annuur 1070

Upload: mzalendonet

Post on 14-Apr-2018

726 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1070 JAMADUL THAN 1434, IJUMAA - MEI 10-16, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Siku hiyo hawakusafiri Wazungu?Au ndiyo yale ya Dowans Vs Symbion

    Wapo wapi Uamsho waliotua Dar kuchoma MakanisaWabunge wasicharuke tu, wahoji mambo ya msingiKasema kweli Samia Suluhu, tuwe na yakini kwanza

    CHUO Kikuu cha Taifacha Zanzibar (SUZA),k i n a t a r a j i w a k u w amwenyeji wa MkutanoMkuu wa Kimatai fa

    Tuambiwe ukwelinani kalipua bomu

    Mh. Pinda, Namangawalipita Waarabu tu?

    Mkutano wa OICkufanyika Zanzibar

    Na Al ghaithiyyah,Zanzibar

    wa Umoja wa Nchi zKiislamu (OIC).

    M k u t a n o h u o k wmwaka huu unatarajiwkufanyika Septemba 2 kwmashirikiano ya nchi yOman, Umoja wa OIC n

    Uk. 6

    Inaendelea Uk.

    Masahaba waliwahijia wazee waowaliokufa bila kuhijji na waliokutwawamezeeka ilipofaradhishwa Hijja.Hivi sasa waislamu wengi wanakufa

    bila kuhijj na kuacha mali zaidiya malipo ya Hijja. Uislamu

    hauwatambui wazee hao mpakawahijiwe! Umeshawaokoa wazazi

    wako na kuwarudisha katikaUislamu? KaribuAhlu Sunnawal Jamaa. Gharama zote ni

    Dola 4,300. Tafadhaliwasiliananasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:

    0777458075;Pemba: 0776357117.

    (14) WASITIRI WAZAZI WAKO

    MH. Waziri Dkt. Nchimbi MH. Waziri Samia Suluh

    FFU wamsindikizaPonda Mtambani

    Kivumo cha Takbiira chatikisa Kisutu

    Yathibitishwa kiwanja kimeporwaPonda akitetee Mahakama ya Ardhi

    SHEIKH Ponda Issa Ponda.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    2/12

    2AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Makala

    AKIFAFANUA Azimiola Bunge juu ya kadhiaya Arusha, MheshimiwaAnna Abdallah aliitakaSerikali kufuta vikundi vyaKiislamu vyenye dhamirambaya. Katika kutoa mfanoakahoji, inakuwaje Serikalikuandikisha vikundi vyaKiislamu ambavyo lengolake ni kupinga Bakwata.

    Kwanza tuseme kuwahakuna taasisi ya Kiislamu

    iliyowahi kuanzishwa kwalengo la kupinga Bakwata.P i l i , kama i l ivyo kwataasisi za dini nyingine,ikiwemo Ukristo anaofuataMheshimiwa Anna, kila taasisiya Kiislamu inayoanzishwani kwa kuzingatia mambomawili makubwa: Kwanzakutimiza wajibu wa wahusikakwa Mola wao. Kwamba kwakupitia taasisi hiyo watafanyaDawah, watahubiri nak u w a l e t e a m a e n d e l e owaumini wao na Watanzaniakwa ujumla. Pili, wanafanyahivyo kwa kutumia hakiyao ya uhuru wa kidini wa

    kuabudu na kujihusisha navikundi vya kijamii kamainavyotolewa na Katiba yaNchi.

    L a b d a s w a l i n i j e ,kwa nini Anna Abdallahhakuzungumzia u t i t i r iwa taasisi za Kikristo namakanisa yanayochipukahivi leo ambayo baadhi yaondiyo yametuletea mgogorohuu wa kuchinja? Kwa ninihakuzungumzia utitiri wamakanisa yanayokera watumitaani kwa kuimba nakupiga muziki usiku kucha nawananchi wakilalamika ndiokwanza wanaongeza vinandana magitaa kwa madai kuwahiyo ni dalili kuwa shetanianakereka kwa hiyo wazidikumkera?

    Anna hakugusa hayona badala yake kuihamiB a k w a t a , s i o k u w aanampenda sana Sheikh AlHad Mussa, Mufti ShaabanSimba na Bakwata yao,bal i ni kwa sababu fikirainayomwongoza ni ile ileya Serikali ya kuwabana nakuwadhibiti Waislamu hukuWakristo wao wakitanuawatakavyo na taasisi zao. Nahaya ndiyo aliyotahadharishaMheshimiwa Zitto Kabwe

    Aliyosema Zitto yazingatiweMtizamo wa akina Anna Abdallah utatuvuruga

    bungeni.Akichangia tarehe 6 Mei

    katika kikao kinachoendeleaDodoma, Mheshimiwa ZittoKabwe alitaka Watanzaniawasome kutoka yaliyowakutaIvory Coast na Liberia.

    Katika uchambuzi wakeakasema kuwa kuna lawama yamuda mrefu sana ya Waislamukuhusu BAKWATA. KwambaWaislamu miaka mingitoka mwaka 1969 wakati

    Serikali imeunda BAKWATAwanalalamika. Wanalalamikakuwa wakati Serikali imewapaWakristo uhuru wa kuwa nataasisi zao huru na haiziingilii,inapokuwa kwa Waislamu,inataka kuwadhibiti Waislamuwote chini ya Bakwataambayo haina uhalali wowote(legitimacy) ya kuwasemeaWaislamu.

    Mtizamo huu, msimamo namkakati huu wa kuwanyimauhuru Wais lamu, nd iouliomfanya Anna Abdallahatoe mfano wa wapingaB a k w a t a . A n a c h o t a k akuona ni kuwa Waislamu

    wanarejeshwa katika ile miakaya Mwalimu Nyerere ambapoMuislamu hakuruhusiwakufanya jambo lolote laKiislamu mpaka apate kibalicha Bakwata, na ukiendaBakwata hupati kwa sababuilishapewa maelekezo.

    H i v i t u n a v y o a n d i k amaoni haya kuna Waislamuwanakabiliwa na kesi yakuchoma makanisa, wenginewapo nje kwa dhamanana wengine kwa zaidi yamiezi sita sasa dhamanazao zimezuiliwa. Makanisahaya ni yale yaliyodaiwakuchomwa siku ya vurugu zamaandamano kupinga hatuaya Polisi kusita kumchukuliahatua kijana aliyekojokoleaQ u r a n . M a r a n y i n g ipanapotokea matukio kamahaya, ndipo hupatikana fursakwa wahalifu nao kufanya yaokama tunavyoona wakivamiana kupora maduka.

    Lakini wakati Waislamuwakisubiri hukumu kufuatiakesi hiyo, watu waliochocheawaumni wa Kikristo Tundumawakaandamana na kufanyafujo na kuchoma moto msikiti,taarifa tulizo nazo ni kuwahakuna mashitaka yoyotewaliyokwisha somewa. Labda

    swali ni je, ujumbe ganiwanapewa Waislamu?

    Kama mtu anawezakungoa dirisha la msikiti naasichukuliwe hatua yoyotena vyombo vya dola, salamugani anapewa mtu huyu?Je, kesho na keshokutwakwa ujumbe huu aliopewakuwa yeye haguswi ,

    a t a s h i n d w a k u f a n y aji ng in e ku bw a? Laki nikwa upande, mwingine,katika hali hii, Waislamuwaliovunjiwa msikiti waoambao wanategenea kuwakuna Serikali yenye kujaliusalama wa wnaanchi wote,wanapewa ujumbe gani?

    Wakat i Wazi r i waMambo ya Ndani ya Nchi,Mheshimiwa Dkt. EmannuelNchimbi akifunga mkutanowa viongozi wa kidini,j i j in i Dar es Sa laamalisisitiza kauli ya Serikaliya kukataza mihadhra ya

    kashfa na kauli za kujengachuki. Ambalo tungependalifafanuliwe zaidi, ni hili lamihadhara ya kashfa. Je,kinachokusudiwa nini?

    Kumekuwa na mlolongowa kukamatwa Waislamuwanaokutwa na kandazenye mawaidha ambapondani yake kuna ujumbewa Quran kuwa Yesu siMungu. Lakini kwa upandemwingine, hatujawahikuona wauza kanda zakutukuza uungu wa Yesu,

    wakibughudhiwa.Sasa hapa ni lazimai s e m w e w a z i , j ekinachokusudiwa hapa nikupiga marufuku Waislamukusema kuwa Yesu sioMungu?

    Kusema Yesu si Mungu,ni jambo lisilokubalikakwa Mkristo kwa sababuni sawa na kupinga uunguwa mungu wake Yesu.Lakini pia ni kufru kubwakwa Muislamu akisikiamtu akisema kuwa Yesuni mungu. Katika halihii, ufumbuzi ni nini? Je,

    ni kuwapiga marufukuWaislamu wasihubiri kuwaMungu si Yesu ambayoni sawa na kuwazuiyawasisome baadhi ya aya

    za Quran? Je, wakatazww o t e , W a i s l a m u nWakr i s to? Muis l amasiseme kuwa Yesu Mungu na Mkristo asisemkuwa Yesu ni Mungu?

    Yote haya inapasyafafanuliwe, vinginitabaki kuwa ni utatmtupu na katika utat

    huu ndio tunaona Serikainaungana na Wakristkuwashambulia Waislamkuwa ndio wanaotukana nkuwakashifu Wakristo. Wawanaopiga vijembe vykuwaombea wenye majinna mapepo hawaonekanImekuwa sawa na i lagenda ya ugaidi. Haisemwkwamba ni kuwapigvita Waislamu, lakini kitukio, anayekamatwa nMuislamu/Muarabu.

    Ndio maana hata Arushtumekimbilia kuwakamaWaarabu wakati Arush

    wapo raia wengi wa kigenKwa mtindo huu wasiwawetu ni kuwa tutazidkuivuruga amani ya nchbadala ya kuitengeneza.

    Mkutano wa OIC kufanyika ZanzibarInatoka Uk. 1

    SUZA.Taarifa hiyo imekuja

    kufuatia ziara ya siku nneya maafisa wa nchi yaOman walioambatana namaafisa wa OIC iliyonzamapema wiki hii mjiniZanzibar.

    Mwenyekiti wa Mamlakay a k u m b u m b u k u n anyaraka ya nchi ya OmanDkt. Hamed Mohammedal Dhawiyaniy amesemaZanzibar imepata nafasihiyo kutokana na kuwa namahusiano mema na nchinyingi ulimwenguni na hasakatika nchi za Kiarabu.

    Amesema, historia nautamaduni wa Kiislamuwa Zanzibar na namnau l i v y o t u m i k a k a t i k a

    kusambaza Uislamu nchinyingine, umekuwa kigezomuhimu cha Zanzibarkupata nafasi hiyo.

    Kwa vile Zanzibarina historia nzuri katikakusambaza Uislamu nchinyingine, tunaimani kuwahata malengo ya mkutanowetu huo yatafikiwa kwakiasi kikubwa , alisemaDkt. al Dhawiyaniy ambayepia ni mkuu wa msafarahuo.

    Kwa upende wakeMkurugenzi Mkuu wa OIC

    katika kitengo cha utafitina utamaduni Dkt. HalitEren amesema mkutanohuo utakuwa fursa adhimukwa Zanzibar kujitangazakatika mataifa mbalimbalina kuendelea kujiongezea

    umaarufu kimataifa.Amesema, kwa vilewatakuja washiriki kutokamataifa mbalimbali kutokanchi wanachama wa OIC,Zanzibar itakuwa ni nafasiyake muhimu kufahamikakimataifa na kujipatia nafasiza masomo duniani.

    Amefahamisha kuwawatoa mada 164 kutokanchi mbalimbali tayariwameshapeleka maombiyao ili kuwasilisha katikamkutano huo na kuwatakaWazanzibari nao kupelekamaombi yao.

    K w a u p a n d e w a k eKaimu Mkuu wa Chuocha SUZA Dkt . Haj iMwevura Haji amesemavyuo mbalimbali kutokanchi tofauti viliomba kuwamwenyeji wa mkutano huo,lakini SUZA kimeamuliwakuwa mwenyeji kutokanana historia ya Zanzibar.

