukatika kuwafanyia uovuna kuwadhuru Waislamu.

    K a t i k a s o m o h i l i ,tunachotakiwa kufahamuni kuwa habari hizi zaanonymous threat,ni usanii na za uwongomtupu kama ilivyokuwaule uwongo wa YusufuM a k a m b a k w a m b aMsikitini Mwembechaikuna shehena ya silaha.

    Na mengi kama hayatutayasikia sana nje nandani ya nchi kwa sababumakafiri wamejipangana wamepania kufanyayao katika kuhujumuWaislamu na Uislamu.

    Sasa tukiyafahamuhayo, tutasimama kamaWais lamu ku j ih ami ,na hapatatokea baadhim i o n g o n i m w e t u ,kusimama upande wawale wanaotuhujumu.

    Na hapa tuweke wazi,Shabaha ni Waislamuna Uislamu wao, sioWaislamu fulani hivyowewe uka j ion a s iyemlengwa.

    Tahariri

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Kitisho, chuki zinazidikukolezwa tuwe makini

    Majaliwa Waziri MkuuMWALIMU MajaliwaKassim Majaliwa (54)ndiye Waziri Mkuu waserikali ya awamu ya tanoya Jamhuri ya muunganowa Tanzania. Huyu niWAziri Mkuu wa 11 tanguTanzania ipate uhuru.

    Rais Dkt. John PombeMagufuli , amemteuaM w a l i m u M a j a l i w a

    Kassim Majaliwa kuwaWaziri Mkuu wa Tanzania,ambapo baadae Bungela Jamhuri ya Muunganolilimuidhinisha na leo saanne asubuhi anaapishwa.

    Awali jina la KassimMajaliwa lilipenyezwaBungeni na Mpambewa Rais Magufuli nakukabidhiwa kwa Spikawa Bunge la Jamhuri yaMuungano Job AugustinoNdugai na kumtangaza.

    Majaliwa ni Mbungewa jimbo la Ruangwa na

    Na Shaban Rajab kabla ya kuteuliwa kuwaWairi Mkuu, alikuwaNaibu Waziri Ofisi yaWaziri Mkuu TAMISEMIanayeshughulikia masualaya elimu katika serikali yaawamu iliyopita iliyokuwaikion gozwa n a Ra isMstaafu Jakaya Kikwete.

    Katika utumishi wakeserikalini, Mhe. Majaliwaambaye alizaliwa Desemba22, 1960, amewahi kuwamwalimu wa shule zamsingi na sekondari navyuo vya ualimu, lakinipia kuwa mkuu wa Wilayaza Ruji na Urambo.

    Aidha amehudumukama Katibu wa Chamacha Walimu ngazi zawilaya na mkoa na kuwaMjumbe wa Baraza laWalimu.

    Kwa taaluma WaziriMajaliwa ni mwalimu naana elimu ya shahada yaChuo Kikuu cha Dar esSalaam.

    ANNUUR NEW.indd 4 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    5/20

    5 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    KUFUATIA shambuliola kigaidi jijini Parishivi karibuni, Waislamuwanakabiliwa na halingumu kat i ka mi j imbalimbali Ulaya naMarekani. Siku mojatu baada ya tukio hilo,Msikit i - Masjid Al-S a l a a m k a t i k a j i j ila Ontario, Canada,ulichomwa moto nakusababisha uharibifuunaokisiwa kuleta hasaraya Dola 80,000.

    S i k u h i y o h i y o ,waumini wa msikitiw a S t . P e t e r s b u r g ,Florida, walitumiwaujumbe wakitishiwakwamba muda wowotewatalipuliwa na msikitiw a o k u l i p i z a y a l ewaliyofanya Paris. Ujumbekama huo ulitumwa piakatika msikiti mwingine

    katika j imbo hilo laFlorida.

    Katika jiji la Portlandaka "Rose City", Oregon,kundi la waandamanajililiingia katika Msikitimmoja wakati Waislamuwakijiandaa kwa swalasiku ya Jumapili iliyopitana kuanza kutoa kauli zakuwakashifu.

    Your Quran is thedoctrine of demons! Jesusis going to destroy the

    Muslims! Is lam is a li e!Youre nothing more than a

    pawn of Satan, you demonicMuslim dogs!

    Walipaza sauti baadhi ya

    waandamanaji wakisemahuku Waislamu wakibakikuduwaa na kushindwakuendelea na swala.

    Katika ji j i la Paris,ambako ndiko tukiolilitokea, Reuters inaripotikuwa misikiti kadhaailishambuliwa na minginekuchorwa misalaba kwarangi nyekundu katikakuta zake. Mingine ikiwaimechorwa kwa damuambayo haikujulikanaimetoka wapi (labdawaliochora walijichanan a v iwembe) . Hayoyalifanyika pia katika mijimingine mbali na Paris.

    U k i a c h a h i l o ,wanafunzi Waislamuwanaosoma katika vyuombalimbali Ufaransa naowamekuwa shabaha yavitisho. Kimerikodiwakisa cha mwanafunziM a h m o u d H a s h e m ,aliporejea chumbanikwake (bwenini) kutokadarasani alikuta jina lakelimeandikwa mlangonik ish a ch in i ya j in akukaandikwa manenokilled Paris.

    Katika mji wa Dearborn,

    Mzaha wa ugaidi waigawa duniaSasa Wakristo kwao, Waislamu kivyaoWanahabari, wanausalama wanahusika

    Masheikh kuweni makini na propaganda

    Na Omar Msangi

    Michigan, Jimbo lenyeWaislamu wengi zaidikatika Marekani, ujumbeumekuwa ukisambazwakatika mitandao ya kijamiiukiwatisha Waislamukwamba wajiandae, wakaetayari tayari kufanyiwayale IS waliyowafanyiaWakristo Paris.

    Blinks of Bicester areno longer taking bookings

    from anyone from the Islamicfaith whether you are U.K.granted with passport or not.Sorry but time to put mycountry rst.

    Huo ni ujumbe wamwanadada mmoja waOxfordshire, Uingereza,

    akitoa i lani kwambasaluni yake haitapokea nakuhudumia wateja walioWaislamu hata kama niraia, Mzungu wa kuzaliwaUingereza.

    Hiyo ni mifano michachetu inayokuonyesha nikwa namna gani tukiola IS wa Paris limeigawadunia katika mahusianoya wananchi wa kawaidamitaani.

    Ukija kwa upande wakiserikali, hali ni hiyohiyo. Ilianza na Ufaransa

    y e n y e w e a m b a y oilitangaza siku ile ilekwamba inafunga mipakayake na kuzuiya wakimbizikutoka Syria (nchi zaKiislamu). Ujerumaninayo imechukua hatuahiyo hiyo ambapo ujumbekutokea Jimbo la Bavariaumemtaka ChancellorAngela Merkel, kuchukuahatua kuzuiya watukutoka Syria.

    ' P a r i s c h a n g e severything: Merkels alliescall for German refugee

    pol i cy changes, ndiowimbo unaoimbwa sasaUjerumani na nchi zote zaUlaya.

    K w a u p a n d e w aMarekani, tayari majimbos a b a , A l a b a m a ,A r k a n s a s , I n d i a n a ,Louisiana, Michigan,Mississippi na Texas,yashatangaza kwambahayatachukua wakimbizikutoka Syria. Katika mojaya hoja zao wanasemakuwa itakuwa vigumus a n a k u j u a k a t i k aWaislamu hao wanaokuja,ni nani IS.

    Kwa upande wake JohnEllis "Jeb" Bush anasema

    kuwa ni lazima uandaliweutaratibu Wakristo pekeendio waruhusiwe kuingiaMarekani. John Ellis "Jeb"Bush ambaye ni mgombeaurais kupitia chama chaRepublican anasemakuwa Syria kuna Wakristowanateswa na kwa hiyo,hao lazima watofautishwena wale magaidi. Akiongeana CNN, Jeb Bush alisemak w a m b a t o k a h u k onyuma Marekani ilikuwaikichunguza kuwatizamaWakris to tofaut i n aWaislamu, lakini kwa sasa

    inatakiwa kuwa makinizaidi kuhakikisha kwambawanaoruhusiwa kuingiaMarekani kutoka Syria, niWakristo pekee. Hii ndiyohali na ndiyo matokeo yashambulio la IS, Paris.

    Operesheni IS sawaOperesheni Gladio

    Daniele Ganser katikakitabu chake Terrorismin Western Europe: An

    Approach to NATOs SecretS tay-Beh in d Arm ie s,anasema kuwa, katikazama za vita baridi (coldwar) ili kukabiliana na

    kitisho cha Urusi naukomunisti, Marekani nanchi za NATO, kupitiamashirika yao ya kijasusi,yalianzisha vikosi vyasiri vikifanya vitendo vyakigaidi na kuwasingiziamakomunisti. Kupitiaugaidi huo wa kupanga,iwapo katika nchi mojawapo ya NATO kulikuwana vyama au makundi yawatu wenye mwelekeowa siasa za kikomunisti,walipakwa matope nakufanywa waonekanekama mashetani fulanikatika jamii. Na hiyoni kutokana na ugaidi

    wa kutisha uliokuwaukifanywa na vikosi hivyovya siri wakisingiziwawao. Kwa hiyo hataserikali inapowachukuliahatua, ikiwa ni pamojan a k u w a k a m a t a n ak u w a f u n g a j e l a a uhata kuwauwa, huwahawapati utetezi kutokakwa wananchi na taasisiza kiraiya kwa sababuwashapakwa matopekuwa ni majitu katili.Hapa ndio tunakutana naOperation Gladio.

    Hivi leo Operation IS,inafanya yale yale, ila tuwalengwa hivi sasa niWaislamu. Na pegine iliuweze kuona uhusiano

    baina ya Operation Gladio,na haya ya IS hivi leo,sikiliza kauli ya RaisVladimir Putin, mara

    baada ya mk utan o wajuzi wa G20 kule Uturuki.Putin anasema kuwa nisiri iliyo wazi kwamba ISwanafadhiliwa na mataifayaliyo ndani ya G20. Lakinizaidi anasema kuwa ISwamekuwa wakifanya

    biashara ya mafuta namataifa hayo hayo ya G20kupitia mipaka ya Uturuki.

    Kwa sababu ya kilekilichodaiwa ugaidi waIS, Ulaya na Marekaniinafunga mipaka yakek u z u i y a W a i s l a m ukuingia. (Hapa izingatiwekuwa katika miaka hiikumekuwa na wimbi

    kubwa la watu wa Ulayakusi l imu, lak in i p iaWaislamu wengi kuhamiaUlaya kama wakimbizikutoka na vita Iraq, Libya,Syria na mashakili mengiAfrika ya Kaskazini.)Lakini baya Zaidi ni kuwahali ya chuki, uhasama nakulipizana visasi, inajikitandani ya jamii.