    Amefahamisha kuwalicha ya Zanzibar kutokuwamwanachama wa jumuiyaya OIC, lakini kigezo hichohakiizuii Zanzibar kuwamwenyeji wa mkutano huo

    wa kimataifa.Amegusia kuwa mkutan

    huo unaweza kuwa furadhimu kwa Zanzibkunufaika kupitia jumuihiyo kama ambavyo ncya Uganda ilifaidika kw

    kujengewa Chuo Kikuu cMbale. W e n z e t u U g a n d

    w a l i f a i d i k a n a O I

    kwa kujengewa Mba

    University, nasi pia tun

    matarajio mengi ilikwemkuitangaza SUZA na kupascholarships dunianialisema Dkt. Haji

    D k t . H a jamewahakikishia maofih a o u s h i r i k i a n o wkutosha ili mkutano huuweze kutimiza malengyaliyopangwa.

    Umoja wa Nchi zKiislam Duniani, OICunajishughulisha na mambmbalimbali ya kimaendelikiwemo kusaidia ncwanachama wa umohuo katika huduma zkijamii ikiwemo ujenzi wtaasisi za kielimu, afya nmiundombinu.

    Mkutano Mkuu ndunaojadili na kupitishm i r a d i n a m i s a a dm b a l i m b a l i a m b a pmkutano uliopita ulifanyinchini Omani.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    3/12

    3AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20Habari

    Waliochoma, kubomoa Msikiti

    Bado hawajasomewa shitakaWANAODAIWA kuwa nivinara wa vurugu za kuchinjazilizoibuka hivi karibunikatika mji wa Tunduru nakusababisha kuvunjwa nakuchomwa moto Msikiti,wahawajafikishwa katikavyombo vya sheria.

    Kwa mujibu wa chanzochetu cha habari kutoka katikamji huo mdogo wa Tunduma,watu hao wametajwa kuwani Diwani wa Chadema naMchungaji mmoja, ambaokabla ya tukio walikuwani chachu ya kuibuka kwavurugu hizo.

    Sambamba na watuhumiwahao, chanzo hicho kimedai piakuwa watuhumiwa wa vuruguhizo na kusabisha kuchomwamoto na kuvunjwa Msikiti,mpaka sasa hawajafunguliwamashitaka yoyote.

    Walifikishwa mahakamanin a k u a m b i w a w a r u d i

    nyumbani bila ya kusomewamashitaka.Watuhumiwa karibia wote

    wapo nje kwa dhamana, lakinihawajasomewa shitaka lolote,walipelekwa Mahakamanikisha walitajwa majina yao

    Na Bakari Mwakangwale

    na kupewa dhamana bilakusomewa mashitaka, nawalitakiwa kurudi kuripotiMahakamani Mei 18, 2013.Kilisema chanzo hicho.

    Chanzo hicho kilisema kuwacha kushangaza ni kwambawale ambao walikuwa vinarana wahamasishaji wa vuruguzile, ambao ni Mchungajimmoja na Diwani wa Chadema,waliitwa Polisi wakahojiwakisha wakaachiwa, walah a w a j a j u m u i s h w a n awatuhumiwa wengine.

    Hatuelewi ni kwa ninihawajahusishwa na wafuasiwao waliofanya vurugu kubwamjini hapa na kusababisha hofuna hasara kubwa sambamba nakubomoa Msikiti na kuchomamoto, jamaa waliohojiwa tuna kuachiwa. Kilibainishachanzo hicho.

    Wakati huo huo Waislamukumi katika sakata la kuchomamoto Makanisa Mbagala,wanasota rumande hadi sasa.

    Watuhumiwa hao , n imiongoni mwa Waislamu

    waliokamatwa kwa madai yakuchoma moto Makanisa, nakufanya uharibifu, ambapokatika kufunguliwa mashitaka,b a a d a y a k u f i k i s h w aMahakamani, walifunguliwakesi tatu tofauti tofauti.

    Kwa mujibu wa wakilianayesimamia kesi hizo,

    Bw. Yahaya Njama, alisemawatuhumiwa wa kwanzawanashitakiwa kwa kosa lakuvamia Kanisa.

    Alisema, katika kuvamiahuko wanadaiwa kuharibumali, kujeruhi watu, kuiba

    na kuchoma moto Makanisna zaidi alidai kwa wawalioko mahabusu ni kuwwanatuhumiwa kufanyujambazi wa kutumia silahkosa ambalo kisheria shitakhilo halina dhamana.

    Hawa kumi mpaka sawapo mahabusu, huku keyao ikiendelea kwa kakubwa, na huenda ikachuku

    muda kwa sababu upandwa Serikali inaorodha ymashahidi wengi. AlisemWakili Njama.

    A l i s e m a , W a i s l a mwengine wanakabiliwa na kola katika kesi 241, inawahustakribani washitakiwa nanambao wao wapo nje kwdhamana na kesi yao ishaanzkusikilizwa.

    Bw. Njama alisema, kunkesi namba 242, inayowakabWaislamu pia waliokuwepk a t i k a m a d a i h a y o yuchomwaji wa Makanisambayo kesi yao haijaanzkusikilizwa kabisa, kutokanna sababu mbalimbali.

    Waislamu wote hawalikamatwa katika sakala uchomwaji wa MakanisMbagala, na kugawanywkatika mashitaka hayo katikkesi tatu tofau. AlisemWakili Njama.

    FFU wamsindikiza Ponda MtambaniJANA Kikosi cha Polisicha Kutuliza Ghasia, FFU,kilikuwa na wakati mgumukilipolazimika kumsindikizaSheikh Ponda hadi Msikiti waMtambani.

    Ilikuwa heka heka katikaMahakama ya Kisutu baada yakurindima kivumo cha Takbiirawakati Hakimu aliposomahukumu kuwa washitakiwawote hawana kosa na kuachiwahuru ila Sheikh Ponda aliyepewakifungo cha nje cha mwakammoja.

    M a m i a y a W a i s l a m uwaliofika Mahakamani hapo,walianza kuondoka kwa lengola kusindikiza gari iliyomchukuaPonda kuelekea Msikiti waMtambani na hapo ndipo gari nneza FFU zikajitokeza kuongozamsafara huo.

    Katika msafara huo, garimoja ya FFU ilikaa mbeleikiongoza gari aina ya Pradoaliyopanda Ponda, kisha garimoja pembeni mwa gari hiyoya Ponda huku nyingine mbilizikifuatia nyuma.

    Pamoja na msafara huokupelekwa kasi ambapo marakadhaa FFU katika gari ya mbelewalilazimika kushuka kuziondoagari zisizuiye msafara huo,

    bado Waislamu nao walip igambio kufuata msafara huo hadiMtambani.

    Katika hukumu ya jana,ilimchukua Hakimu Victoria

    Nongwa, zaid i ya saa mbil ina nusu, kusoma hukumu

    Na Shaaban Rajab hiyo ambapo washitakiwa 49waliachwa huru huku SheikhPonda akitakiwa atumikie miezi12 kwa amani bila kutenda kosana kuendelea kuhubiri amani nakuonyesha tabia njema, yaani

    (Conditional discharge).Awali akisoma mtiririko

    wa mashahidi upande wamashitaka, Hakim Nongwaalianza kwa kufafanua kila kosawaliloshitakiwa watuhumiwa,kuanzia na kosa la kula njama yakutenda kosa.

    Katika kipengele hicho,Hakimu Nongwa alisema katikahati ya mashitaka, haielezwi nikosa gani watuhumiwa walikulanjama miongoni mwa makosawaliyoshitakiwa kwayo.

    Aidha , a l iongeza kuwamashahidi hawajaonyeshaushahidi juu ya kosa hilo la kulanjama ya kutenda kosa.

    kwa mujibu wa ushahidiuliotolewa, upande wa mashitaka

    umeshindwa kuthibitisha aukudhihirisha namna washitakiwawalivyokula njama za kutendakosa.

    Hivyo aliutaka upande wamashitaka kuwa makini wakatiwa kuwasilisha ushahidi wakosa la kula njama kwa kuwanjama siku zote ni jambo la sirina vigumu kulithibitisha.

    Akitoa ufafanuzi juu ya kosajingine la kuingia kwa nguvu kwakuzingatia ushahidi uliotolewa,Hakimu Nongwa alisema hakunamahali ambapo kunadhihirishwakwamba kuna nguvu iliyotumiwana watuhumiwa kuingia katikakiwanja hicho.

    Aidha alisema, mahakama

    inaona ushahidi wa upande wamashitaka hauko wazi dhidi yawaliokuwepo katika kiwanjahicho isipokuwa kwa mtuhumiwanamba moja ambaye ni SheikhPonda.

    Alisema, suala la kuingia kwanguvu ni lazima lithibitishwekwa nguvu iliyotumika.

    Hata hivyo kipengele hikikilimwangukia Sheikh Ponda,kuwa aliingia kwa nguvu katikakiwanja hicho, hasa ikizingatiwakuwa baadhi ya mashahidiwa upande wa mashi takawalishabainisha mahakamanihapo kwamba Sheikh Pondaaliwahi kufika eneo hilo nakuwataka kusitisha ujenzi wauzio wa eneo hilo.

    Katika kosa la wizi, Mahakamailiona kwamba ushahidi waupande wa mashitaka haukuwezakuwasilisha kielelezo chochotekinachoweza kuthibitisha wizihuo.

    Hakimu Nongwa alifafanuazaidi kwamba, hata huo Msikitiwa muda uliojengwa, hauonyeshikutumia vifaa vya thamani yamilioni 56 kama ulivyodaiupande wa mashitaka kuwa vifaavilivyoibwa ni vya thamani yakiasi hicho.

    Alisema, baadhi ya vifaavilivyotajwa katika ushahidi,vilishatumika kujengea sehemuya uzio wa kiwanja hicho.

    Pia a l i sema baadhi yamashahidi wa upande wa utetezinao walithibitisha kwambaMsikiti wa muda ulijengwakwa mabati na mbao, vifaawalivyoshuhudia vikiteremshwakatika eneo la Markaz.

    Aidha, usahidi wa Sheikhponda unathibi tisha hilo palealipotoa ushahidi wake kuwaMsikiti huo wa muda ulijengwa

    baada ya michango ya wauminiiliyofikia kiasi cha laki sita,

    ukiwemo mchango wa Bw.Suleiman Nassor Mohammed,mmoja wa wakurugenzi waAgritanza.

    Kuhusu kosa la kufanyaushawishi wa kutenda kosa,lililokuwa likiwakabili SheikhPonda na Ustadh Saleh Mukadam,mahakama iliona kuwa kadhalikakatika kosa hilo upande wamashitaka ulishindwa kubainishakatika ushahidi kutendwa kosahilo.

    Haikuelezwa ni kosa ganiwal i loshawishi Ponda naMukadam. Wala haikuthibishwani namna gani Ponda na Mukadamwalishawishi kutenda kosa nakosa lenyewe ni kosa gani.

    Hata hivyo Hakimu Victoria

    No ng wa , al is em a ni waz ikwamba kiwanja cha MarkazChangombe, ikiwa ni pamoja naeneo lenye kesi hiyo, ni kwa ajiliya Maendeleo ya Waislamu.

    Aidha alisema ni wazi kwambaeneo hilo lilikuwa kubwa, zaidiya ekari 27 lakini limekuwalikimegwa kinyume na utaratibukama walivyobainisha mashahidiwa upande wa mashitaka,ambao walisema waliohusika navitendo hivyo walishaondolewaBakwata.

    Aidha alisema kulingana naushahidi uliotolewa na pandezote mbili, ni wazi kuwaBakwata walibadilishana kiwanjakatika eneo hilo bila ridhaa ya

    Waislamu.Hata hivyo alisema mashitak

    yaliyowasilishwa mahakamani nya jinai na kwamba, Mahakamhaizungumzii tarataibu zBakwata kubadilishana ardhi n

    Agritanza.Hata hivyo alisema Sheik

    Ponda ana haki ya kutetea maza Waislamu, hivyo alishauangefungua kesi hiyo katikmahakama ya Ardhi.

    Baada ya kutoa maelezo yojuu ya kesi hiyo, Hakim Nongwalimtaka Sheikh Ponda kutoutetezi wake kabla ya kuhumkutolewa.

    Wakili wake, Bw. YahyNjama, alisimama na kutoa utetekwa mteja wake ambapo alielezkuwa Sheikh tayari ameshakarumande kwa muda mrefu, paliieleza mahakama kuwa SheikPonda hajawahi kutenda koslolote na ikizingatiwa kwamb

    yeye ni kiongozi anayetegemewna watu anaowaongoza.

    Baada ya hapo Hakim VictorNongwa alitoa hukumu ya keambapo watuhumiwa wote 4waliachiwa huru na SheikPonda kupewa kifungo cha njcha masharti ya kutotenda koskwa mujibu wa kifungu ch25 (g) cha sheria ya adhabu zmakosa ya jinai.

    Mara baada ya kutolehukumu hiyo, mara mojvivumo vya takbir vilisikika njya mahakama hiyo kutoka kwumati mkubwa wa Waislamwaliokuja kushuhudia hukumhiyo.

    Walifikishwa mahakamani wakaachiwaWanaodaiwa kuchochea hawakuguswaWaislamu Mbagala wanasota rumandeWengine wamesomewa kesi za ujambazi

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    4/12

    4AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20Makala

    April 30, 2013 Mtandao wakupashana habariPTV - Baada ya miaka 12 navifo vya watu milioni baadaye,Marekani na washirika wakewa NATO wameelezea wazinia yao ya kuondoa majeshikutoka Afghanistan mwakani.Vita ya Afghanistan imekuwa

    mkwamo mtupu, mkiwakijeshi na katika mahusianoya kiraia, wakati uharibifu wamaisha, mali na miundombinuikiwa kubwa sana.

    Muhimu zaidi, tofauti namadai ya awali, vita ya dunianikote dhidi ya ugaidi haijafanyadunia iwe mahali salama zaidi.Matukio ya ugaidi yamekuwayakiongezeka, yakizingiranchi moja baada ya nyinginezinazoizunguka Afghanistan.Ili tusisahau, takriban vitavyote vilivyotokea baadayevinavyopiganwa na Marekanina NATO vimeanzia katika vitailiyoingizwa Afghanistan baadaya 9/11.

    Sehemu kubwa ya siasa ya

    nje ya Marekani kuanzia 9/11imewekwa katika mtazamo kuwailishambuliwa na Waislamu sikuile. Mtazamo huu ulitumika, zaidiya kwingine, kuhalalisha vitanchini Afghanistan na Irak. Niwazi kuwa kila vita iliyopiganwana Marekani na washirika wakekatika muongo wa kwanza wakarne mpya imejikika katikadhana i l iyofuat ia 9/11 yakushambulia kujihami kwanza.

    Inakubalika kwa kiwangokikubwa sasa kuwa kutumia 9/11kama msingi wa kushambuliaIrak ilikuwa si halali; watekanyara ndege hakuna aliyekuwaraia wa Irak, hapakuwa nauhusiano wowote wa kikazi katiya Saddam Hussein na Osama

    bin Laden, na Irak haikuhusikana mashambulio ya vimeleavya anthrax (kimeta). Lakini

    ba do in aa mini ka kw a ki as ikikubwa kuwa shambulio laMarekani kwa Irak lilikuwasawa. Kwa zaidi ya muongommoja sasa, mashirika hodhiya habari duniani yamekuwayakichomekea riwaya hii yakutunga kama tukio lisilo naubishi. Inaelekea kuwa itikadihii itaingia katika ngazi za juuzaidi wakati warembeshajiwa wa n a s i a s a M a r e k a n iwakijaribu kuhalalisha mpangowa kujiondoa Afghanistan nakudhihirisha kuwa vita dhidiya ugaidi imekuwa ni mafanikiomakubwa yasiyo na mfano wakekatika historia ya binadamu.

    Jukwaa limeshaandaliwa kwampambano mkali wa kisaikolojian a v y o m b o v y a h a b a r iutakaofumuliwa katika hisia zawatu wasiojua linaloendelea.Kwa mfano, majuzi tu mwaka2011, gazeti la New York Timeslikizungumzia mashambulioya Marekani dhidi ya Irakkama vita ya kujiamulia, iliitamapambano ya Afghanistanvita ya lazima. Jarida la Timeliliviita vita sahihi. Na mwaka2009, Barack Obama aliripotiwakusema moja ya sababu zakumaliza ushiriki wetu nchiniIrak ni kuwa na askari naraslimali za kuwafuata watu

    Je, ni kweli Waislamu waliishambuliaMarekani mnamo Septemba 11?

    Na Ibn e Abdul Haq

    walioko Afghanistan ambaowalitushambulia mnamo 9/11.

    Mwaka j ana , baada yakushinda tena uchaguzi, BarackObama aliripotiwa kusema vitadhidi ya ugaidi imeshinda, nawahusika wakuu, ikiwa ni pamojana Osama bin Laden, kufikishambele ya sheria. Tutaendeleakupigana na Al Qaeda na kuungamkono harakati za uhuru nahaki za binadamu kote duniani,aliongeza, akitoa picha ya kileambacho Marekani na washirikawake wa NATO wamewekakibindoni kwa dunia kwa jumlana hasa Mashariki ya Kati,katika muda ujao.

    Mtazamo kuwa Marekaniilishambuliwa na Waislamumnamo 9/11 imekuwa msingiwa hisia iliyosambaa kotekuwa Uislamu ni dini ambayoimejichimbia katika umwagajidamu na hivyo Waislamu wotewana hatia hadi ithibitishwevinginevyo. Mtazamo huu kwahakika ulichangia juhudi zakumwonyesha Obama kamaMuislamu, ambazo zilipigwadongo na katuni i l iyoletazogo katika gamba la jarida la

    New Yorker la Julai 21. 2008.Pia kumekuwa na ongezekolililoripotiwa la matukio yakuuchukia Uislamu, kuanziamatamshi ya chuki dhidi ya

    jamii za Kiislamu hadi kuitukanaQurani na mtume wa Uislamu.

    K a m a a m b a v y oingedhihirishwa na maelezokuhusu kilichotokea baada ya9/11, ikiwa ni pamoja na ujasusi,utesaji, urudishaji nchi zenyesifa ya kutesa, majopo ya kijeshiya kusikiliza kesi, dhana mpyaya Marekani ya vita ya kujihami,na ongezeko lake kubwa lamatumizi ya kijeshi, mtazamokuwa minara pacha ya Kituocha Biashara cha Kimataifa naPentagon, makao makuu ya jeshila Marekani vilishambuliwana wateka nyara wa Kiislamuumekuwa na athari kubwa sanakatika masuala ya kimataifana ndani ya Marekani. Kwamwanga wa matukio yaliyofuatainakuwa lazima kukumbushiauhalisi wa tukio la 9/11, ambalolimekuwa kisingizio cha kampenikubwa inayoitwa vita dhidi yaugaidi.

    1. Mohamed Atta na watekanyara wengine wal ikuwaWaislamu wa kweli?

    Picha ya wateka nyarainayoonyeshwa na Ripoti yaTume kuhusu shambulio la 9/11ni kuwa walikuwa wauminiwa dhati wa Uislamu. Lakinimchoro huu unapingwa namaelezo kadhaa ya taarifa zamagazeti. Gazeti la San FransiscoChronicle lilisema kuwa Atta nawateka nyara wengine walifanyasafari angalau sita kwendaLas Vegas, ambako walishirikikatika mchanganyiko wa rahaambazo zinakatazwa katikaUislamu. Shughuli hizi zilikuwakinyume na Uislamu kwani,

    kama anavyoeleza Mkuu waMfuko wa Kiislamu wa Nevada,Waislamu wa kweli hawanywi

    po mb e, ha wa ch ez i ka ma rina hawaendi katika klabu zausiku za wanawake kuvua nguo

    jukwaani.2. Watawala wana ushahidi

    halisi wa kuhusika kwa Osamabin Laden kwa 9/11?

    Wiki mbili baada ya 9/11,Waziri wa Mambo ya Nje ColinPowell, akihojiwa na Tim Russertkatika kipindi cha Kutana naWanahabari, alisema anatarajiakatika muda mfupi ujao ....kutoa.... taarifa inayoonyeshakwa uwazi ushahidi tulio naounaomhusisha (bin Laden) nashambulio hili. Lakini katikamkutano na waandishi wa habari

    pamoja na Rai s Bush kes hoyake asubuhi, Powell aligeuzamaelezo yake, akisema lichaya kuwa serikali ina habarizinazohakikisha kabisa uhusikawa bin Laden, sehemu yakekubwa ni siri. Kwa mujibuwa Seymour Hersh, akinunuumaofisa wa CIA na Idara yaSheria, sababu halisi ya kugeuzausemi ilikuwa ni kutokuwepokwa ushahidi wenye nguvu.

    Inadaiwa mara kadhaakuwa uhusika wa bin Ladenunathibitishwa na mkanda wavideo unaosemekana ulikuwana maofisa wa kijasusi waMarekani nchini Afghanistanmwezi Novemba 2001, ambako

    bin Laden anaonekana kukirikuhus ika ka t ika kupangamashambulio hayo. Lakini

    wa k i n z a n i , wa k i o n y e s h am a t a t i z o m e n g i k u h u s ukukiri kwa mkanda wa videowamesema ni feki. Jenerali

    Hamid Gul, mkuu wa zamani washirika la ujasusi la majeshi ya

    Pakistan (ISI) alisema nadhanikuna mfananisho na Osama binLaden. Kusema kweli, mtuhuyo katika mkanda wa videohata si mfananisho halisi, kwanini mzito zaidi na maji ya kundezaidi ya bin Laden, ana pua panazaidi, amevaa vito vya thamani,na anaandikia mkono wa kulia.Shirika la upelelezi la FBI, hatahivyo, kwa hali yoyote haliuonimkanda huu wa video kuwaushahidi kwa nguvu wa uhusikawa bin Laden kwa 9/11.

    Hivyo, Ikulu ya Marekani,serikali ya Uingereza, FBIau Ripoti ya Tume ya 9/11hawajatoa ushahidi kamili kuwaOsama bin Laden alihusika na9/11.

    3. Kulikuwa na ushahidi wawateka nyara Waislamu kutokanana simu kwenye ndege?

    Wasomaji wengi wanadhanihapawezi kuwa na shaka kuwandege zote zilitekwa na wafuasiwa Al Qaeda, kwa sababukuwepo kwao na yaliyotokeakwenye denge ziliripotiwa katikasimu za abiria na wahudumu wandege, na simu za mkononizikiwa na nafasi muhimu.

    Simu iliyopata sifa sanailikuwa ni ya mchambuzi wahabari wa CNN, Barbara Olsonkwa mumewe, mwanasheriamkuu Ted Olson. Kwa mujibuwa CNN, aliripoti kuwa mkewealimwita mara mbili kwenyesimu ya mkononi kutoka ndegeya American Airlines safari ya77 akisema kuwa abiria wote nawahudumu wa ndege walikuwawamekusanywa nyuma ya ndegena ...wateka nyara wenye visu

    na visumeno vya kukata bolaini.

    Ingawa simu hizi zilitaarifiwkama zilivyojumuishwa nTed Oslon, hazikuwaelezwateka nyara kuwa walikuwwanachama wa Al Qaedmaelezo kuhusu watu hayalitolewa katika simu za safanyingine (za ndege zilizotekwzilizosema kuwa watekaji watu wanaoonekana kam

    ni wa Mashariki ya Kati nwana sura za Kiislamu. Kutoksimu hizo, kwa hiyo, wawalifahamishwa kuwa wateknyara walikuwa wanafanana nwatu wa Mashariki ya Kati nhata Waislamu.

    Hata hivyo kulikuwa ntatizo kubwa na simu hizilizoripotiwa. Ukizingatteknolojia iliyokuwepo mwak2001, miito ya simu kutokndege zikiwa angani zaidi ya fumia kadhaa, na hasa zinazodumzaidi ya sekunde chachzilikuwa bado haziwezekan

    Na ba do simu hizo , baadzikiwa zinasemekana zilidumkwa dakika moja au zaidzinasemekana zilipigwa wakandege zikiwa juu futi 30,00au futi 40,000 kutoka ardhinTatizo hili lilielezwa na wakadhaa wanaoaminika, akiwemmwanasayansi A.K. Dewdneambaye kwa miaka minaliandika safu katika jarida Scientific American.