    Tuna haja ya kusomana kuzingatia somo hili.Ukis ik i l iza matukioyaliyotajwa na Gavanawa Texas kuwa ndiosababu ya kuamini kwakekuwa IS kutoka Syria/Iraq wameingia Marekani,

    n i matukio ambayoyote, kuna ushahidiwa kutosha kwamba niya kutengenezwa. Niusanii. Ni hoax. Lakinikutokana na propagandai n a y o p i g w a k u p i t i avyombo vya habari ,chuki imejikita Waislamuwanatishwa na misikitiyao kuchomwa moto.Kwa upande wa serikali,nao wanachukua hatua yakuwabamiza Waislamukutumia sheria kali zakupambana na ugaidi.

    Turudi nyumbani

    K w a m u d am r e f u s a s a , n a p onyumbani kumekuwak u k i e n d e s h w ap rop ag anda ze ny emlengo ule ule wakujenga chuki dhidi yaWaislamu. Kwa bahatimbaya kabisa, baadhiya vyombo vya habariviliidaka na kuifanyiakazi propaganda hiyo,bila ya kuhoji baadhiya mambo yaliyokuwawazi kabisa. Lakini kwa

    Inaendelea Uk. 14

    John Ellis "Jeb" Bush

    Habari za Kimataifa

    ANNUUR NEW.indd 5 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    6/20

    6 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015Makala

    Na Ben Rijal

    K A T I K A s a f u y awanavyuoni wetu safarihii tutamzungumziaSayyid Ahmad bin AliItibar bin Mwinyi MkuuSultan Ahmad bin Ali binAbi Bakr bin Salim, zaidiakijulikana kwa jina laSayyid Mansab bin Ali.

    S a y y i d M a n s a balizaliwa Ukutani mwakawa 1279 A.H (1863), akiwaametokana na mtoto wakike wa Sayyid Ahmad binSalim aliyekuwa kadhi waSayyid Said.

    Maandiko ya historiayaanaeleza kuwa babu waSayid Mansab alikuwa nimfalme visiwani Ngazija.Wengi wa wafalme waNgazija walikuwa niWangazi ja wenyewekinyume na wafalme waZanzibar. Kutokana nawazazi wake kuwa naaina ya tabia za kiajabuSayid Mansab alikuja

    kufwata nyayo hizo. Babuyake alikuwa ni mpenzimkuu wa miti (ameature

    botanist) kuijua miti kwamajina yake na vilevilenamna ya maeneo inayootaaidha kuielewa miti yavyakula iliopo visiwaniZanzibar. Mapenzi yakeya miti ilimuwezeshak u p e l e k a m i t i y aaina mingi ya vyakulanchini Ngazija., bwanahuyu ananasibishwana Masharifu wote waMoroni kutokana na asiliyake, kama ilivyokuwaMasharifu wa Jamalil-Leyl wanavyonasibishwana Mwinyi Bahasani waTsujin huko Comoroi.

    Sayyid Mansab alianzakusoma elimu ya dinikwa mjomba wake SayyidMuhammad bin Ahmad

    bi n Sa lim, na kuw ezakuelimika vya kutoshakisha akasogea kwendakusoma kwa Sheikh Ali

    bin Khamis. Sheikh Alibi n Kh am is si ku hi zoalikuwa akivuma sanakwa kukusanya elimunyingi za dini, na baadaya kutoka hapo Sayyid

    Sheikh Sayyid Mansab Bin Ali (v)MAKALA ya wiki hii na wiki itakayofwata itawazungumzia juu ya Masheikhewawaili walikuja kuwa na kivumbi na utawala aidha nakuwa na mitizamo ambayo

    yakipishana na Masheikhe wengi wa visiwani, Mashekhe hao ni Sayyid Mansabbin Ali ambaye alika kusoma namna ya uchoraji katika kanisa na akilipia kwanjia ya posta kupata majarida kutoka Misri, aidha alivutiwa na Mufti wa MisriMuhammad Abdoo . Sheikhe mwengine anayofanana na Sayyid Mansab ni SheikhAli bin Khamis bin Salim Al-Barwany ambaye aliishi kipindi cha umri mdogokabisa na kuja kubishana na mtawala Sayyid Barghash pale alipogeuza madhehebuna kufungwa na kupelekwa Musqat kutulizwa na huko nako akarusha vumbi nakurejeshwa visiwani Zanzibar.

    Sayyid Mansab bin Ali

    Mansaba alisogea kwaSheikh Muhammad Al-Murony.

    Kwa kuwa SayyidMansab alikuwa na sifaza kipekee na mwenyekiu ya kukusanya elimumbalimbali, hakusitaku j i fun za n a kuf ikak w e n d a k u j i f u n z auchoraji wa picha kwa

    bi bi wa Ki mi sh en i waKingereza kwenye kanisala Mkunazini, U.M.C.A(Kimoto).

    Kuj ifunza uchoraj ikanisani kulimpelekeaSayyid Mansab kupatapingamzi kubwa kwam a s h e k h e w a s i k uhizo ambao walikuwawakimpinga na kumuonamtu asiyofahamika namwenye nadhari za ajabuajabu. Sayyid Mansabalivutiwa sana na HakimDaud Ali Khan gwijila elimu ya tarekhe nafani nyenginezo, gwijihuyu alimfanya awe nauelewa mpana wa tarekhe.Mitizamo yake na namnaa l i v y o k u w a k i v u t i okwa vijana wasomi wakisekula wengi walikujakumshtukia na kumuonakuwa atakuja kuleta atharikubwa kwa vizazi vijavyoikiwa haja dhibitiwa.

    Sayyid Mansab alikuwaakipenda kujisomea gazetila "Manara" lililokuwalikichapishwa nchini Misri,alilipenda gazeti hilo kwakuwa lilikuwa na maudhuimengi ambayo yakipingamambo ya uzushi ndani yaUislamu na alikuwa ni mtupeke yake katika Ungujanzima akipokea gazeti hilokwa njia ya posta zamahizo. Mwangalie Sheikhhuyo alivyokwenda mbalina namna alivyokuwaakipenda kuwa na uonompana wa kielimu ambaohata masheikh wetu waleo ambao wameka vyuovikuu mbalimbali hawanamtizamo wa aina hiyo.

    S a y y i d M a n s a balikuwa akivutiwa sanana Sheikh MuhammadA b d o o m w a n a f u n z iwa Jamaludini Afghania l i k u w a a k i i t u m i azaidi tafsiri ya SheikhMuhammad Abdoo katikakutafsiri Quran ikawaanavyosomesha tafsiri yaQuran ilikuwa ni tafautisana na masheikh wenzakena ndio mana vijanawaliokuwa wakisoma skuliza kizungu wakihudhuriadarasa zake walikuwawakivutiwa mno kwanialikuwa akiweza kuelezea

    ulimwengu kwa upanasana nje ya upeo wa vijanana mashiekhe wengineo,uwezo huo ulitokana akusoma magazeti mengiyaliyokuwa yakitokeaMisri, ikiwa Al-Hilal,Al-Muktatatf, Al-Liwaa,Al-Muayyad na mengimengine. Kitu ambachokilimfanya awe tafauti

    na Masheikhe wenginilikuwa kuwa karibu naSayyid Abdulrahman

    Jamal wa Misri, SheikhMuhammad Bakashmar,Sheikh Abdallah binSalim Al-Khemry, SheikhMuhammad Al-Izz nawengi kama hao ambaowalikuwa vigogo wenyeupeo wa elimu ya dini yaKiislamu.

    Mfalme wa nne katikawafalme wa Kibusaidy,Sayyid Khalifa bin Said, yualikuwa hakubali kupigwapicha na alikuwa hajawahikupigwa picha ya aianayoyote ile. Waingerezawakiheshimu jambo hilo

    lakini Sayyid Mansabalimchora "drawing" kwasiri pasina mwenyewekujua. Huko nyumakama nilivyoeleza kuwam a s h e i k h w e n z a k ewalikuwa wakimpiga vitakutokana na misimamoyake kwa hivyo walikishahabari kwa mfalme kuwaSayyid Mansab anapichaa l iomch ora mfa lme,ikajir kuitwa na kuulizwan a m f a l m e " K w e l iumeniandika sura yangu?"Sayyid Mansab akajibuna huku anatetemeka "La,

    bwana wangu sithubutukufanya hilo".

    S a y y i d K h a l i f a

    akamwambia SayyidMansab "Nikipata pichahiyo utaona cha mtema kunina ushuhudie kilichomtoak a n g a m a n y o y a ,kwani nitachokifanyanitakukata kichwa chako!"W a k a p e l e k w a w a t unyumbani kwa SayyidMansab kupekua nakulipekuliwa kila mwahalikwenye nyumba yakena hata kwenye mitungikulimurikwa na kurunzilabda humo kuna chochotekile lakini kama waswahiliwasemavyo "Wastara

    hazumbuki", alistirikaSheikh na hakujapatikanac h o c h o t e k i l e , l a uingekuwa sio SayyidMansab picha ya SayyidKahalifa isengekuwepo.Ukweli picha hio kama

    ingepatikana SayyidKhalifa angemkata kichwachake kama alivyosema.Sayyid Khalifa alikuwahana mchezo atakalo ndilohuwa, alikuwa akiwakatavichwa wahalifu kila sikuya Jumanne na Alkhamisi.

    Sayyid Mansab alikuwakhatibu wa Msikiti waIjumaa Forodhani kuanziamwaka wa 1299 A.H(Septemba 1882) hadi 1337A.H (Septemba 1919) palealipomwachia mwanaweSayyid Hamid. Alikuwaakisoma kwa kufuatakawaida zote, kwa hivyohata katika mashughulimbalimbali akitangulizwayeye kusoma juu ya kuwa

    akitafautiana na wasomiwenzake, kwani walikuwawakujia ka kuwa SayyidMansab alikuwa gwiji.I l i p o s a l i w a s a l a y akuomba mvua wakatiwa Sayyid Hamuud nazama za Sayyid Khalifa

    bin Haroub alitangulizwayeye kusalisha na hakunaaliyethubutu kupinga hilo.

    Sayyid Mansab alikuwahatoki ila wakati maalumu,wala haendi pahali ilamahali maalumu katikasaa maalumu wala hafanyi

    jambo maalumu ila katikamuda maalumu pia .Alikuwa akiyafanya hayasio kwa kufuata manazilila alijiwekea nidhamu

    katika maisha yake.Sayyid Mansab alikuwaakitunza siha yake vilivyona yalikuwa maradhi yakipuuzi hayamsogeleilakini alipigwa na maradhiya ghafla yaliyodumukwa masaa kumi na nnetu na ilipofika asubuhiya Jumatatu mwezi 13Mfungo saba mwaka wa1346 A.H (10 Octoba 1927)akiwa metimiza miaka 67,Sheikh alifunga machona kuwachia watu pengokubwa ambalo lilikaa kwamuda mrefu pasi kuzibwa.