    4. Kuwepo kwa watekakulithibitishwa na tangazo redio kutoka American 11?

    Inaweza kupingwa, kammajibu, kuwa hii siyo kwekwa sababu tunajua kuwa ndegya shirika la American Airwaysafari ya 11, kwa kuanziilitekwa, hasa kutokana nurushaji wa maelezo hewaambako sauti ya mmoja wwatekaji inasikika. Kwa mujibwa Ripoti ya Tume ya 9/1

    mwongozaji ndege ardhini wsafari hii alisikia tangazo la redambako mtu mmoja anawaamb

    Kwa kusherehekea kumbukumbu ya kutimiza miaka kumi na tatutangu kuanzishwa kwa Darasa la Hadithi za Bwana Mtume (s.a.w.katika msikiti wa Kipata. Wadhamini wa Darasa hilo wameandaashindano la kielimu katika somo la Hadithi. Mwanafunzi/msomyeyote nchini anakaribishwa kushiriki. Zawadi nzuri imetayariishwakwa mshindi, Inshallah.

    MAMBO MUHIMU YANAYO MUHUSU MSHIRIKI:1. Vitabu vya rejea ni; Nukhbah, Bulughul-Maraam na Sunan

    Abi Daawoud.2. Waraka wa maswali unapatikana Msikiti wa Kipata kwa

    Ustaadh Maneno; Naibu wa Imamu. Aidha dukani kwaIbnu Hazm (jirani ya Msikiti wa Mtoro) kwa Ustaadh Jamali.

    3. Waraka huo unatakikana kurejeshwa mapema kablaya tarehe 8, JUNI, 2013.

    4. Washindi wote watatangazwa siku ya Jumamosi ya tarehe29, JUNI, 2013 katika hafla maalumu itakayo fanyikakatika Msikiti wa Kipata, Inshallah.

    Wabillah Taufiq

    SHINDANO LA KIELIMU

    Inaendelea Uk. 11

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    5/12

    5AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20Makala

    KAULI za Maaskofu hasa waKanisa Katoliki kuwatulizawaumini wao ni za kupongezwana kuthaminiwa kwa dhatikabisa. Toka matukio yaleya Zanzibar ambapo PadriAmbrose Mkenda alijeruhiwakwa risasi na lile la kuuliwaPadiri Evaristi Mushi, viongozihao wa Kanisa Katoliki nchiniwamekuwa wakiwatulizawaumini wao, wakiwatakawasichukue hatua za kulipizakisasi bali wamwelekee Mungukuwaombea waliofanya uovuhuo. Kwa upande mwingine,

    w a m e k u w a w a k i v i t a k avyombo vya dola kufanyakazi zao ili kuhakikisha kuwawahusika wanakamatwa nakuchukuliwa hatua.

    Akizungumzia suala hiliAskofu Mkuu wa Jimbo Kuula Dar es Salaam, MwadhamaPolycap Kadina l i Pengoamesema kuwa tukio hili nalingine lolote lile, liwe kwa niambaya au nzuriisiwe sababuya kuanza mapambano na kuwachimbuko la ukosefu wa amanikatika nchi yetu.

    Akifafanua zaidi akatoatahadhari akiwataka wauminiwake na Watanzania kwaujumla, kuwa wasikimbilekujenga dhana kwani dhanahaitaleta amani, bali kupatikanakwa amani kutategemea sanaukweli na ukweli kabisa bilakujaribu kupotosha ukweli kwanamna yoyote.

    Tusipojua kusema ukweliulivyo hatutaweza kufaulu kuletaamani katika taifa letu. Kwa hiyo

    pamoja na kuendelea kuwaombawaumini wa Kikatoliki pamojana watu wenye mapenzimema kuendelea kumwombaMwenyezi Mungu arehemu taifaletu. Tuendeleze nia yetu njemaya kusema ukweli, haidhuruukweli huu unamgusa naniamani ya taifa letu ni jambola msingi na amani itajengwatu iwapo kila mtu anayehusikaatakuwa tayari kusema ukwelikama ulivyo. Alihitimisha

    Kadinali Pengo.Ni se me ku wa ms im am o

    huu wa kuwatuliza wananchi,umekuwa pia ndio msimamo waviongozi wa Serikali. Kwamba,watu wajizuiye kunyosheanavidole, bali waviache vyombovya dola kufanya kazi yao.Hii ni kauli stahiki kabisa.Matukio kama haya, hayahitajikuhemkwa wala kwenda kasikatika kupitisha maamuzi, balikufanya uchunguzi wa kinana wa uhakika kujua hasa ninikilitokea, nani alihusika na kwalengo gani.

    Nasaha hizi za Kadinali Pengokwa hakika ni za kuzingatiwasana, na hasa watu wanaotakiwa

    Bomu Kanisani Arusha:

    Mapadri wapongezwe

    Usalama wawe makiniNa Omar Msangi kuzichukua kwa uzito zaidi nivyombo vya usalama vyenyejukumu la kuchunguza jambohili. Wa pili ni vyombo vyahabari.

    Gazeti la NIPASHE (Mwangawa Jamii) la Jumatano Mei 8,likiripoti nasaha hizi za AskofuMkuu Kadinali Pengo, lilisemakuwa kiongozi huyo wa KanisaKatoliki amewataka Watanzaniakuacha kuwanyoshea kidoleWaislamu kuwa ndio wahusikakwa sababu katika watuhumiwawanaoshikiliwa wamo Wakristo.Watuhumiwa hao wanaoshikiliwani Victor Ambrose, Joseph naDavid.

    Hata hivyo, gazeti baada ya

    kueleza kwa ufupi juu ya kauliya Kadinali Pengo, likarejeataarifa ya kukamatwa Wasaudia.Likasema kwamba Uchunguziwa NIPASHE umebaini kuwawatuhumiwa hao (Waarabu)waliingia nchini kupitia Uwanjawa Ndege wa Kimataifa waKilimanjaro (KIA) Mei 4,mwaka huu, na baada ya tukio lamlipuko wa bomu hilo walianzasafari ya kutoroka nchini kupitiampaka wa Tanzania na Kenyawa Namanga.

    KUTOROKA. UkisemaAKITOROKA baada yamlipuko wa bomu, unachosemani kuwa anatoroka baada yakulipua bomu hilo. Anahusika!

    Mpaka sasa vyombo vya

    usalama havijasema lolote juu yauchunguzi wao wala watuhumiwawaliokamatwa hawajafikishwamahakamani na ushahidi wakuwahusisha na tukio hilo,ukawasilishwa. Sasa habari hizikwamba wanatoroka baadaya shambulio, lengo lake nini?Je, kwa mtindo huu, ukweliutajulikana kama alivyosemana kusisitiza Kadinalin Pengo?Kama tunaanza na kujiaminishaakili zetu kuwa wahusika ni akinafulani, je, uchunguzi ukionyeshavinginevyo, tutakuwa tayarikusema ukweli huo bila kujaliunamgusa nani?

    Muadhama Polycap Pengoanasema kuwa amani ya taifaletu ni jambo la msingi na amani

    itajengwa tu iwapo kila mtuanayehusika atakuwa tayarikusema ukweli kama ulivyo.

    Februari 22, 2006 Msikitiwa Kale uliopo Samarra, wenyehistoria takatifu, hasa kwaMadhehebu ya Shia kule Iraq (al-Askari Mosque-wenye kaburi laImam Ali al-Hadi, aliyefarikimwaka 868 AD, ulilipuliwa kwa

    bomu na sehemu ya Msikiti huoukaharibiwa kabisa. Muda mfupitu baada ya tukio hilo, viongozimbal imbal i wa Ki i s l amuduniani, Shia na Sunni, walitoakuli za kuwatuliza Waislamu,wasije kulipizana kisasi ikawavita baina ya Waislamu (Sunni)kwa Waislamu (Shia). Kwa

    upande mwingine, vyombombalimbali vya habari hasa vyaUlaya, vilitabiri kuwa tukio hiloilikuwa ndio mwanzo wa vita yawenyewe kwa wenyewe Iraq.

    K i o n g o z i n a U l a m a amashuhuri wa Shia Ali al-Husayn Al-Sistani katika jambolisilo la kawaida kwake, alitokeakatika Televisheni akiwatakawaumini na wafuasi wakekutulia. Naye Sheikh MuqtadaAl-Sadri, alikatiza ziara yakeLebanon na kurejea Iraq ambapoaliwataka wafuasi wake, nahasa kikosi chenye silaha chaWashia kuhakikisha kuwakinalinda Misikiti ya Wasuniisije ikashambuliwa na mtu

    yeyote (Washia wenye hasira).Kwa upande mwingine,

    Masheikh wa Kisuni baadaya kulani shambulio hilo,waliendesha kampeni kubwa yakutuliza hali ikiwa ni pamojana kufanya mazungumzo yamara kwa mara na Masheikhwa Kishia.

    Kwa hakika vi tabu vyahistoria vimeweka kumbukumbuhii wazi kabisa kwamba viongoziwa kidini wa Iraqi walifanikiwakuwaongoza wananchi wa Iraqwakafanikiwa kuzuiya kulipukakwa matendo ya kulipizanavisasi ambayo yangeleta vita yawenyewe kwa wenyewe.

    Lakini swali ni, je, baada yaMasheikh kufanikiwa kutuliza

    waumini wao na wananchikwa ujumla katika tukio hilo lakulipuliwa Msikiti wa al-Askari,Iraq ilitulia?

    Jibu ni kuwa haikutulia.Ingawa Masheikh walifanikiwakutuliza waumini wao katika tukiohilo, lakini masiku yaliyofuatiayalishuhudia umwagaji damuwa kutisha ambapo Misikitiilikuwa ikilipuliwa, wauminiwa pande zote mbili wakiuliwa,ikawa hasa ni umwagaji damu

    bain a ya Washia na Wasuni .Ingekuwa Tanzania ingekuwani ulipuaji Misikiti na Makanisahuku damu ikimwagika naroho zikiangamia kwa maelfu.Taarifa mbalimbali zinaonyeshakuwa watu waliouliwa katika

    mashambulizi haya yaliyoachaIraq ikiwa nchi iliyogawikamapande mawili, zinasema kuwawatu zaidi ya 3,000 walikuwawakiuliwa kila mwezi.

    D o c u m e n t a r y m o j ai l iyotolewa hivi karibuni ,imefichua jinsi wavamizi waIraq walivyochochea mgogoro

    bain a ya Washia na Wasuni ,baada ya kuona kuwa wananchiwameshika silaha wamekuja juukupinga uvamizi. Vilianzishwavikosi vya Washia vya kufanyamashambulizi na mauwaji dhidiya Wasuni. Vikosi na makundiya kihalifu yakapewa silaha,mafunzo na fedha. Matokeoyake ni janga kwa wananchi

    Polycap Kadinali Pengo

    wa Iraq.This is the story of James

    Steele, the veteran of AmericasDi rt y War in El Sa lv ad or.He was in charge of the U.S.advisers who trained notoriousSalvadoran paramilitary units to

    fight left-wing guerrillas. In thecourse of that civil war, 75,000

    people died and over 1 millionpeople became refugees.

    Steele was chosen by the

    Bush adminis trat ion to workwith General David Petraeusto organize these paramilitary

    po li ce co mma nd os . T hethousands of commandos thatSteele let loose came to be mostlymade up of Shia militias, like the

    Badr Brigades, hungry to takerevenge on the Sunni supportersof Saddam Hussein.

    Inasema taarifa moja ikitoaufafanuzi juu ya Documentaryhiyo inayoelezea hali ya Iraq.(Tazama:Documentary ExposesUS Role in Iraq SectarianConflict, Executive Producer

    Maggie OKane)Ninachotaka kusema hapa ni

    kuwa tukio la Arusha likiwa laWaislamu, Wakristo na wenye

    dini nyingine lakini wotewakiwa ni Watanzania, jepesisana kulimaliza kama watu waIraq walivyofanikiwa kutulizanakutokana na kulipuliwa msikitiwao mtakatifu. Hata hivyomaadhali palikuwa na watu wanje wenye agenda zao, na bahatimbaya walikuwa wameikalianchi hiyo, Iraq haikusalimika.

    Waliovamia Iraq na kufanyamauwaji ya kutisha walikuwana agenda zao kubwa ikiwakudhibiti rasilimali kuu ya nchihiyo, mafuta. Sisi hapa tunarasilimali nyingi yakiwemomadini na sasa gesi na mafutayanayoaminika kuwa yapo.Lakini pia ukirejea nyuma tokaSeptemba 11, 2001, kumekuwa

    na jitihada kubwa za kutangazana kuwaaminisha Watanzaniana walimwengu kuwa Tanzaniakuna ugaidi. Taarifa kama ile

    porojo na usanii wa mtoto washule ya msingi kufanikiwakupenya ngome ya ulinzi yaubalozi mmoja jijini Dar esSalaam akiwa na kigalonichake cha mafuta ya taa kwaajili ya kulipua ubalozi huo,zile taarifa za kuingia nchinigaidi wa Kijerumani lakini

    picha zinato lewa za kwe nyeinternet (sio mhusika kupigwa

    pi ch a akiwa ka ka matwa naPolisi), za akina Fazul kuwawamezingirwa Dar es Salaam

    pamoja na zile za kumpakaziaugaidi Profesa Jahazi hukuPolisi wakitawanywa kulindaMakanisa; ni ushahidi toshawa kuwepo kwa juhudi hizi zakutaka kuisajili Tanzania kuwani nchi yenye magaidi.

    L i l i l o l a k we l i k a m atutataka kusema kweli kamaalivyohimiza Kadinali Pengo,agenda hii si yetu maana sioniTanzania itakavyonufaika kwakujitangazia ugaidi yenyewe.

    Sasa tumeambiwa kuwaFBI wapo Arusha kusaidiakuchunguza tukio hili, wasiwasini kuwa isije ikawa tukio hilini kat ika mkakati ule ulewa kukamilisha mpango wakuitangazia ugaidi Tanzania.

    Na hapa ndipo tunapotarajiakuwa vyombo vyetu vya usalama

    vifanye kazi yao kwa umakimkubwa na viseme kweli bikujali nani anahusika.

    Katika ki tabu A Plato Divide and Destroy thTheology cha Dr. MichaBrant anaelezwa jinsi mabebewalivyopatana kuweka mrak a b a m b e w a k u w a g a wWaislamu na kupandikiza chumiongoni mwao (Sunni na Shikatika zile nchi zenye Waislamwengi kama Pakistan.

    B a a d a y a k i k a o c hmakachero wa nchi za kibebekilichofanyika mwaka 198Uingereza ikiwa kinara kw

    sababu ina uozefu kwa sababi l i t awala nchi nyingi zKiislamu, Dr. Brant anasemkuwa ulianzishwa mradi wkuwashughulikia Waislamkat ika nchi za Ki i s l amuliotengewa kiasi cha Domilioni 4 kila mwaka.

    Inaelezwa kuwa lengo kuhakikisha kuwa Waislamhawawi kipingamizi maha

    po po te am ba po ma be be rwata taka kuingia kuvunrasilimali na masilahi yakmengine.

    It was calculated that b2010 the situation betweeShias and Sunnis would be sbad that USA would be able capitalize upon it to its maximu

    benefit. Also, with its stoogin already in place at the totheocratic positions in Sun

    factions and the new breed Shia scholars reaching the to

    positions (nurtured by the CIfrom the start), US wouldnt hato sacrifice a lot.

    Huo ni muhutasar i wyaliyotarajiwa kuwa manufwa t a k a y o p a t a m a b e b e rkutokana na mradi huo. Hapanshaka hali tunayoiona na kuisikPakistan, Iraq na kwinginekni matokeo ya mkakati huuliowekwa mwaka 1983.

    La kuzingatia hapa ni kuwkama kutakuwa na watu wa nambao wanadhani watanufaikkwa namna yoyote iwap

    Watanzania watachukiana nkupambana wenyewe kwwenyewe, hawataingia kwgia ya Wasuni na Washwala Wasukuma na WachagUchochoro mwepesi ni wWaislamu Vs Wakristo.

    Kwa hiyo, tunapochungusuala hili, ni lazima tuzame kwmapana na marefu. Kama mtu kawehuka tu tujue, lakitujue kwa uhakika. Kama ni mmwenye masilahi ya kisiasa aaliyetumiwa na watu wenginwa ndani kwa masilahi Fulantujue na tujue pia kwa uhakikLakini pia kama kuna uhusianna watu wa nje tujue na tujukwa uhakika pia.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    6/12

    6AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20MAKALA

    Mh. Pinda, Namangawalipita Waarabu tu?

    Siku hiyo hawakusafiri Wazungu?

    Au ndiyo yale ya Dowans Vs Symbion!

    NI lazima wawe Waarabu.I s i n g e k u w a j a m b o l akueleweka iwapo watuwa nje wa l iokamatwawakituhumiwa kuhusika nashambulio la bomu KanisaniArusha, ingesemwa kuwa niWajerumani, Wataliano auWamarekani!

    Akitoa taarifa fupi ya awaliBungeni Jumanne wiki hii,Waziri Mkuu MheshimiwaMizengo Pinda alisema kuwaWaarabu wanaoshikiliwawal ikamatwa tu ka t ikautaratibu wa kawaida wa kutakakujiridhisha kuwa hawahusikikwa namna yoyote.

    Akifafanua akasema kuwaWaarabu hao walikuwawakisafiri kwenda Nairobikwa njia ya barabara, lakinikwa vile mipaka ilikuwaimefungwa, haikuwa rahisikwao kupita. Walikamatwa iliwahojiwe.

    Labda swali hapa lawezakuwa, kama mipaka ilikuwaimefungwa ili kuwachunguzawatu wote wanaopita, Jumapili

    siku ya tukio hilo hawakuwahikupita Wazungu? Kwa niniwakamatwe Waarabu pekeyao?

    Kabla ya kutokea vuruguwilayani Geita zilizosababishakuuliwa kiongozi mmoja wakidini, palifanyika mhadharamkubwa wa Kikristo ambapoWakristo walihamasishwa juuya suala la kuchinja. Mhadharaule ndio uliozua balaa kwasababu Wakristo walipotoka

    pale walikwenda kutekelezawaliyoambiwa jambo lililoletavurugu.

    Iliwahi kuarifiwa katikabaadhi ya vyombo vya habarikuwa katika mhadhara ule

    palikuwa na Wazungu, watu

    kutoka nje. Serikali mpaka leohaikuwahi kusema lolote juuya uwezekano wa Wazunguwale kuhusika kuwachocheaWakristo wa Geita. Swali ni je,mhadhara ule ungekuwa ni waWaislamu na wangekuwepoWaarabu, hali ingekuwaje?Je, Serikali ingekuwa kimyampaka leo? Isingesema lolotekuhusiana na wageni wale?

    Mwezi Februari mwakahuu 2013 kundi kubwa laWazungu lilikuwa limesambaakatika Wilaya ya Same.Wakiwa katika v ikundividogo vidogo walikuwa naKamera za Video wakipiga

    picha maeneo mbal imbalikuanz ia ku le K iwan ja ,Stesheni, Kavambughu,Majevu, Mwembe, Samemjini na maeneo mengine.Japo wananchi walikuwawakijiuliza, Wazungu walewalikuwa na lengo gani, hasawalivyokuwa wakichukuatahadhari wakigundua kuwakuna mtu anawafuatilia,lakini hapakuwa na namnayoyote ilionekana Serikaliikishughulishwa na Wazunguhao. Inawezekana walikuwawashajieleza kwa mamlakahusika na serikali ilishajuanini wanafanya na iliridhika.Hatujui.

    Lakini ni mara nyingitumeona Mashe ikh wa

    Na Omar Msangi

    Kiislamu kutoka nchi za njewakibughudhiwa na mamlakaza nch i japo wal i ing ianchini kihalali, wana viza nawameandamana na wenyejiwanaotambulika. Zahamahii imewakuta sana watu wa

    Tabligh kutoka nchi za Kiarabuna Asia.

    Taarifa hii ya Waziri MkuuMheshimiwa Mizengo Pinda

    japo yeye mwenyewe alisisitizawakati akitoa taarifa hiyokwamba watu waache chukiza kidini, lakini taarifa yakemwenyewe ina harufu fulaniinayoashiria mtizamo hasi waSerikali juu ya Waarabu. Nandiyo tunayoyaona kwa baadhiya Wakuu wa Mikoa/Wilaya naMakamanda wa Polisi.

    Yupo Polisi mmoja mwaka2008 aliwahi kumtia nguvunina kumtimua mtu mmojaaliyekuwa katika mkutano wahadhara uliokuwa ukihutubiwana Makamu wa Rais kwa

    sababu mtu huyo alikuwaamevaa kanzu, kofia na kanzu.Ilielezwa kuwa Polisi huyoalimtuhumu mtu huyo kuwani gaidi. Lililo wazi kabisani kuwa hii sio akili yetu. Hiikukimbilia kukamata Waarabuna kuwatilia shaka wananchiwenzetu waliovaa kanzu nakofia, sio akili yetu kabisa. Niakili ya kupewa.

    Kanzu na kofia hizi ndiozilizokuwa zimejazana katikamikutano ya TANU wakati wakupigania uhuru. Imekuwajeleo kanzu hizi zimekuwa alamaya ugaidi? Kanzu na kofia hizindio zilizompokea Mwalimu

    Nyerere jijini Dar es Salaam na

    Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda

    kumkaribisha katika harakati zakupigania uhuru. Akashonewasuruali, akapewa nyumba,gari na mshahara. Vipi leoPolisi anamtimua mwananchialiyevaa kanzu katika mkutanowa kisiasa kwa kumdhania

    kuwa ni gaidi? Kwa hakika hiisio akili yetu kabisa.

    Wakati rais Ronald Reagananaingia madarakani aliwekampango kabambe kuhakikishakuwa siasa za ukombozi katikaAmerika ya Kati na Kusini,hazifanikiwi kwa sababuzilionekana kuwa hatari kwamasilahi ya Marekani. Siasahizo za ukombozi zilikuwazikilenga kungoa tawala zakidikiteta zilizokuwa vibarakawa Marekani walioachiarasilimali za nchi hizo zikiporwahuku wananchi wakibakimasikini. Harakati hizo kwawakati ule zilichukua itikadiza ki-Maxisti (Ukomunisti)kama ilivyokuwa Cuba. Kama

    alivyosema Mhariri wa jaridala Boston Globe, RandolphRyan, Serikali ya Marekaniiliona kuwa harakati na moyowa ukombozi, ulikuwa kamakirusi , virus, ambachoni lazima kipigwe stopkisisambae. Kwa sababu hiyoikapangwa mikakati ya kijeshikuhakikisha kuwa vikundivya ukombozi na wanasiasawenye mawazo ya kizalendowanashughulikiwa. GeneraliMaxwell Taylor (Chairmanof the Joint Chiefs of Staff),akieleza lengo la kuhakikishakuwa wazalendo wanaopingau b e b e r u w a M a r e k a n iwanashughulikiwa, alisema

    kuwa:the purpose of U.S. low

    intensity warfare was tosustain United States controlover much of the worldsresources against the effortsof the have-nots who areattempting to overturn theestablished political andeconomic order.

    (Tazama The LegitimateClaims of National Security

    Foreign Affairs , April 1974-Taylor warns that As theleading have power, we mayexpect to have to fight to protectour national valuables againstenvious have nots.)

    Akimaanisha kuwa ilikuwalazima Marekani kuingiavitani kwa gharama yoyotekuhakikisha kuwa inalindafursa yake ya kupora malikatika nchi mbalimbaliduniani. Hata hivyo, ili kupatakuungwa mkono na wananchiwake, Marekani ilihitajikupiga propaganda kuwatishawananchi kuwa Makomunistini maadui wakubwa na kwambawasipovamiwa na kupigwahuko huko kwao, wangewezakuvamia Marekani na kufanyavitendo vya kigaidi.

    I think the most criticalspecial operat ions mis sionwe have today is to persuadethe American public that the

    Communists are out to get us.The task is mind-boggling.

    If we win the war of ideas,we will win everything else.(Tazama:Special operationsin US strategy National

    Defense University, NationalStrategy Information Center,1984)

    A l i s e m a m m o j a w aMakamanda wa Kijeshi(Deputy Assistant Secretaryof the Air Force), J. MichaelKelly akionyesha kuwakwanza ilikuwa ikihitajika

    propaganda kubwa kuwafanyawananchi wa Marekani (nakisha walimwengu) waonekuwa Marekani ina haki yakuingia Amerika ya Kusini

    kijeshi. Ukisikia OperationNorthwoods au Operat ionMongoose, ni katika mbinuc h a f u z i l i z o a n d a l i w akupiga propaganga mpakaWamarekani wakaaminishwakuwa Wakomunsiti ni magaidihatari kwa Marekani.