    Ewe! Mola tupe nasit u l i o p o h i m a k a m aaliyokuwa nayo SayyidMansab na tufanikishe

    katika mambo ya kheri"Ameen". Fwatana namakala h iz i kumjuaSheikhe asiopishana namikiki kama Syd Mansabakiwa Sheikh Ali binKhamis bin Salim Al-Barwany.

    ( M a e l e z o h a y animeyapata kutokanana kitabu cha SheikhAbdallah Farsy "Baadhiy a W a n a v y u o n i w aKishafi wa Masharikiya Afrika", na wazee waMsikiti Gofu)

    ANNUUR NEW.indd 6 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    7/20

    7 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    Sehemu ya Msikiti wa asili wa Kizimkazi

    MAKALA

    MAKALA hii ya mwishoitachagua baadhi ya Misikiti

    katika Misikiti ya MjiMkongwe wa Zanzibar nakuielezea kwa kifupi. Maishaya waumini wa Kiislamuyameegemezwa zaidi naMisikiti kwani Muislamuhuanza kwenda Msikitiniakiwa hata hajakuwa balighina kuendelea kuhudhuriaMsikitini katika maishayake yote hadi anafariki.A k i w a m t u a n a f a r i k imaisha yake yemtimu umriwa miaka 60 huwa katikamiaka 50 yote anakuwaanakwenda Msikitini kusalina kuyashikamana maishayake na Msikiti.

    W a i s l a m u h u f i k akwenye Misikiti kila sikuna kusali kuanzia sala yaAlfajiri, Adhuhuri, Alasiri,Magharibi na Isha. Katikaulimwengu huu tunaoishihakuna mwahali ambapopanakiwa na watu kila sikukwa wingi kama kwenyeMisikiti. Waumini hufikakatika Miskiti kwa lengo lakusali aidha kujifunza diniyao na shughuli nyengine zakuiendeleza mbele kidiniyaKislamu.

    Duniani kuna kila ainaya Miskiti kuna Misikitiyenye kupendeza na yenyehaiba na kuna Misikiti hasahasa kwenye nchi za KatikaUlimwengu kuna Misikiti yakila aina ipo ile ilio mizurina haiba ya kupindukia naipo ile khususan katika nchiza Ulimwengu wa 3 ikiwaipo duni. Misikiti ya maeneombalimbali ya vijijini hasanchini Afrika huwa duni

    mara nyengine huka kukosamuangaza katika sala zaMagharibi na Isha ikabidiwatu kusali na kiza kutokanana kushindwa wauminikupata pesa za kununliamafuta ya taa au kuwekamishumaa.

    Msikiti mtukufu wa Makkana Madina ni katika Misikitiinayosaliwa na watu wengikupita kiasi kwa kila siku nakila mwaka unapoka wakatiwa Hijja Misikiti hii huwahakuna nafasi ya kirahisi mtuaipatayo katika kusali.

    Kisiwa cha Zanzibarkinaelezewa kuwa Uislamuumeingia mapema, kunamaelezo yanayoeleza kuwabaada ya Waislamu kutokeaHabash (Ethopia) wenginehawakurudi Makka wakaka

    Somali, Djobouti, Comorona Zanzibar, maelezo hayohayana ithibati za uhakika,ju u ya ha yo in ao ne ka nakuwa Uislamu uli ingiavisiwani katika nyakati zaBani Ummayah. Msikiti uliomkongwe koliko yote ni ulewa Kizimkazi uliojengwakatika karne ya 12 katikamwaka wa 1170 Msikiti huuni kielelezo kilicho wazinamna Uislamu ulivyoingiaZanzibar namapema kabisakoliko hata baadhi ya nchinyingi za Kiarabu.

    Mji Mkongwe na Miskiti

    Misikiti katika Mji Mkongwe wa Zanzibar (3)Na Ben Rijal

    Mji Mkongwe wa Ungujauna Misikiti mingi ambayokila Msikiti una tarekhe yake

    kikamilifu, Miskiti iliopoMji Mkongwe kwa jumlani Miskiti 52 Misikiti hio

    imejengwa kutokana namgawanyiko wa madhehebumawi l i makubwa kwanayakati hizo ikiwa Sunni-Shafy na Ibadhi hata hivyokuna Msikiti wa Hanafikatika orodha hio refu naJamati mbalimbali.

    O r o d h a y a Mi s i k i t ininayoiwasilisha imejengwakwa kimitaa, mtaa waShangani ukiwa na Misikiti 5,Sokomuhogo Miskiti 6, Vuga3, Kajifcheni 15, Mkunazini4, Forodhani 4, Kiponda 3Malindi 12.

    Miskiti inayoonekanakatika maeneo mbalimbali,eneo la Shangani kuna

    Msikiti wa Bushiri, Wailesi,Shangani, Hadithi. Miskiti yaVuga : Vuga, Suleiman Daudina Majamvi. SokomuhogoMsik i t i yake ik iwa niMuharami, Mwana Fatuma,Msikiti ulipo Zanzibar Hotel,Mandhiri, Saidi Mbaye naMasjid Bohora. Katika eneola Kajifcheni kuna MsikitiThabit, Barwani, Hamamni,Binti Juma Mpemba, Gofu,Shaksi, Ali wa Dadi, Jibril,Barza , Lemky, Jumbe ,Hujatul Islam, Hana (MsikitiMeman), Ruta, Bohora.Eneo la Mkunazini likiwana Miskiti Rajab, Kinyozi,Mwana Sitende. Eneo laForodhani l iki jumuishaMiskiti ya Ijumaa Forodhani,

    Hadithi, Laghbari na JamatKhan. Misikiti iliopo Kipondani Bohora, Kuwatul Islam naDarajani. Misikiti ya Malindini pamoja na Msikiti waSeyyid Humud, MasjidIjumaa, Mzaham, Masrur,Matemni, Halwa, Adirime,Salima, Shafi, Bamnara,Ruwehi na Jongeani. MsikitiBilali uliopo hospitali yaMnazi mmoja na Msikitimdogo uliomo ndani ya IkuluMisikiti hii haiomo kwenyehesabu kwani imejengwa hivikaribuni tu na sio kati ya ile

    Misikiti ya asili.Takriban Miskiti hii yote

    52 hakuna hata mmoja katiyake ulijengwa kwa ufadhilikutoka nje au na watawalawa kifalme, is ipokuwaMisikiti hio yote ilijengwa nawazalendo na msada mdogokabisa uliwahi kutolewa namfalme katika kuendelezaujenzi wa Msikiti wa Ijumaawa Malindi.

    Huu ni mmoja kati yaMsikiti mkongwe katikaMji Mkongwe, Msikiti huuuna mnara wa wa ainayake ambayo unafata ainaza minara ya Misikiti yaasili ya duniani. MsikitiB a m n a r a m n a r a w a k eunashabihiana na Msikitiuliopo Chake-Chake Pemba,Mbaraki uliopo Mombasa naMsikiti Shela uliopo Lamu,Msikiti huu umejibana naumezungukwa na majengomengi, haupo mbali namaeneo ya bandarini, ulipoMsikiti huu kuna sio chini

    ya Misikiti 5 hivi. Unakisiwakuwa Msikiti huu ulikuwatayari umeshasimama katikakarne ya 19, mbali na kusaliwaMsikiti huu unawavutiawatati mbalimbali.

    Msikiti GofuMsikiti huu ni mmoja

    wa Miskiti mikongwe nakitovu cha elimu kwa kisiwachote cha Zanzibar. MsikitiGofu, Msikiti Barza naUkutani hizi ndizo sehemuwatu wakisomeshwa darsambalimbali na wanapohitimuwakieneza elimu ya dinimjini na mashamba. MsikitiGofu wamepita wasomiwengi ambao wakisoma nakusomesha kuanzia SheikhAbubakar Bakathir, SheikhMuhsin bin Ali Barwany,Sheikh Sleiman Alawy,Syd Ahmed Hamid, SheikhAbdalla saleh Farsy nawengineo.

    Darsa ya Ramadhani yaMsikiti Gofu imedumu kwamiaka mingi zaidi ya karnena nusu, mbali ya darsa hiyokongwe katika Zanzibaraidha Msikiti huu katikamaandiko tunafahamishwandio Msikiti wa mwanzovisiwani kusaliwa Tarawehekwa juzuu na Msikiti wapili ulikuwa Msikiti uliopoeneo la Chwaka, hivi sasaMisikiti mingi visiwani husaliTarawehe kwa kutumia juzuummoja kwa kila siku.

    Makala ya Safiri hi iikiwa namzungumzia SydMansab aliokuwa na mwanaaki jul ikana Syd HamidMansab na mjukuu SayidAhmed Hamid Mansab,

    hawa wamekamatana katikaelimu, nitagusia jambo katikahistoria lilotokea likunganana Syd Hamid na mwanaweSyd Ahmed.

    Kama ni l ivyokwishaelezea juu ya darsa kongweMsikiti Gofu katika mweziwa Ramadhani , ka t ikausomeshwaji wa darsaMsikitini hapo iliwekwakuwa anayesomesha au tuiteanayodarasisha hutakiwaatalii na watu wawili pindipoikitokea dharura mmoja katiya hao itabidi achukue nafasi.

    Ilitokea jambo ambalo nivyema nalo kulinukuu katikakuielewa histotria. Katika

    mwaka wa 1968 SheikhSleiman Alawy alikwenda

    Mr i m a k w a m a t i b a b ua k a m ta k a S y d Ha m i dMansab amabaye hajapatapokudarasisha Msikiti Gofuakamkamatie darsa hiomaarufu hadi ataporudina mwanawe Syd AhmedHamid Mansab na mwenziwewawe ndio wanaotalii naeikitokea dharura yoyoteile. Syd Mansab aliitikiawito na ilipofika adhuhurialikuwa anafanya mtalaa watafsiri ya Quran ya Jalaleinatakayekwenda kuisomesha,ilipofika Alasiri alianzakusomesha darsa bada yamuda mfupi alianguka nakufariki hapo hapo, kutokanana usia aliopewa na SheikhSleiman kuwa mwanawe aweanatalii naye, darsa iliwezakuendelea kwa siku ya pilina mwanawe Syd HamidMansab aliiendeleza darasaambayo haikuwa na tafauti nailiyokuwa inasomeshwa hukonyuma. Syd Ahmed Mansabalisoma masomo ya kisekulana akapasi vizuri mtihaniwa Cambridge Examinationdaraja ya 2 akapatiwa fursayakwenda kujiunga naChuo cha Makerere Collegehuko Uganda, babake SydHamid Mansab alimkataliana akampeleka Hadharmoutkwenda kuchukua masomoya dini ambapo alifuzu vizurina aliporudi alisomeshakatika Chuo maarufu chadini Muslim Academy kishaakawa mwalimu Mkuuwa Chuo cha Kiislamuba ad a ya Ma pi nd uz i ya1964 aidha aliweka darsa

    ambayo akisomesha vitabumbalimbali katika Msikiti waIjumaa wa Forodhani.