    Baada ya ukomunist ikuanguka, limetafutwa jinamizi

    jingine , lak ini lengo lik iwalile lile: to sustain UnitedStates control over much ofthe worlds resources againstthe efforts of the have-notswho are attempting to overturnthe established political andeconomic order.

    M u a r a b u / M u i s l a m u

    akachaguliwa kuwa ndiygaidi wa leo. Propagandimepigwa ikakolea kwa mtindule ule wa ki-Operatio

    Nort hwoods , walimwengw a n a a m i n i s h w a k u wukimuona Muarabu maha

    popote ni gaidi. Ndio maankatika tukio hili haikushangazkuwa watu wa nje waliokamatwni Waarabu.

    N a n i k w a s a b a bya p ropaganda h iz i z

    kumezeshwa na mabebertulipiga sana kelele kukatamitambo ya Dowans tukisemkuwa ni mibovu, tukahiyakukaa kizani. Lakini walipokuW a z u n g u w a S y m b i o nwamechukua mitambo ile iya Dowans na kuisifia kuwa mizuri. Sasa wanatuuzia umemKimyaa, hakuna mbunge wamwandishi anayesema kitu.

    Kwa chuki za kulishwtumekataa kununua mitambya Dowans kutoka mkonomwa Muarabu Brigedia JeneraMstaafu Mohammed YahyAl Adawi ambapo tungekuwtunazalisha umeme wenyewna kudhibiti bei ya umemTukapiga kelele kuwa mitambo chakavu. Tukaizimtukakaa kizani. Kinyume chak

    al ipoinunua Mzungu PaHinks, sisi hao hao tukaisifkuwa ni mitambo safi naliyekuwa Katibu Mkuu wWizara ya Nishati na MadinDavid Jairo, akatangaza kuwSerikali itawapa kila msaadakina Paul na kampuni yaya Symbion kuhakikisha kuwwanaza l i sha umeme kwkutumia mitambo ya Dowanna kutuuzia. Na hawa kwa vini watu wa nje, tena kutokkule anakotokea Economic H

    Man, John Perkins, wakitakkutuhujumu wanaweza kutishkuizima kama shinikizo kuwatekelezea jambo fulanLakini pili, watapandish

    bei watakavyo wakis ingizgharama za uzalishaji n

    hatutakuwa na la kusema. Hndiyo gaharama ya kufanymambo kwa kutumia akiiliyoathiriwa na propaganda zmabebebru.

    Hoja hapa sio kuhoji kwnini vyombo vya usalamvimewatuhumu Waarabau v is ikamate Muarabanapohisiwa kuwa muhalifLakini mtizamo unaoonekanku jengeka nch in i , kwwananchi na kwa viongozni ule unaowaona WaarabWaislamu kuwa ni wahalikwa hiyo wanachotakiwkufanya n i kuth ib it ishkuwa wao sio magaidi. Kwupande mwingine, Mzunganaonekana mtu mwemmstaarabu na anayewatak

    mema Watanzania. Na hinawezekana kuwa ndio sababhata wanapotujia na mikatabya kutupunja katika uchimbamadini hatuhoji. Tunakubatu.

    Tukiwa na mtizamo hasi juya Waarabu, hata pale watakap

    patikana wawekezaji makikatika miradi mbalimbaambayo ina manufaa makubwkwa wananchi, tutaikwamishAu hata tukipata misaada isiyna riba kama ile ya Benkya Kiislamu (IDB) na OICtutaikataa na kukimbilk u j i t i a k a t i k a k i t a n zwanachotusokotea EconomHit Men.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    7/12

    7AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20Makala

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    8/12

    8AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20Makala

    NCHI yetu inapita katikakipindi tete na lau hatutakuwamakini, tutatumbukia katika

    janga ambalo huenda tukaonatu mlango wa kuingilia, lakiniitakuwa tabu kuona wakutokea hata kama tutatakakutoka.

    Lakini kabla ya kwenda mbele

    niungane kwanza na Watanzaniawote kulani tukio lililotokeaArusha ambapo inatuhumiwakuwa mtu mmoja alirusha

    bomu kanisani lililoua mpakasasa watu watatu na wenginewengi kujeruhiwa. Shambuliohilo lilifanyika katika KanisaKatoliki la Mtakatifu JosephMfanyakazi, Parokia ya Olasiti,

    jijini Arusha.Taarifa za awali ambazo

    z i s h a t o l e wa n a Se r i k a l izinafahamisha kuwa kijanammoja anayejulikana kwa jinala Victor Ambrose anashikiliwana Polisi akituhumiwa kurusha

    bomu hilo. Vijana wengine waKitanzania waliotajwa (kwa jinamoja tu) kukamatwa ni Josephna David. Aidha wanashikiliwa

    pia raia wanne kutoka nchi zaKiarabu.

    Tunaambiwa kuwa watu haowa Kiarabu waliingia nchiniJumamosi usiku kwa ndegekupitia Uwanja wa Ndege waKimataifa wa Kilimanjaro(KIA), na kwamba walitakakuondoka Jumapili kwa garikuelekea Kenya kwa njia ya

    ba raba ra ku pi ti a Na mang a.Hadi sasa taarifa ya Polisihai jafafanua ni kwa niniWaarabu hao wamekamatwakwa maana kuwa ni sababugani zilizopelekea watuhumiwekuhusika na tukio hilo. Hatahivyo taarifa ya Mkuu wa Mkoawa Arusha, Magesa Mulugoinasema kuwa, Victor Ambrosendiye aliyewataja watuhumiwahao Waarabu na kuelekezawalipo.

    Mulugo alisema raia hao wa

    Saudi Arabia waliingia nchinikupitia kiwanja cha Kimataifacha Kilimanjaro (KIA) Mei 4,na Mei 6, walikuwa wakitorokanchini kupit ia mpaka wa

    Namang a wakiele kea nch iniKenya. Liliripoti gazeti laTanzania Daima la Jumanne,Mei 7, 2013.

    Pengine swali la kuuliza hapani je, Waarabu hao walikuwaWAKITOROKA au wakiendaKenya (Nairobi) kwa njia ya

    barabara? Na kama Vic torAmbrose ndiye aliyewataja,huyu Victor ni nani na niniuhusiano wake na Waarabuhao?

    Awali gazeti la Mwananchilikiripoti habari hizi, likimnukuumsemaji wa wa Kanisa Katoliki,Jimbo Kuu la Arusha, PadriFestus Mangwangi, lilisemakuwa mtu aliyerusha bomuhilo alikuwa amevaa Kanzu.Hiyo ilikuwa Jumatatu, Mei6, 2013. Katika kuripoti taarifaya Serikali juu ya watuhumiwalikasema, Wasaudia wannembaroni, FBI watua.

    Likimnukuu Mkuu waMkoa wa Arusha Mwananchilikasema kuwa Waarabu haowaliingia nchini Jumamosina s iku i l iyofua ta ndipokukatokea ulipuaji huo. Nakwamba lengo la shambulizihilo lilikuwa kumdhuru AskofuPadilla. Lilisema Mwananchina kumnukuu Mkuu huyowa Mkoa aki sema kuwaVictor Calisti Ambrose ndiealiyesaidia kuwapata watu haowa Saudi Arabia.

    Tuambiwe ukweli nani kalipua bomuWapo wapi Uamsho waliotua Dar kuchoma MakanisaWabunge wasicharuke tu, wahoji mambo ya msingiKasema kweli Samia Suluhu, tuwe na yakini kwanza

    Na Omar Msangi

    Wakati Mkuu wa Mkoa waArusha Bwana Mulugo anatoataarifa hii, vyombo vya usalamavilikuwa havijafanya uchunguzina kutoa taarifa. Yeye alijuajekuwa mrusha bomu alikuwana lengo la kumdhuru Baloziwa Papa, Askofu FranciscoPadilla.

    Taarifa hii ya Mkuu wa MkoaBwana Magesa Mulugo, nitofauti kabisa na alichosemaMheshimiwa Waziri Mkuu,Mheshimiwa Mizengo Pindaambaye alisema kuwa wageni haowenye asili ya Kiarabu walikuwawakienda Nairobi kwa njiaya barabara na hawakuwezakupita kwa urahisi kwa sababu

    barabara zilikuwa zishafungwakwa hiyo walikamatwa kwania ya kutaka kujiridhishana kwamba wanaendeleakuhojiwa (ila hadi sasa hakunaMzungu aliyekamatwa katikaWazungu ambao wanavuka kilauchao kwenda Kenya kupitia

    Namanga).Kufuatia tukio hilo, Waziri wa

    Mambo ya Ndani, MheshimiwaDr. Emannuel Nchimbi amesemakuwa, Serikali itachukua hatuakali kwa wote watakaobainikakuhusika na tukio hilo. Lakiniakawaonya pia baadhi yawanasiasa na viongozi ambaoamesema kuwa wanatumianafasi zao kufanya uchocheziwa kidini.

    Serikali isilaumiwe kwa hatuakali za kisheria itakayochukuadhidi ya viongozi wa aina hiiambao masilahi yao ni muhimukuliko maisha ya Watanzania.Amesema Mheshimiwa Dkt.

    Nchimbi.A m e s e m a k w e l i D k t .Nc hi mb i kw am ba Se ri ka lihaina budi kuwachukuliahatua kali wanasiasa au mtuyeyote anayechochea chukiza kidini nchini. Hata hivyo,tunachotakiwa kuzingati nikama alivyosema MheshimiwaWaziri Samia Suluhu, ni lazimahatua hizo zitanguliwe nauchunguzi wa kina na kwelikatika kubaini ukweli. Ni lazimatuwe na yakini, nini kimetokea,nani anahusika na kwa lengogani. Tahadhari na angalizohili la Mheshimiwa Suluhu nila muhimu sana maana kamahatutakuwa makini, tunawezakuchukua hatua ambazo badalaya kuleta ufumbuzi tutajikutatukilitumbukiza Taifa katikamaafa zaidi.

    Katika nchi ambazo zimepitiakatika historia chungu ya vitaya wenyewe kwa wenyeweiliyoleta maafa makubwa ikiwani pamoja na mauwaji ya watuwasiopungua 75, 000, ni pamojana El Salvador.

    Katika jumla ya mauwajiyaliyotikisa nchi hiyo, kuchocheamgogoro, vita na mauwaji zaidi,ni mauwaji ya wanakijiji 200

    pa le El Mo zote we ng i wa owakiwa wanawake na watotomwaka 1980. Mauwaji mengineni yale ya askofu Mkuu OscarArnulfo Romero pamoja naWachungaji 6 wa ki-Jesuit nawatumishi wao.

    Katika matukio yote hayailipigwa propaganda kuwawahusika ni wapinzani wa

    Serikali ambapo katika baadhiya matukio zilikuwa zikiachwaalama na vidhibiti ambavyo kwanamna yoyote vitaonyesha kuwawahusika ni waasi wa kundila Farabundo Mart NationalLiberation Front (FMLN).

    Hata h ivyo uchunguziuliokuja kufanywa kiasi miaka31 baadae ulikuja kubaini kuwawaliohusika na mauwaji hayowalikuwa maofisa wa Jeshi laSerikali na kwamba walitumiwana mataifa ya nje ambaowalikuwa wakitaka kuzima sautiza wananchi wazalendo ambaowalikuwa wakipinga ubeberuwa mataifa hayo. Mataifa hayoya kibeberu yanatajwa piakwamba pamoja na kuwatumiawanajeshi wa Serikali kuzimaharakati za wananchi wazalendo,wal ikuwa pia waki tumiavikundi vya kigaidi (armedrebels) kuuwa viongozi wa dinina wa Serikali.

    Kwa upande mwinginetaarifa hiyo inataja pia jinsiMahakama Kuu (SupremeC o u r t ) y a E l S a l v a d o r i l ivyotumiwa kuhakikishakuwa watuhumniwa wakuu,ambao walikuwa makamandawa jeshi, waliokimbilia nchiza n je , hawakamatwi nakurejeshwa nchini El Salvadorkushitakiwa.