    Makala haya itaendeleakuinagalia baadhi ya Miskitiya Mji Mkongwe walioiasisina kuendesha darsa ambazomiaka hii zimekufa kutokanana umamboleo wa wengikuji funza wenyewe nakutopendelea kuwa katikadarsa na kujisomesha zaidikupitia mitandao. Fwatanana mie kat ika makalaitakayofwata juu ya Miskitikatika Mji Mkongwe iliopoUnuja kisiwani Zanzibar.

    Sheikh Sleiman Al-Alawy

    Kushoto Syd Ahmed Hamid na anayefwatia Syd Hamid

    Mansab

    Msikiti Bamnara

    ANNUUR NEW.indd 7 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    8/20

    8 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    JANA Alhamisi Novemba19, Wazanzibari waishioU i n g e r e z a c h i n i y ac h a m a c h a o Z A W A ,w a l i t a r a j i a k u f a n y am a a n d a m a n o k u t a k amaamuzi ya Wazanzibarikatika uchaguzi mkuuyaheshimiwe.

    Wi to w a k u w a ta k aWatanzania, Wazanzibarna wapenda demokrasiaw o t e u l i m w e n g u n ikushiriki maandamanohayo ulisambazwa katikamabango mitaa mbalimbaliya London na mitandao yakijamii.

    Wana wa Israeli kwa kulekutokaa na majirani zao kwaamani na salama, walikuwa

    ni watu wa kupigana vitamara kwa mara. Tokakuasisiwa taifa hilo kuanziaYakobo (Israeli), mpaka sasa.Huenda ni mpaka mwishowa dunia, taifa hilo halijakaakwa amani na majirani wakepopote walipokwenda. Mojaya sababu ya hali hiyo, nitaifa hilo kukataa sheria zaMwenyezi Mungu. Kitendokilichofanya MwenyeziMungu awapatilize kwakupigwa na kuchukuliwalile sanduku la ahadi ambalondilo l i l ikuwa na zi lenyaraka za Taurati alizopewaNabii Mussa (A.S) . Nalilipochukuliwa hawakupatakupigana vita wakashinda.Hata hivyo, wana wa Israelikwa kiburi chao hawakurejeakwa Mola wao.

    Katika Quran, tunasomahivi:- Hukusikia habariya wakubwa wa KibaniIsrai l i baada ya Musa,walipomwambia Nabiiwao Tuwekee mfalmeili tupigane katika njiaya Mwenyezi Mungu?Y e y e ( M t u m e w a o )akasema: Haielekei yakuwa hamtapigana ikiwamtaandikiwa kupigana?Wakasema I takuwajetusipigane katika njia yaMwenyezi Mungu, na halitumetolewa katika majumbayeti na watoto wetu? Lakiniwalipoandikuwa kupiganawal igeuka , i s ipokuwawachache miongoni mwao.

    Na Mwenyezi Munguanawajua sana madhalimu.(Quran 2:246).

    Hata hivyo kulinganana silka ya wana wa Israeliya kukataa maagizo yaMwenyezi Mungu, baaday a Mw e n y e z i Mu n g ukuwachagul ia mfa lmewalisema hivi:

    Na huyo Mtume waoakawaambia: MwenyeziMungu amekuchagulieniTwaluti kuwa mfalme.Wakasema: Vipi atakuwamfalme juu yetu, na halis i s i tumestahik i za id i

    Roho mchafu amekita mizizi ZanzibarYuko wapi Daud wa kumpigia Shein Kinubi?Na Khatib J Mziray

    DKT. Ali Mohamed Shein.kupata ufalme kuliko yeye,naye hakupewa wasaa wamali? Akasema: MwenyeziMungu amemchagua juuyenu na amemzidishia wasaawa ilimu na kiwiliwili. NaMwenyezi Mungu humpaufalme Wake amtakaye.Na Mwenyezi Mungu niMwenye wasaa (na) Mwenyekujua. Quran 2:257.

    Kwa maneno hayo yaAllah (S.W.) Tunajifunzanini kutokana na matokeo yauchaguzi wa Zanzibar? Ikiwawatu wameomba uchaguzi,na kuwashirikisha viongoziwa dini katika kuwaombea

    Amani kwa MwenyeziMungu, lakini baada yakukubaliwa amani hiyokatika kufanya uchaguzi, nakutangaza matokeo kwa zaidiya nusu wanaka mahali pakusema kuwa hawako tayarikuongozwa na aliyetakiwa nawananchi, tuna tofauti ganina hao wana Israeli?

    Katika Biblia kisa hikikinaelezwa kuwa; wana waIsraeli walikataa kuongozwakwa sheria za Mungu,ikafika wakapatilizwa kwakupigwa na kutekwa lilesanduku la kuhifadhia zilenyaraka za Taurati, ndipowalipomwomba Nabii waokuwa awaombee kwa Munguili awachagulie mfalme

    atakayewaongoza kwa sheriaza kifalme badala ya sheriaza Mungu:

    Ndipo wazee wote waIsraeli wakakutana pamoja,wakamwendea Samwelihuko Rama, wakamwambia,Angalia, wewe umekuwamzee, na wanao hawaendikatika njia zako; basi tufanyiemfalme atuamue, mfanowa mataifa yote. (Biblia 1Samweli 8:4-5.)

    W a n a w a I s r a e l iwalimwambia Samweli,kuwa wanataka kuongozwana sheria za wafalme wa

    kimataifa, sio sheria zaMwenyezi Mungu. Na sisiTanzania tunataka viongoziwa dini watuombee dua kwaMwenyezi Mungu, tufanyeuchaguzi kwa amani; lakinikusimamia uchaguzi nakuhesabu kura tuongozawena sheria za mataifa, siosheria za Mwenyezi Mungu,ndiyo maana husikii viongoziwa dola wakiwataka viongoziwa dini kuingilia matokeo yauchaguzi wa Zanzibar, iliitumike sheria za MwenyeziMungu kuweka uadilifukatika kumpata mshindi.Kinachoangaliwa sasa ni

    sheria za mataifa (Katibana sheria za wana sheria).Na kwao sasa MwenyeziMungu hana nafasi. Hatahivyo pamoja na Samwelikuambiwa na Mungu kuwaawaonye kwa yale yatakayotokea baada ya kupatiwamfalme, Wana wa Israelihawakuonyeka. Ufalme waaina yoyote unalevya, naSauli ufalme ulimlevya, hataMungu akamwacha:

    Ikawa, ile roho mbayakutoka kwa Mungu ilipomjiaSauli, ndipo Daudi akashikakinubi , akakipiga kwamkono wake, naye Sauliakaburudishwa, na ile rohombaya ikamwacha. (Biblia1 Samweli 16:23.)

    Roho huyo mbaya hanatofauti na huyu roho mchafuanayewashika viongoziwa dola za dunia hii. Nahata hapa kwetu Tanzania,roho huyo mchafu kwa sasaamekita mizizi yake Zanzibarkatika uchaguzi wa mwakahuu kwa kufutwa matokeoau uchaguzi wa Zanzibar.

    Lakini baada ya wanawa Israeli kupatiwa mfalmealiyeitwa Sauli; na baada yakupigana vita na kuwashindaWalisti, kwa Daudi kumwuaG o l i a t i , w a l i p o k u w awanarudi kutoka vitani

    mfalme Sauli alichukizwana mapokezi na nyimbozilizokuwa zikiimbwa naraia wake.

    Hata ikawa, walipokuwawakienda, hapo Daudialiporudi baada ya kumwuayule Mfilisti, wanawakewakatoka katika miji yoteya Israeli, kwa kuimba nakucheza, ili kumlaki mfalmeSauli; wakatoka na matari, nashangwe, na vinanda. Naowale wanawake wakaitikiana wakicheza, wakasema,Sauli amewaua elfu zake, NaDaudi makumi elfu yake. BasiSauli akaghadhibika sana namaneno haya yakamchukiza;akasema, Wamempa Daudimakumi elfu, na mimi

    wamenipa elfu tu; kunanini tena awezayo kupata,isipokuwa ni ufalme? (Biblia1 Samweli 18:6-8.)

    Hivi kuna tofauti gani katiya kisa hicho, na hali ilivyoZanzibar? Kumbe shida nikuwa wananchi wameipaCCM elfu wakawapa CUFkumi elfu na wakashangiliamatokeo hayo.

    Biblia inasema, Ikawasiku ya pili yake, rohombaya kutoka kwa Munguikamjia Sauli kwa nguvu,naye akatabiri ndani yanyumba. Basi Daudi alikuwaakipiga kinubi kwa mkonowake kama siku zote; nayeSauli alikuwa na mkukimkononi mwake. MaraSauli akautupa ule mkuki;maana alisema, NitampigaDaudi hata ukutani. Daudiakaepa, akatoka mbeleyake mara mbili. (Biblia 1Smweli18:9-11.)

    Hivi huyo ndiye rohotuliyempokea Zanzibar?Zanzibar yenye Waislamuas i l imia t i s ini na t i sa99% walio na kitabu chaAllah, Kilichoanza kwaDhaalikalkitabu laa raybah;Hiki ni kitabu kisicho kuwana shaka ndani yake. Nimwongozo kwa wachaMungu. Kwa maana hiyo,Wazanzibar muko katikamwongozo upi? Huyoroho mwovu anayewajiliawafalme wakishakaa katikaviti vyao hawasikii kinubiwala kinanda inapofikiakuwa waondoke katikaufalme. Pamoja na Saulikumkosakosa Daudi kwamkuki, aliogopa sana, kwakuwa hakutegemea kuwaDaudi ataepa ule mkuki;hata hivyo roho mwovualiendelea kumtafuna:

    Kisha Sauli akamwambiaDaudi, Tazama, binti yangumkubwa, Merabu, huyunitakupa wewe; ila na weweuniwie hodari wa vita, nakuvipiga vita vya BWANA.Maana Sauli alisema moyonimwake, Mkono wangu usiwe

    ju u yak e, ba li mkono waWalisti na uwe juu yake.(Biblia 1 Samweli 18:17.)

    Hivyo ndivyo tawala zakitwaghuti zilivyo hadi sasa.Unatafutiwa hila ya kuuliwana wanaamini kuwa hata kwaMungu watakuwa hawanahatia. Na hata Wazanzibariwamef ik i shwa hapo! ! !Kisa kilifikia kuwa Daudiatumiwe wazee maarufukumhamasisha kwa siri, ilikumwoa binti Sauli aliyeitwaMikali; baada ya Daudikujitetea kuwa hana hadhiya kumwoa binti mfalme, napia mali ya mahari:

    Naye Sauli akasema,Mwambieni Daudi hivi,Mfa lme hataki mahariyo yote, ila anataka govimia moja za Wafilisti, ili

    a ji l ipize kisasi adui zamfalme. Basi Sauli alidhanikumwangamiza Daudi kwamkono wa Wafilisti.basiDaudi akainuka, akaendayeye na watu wake, akauakatika Wafilisti watu miambili; na Daudi akaziletagovi mia mbili, ili awemkwewe mfalme. NayeSauli akamwoza Mikali, bintiyake. (1 Samweli 18:25-27.)