    Learn from History, 31stAnniversary of the Assassinationof Archbishop Oscar Romero, nitaarifa iliyochapishwa kutokanana yal iyonukuliwa kutokaNational Security ArchiveElectronic Briefing Book

    No. 339 . Taarifa hiyo kama

    ilivyoandikwa na kuwekwakatika mtandao na Kate Doylena Emily Willard (March 23,2011), inafafanua jinsi maofisakadhaa wa kijeshi (Captains)Alvaro Rafael Saravia, EduardoAvila, na Fernando (El Negro)Sagrera, walivyohusika katikak u m u u wa As k o f u M k u uRomero.

    H o w W e K i l l e d t h eArchbishop, ni taarifa ndefui l i y o n u k u l i w a i k i n u k u umahojiano ya Alvaro Saraviaakie lezea wal ivyohus ikakumuuwa Askofu Mkuu huyo.Mauwaji ambayo ni kamayalitia Petroli katika mgogorowa El Salvador. Watu wakazidikuuwana. Lakini muhimukufahamu hapa n i kuwawaliohusika kumuuwa AskofuMkuu Romero ni maofisakatika jeshi na walitumiwa namabeberu waliotaka kulindamasilahi yao katika Amerika yaKusini.

    K a m a a l i v y o s e m aMheshimiwa Mnyaa (MB),katika suala hili tusiangalie tuWaislamu na Wakristo, kwamaana kuwa tusitizame ndanitu. Akasema kuwa tutizameisije ikawa kuna chokochoko zakutoka nje.

    Tukumbuke kuwa kuna Balozimmoja aliwahi kusimama katika

    jukwaa la kidini na kuwatakaWakristo wawe macho naWaislamu. Kwa maana nyinginealikuwa akiwaambia Wakristowa Tanzania wawatizameWaislamu kama maadui zao.

    Yupo Bwana mmoja karejea

    hivi majuzi kutoka safari yakeya kikazi Kilwa. Nilipokuwanazungumza naye Jumatatu wikihii akasema kuwa alikutana namama mmoja akiwa anahadithia

    jins i wa livyot ahad ha ri shwana Padiri wao Kanisani kuwa(eti) wawe macho maana walewatu wanaochoma Makanisawameingia Kilwa. Hapa lazimatujiulize, hizi taarifa kuwakuna kikosi cha Waislamuwa l i o d h a m i r i a k u c h o m amakanisa zimetoka wapi?Je, nini lengo la viongozi wamakanisa kusambaza habarihizi? Je, vyombo vya usalamavina taarifa hizi na hatua ganizimechukuliwa?

    Ukiacha taarifa za mama huyuwa Kilwa, lakini upo warakamaalum wa Makanisa ambapoilidaiwa kuwa kuna kikosi chaWaislamu kimeingia Mbeyakwa ajili ya kuchoma makanisa.Akitoa taarifa hiyo kwa vyombovya habari Desemba mwaka

    jana, Katibu Mkuu wa Barazala Makanisa ya KipentekosteTanzania (PCT), Askofu DavidMwasota aliwataka Wakristokuj i t ayar i sha kupambanana Waislamu aliodai kuwawameunda vikosi vya kuchomamakanisa. Akawataka kujihamikwa visu, mikuki na mishale.

    Likielekea mitamboni ,bado uchomaji moto makanisajijin i Dar es Salaam ulikuwaukiendelea ambapo Kanisala Kipentekoste la FarajaInternational Yombo Dovyalilikuwa likiteketea huku jinginela KKKT Yombo Dovya nalolikinusurika kuteketezwa na

    watu wanaojiita wanaharakatiwa Kiislamu. Mlinzi wa Kanisahilo aliripotiwa kujeruhiwa.

    Hivi ndivyo lilivyoripotig a z e t i l a M s e m a Kwe l ilikisherehesha taarifa ya KatibuMkuu wa PCT, Askofu DavidMwasota.

    Lililo la uhakika ni kuwavyombo vya usalama vina habarina barua hiyo ya wachungaji.Swali ni je, madai hayo kuwakuna kikosi cha Waislamuwachoma makanisa kilichoingiaMbeya zilikuwa za kweli?Kama jibu ni ndio, serikaliilichukua hatua gani dhidi yawatu hao? Mbona mpaka sasahatujasikia kuwa kuna watuwalikamatwa wakienda Mbeyakuchoma makanisa? Kamataarifa hazikuwa sahihi, serikali

    ilichukua hatua gani dhidi yawanaosambaza uzushi na taarifahizo za kichochezi?

    Makanisa ya l iyodaiwakuchomwa Yombo, ulikuwa niuzushi mtupu. Hakukuwa naKanisa lililochomwa moto. Swalini je, hatua gani zilichukuliwakwa waliosambaza habari hizoza uwongo? Je, hatudhanikuwa kwa kutokukemea taarifakama hizo na kuwachukuliahatua wahusika, tunasababishaziaminike na hivyo kuwafanyaWakristo kuwachukia Waislamu?Inaonyesha kuwa kuna watuwamekamia kuona kuwaWaislamu wanasajiliwa kamawahalifu wachoma makanisana Serikali inakuwa upande waokwa huruma. Je, katika mazingirahaya, watu hawa wakipata fursa

    kama ile iliyojitokeza katika fujza Mbagala watashindwa kutmoto kanisa ili wasingiziwWaislamu? Kwa bahati nzu

    pe ng in e kw a we ny e mr adhuu, na kwa upande mwinginkwa bahati mbaya kwa taina nchi, badala ya Serikakukomesha habari hizi za uzusza kuwasingizia Waislamuviongozi takribani wote nwanasiasa, nao wamejiunga nakina Askofu David Mwaso

    wakiimba wimbo huu kuwmakanisa yanachomwa!Serikal i inasema kuw

    imeanza kuwachukulia hatuwatu wanaosambaza taariza chuki na za kuwagawWatanzania kwa misingi ykidini. Ni kweli wapo vijanna Sheikh aliyekamatwa Tangkwa kudaiwa kuwa anasambazkanda za chuki akawekwa ndana kunyimwa dhamana. Je, hatua gani zilizochukuliwa juya hawa wanaosambaza habaza urongo kuwa Waislamwamechoma makanisa Yombo nwakawataka Wakristo wajihamkwa visu, mapanga, mishana mikuki? Au kuwataka wawashike mapanga, visu, mikuna mishale dhidi ya Waislamu, suchochezi? Kama ni uchochez

    je, unakoma kuwa uchoc he

    unapokuwa umetamkwa nAskofu?

    Siku ya Ijumaa Oktoba 12013, gazeti moja liliibuka nkichwa cha habari katika ukuraswake wa mbele kikisemUamsho watua Dar kumuungmkono Ponda.

    Kisha katika vichwa vidogvya habari likasema: Wawaskinyemela kwa boti za kukodWapania kuongeza nguvkuchoma makanisa. Poliwasema wanatikisa kiberitwatawakabili.

    Katika ufunguzi wa habahiyo gazeti likasema kuwWafuasi 150 wa taasisi yUamsho wamekodi boti tatkutoka Zanzibar kuelekea Des Salaam na zimepangiw(kufikia) Bagamoyo na Mbwe

    kwa siku tofauti.Kisha gazeti hilo likasemkuwa watu hao wamepewmaelekezo na viongozi wa(majina tunayahifadhai) ykuhakikisha wanaendelezfalsafa za kuteketeza makanina majumba ya Wakristo hukTanzania Bara bila kuachvielelezo wala ushahidi.

    Likiendelea gazeti hilo la kiwiki likasema kuwa, ufuatiliawa nyendo za kundi hili umebaikwamba baadhi yao wametuDar siku ya Alhamisi kwa jahamaalum (jina tunalihifadhhuko Mbweni na kukoddaladala ili waanze shughuwaliyotumwa.

    Likinukuu chanzo chakcha habari liliyemuita msiwao ambaye ni katika hawa l i o a n d a l i wa k u c h o mmakanisa likasema:

    T u m e f i k a w a t u 4wakiwemo wanawake 1waliopewa mafunzo maaluya judo, karate, miereka nkujichanganya mitaani bikutiliwa shaka, na kituo chkwanza tutatia kambi eneo Tandika Yombo.

    Katika kumalizia habari yakgazeti hilo likasema: Habatulizozipata jana wakati gazehili linaenda mitamboni zimedkuwa baadhi ya watu wenysampuli ya wafuasi wa Uamshwanaonekana huko Tandikwakivinjari karibu na makanina vilabu vya kuuzia pombe.

    Likaongeza kuwa Jeshla Polisi limewatoa wasiwa

    Inaendelea Uk.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    9/12

    9AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20TANGAZO

    Na Khalid S Mtwangi

    IMEKUWA inafahamika kwamuda mrefu sana kuwa ileelimu inayotolewa katikamadrasa za Kiislamu sifakubwa ni ile ya kuwafundishawanafunzi umuhimu wa kuwana heshima na adabu kwa kilamtu. Waliopata elimu yaohuko wana sifa hiyo sana kilawanapokuwepo. Lakini pia nikhulka hiyo ndiyo imetumiwana maadui wa Uis lamu

    kuwakandamiza Waislamukwa sababu ya kuwaheshimuwakubwa kazini na katikamaisha ya kawaida.

    Tukumbukle ule msemounaofahamika miongoni mwaWaislamu kuwa HEWALLAHSI UTUMWA. Kweli hivi sasamambo yamebadilika kidogokuhusu msemo huo na hapondipo pameanza matatizo nakuleta yale yasio na maanayeyote ya kuitwa ati kunaWaislamu wenye msimamomkali . Hawa vijana wameamuatu kwamba sasa kuonewa kwasababu ya itikadi yao basi.Lakini kwa kiasi kikubwa yalewanayofundishwa nyumbani na

    Heshima na adabu wajibu wa Muislamkwenye madrasa juu ya heshimana adabu yako pale pale. Hayo nimatakwa ya Quran na Hadith.

    Ingawa kweli Waislamuwa leo wameamua kuwawamechoka kuonewa, i lekhulka yao ya adabu bado imo

    na hujitokeza hata pale ambapowao wameamua kuchukua hatuaza kujaribu kukomesha kuonewahuko. Itakumbukwa kwambakatika kadhia ile ya kuvunjamabucha ya nyama ya nguruweWaislamu hawakuzuka tukuanza kuyavunja na kubomoa,maduka yale. Kwa heshimakubwa kabisa walipelekamalalamiko yao kwa viongoziwanaohusika ili wachukue hatuazinazostahili. Sheria za nchimpaka leo haziruhusu uuzajiwa nyama ya nguruwe katikamakazi ya watu mijini. Hilowalikuwa wakilifahamu ndipokwa heshima waliyofundishwam a d r a s a n a n y u m b a n iwalipeleka malalamiko yao

    p a n a p o s t a h i l i . U s h a h i d iunaofahamika ni kuwa ilikuwa

    ni baada ya kuonyesha heshimahiyo, walilopewa ni dharau nakubezwa tu. Inasemekana kuwahata dini yao ilidharauliwa.Bahati mbaya Sheikh Jongohakuzungumzia huyu Muislamuanayedharauliwa na dini yake

    pia kubezwa afanyeje kuhifadhiheshima yake, ya Waislamuwenziwe na dini ile ya Uislamu,dini ya Allah.

    Ni li ba ha ti ka ku hu dh ur iaSwalat-il-Jumaa ya tarehe 3May, 2013 kule msikiti maarufuwa Wa-Manyema Khutba akiwaSheikh Hamid Masoud Jongo.AlhamduliLlahi huyu Sheikhamekuwa Imam kiongozi wamsikiti huo kwa takriban miaka

    ishirini sasa na amekubalikamiongoni mwa Wa-Manyema.Akiwa ndiye Kadhi wa Mkoa waDar es Salaam ilikuwa ni sahihikabisa Khutba yake aliilengakuwafundisha waumini sio tuumuhimu wa heshima na adabu

    lakini alisisitiza umuhimu wakekutokana na maagizo yaliyomokatika Quran na Hadith. Katikakusisitiza ukweli kuwa kila mtuanastahili heshima aliyakosoayale yanayosisitizwa na baadhiya vyombo vya kimataifa kamavile kutaka tu kuwe na Heshimakwa wanawake ilihali hakunal inalozungumziwa juu yaheshima kwa wanaume. Hivyokwa mfano kiko chama Umojawa Wanawake wa Tanzania( UW T) i l i h a l i wa n a u m ehawana chombo kama hichocha kuwatetea. Wakati huo huoinafahamika kiasi gani hakiza wanaume zinapondwa hatakatika sheria za nchi. Hayohata yameambukizwa ama waondio wameambukiza vyombovya Serekali hata na serekali za

    nchi nyingi kukazania haki zawanawake na watoto na kusahuhaki za wanaume. Hivyo hivyohaki za wazazi wanazostahilikupata kutoka kwa watotowao.