    Alichotarajia mfalmeSaul i , n i kuwa Daudihataweza kuwakata magoviWafilisti mia wakiwa hai,ni lazima kwanza awaue,na hawezi kuwaua Walistimia, ni lazima watamwua.Hata hivyo, kisa kinasema

    kuwa aliwaua Walisti miambili akakabidhiwa mwari(mwali).

    Viongozi wetu wa Tanzaniana Zanzibar wanatakaw a k a b i d h i w e m a g o v imangapi ya Wazanzibar iliwakabidhi mwari (mwari)aitwaye Ikulu?

    Wazanzibar hawanamagovi na hata wangekuwanayo, kuyakata ni sawa nawale Walisti, ilibidi kwanzawauawe. Kwa maana hiyo,ni kuwa viongozi wanatakaroho ngapi za Wazanzibar iliwakabidhi Ikulu ya Zanzibar?

    Hiyo ndiyo hatari yak u k u m b a t i a m i f u m oya kitwaghuti na hukutunajidanganya kuwaombaviongozi wa dini kuiombeanchi amani. Niwaambieviongozi wa Dini wenyemshikamano wa kuiombeaamani nchi hii kwa kuchezamechi za masheikh namapadiri, kuwa wapeleketimu yao ya kuombea amaniZanziba, la sivyo timu hiyohaina maana yoyote. Nawakifika huko, wasiendekusakata kabumbu AmaniStadium, wawapigie CCMkinubi.

    (Mwandishi wa Makalahii anapatikana kwa simuMziray 0757 013 344.)

    Makala

    ANNUUR NEW.indd 8 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    9/20

    9 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    Jibwa linangata watu ParisNani mwenye Jibwa hili kichaa?

    Tujikumbushe kizaa zaa cha MadridNa tambo za Boskovski wa Skopje!

    Na Omar Msangi

    WAKATI walimwenguwakiendelea kuombolezakutokana na vifo vya watuwapatao 130 waliongatwana jibwa, ipo haja yakujiuliza, nani mwenye

    jibwa hili kichaa? Hapat u n a w a z u n g u m z i aw a n a o d a i w a k u w amagaidi walioshambuliana kuuwa watu Paris,Ufaransa, ambapo harakaharaka wakati ndio badopolisi wanashughulikana kuokoa wat u nakuwahudumia majeruhi,R a i s w a U f a r a n s aa k a t a n g a z a k u w awanaohusika ni magaidiwa IS.

    "France is at war!"Alimaka Rais FranoisGrard Georges NicolasHollande na kukariri nenohilo mara kadhaa katika

    hotuba zake tatu ndaniya masaa 12 juu ya tukiohilo huku akisema wazikuwa waliohusika ni ISISkutoka Syria. Rais Basharakihojiwa juu ya shambuliohilo, baada ya kutoapole zake kwa wafiwana kuonyesha masikitikoyake kuhusu mauwajihayo ya kikatili, aliwatakawalioguswa na msiba huokiasi cha kusema France

    kitambulisho, cha mmojawa magaidi kimeokotwaeneo la tukio! Vyombovya habari vikashereheshazaidi kwamba magaidih a o w a l i p o k u w awakishambulia, walikuwawakisema Allahu Akbar.

    Taarifa ya Shirika lahabari la AssociatedPress (AP) likielezea

    juu ya ki tambul ishohicho likasema kuwai m e g u n d u l i k a n i c h aAbdelhamid Abaaoud raiawa Ubeligiji mhamiaji kutokaMo r o c c o . A b d e l h a m i dA b a a o u d a n a t a j w akuwa ndiye mpanga j in a m w o n g o z a j i m k u u(mastermind) wa shambuliohilo.

    AP inadai kuwa Abaaoudalijiunga na kundi la jihad laUbeligiji- Belgium's mostnotorious jihadi, ndivyoAP ilivyolitaja na kulipa sifakundi hilo la jihad Ubeligiji.Likaeleza zaidi kwambamujahidina huyo alikuwaSyria katika kundi la IS,lakini hivi karibuni akarejeaUbeligiji kuongoza shambuliola Ufaransa na kwambabaada ya kukamili sha kazihiyo ameweza kutoroka nakurejea Syria.

    I ta k u m b u k w a k u w akatika tukio kama hi lo

    Inaendelea Uk. 10

    at war wajue kuwa hayoyaliyowasibu wa Paris,ndiyo maisha ya kila sikuya wananchi wa Syriakwa miaka mingi sasa.Wakiuliwa kwa mamiana maelfu kila uchao namiji yao kuharibiwa. Nakwamba wahusika wakuuwa mauwaji hayo ndio haohao wanaodai kupigwana IS wakati wao ndiowafadhili wakubwa waIS. Na hili amelithibitishaRais Vladimir Putin

    katika mkutano wa G20uliofanyika Antaliya,Uturuki Novemba 15,ambapo amesema kuwawafadhili wakubwa waIS ni nchi miongoni mwanchi za G20.

    Katika kushereheshak u w a w a h u s i k a w amauwaji ya Paris ni IS,ikatangazwa kuwa kunahati ya kusaria-Pasipoti/

    Makala

    Kwa rekodi hii tuaminivipi haya ya juzi Paris?

    Ya Bologna sasa yapo hadharani

    Hata ya Amboni yatakujafchuka

    Na Omar Msangi

    MACHI 2, 2002, Waziriwa Mambo ya Ndaniwa Macedonia, LjubeBoskovski, alitangazak u w a W a i s l a m u ,m u j a h e d e e n s a b awalikuwa wameuliwasiku hiyo katika jiji laSkopje baada ya kutokeamapambano na polisi.Taar i fa hi yo kat i katelevisheni na magazeti,ikapambwa na pichaza maiti za mujahidinahao wakiwa na bunduki(semiautomatic ) namabegi yaliyokuwa nanguo zilizodaiwa kuwasare za kijeshi. (Yale yale yamisikiti ya Kidato, RuahaKilombero?) Taarifa hizozilipambwa sana katikavyombo vya habari .Polisi wakapongezwakwa umahiri wao katikakupambana na magaidi.Serikali nayo ikatangazam i k a k a t i z a i d i y akuungana na George WBush katika vita dhidi yamagaidi.

    Hata hivyo, baadaei l i k u j a k u f i c h u l i w ak w a m b a m a u w a j iya Wais lamu waleyalikuwa ya kupanga na

    Macedonia, na ufanyikemch ezo wa kuig izakuwasingizia kuwa nimagaidi.

    I n a e l e z w a k u w akilichoivuta zaidi serikaliya Macedonia kubunimkakati huo ni kuwa,yenyewe ilikuwa ikitafutakisingizio cha kuwabamizaraia wake Waislamu wenyeasili ya Albania. Albaniani moja ya nchi za UlayaMashariki zenye Waislamuwengi. Kwa hiyo serikaliya Macedonia ikaonakuwa maadhali kuleWashington imetangazwakuwa Waislamu ndiowaliohusika na shambuliola Septemba 11, basi na waowatafute Septemba 11yao wapate kuwahujumu

    Waislamu. K w a m u j i b u w ataarifa ya uchunguzi,suala hilo lilipofikishwamahakamani, inaelezwakuwa baada ya maofisawa ngazi za juu wa serikalikubuni mpango huo,Mkuu wa jeshi la polisialimpa kazi kamandawa polisi wa mji waDelcevo, ulio mpakani naBulgaria kwamba atafuteWaislamu wahamiaji/w a k i m b i z i h a r a m u ,

    Inaendelea Uk. 10

    hawakuwa magaidi. Kesiikafunguliwa mahakamanikuwashitaki maofisa wapolisi waliohusika kuuwawatu wale saba.

    Kwa mujibu wa taarifazilizochapishwa katikagazeti la The New YorkTimes (May 17, 2004)chiniya kichwa cha habari:

    A Fake Macedonia TerrorTale That Led to Deaths,baada ya tukio la Septemba11, viongozi wa serikaliya nchi hiyo waliwekamkakati ni namna ganiwatawashawishi wananchiwao kwamba inabidiwashiriki katika vitadhidi ya magaidi. Mpangou l i o b u n i w a u k a w akutafuta Waislamu wenyeasili ya Pakistan au nchiza Kiarabu, waingizweFranois de Grossouvre.

    LJUBE Boskovski

    ANNUUR NEW.indd 9 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    10/20

    10 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    Jibwa linangata watu ParisInatoka Uk. 9

    Inatoka Uk. 9

    la Januari mwaka huutulipoambiwa kuwa magaidiwameshambulia chumba chahabari cha gazeti- CharlieHebdo, tul iambiwa piakwamba mmoja wa magaidi

    alidondosha kitambulishochake na kwamba naowalikuwa wakipiga Takbira.Hal ikadhal ika , ndivyoilivyokuwa kwa shambuliola Septemba 11 Washington,a m b a p o t u l i a m b i w akuwa mmoja wa magaidialidondosha Pasipoti yaSaudi Arabia!

    Sasa kama tunaambiwak u w a I S I S n d i owal ioshambul ia Par i s ,maswali muhimu hapa nihaya: Nani ISIS? Nani anawapasilaha? Wanamtumikia nani?Kwa nini zaidi ya mwakasasa toka Marekani idaikwamba inawapiga mpakaiwaangamize, bado ISIS wapo

    na wanazidi kupata nguvuya kuweza kwenda mpakaUlaya Kati kushambulia. ISIShawana kiwanda cha silaha,wanazipata wapi? KamaISIS ni magaidi, hairuhusiwikuwauzia s i laha , nanianawapa silaha mpaka sasa?Who is Behind ISIS? Hilindio swali.

    katika kutimiza malengo yamabeberu Mashariki ya Kati,itabidi kuundwa mamlakabandia za kisala.

    Katika ripoti hiyo, DIAiliweka wazi kuwa watakaokuwa nyuma ya Salafiwatakao kuwa wakitumiwa

    kupambana na Bashar,watakuwa nchi za Ulaya,Uarabuni (hasa SaudiArabia, Qatar, na Jordan,Misr) na Uturuki. Nchi hizozilielezwa kama "supportingpowers" ya makundi yakisalafi yatakayoelekezwakus imamisha Sa la f i s tprincipality Mashariki yaSyria (walipo IS Hivi sasa)ili kumtenga Bashar awezekupigwa na kuangushwakwa urahisi.

    Yupo mzee mmojaakiitwa Ali Kimesha,marehemu hivi sasa(Mungu amrehemu).Mzee huyu alikuwa nakondoo dume mkubwa.Pamoja na kondoo wengialiokuwa nao, alilipendasana hili kondoo dume.Kondoo lile likawa koro.Linapiga na kuumiza watukwa vichwa. Ukija kulipamajani au kulifunguak w e n d a m a l i s h o n i ,

    Habari za kuibuka ISISzilifichuliwa kwa mara yakwanza mwaka 2007 namwandishi Seymour Hersh

    (Pulitzer Prize-winningjournalist) katika ripoti yakeya kurasa 9 juu ya madaRedirection.

    Humo al ieleza kuwakuna mkakati wa Israel wakuzivuruga nchi za Masharikiya Kati na ndani ya mkakatihuo itaangushwa serikaliya Bashar Assad, lakinimuhimu zaidi, igawanywemapande mapande-yaWakurdi, Shia na Sunni.Kila kabila/madhehebu nanchi yao dhaifu, ili iwe rahisikudhibitiwa na Israel nawakati huo huo kurahisishauporaji wa mafuta. Na mojaya mikakati ni kutumia

    makundi ya Sala kupiganadhidi ya serikali ya Bashar.

    N a n i I S I S / I S n awanamfanyia nani kazi,imefichuliwa zaidi mwaka2012 katika ripoti ya Idaraya Wakala wa Usalama yaMarekani- Department ofIntelligence Agency (DIA),ambapo inaelezwa kuwa

    Makala

    w a n a o p i t a B u l g a r i awakienda nchi mbalimbaliza Ulaya Magh arib ikutafuta maisha. Lakiniwawe wenye sura na

    wasifu ambao ukisema nimujahidina itakubalika."Find a group of Muslims

    with a specific physicaldescription, who have to looklike mujahedeen."

    N d i v y o a m r i n amaelekezo kutoka kwaMangu wa Macedoniakwenda kwa Kova waDelcevo ilivyosema.

    Wahalifu wa biashara yakusarisha watu kwa njiaharamu (human tracking)walitafutwa wakapewa

    bia shara. Hai kuc hukuamuda, wakapatikanaWapakis tan s i ta n aMuhindi mmoja kutoka

    India. Katika biashara hii,Waislamu hawa watafutam a i s h a , k a m a w a l eWaethiopia na Wasomali,wanaopitishwa hapakwetu ndani ya mafusona makontena kwendaAfrika Kusini, waliambiwakwamba watafikishwaUgiriki (Greece), lakinikwa kupitia Macedonia.Pale wakae kwa mudaambapo watatafutiwanyaraka za kuingia Athens,Ugiriki. Hao walikuwa niMuhammed Riaz, Omar

    katika baadhi ya maeneo iliwaonekane na kuvuta hisiaza watu. Wakati mwinginewalikuwa wakipelekwaporini na wenyeji waokuwafundisha si lahawakiambia kuwa n i

    lazima wajue silaha nawawe nazo kwa sababuwakati mwingine inakuwani hatari wakati wa kupitampakani (njia za panya)kunakuwa na majambazi.

    Siku chache kabla yaWaislamu hao kuuliwa,Waziri wa Mambo ya Njewa Macedonia, alisambazataarifa katika vyombo vyahabari na katika Balozimbalimbali kwamba vyombovya usalama vya nchi hiyo,v i m e g u n d u a k u w e p okwa kikundi cha kigaidiwanaopanga kufanya jihadkatika nchi hiyo.

    I l i p o f i k a s i k u y aO p e r e s h e n i , Ma c h i 2 ,

    2002, kiasi saa nane usiku,Waislamu hao walichukuliwakatika gari na wenyeji waohadi katika shamba moja lamizabibu, nje kidogo ya jijila Skopje, wakashushwana kuachwa hapo. Wenyejiwalipoondoka tu, wakatokeaa s k a r i w a k a w a p i g arisasi na kuwauwa kishawakawawekea bunduki nakuondoka zao.

    Alfajiri na mapema serikaliikatangaza kuwa vyombo vyausalama vimewauwa magaidi

    Inaendelea Uk. 11

    Kwa rekodi hii tuamini

    vipi haya ya juzi Paris?

    Farooq, Syed Bilal, HusseinShah, Asif Javed, na KhalidIqbal. Yule Muhindi waIndia, jina lake halikutajwakatika ripoti.

    Taarifa za Wizara ya

    Mambo ya Ndani yaMacedonia zinasemakuwa baada ya watuhao kuingizwa Delcevokutokea Bulgaria, walikaakwa muda na kisha

    kupelekwa Skopje ambapowalipewa nyumba yakukaa, na kuhudumiwakwa chakula na nguo zaKiislamu (kijahidina)huku wakitembezwa Inaendelea Uk. 11

    JOSE Maria Aznar

    Giulio Andreoti

    ANNUUR NEW.indd 10 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    11/20

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    12/20

    12 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    Inatoka Uk. 11Ulaya kuingia Syria.

    Lakini jingine ambalolimesemwa wazi kutokeaWashington ni kwambamsako na harakati zakuwabamiza Waislamu,zitaongezwa huku Wakristo

    pekee ndio wakifunguliwamilango kuingia Ulaya naMarekani. Jeb Bush, mdogowake George W Bush,ambaye anatarajia kugombeaurais kupitia chamba chaRepubl i can, anasema,kufuatia shambulio la Paris,kuwa wakimbizi Wakristopekee ndio waruhusiwekuingia Ulaya na Marekani.Jeb Bush ameyasema hayoakihojiwa katika kipindiJake Tapper on Sunday chaCNN mwishoni mwa wikiiliyopita.

    Jeb Bush anasema kuwalazima hatua kali zaidizichukuliwe kwa kile

    alichodai kuwa Islamicterrorism inatishia maishaya Wakristo na nchi zaUlaya.

    U k i a c h a h i l o l akuwabamiza Waislamu,kingine kinachojitokezani kuwa Ufaransa na nchinyingine katika gengela supporting powers",zitakuwa zimepata sababuya kupeleka jeshi zaidi

    Syria kwa kisingizio chakuwapiga IS kumbe nikwa sababu ya kumpigaBashar, hasa katikakipindi hiki ambapo Putinanawaangamiza IS nawashirika wao ndani ya

    Syria. Tayari imeelezwakuwa ndege za kivitaza Ufaransa zimekuwazikifanya mashambulizimakali toka shambulio laParis ikidai kulenga makaomakuu ya IS katika mji wa

    Raqqa.France responded to the

    Paris attacks by bombingSyria, nd iv yo Re ut er sna CNN walivyoeleza nakufafanua kwamba Ufaransai m e i d o n d o s h e a S y r i a

    mabomu mazito 20 kwakutumia ndege kadhaa zakivita, mara tu baada yashambulio la Paris. Awalimapema mwanzoni mwamwezi huu, hata kabla yashambulio hili, BBC ilikuwaimeripoti kuwa meli kubwa

    ya kivita ya Ufaransa yenyekubeba ndege (aircraftcarrier) ikijulikana kwa

    jina la Charles de Gaulle,ilikuwa imengoa nangakuelekea Ghuba ya Persia,ikielezwa kuwa ni iliiwe mahali inapowezakuwapiga IS kwa urahisi.

    Marekani na NATO,a m b a p o U f a r a n s ailikuwa mshirika mkuu,walipoamua kumpigaGaddafi, haikuchukuamuda. Gaddafi alikuwana jeshi, ilikuwa nchi. ISndani ya Raqqa, Raqqa nimji kama Masasi au Chato.Hauzalishi bunduki,risasi wala mabomu. Leounaambiwa kuwa ndegeza Marekani na Ufaransa,Uingereza na NATO kwaujumla, wanawapigakwa mwaka mzima, badoRaqqa ipo bado IS wapo.Unaweza kuona mchezounaofanyika.

    Inatoka Uk. 11

    Amerika haina mpango kuwapiga

    ISIS kwa sasa. Inafanya mzaha tu

    IS hawa wanapata wapi magari haya na silaha zao?

    12 MAKALA

    Awali ilidaiwa kuwawaliohusika ni kundi

    linalopigania kujitengaJimbo la Basque-Basqueseparatist organization(Euskadi Ta Askatasuna)E T A . H a t a h i v y o ,haraka haraka hadithiikabadilika. Ikawa sasaw a n a o t u h u m i w a n iWaislamu. Ikadaiwa kuwani kundi la kigaidi kutokaM o r o c c o ( M o r o c c a nI s l a m i c C o m b a t a n tGroup) lenye uhusianona Al-Qaida. Wenginewakasema, ni kundi lakigaidi ndani ya Hispanialinalojishughulisha na

    biash ara haramu yahashish. Na ikadaiwa

    kuwa katika eneo la tukiokulipatikana kanda zavideo zenye aya za Quran.Hilo likashikiwa bango navyombo vya habari.

    The worst Islamist aack inEuropean history", likanadigazeti la The Guardian(UK) la 31 Oktoba 2007,ikimaanisha kuwa hilolilikuwa tukio baya kabisakufanywa na Waislamu (?)ndani ya Ulaya.

    Elizabeth Nash waThe Independent (UK)la 7 Novemba 2006,

    Mauwaji ya Bologna

    a k a a n d i k a : "Madr idbombers 'were inspired bybin Laden address.

    A k i m a a n i s h akuwa waliolipua treniMadrid ni Waislamu

    w a l i o s h a w i s h i w an a k u h a m a s i s h w an a m a w a i d h a y aUsama Bin Laden. Nakatika habari hiyo, TheIndependent, likaongeza

    kuwa Waislamu haowalichukulia mafunzoyao ya kigaidi Jalalabad,Afghanistan.

    D e b e l i l i p o k o l e a ,yakaibuliwa majina kama

    Rabei Ousmane SayedAhmed aka Mohammedthe Egypt ian. BaselGhalyoun Mohamed

    Almal lah Dabas n aAbdelilah El Fadual El Akilna wengine hadi kukiawatu 28 wakafikishwamahakamani, ambapo

    baadae 21 miong onimwao wakahukumiwa

    jela miaka tofauti tofautikosa kuu kwa wotewakitajwa kuwa ni Al-Qaida waliohusika naMadrid Train Bombing.

    Hata hivyo, baadaemwaka 2008 MahakamaKuu ya Hispania, iliwaonaakina Mohammed theEgyptian, kama watuw a l i o p a c h i k w a t u .Kwamba hawana hatia,ambayo tafsiri yake

    n i kuwa h apakuwana Waislamu wala Al-Qaida waliohusika nashambulio lile. Kinyumechake walipatikana watuwaliokuwa na majinakama Jose Emilio SuarezTrashorras na AntonioToro. Hawa na wenginewaliokuja kukamatwana kuhusishwa na tukiohili, wanatajwa kuwamakachero wa serikali yaHispania.

    An ayeta jwa kuwaa l i b e b a m a b o m u

    Inaendelea Uk. 13

    MABAKI ya treni iliyoshambuliwa na magaidi Stesheni ya Bologna

    ANNUUR NEW.indd 12 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    13/20

    13 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015MAKALA

    Mauwaji ya BolognaInatoka Uk. 12

    yaliyotumiwa ni EmilioS u a r e z T r a s h o r r a s ,mwen zake akiwa n iRafa Z ouh ier . Wotehawa wanatajwa kuwamashushushu wa polisiwalioanza kazi hiyo

    ba ad a ya ku ka mat wamara kadhaa na polisiwakifanya biashara yamadawa ya kulevya.Wakaingia dili na polisi,wawe wanafanya kazi yakuwatonya polisi juu yawafanyabiashara wenzaowa biashara hiyo haramu.T r a s h o r r a s a l i a n z aushushushu huo Julai2001 baada ya kukamatwana polisi akiwa na shehenakubwa ya madawa yakulevya, wakati RafaZouhier alianza Februari2002 baada ya kutoka jela.

    K a d i r i u c h u n g u z iulivyofanyika, ilionekanakuwa Trashorra na mkeweakijulikana kwa jina la

    Carmen Toro, ambaye nidada yake Antonio Toro,walikuwa makacherowaliokuwa wakiripotikwa Juan Jesus SanchezManzano, aliyekuwa mkuuwa kikosi kinachohusikana mabomu- Spanish CivilGuard bomb squad.

    In short, Trashorrasand Toro are patsies and theevidence indicates the SpanishCivil Guard bomb squad wasbehind the bombing andItnow appears obvious thebombing was a Gladio-likeoperation designed to frightenand stampede the Spanish

    public into supporting thebogus war against terror.

    Ndivyo inavyohitimisharipoti moja ikisisitiza kuwakilichofanyika katikashambulio lile, ni katika zilezile operesheni maarufu-murderous Operation Gladiona kwamba kutajwa Al-Qaida ilikuwa usanii tu.Na ikatajwa kuwa lengokwa wakati ule ilikuwakwanza kuishinikizaHispania kuungana naWashington katika vitadhidi ya ugaidi. Lakinipili, kuweka mazingiraya kumfanya aliyekuwaWaziri Mkuu Jos MaraAznar, aliyekuwa kipenzicha Bush na neoconsashinde uchaguzi. Hatah i v y o , a l i s h i n d w a .

    (Tazama: More EvidenceMa dr id Bo mbin g Was AFalse Flag Op)

    Operation GladioAgosti 1990, aliyekuwa

    W a z i r i M k u u w aItalia, Giulio Andreottialithibitisha kwamba katikaUlaya kuna jeshi la siri-secret army, aka Gladio,ambalo ndio linahusikana mashambulizi mengiyanayodaiwa kuwa yakigaidi. Hiyo ilikuwawakati akihojiwa na tumemaalum i l iyoun dwa

    na mahakama (judiciale n q u i r y ) j u u y ashambulio la kigaidi laBologna lililosababishakuuliwa watu 85, nakujeruhi wengine Zaidiya 200. Mauwaji hayoyalifanyika tarehe 2 Agosti1980 gari moshi, treniiliposhambuliwa kwa

    bomu zito ikiwa kat ikastesheni kuu ya Bologna,Italia.

    Andreoi alikiri kuwakulikuwa na mtandaowa jeshi la siri (networkof secret stay-behinda r m i e s ) u l i o k u w aumesambaa Ulaya nzimakatika nchi zote za NATO(North Atlantic TreatyOrganisation). Mtandaoh u o n d i o u n a t a j w akuhusika na shambulio laBologna (Bologna massacre

    Kitaliano wakisema, stragedi Bologna). (Soma zaidi:NATO's Secret Armies O pera t ion Glad io an dTerrorism in Western Europeby Dr. Daniele Ganser.)

    Kikubwa kilichokuwakikifanywa katika hiziOperation za mtandao wastay-behind armies, nikusimika na kudumishakitisho cha Ukomunistina Urusi, ili kuwafanyawananchi wa Ulaya mudawote walilie kuchukuliwahatua za kukabiliana naMakomunisti na wakatihuo huo serikali za Ulayazione kuwa zinaihitajiasana Marekani katika

    kuwal in da dh idi yambabe mwenzake Urusiya zama h izo USSR(Union of Soviet SocialistRepublics). Ni sawa nahaya yanayofanyika hivisasa ya kuwatisha watukwamba kuna Al-Qaida,IS/Waislamu Mujahidinana hivyo kuhitajia usaidiziwa FBI, CIA na Pentagonkukabiliana na magaidi.Kwa hapa kwetu, halihiyo imewaathiri Polisiwetu na vyombo vyetuvya usalama kwa ujumla,kiasi kwamba ukionekanana kanzu, koa na kilembaukaongeza na ndevu, we

    gaidi hatari.Ukisoma juu ya habariza Operation Gladio,utaona kuwa ipo Ufaransakama zilivyo Italia, Spain,Uingereza na katika nchizote za NATO. Ilikuwamwaka 1947, ambapoaliyekuwa Waziri waMambo ya Ndani ya Nchiwa Ufaransa, EdouardDepreux alichua kuwepokwa secret stay-behindarmy katika nchi hiyolikipewa jina (codenamed)la "Plan Bleu". Ili mtandao

    wa vikosi hivyo ufanyekazi vizuri, inaelezwak u w a m w a k a 1 9 4 8iliundwa kamati iliyopewa

    jina la "Western Uni onClandestine Committee"(WUCC) ikifanya kaziya kuratibu shughuli zavikosi hivi vya siri katikanchi za Ulaya. Hatimayemwaka 1949 WUCCiliinginzwa katika mfumowa NATO, na kupewa

    jina jipya la "ClandestinePlanning Committee"(CPC), makao makuu yakeyakiwa Ufaransa. Baadaemwaka 1958 NATOikaunda kamati nyingine-A l l i e d C l a n d e s t i n eCommiee (ACC) ambayondio ilipewa jukumu lakuendesha shughulichafu za vikosi hivi vyasiri.

    Mitandao ya La Rosedes Vents na Arc-en-ciel("Rainbow")inatajwa kuwasehemu ya Gladio katikaUfaransa huku Franois deGrossouvre akitajwa kuwandiye alikuwa kiongozi waGladio akiweka makaziyake Lyon hadi Aprili 7,1994 ilipodaiwa kuwaalijiuwa.

    Grossouvre alikutwaamekufa ofisini kwakehuku kichwani akiwa namajeraha mawili ya risasi.Pamoja na maelezo yaawali kwamba alijiuwa,hata hivyo yapo madaikwamba huenda aliuliwa.

    Lakini pia kifo chakek i n a u n g a n i s h w a n akuuliwa aliyekuwa Rais

    wa Rwanda JuvnalH a b y a r i m a n a . K w amujibu wa maelezo naushahidi wa aliyekuwaWaziri Mkuu wa Rwanda,

    Jean Kambanda kati kaMah akama ya ICTR(International CriminalTribunal for Rwanda),Arusha, Rais JuvnalHabyarimana alikuwaameonywa kuwa asiendeDar es Salaam tarehe 6Aprili kwa sababu kunampango wa kumuuwa.

    Jean Kambanda alisemakuwa tahadhari hiyoilikuwa imetolewa naMobutu Sese Seko KukuNgbendu Wa Za Bangana kwamba habari hizo zakikachero zilivuja kutokeaosi ya Grossouvre kule

    Elyse, Ufaransa. Habarih i z i z i m e t a j w a p i ana Captain Paul Barrilaliyekuwa akifanya kaziRwanda ndani ya kitabuchake Guerres secrtes l'lyse (Secret Wars in theElyse), ikiwa na maanakwa Kiswahili Vita vya Sirindani ya Elyse.

    Kutokana na maelezoya Mobutu kwambasiri za kuuliwa JuvnalHabyarimana zilitokakwa maofisa wa ngaziza juu katika ofisi yaGrossouvre, Elyse Palacekule Paris, inajengwa hojakuwa kuna uhusiano waanayosema Mobutu na

    kile kilichodaiwa kujiuwaFranois de Grossouvre.Sasa kama yaliweza

    kufanyika yale ya Bolognana Madrid Train Bombing,wakauliwa takriban watu300, kwa nini tusiwe nawasiwasi kwamba badosecret stay-behindarmies wapo kazini?

    K a t i k a s h a m b u l i ola gari moshi katikas t e s h e n i y a A t i c h a ,Madrid, walikamatwaakina Mohammed theEgyptian, ikadaiwa kuwasimu na CD zenye ayaza Quran zilikutwa eneola tukio kama ushahidikwamba waliohusikan i W a i s l a m u . L e otunapoambiwa kwambawalioshambulia Paris,walikuwa wakipaza sautiwakisema Allahu Akbar.Kipi kitatufanya tisiaminikwamba tukio hilo nikatika mchezo ule ule

    unaofanywa na mtandaowa secret stay-behindarmies wakiwatumiaakina Trashorras and Torohalafu wanapiga Takbiraili kuwasingizia Waislamu!

    K a m a w a t u h a w awal iweza kuch ukuaWais lamu wasio n ahatia kutoka Pakistan,wakawaua bila ya tone lahuruma na kuwasingiziakuwa ni magaidi, uovugani utawashinda kufanyakwa kiwango hiki chaukat i l i wa l ich of ik iaambacho hata shetani

    angeona vibaya kufanyaakimuogopa Mungu.

    Uongozi wa Shule ya SOTELE SEKONDARI (iliyo chini ya TAMPO)iliyopo kata ya Dondo Tarafa ya Kisiju wilaya ya Mkuranga mkoa waPwani inawatangazia Waislamu wote nafasi za masomo kwa mwakampya wa masomo 2016 kwa kidato cha I,II,III,IV fomu zinapatikanakatika mikoa ifuatayo: -

    Mkoa wa DSM Imamu Mwinyikai, Sheikhat Hisa MagomeniKichangani,Juma Nchia Ununio College Boko, Tampro MagomeniUsalama, Imamu Shaabani Masjid Tungi Temeke. Imamu MkadamMasjid Haqa Buguruni, Imamu Yusufu kwa mwalimu Daudi Masjid

    Mtambani Kinondoni mkoa wa Pwani Ruji Mwl Sodungu 0719 402695sotele shuleni mkuranga. Mkoani Tanga Sheikh Koja mtihani wa Usajiliutafanyika tarehe 29/11/2015 katika vituo vifuatavyo: Ridhwaa SeminaryKinondoni Mkwajuni DSM na Sotele Sekondari Mkuranga- Pwani Saa2:30 Asubuhi kwa maelezo zaidi wasiliana na MWL Saiboko 0784 299945, Mwl Pilly 0784 657216, Pazi Mwinyimvua 0655 654900 YusufuShaabani 0715 818187, Mwl Ally 0784 879197 Omar Tampro makaomakuu 0714 151532, Mkoa wa Tanga Sheikh Koja 0717 247297,Mkoani Mtwara Mwl. Jazari 0717 235011, Masasi Imamu Mcholo 0715181485, Newala Idd Abdul 0785 722988, Mkoani Lindi Imam Maarufu0716 260035, Kilwa Masoko Abdallah Kaundunde 0784 610444, MkoaniSingida Mwl. Mangola 0787 105182 na Zanzibar Osi za UKUEMMakao Makuu 0777 125074.

    Nafasi za Masomo Sotele Sekondari 2016

    ANNUUR NEW.indd 13 11/1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    14/20

  • 7/24/2019 ANNUUR 1204

    15/20

    15 AN-NUUR

    SAFAR1437, IJUMAA NOVEMBA 20-26,2015

    BAADA ya shambulizi

    la kutisha jijini Paris,Ufaransa, wiki iliyopita,wananchi wa mataifa yaMagharibi wameonekanakupitia vyombo vyaovya habari wakiulizakwa uchungu, "why dothey hate us"? na "whatis wrong with theirreligion"? Yaani, "kwaniniwanatuchukia kiasi hiki"na "dini yao ina matatizogani"?

    Wanauliza maswalihayo wakiwa na maanak w a n i n i ' m a g a i d i 'wanawachukia kiasi hichona dini ya 'magaidi' hao(Uislamu) ina matatizog a n i ? H a w a j a m a awanauliza maswali yasiyosahihi. Kama madai yao nikweli kwamba Waislamundiyo wanaohusika namashambulizi hayo, basiswali lao lingekuwa hivi;"vipi Umma wa Waislamuduniani umeonyeshauv umil iv u mkubwa,licha ya mateso, ukatili naukandamizaji unaofanywana mabeberu wa Magharibidhidi yao?"

    Mwaka 1857 nchiniI n d i a , k u l i k u w a n amlipuko mkubwa wauasi nchi nzima, kupingautawala wa kikoloni waUingereza. Wakoloni

    wa Kiingereza walijibumapigo kwa nguvu kubwa.Al iyekuwa k ion goz i

    Shambulizi la Paris, tuulize maswali sahihiNa Said Rajab wa uasi ule, Mughal

    wa mwisho, BahadurShah Zafar alikamatwa.

    Kudhihirisha ukatili wao,wakati kiongozi huyoalipoomba chakula akiwakizuizini, Waingerezawalimletea vichwa vyawatoto wake wawili wakiume wal ioch in jwamuda mfupi uliopita.Kwa umakini mkubwa nautulivu, alijibu:

    "Shukran kwa Allah,kizazi cha Timur mara zotekinakuja mbele ya babazao kwa njia ya kishujaakama hii". Zafar alifarikidunia akiwa kizuizini.

    Nchini Algeria, uasidhidi ya utawala wakikoloni wa Ufaransamwaka 1954, ulikabiliana

    n a u k a t i l i m k u b w akutoka mataifa ya Ulaya.Ufaransa ilichukua seraya maangamizi kwa kuuawananchi wa Algeriakuanzia vijijini, mijinina kwenye majiji, ikiwani malipo ya uasi dhidiya wakoloni. Mamia yamaelfu ya watu waliteswana kwa ujumla zaidi yaWaislamu Milioni 1.5 waAlgeria waliangamizwak u p i t i a m i k o n o y aw a k o l o n i , a m b a ohawakutaka Waalgeriawawe huru kutoka kwenyemakucha yao.

    Wakati wa Vita Baridi,

    Wamarekani walichukuasera ya kupandikizamadikteta kwenye nchi

    za Waislamu, kinyume namatakwa ya wakazi wanchi hizo. Nchini Misri,

    Marekani i l imuwekaAnwar Sadat na HosniMubarak, ili kuifanyaM i s r i i w e k w e n y emipango yake na kuizuais i tumbukie kwen yeushawishi wa USSR. Rais

    Ji mmy Cart er al if an yampango huo kuwa ndiyomsingi wa Sera ya Mamboya Nje ya Marekani 'theCarter Doctrine' (1980),ambayo ilibainisha wazikwamba Marekani tundiyo inayoruhusiwakuwa mdh amin i wausambazaji wa mafutaya Mashariki ya Katina kusimamia usalamawa eneo hilo, ikiwemo

    usalama wa 'Israel'. NaSera hiyo imebainisha wazikwamba Marekani ikotayari kutumia hata nguvuza kijeshi kuhakikishakwamba hilo linakuwa.Kwa hiyo, kupitia utawalawa madikteta hao wa Misri,mateso na ukandamizajiwa wananchi waliopingaudhalimu huo yalikuwamambo ya kawaida.

    Na wakati wa vita vyailiyokuwa Yugoslavia,Marekani iliendesha seramaalumu ya kuwezeshamauaji ya kimbari dhidiya Waislamu. Mauajiya Waislamu 7000 kuleSrebrenica mwaka 1995

    ni ushahidi wa hilo.Wanaume, wanawake nawatoto waliuawa kinyama

    kwa ruhusa ya walindaamani wa Umoja waMataifa, wakiwa katika

    maeneo ambayo walindaamani hao waliyaitasalama! Ushahidi wa hivikaribuni unaonyeshakwamba wakati mauajihayo ya halaiki yalipokuwayakifanywa na Waserbia,Wamarekani walikuwawanajua kilichokuwakinaendelea kupitia pichaza Satellite na taarifa zakiintelijensia.

    Unyama na ukatiliunaoendelea kufanyikakupitia vita hii inayoitwaya ugaidi unafahamikav y e m a . N c h i n iAfghanistan, Marekaniimewaita wapiganaj iwa Ta leban , ambao

    wanapinga uwepo wamajeshi ya kigeni nchinimwao kuwa 'unlawfulcombatants' (wapiganajiharamu), jambo ambalolinawezesha wapiganajihao kudhalilishwa kwenyekambi za mateso zaBagram na Guantanamo.

    Kufupisha maneno,katika kipindi cha takribanmiaka mia mbili iliyopita,ummah wa Waislamud u n i a n i u m e k u w aukiteswa na kuangamizwakwa kiwango kikubwa.Damu ya Wais lamuduniani imekuwa rahisimn o mikon on i mwamataifa ya Magharibi.

    Mataifa ya Magharibuyanaangamiza Waislamuna kuvuruga nchi zao vile

    yanavyotaka!S a s a k a m a k w e l i ,

    Wais lamu wach ach ewanaoitwa magaidi, ndiyowaliofanya shambulizila kinyama la Paris, kwakutumia staili ile ileinayotumiwa kila sikuna mataifa ya Magharibi,Ufaransa ikiwemo, katikakuangamiza Waislamuk w e n y e n c h i z a o ,tunachopaswa kuulizasiyo kwanini Waislamuwametumia njia ile ileya watu wa Magharibikujibu mapigo! Swalihapa ni kwanini ummawa Waislamu Bilioni1.8 duniani kote, ambaou n a k a n d a m i z w a n akuangamizwa na mataifaya Magharibi, unawezakuvumilia madhila hayokwa muda mrefu bila ya

    kujibu mapigo? Hiyo ni kwasababu Waislamu wengiduniani, wakitambuadhulma zinazofanywadhidi ya umma wao nawatu wa Magharibi ,wanakatazwa na Uislamukuwashambulia watuwasio na hatia. Sheria zaKiislamu zinakataza jambohilo. Uislamu umewekaviwango vya juu sana vyatabia njema na uadilifukatika kukabiliana nadhulma, wakifuata njia ileiliyoelekezwa na Mtumewa Mwenyezi Mungu:

    "Na piganeni katikanjia ya Mwenyezi Munguna wale wanaokupigeni,wala msipindukie mipaka.

    Kwani Mwenyezi Munguhawapendi warukao mipaka"Qur(2:190)

    MAKALA

    KWA hakika imetia nangaQurani tukufu juu yaufahamu wa amani katikasura nyingi na aya nyingi tu,hadi ikawa amani ni alamaya wazi ya dini hii na siwakati wa amani tu bali nawakati wote.

    Dini hii ina maadui wake

    Nafasi ya Uislam katika kueneza utamaduni wa amani

    Na Sheikh MohammedaL-Amiri Osmani

    na ni wa kuwalingania amanibadala ya kugombana nao,kwani dini ya Uislamui m e k u ja k w a a j i l i y akuwaokoa watu wote, ilikuwaleta katika njia yaMwenyezi Mungu mtukufu.Basi makusudio yake nikuzoeana na kuondoaugomvi na pia kuenezaamani duniani kote na hayondio yaliyojiri katika ayatukufu nyingi tu, ambazo

    zimeambatana na mada yaamani na zote zinazoanishasuluhu na salama.

    Amesema MwenyeziMungu, Enyi mlioaminiingieni katika hukumu zoteza Uislamu wala msifuatenyayo za shetani kwa hakikayeye kwenu ni adui wadhari (208) Albakarat.

    S i lm na asa lam inamaana moja na hutumikakatika Uislam na baadhiyao wametofautisha katikamatamshi mawili haya nawakafanya asilmi-uislam naasalamu kujisalimisha.

    Amesema Fakhrurazi asiliya neno hili ni kunyenyekea.Amesema Mwenyezi Mungumtukufu, Hebu kumbukapale alipoambiwa na Molawake jisalimishe, akasemanimejisalimisha kwa Molawa ulimwengiu .

    Na Uislamu umeitwahivyo kwa maana hii yakujisalimisha, na umeshindajina hil i kwa usu luh u nakuacha vita, na katika

    kunyenyekea kila mmojakwa mwengine na amesemakwa muongozo huu waQurani takatifu.

    Na pia maneno ya Mtume(s.a.w) amesema MwenyeziMungu mtukufu enyiwatu wa kitabu amekwishakufikieni Mtume wetuanayekudhirishieni mengimliokuwa nayo mkiyachakatika kitabu na husamehemengi, bila shaka imekwishakukieni nuru kutoka kwaMwenyezi Mungu na kitabukilicho bainisha kila jambo,kwa kitabu hicho Mwenyezi

    Mungu huwaongoza wenyekufuata radhi yake katikakuwapeleka katika nuru kwaamri yake na huwaongozakatika njia iliyonyooka (15-16) Al Maaidah.

    Na amesema MwenyeziMungu katika misemo yaaya za vita na mapigano Nakama hao maadui wakielekeakatika amani, nawe pia elekeana mtegemee MwenyeziMungu hakika yeye ndiye

    asikiaye na ajuaye (6) Anfalina akaamrisha Mwenyezimungu Waislam wasijitengena amani na wamkubalieanayeiomba amani hiyona watakapoelekea katikaamani na kujisal imishana suluhisho, basi palewalipotaka mushirikinamwaka wa Hudaibia suluhuna kutuliza vita kati yao naMtume (s.a.w) kwa miakatisa akawakubalia pamojana masharti miongoni mwamasharti mengine magumu

    Toka kwa Ally Bin AbiiTwal ib ( r .a ) amesema.

    Amesema Mtume (s.a.w)patakuwa baada yanguna tofauti, au mambo napakiwekezana basi iweamani, basi fanyeni hivyo.

    Zawaidu masnda naamamesema Al-haithami katikawatu wake ni waaminifu kwahakika salamu kwa Muislaminaanza kwa salam, na jambola mwisho analolifanyaMuislam anapotaka kutoka

    ndani ya swala na kujakatika maisha ya kiduniani kulisema tamko la salamna miongoni mwa majinayake Mwenyezi Mungu niamani na amehimiza Mtume(s.a.w) juu ya amani nakuieneza kwa watu wote kwakutumia, neno na vite