    Hapa alitoa mfano, mzurisana kufuatia sheria za nchi hiiambazo zinambana mwanamumekwa mfano katika mambo yamirathi na ndoa. Alitoa mfanowa mke ambaye kufuatana nasheria anaweza kurithishwa kilakitu alichoacha marehemu mumewake na kabisa kuwasahau wazaziwa marehemu. Uonevu huuunajitokeza pale ikikumbukwakuwa ni yule marehemu ndiyealiyechuma ile mali; na aliweza

    kuichuma hiyo Mali tu kwasababu ya malezi aliyopatakutoka kwa wazazi wake. Hasaikiwa kwa mfano yule marehemualikuwa ni mtu aliyepata cheokikubwa serekalini. Ni baba namama wa huyo marehemu ndio

    waliomlea mpaka kupata ileelimu iliyomuwezesha kupatacheo kikubwa na kuwezakuchuma mal i a l iyoicha .

    Ni jam bo lis ilo ing ia aki lin ialisema kuwa sasa hawa wazaziwanakuwa si watu wa maanatena. Mke achukue kila kitu.Lakini alisisitiza kuwa hayo nikinyume kabisa na sheria zamirathi za Kiislamu ambapomke ana haki yake ya thumnitu. Aliwasisitizia Waumini sikuile kuwa ni adabu na heshimakuwafikiria wazazi kama Quraninavyoagiza.

    Ku wa k wa m b a wa z a z iwana nafasi maalum hainambadala alisisitiza. Lazimawaheshimiwe kiasi kwamba hatakama mtoto kaona kuwa mzaziwake kateleza kidogo, si pahali

    pa mtot o ku mkem ea mz aziwake. Analoweza kulifanyahuyo mtoto ni kutafuta msaadakutoka kwa wazee ambaowanaweza kumkabili mzaziwake na kuzungumza nayekumuonya kuwa mwenendowake si mzuri au kitu kamahicho. Alitoa mfano wa Swahabammoja ambaye hakuacha ulevilicha ya kukatazwa na kuonywakila siku na Rasul-ulu-LlahMuhammad SAW. Ilifika wakatimaswahaba wenzake walichokanaye kutokana na vitendo vyakehivyo na waliamua kumlaanina kumtenga kabisa. Lakiniwalistaajabu kuwa Rasu-ul-LlahMuhammad SAW aliwakataza

    wasifanye hivyo kwa kuwna wao watakuwa kama viwameungana na Iblis ambayndiye aliyekuwa akimpotezhivyo yule Swahaba. Mtumalipendekeza tu nasaha ziendeleKufuatana na mfano huu kam

    alivyonasihi Rasu-ul-Llah wazi kuwa kweli mtoto hanhaki ya kuweza kumlaani amhata kumkemea mzazi wake kwmatendo mabaya anayoyatendhuyu mzazi wake. Hiyo heshima kabisa kufuatana nmaadali ya Kiislamu, alisisitiSheikh Hamid Masoud Jongo

    Alisistiza kwa mkazo kabikuwa ni muhimu kwa wazazi wKiislamu kuwafundisha watowao heshima na adabu kufuatanna mafundisho ya Quran nHadith. Hapo alipendekezkuwa Madrasa ziwe ndio kitovcha mafundisho hayo. Hakikkwa muda mrefu sana Madrahata kama ni yale ya pembenmwa nyuumba yamekuwa ndkiini cha maadili ya Kiislamna msingi wa utekelezaji wyale Muislamu anatakikan

    ayatekeleze iwe FARDHI amSUNNA. Kwa siku hizi pia muhimu kuisisitiza kwa hawvijana kuwa ni lazima waihamdini ya Sub-hana Wa TaalKwa muda mrefu Waislamwamekuwa wakinyanyaswkwa vi le wamefundishwheshima na adabu ya hali y

    juu kabisa. Kum ekuwa waadui wa Uislamu wamekionhicho kama Waislamu wanyongwanaoweza kusukumwa hukna kule.

    Ingawa kweli Sheikh HamMasoud Jongo hakulitaja hilakini bila shaka atakubalianna hoja ya kuwataka Waislam

    Tuambiwe ni nani Victor AmbroseInatoka Uk. 8

    (Wakristo) kwa kuwathibitishiakuwa nyendo na njama zamashabiki wa makundi hayozinajulikana na wanafuatiliwatangu unyayo hadi kivuli kablahawajaleta madhara.

    Habari kama hii inathibitishaja mbo mo ja tu : ku wa ku naj i t iha da z a maku sud i zakuchochea chuki na uhasama

    baina ya Waislamu na Wakristo.Kabla ya viongozi wetu, nahasa Wabunge kucharuka,labda waulize vyombo vyetuvya usalama: Je, walikuwa nataarifa ya boti tatu za kukodiwazilizoleta Waislamu 150 kutokaZanzibar kwa lengo la kuchomamakanisa?

    Je, waliwaona walipotuaM b w e n i n a k u c h u k u adaladala hadi Tandika ambapoinaelezwa kuwa haikuwa tabukuwagundua kwani inasemwakuwa walikuwa na alamaza kuwatambulisha kuwa niUamsho (Waislamu)?

    Je, vyombo vya usalamavilichukua hatua gani, maanatumeambiwa kuwa waliwatoawasiwasi Wakristo kuwa watuliena wawe na amani kwa sababuPolisi wanafuatilia nyendoza Waislamu hao wachomamakanisa tangu unyayo hadikivuli.

    Kama taarifa zote hizizilizoelezwa katika gazetitulilolinukuu hazikuwa sahihi,maana yake ni kuwa lilikuwalinapandikiza chuki, uhasamana uchochezi. Je, vyombo vyadola vilichukua hatua gani? KwaSerikali kukaa kimya, maana

    yake ni kuwa inabariki uchochezihuu. Je, haioni kwa kufanyahivyo inawafanya Wakristowaamini yale aliyosema AskofuDavid na kwa upande mwingineinabariki pia agizo alilowapaWakristo kuwa waandae visu,mikuki na mishale kwa ajili yakupambana na Waislamu? Je,ingekuwa taarifa inawasingiziaWakristo kutoka Mbeya auPeramiho kuwa wameingiaZanzibar kuchoma Misikiti,Serikali ingekaa kimya?

    Ukitizama hapa hili sio tatizola mihadhara wala Masheikh naMapadiri. Na kwa hiyo hakunaufumbuzi utakaopataikana kwakuwakutanisha Masheikh wa

    Bakwata na Maaskofu. Kamani kukutana, wakutane Serikali(Vyombo vya Dola) na akinaAskofu David na vyombovya habari vinavyotumikakusambaza urongo kama huuwa boti za Uamsho kuja Darkuchoma makanisa, waambizanekuwa mchezo wao mbaya.Utaliangamiza taifa.

    W a t u w a n a o s a m b a z ahabari hizi za urongo, hapanashaka wanachotaka kuona niSerikali ikichukua hatua kaliza kuwabamiza Waislamu nawakati huo huo kuwakumbatiaWakristo kwa huruma, kuwaleana kuwalinda. Na tumesikia

    jin si Serik al i inavy oj ita hidikuwatuliza na kuwahakikishiausalama wao baada ya tukio

    hili la Arusha. Lakini kama hilondio lengo, je, hatuoni kuwaiwapo watu hawa wataona kuwauwongo wao kama ule wa kudaikuwa kuna Waislamu wameingiaMbeya kuchoma Makanisa,haikufanyiwa kazi na Serikali,wanaweza kubuni, kutekelezana kuleta kitisho cha kweli kamahiki cha bomu Kanisani?

    Awali nimetaja kuwa gazetila Mwananchi likiripoti habarihizi, likimnukuu msemaji wawa Kanisa Katoliki, JimboKuu la Arusha, Padri FestusMangwangi, lilisema kuwa mtualiyerusha bomu hilo alikuwaamevaa Kanzu. Ukisema kuwamtuhumiwa kavaa kanzu au

    baraghashia, unachosema bilakutamka ni kuwa mtuhumiwa niMuislamu. Lakini hii ni sawana kusema kuwa majambaziwameenda kuiba na kamera yavideo. Wakati wengine wakiwekawatu chini ya ulinzi hukuwengine wakikusanya fedha navitu vinavyofaa kuibwa, mmojaanarekodi tukio lote, halafuwakimaliza wanaiacha kamerahapo ili Polisi wasipate tabukuwatambua. Hakuna jambaziau muhalifu yoyote anayewezakufanya jambo kama hili. Sasahizi kauli kuwa mtuhumiwaalikuwa kavaa kanzu, zinazidikutia wasiwasi.

    Kwa hiyo, yote haya nilazima tuyazingatie na kamaalivyosema Mheshimiwa James

    Mbatia kwamba katika kufanyakazi zake, vyombo vya dolaviwe na uadilifu wa hali ya juu.

    Visiegemee upande wa dinyoyote.

    Na ka ma al ivyo sema piMuadhama Polycap KadinaPengo, katika kuchunguza tukihili, ni lazima ukweli uanikwhadharani bila kujali unamgunani.

    Omar Bakar Almas Video Productionwanakutangazia kuwa katika madukayao ya mtaa wa Livingstone na Mahiwamkabala na Kariakoo Bazar na lile lamtaa wa Mafia jirani na Msikiti waManyema Kariakoo jijini Dar es Salaam

    zinapatikana DVD, CD Original namawaidha ya Kiislamu kutoka kwaMasheikh wetu maarufu. Pia CDmpya za Sheikh Nurdin Kishki za kilawiki zinapatikana pamoja na Hija yamwaka 2012 aliyeiongoza yeye, Njooujipatie DVD bora zenye kiwango chakimataifa.

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu kwanamba zifuatazo: 0754 805 528, 0785793 395 au 0716 888 358

    NYOTE MNAKARIBISHWA

    Tangazo

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    10/12

    10AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20Makala

    JUMATATU ya April 15mwaka huu, jiji la Boston,M a s s a c h u s e t t s n c h i n iMarekani, lilishambuliwakwa mabomu mazito mawiliwakati wa mashindano yambio za Marathon za Boston.Kwa mujibu wa taarifazilizotolewa, watu watatuwalipoteza maisha na wengine171 kujeruhiwa vibaya.

    Kwa takriban wiki yote ile,tulishuhudia vyombo vyahabari vya nchi za Magharibivikiripoti tukio lile kamahabari ya kwanza yenye uzitomkubwa.

    Licha ya hatari ya kuhukumukabla ya uchunguzi kufanyika,hisia za watu wote dunianizikaelekezwa na vyombohivyo kwamba waliolipuamabomu yale ni Waislamu.Wakati mtuhumiwa mmojaal ipouawa kwa r isasi , namsako wa mwingine ulipoanza,ambao wote ni ndugu, na raiawa Marekani wenye asili yaChechnya, tulishuhudia manenoya chuki dhidi ya Uislamuyakihusishwa na tukio hilo.Walikuwa wakijaribu kuhusishauhalifu ule na Uislamu wa

    Watuhumiwa.Gazeti la An nuur liliandikakwa kirefu sana kuhusu habariile na miye siyo lengo languhasa kuwachosha wasomaji.Bali ningependa tu kuchambuakidogo baadhi ya mambo, iliiwe changamoto ya fikra kwawasomaji wanaofuatilia masualaya dunia. Matukio kama hayoyanapotokea, basi fursa piahupatikana ya kuwekana sawakimtazamo. Kwa masikitikomakubwa, kelele hizi zavyombo vya habari, zikiungwamkono na maoni ya wanasiasawenye chuki dhidi ya Uislamu,zikajenga mtazamo kwamba,ingawa Waislamu wote siyomagaidi, lakini magaidiwengi hakika ni Waislamu.Hata hivyo, mtazamo kamahuo unakosa mashiko, paleunapoulinganisha na idadi halisiya mashambulizi ya kigaidi.

    Gazeti la Europol lilichapishatakwimu zinazoonyeshakwamba kati ya mwaka 2006mpaka 2008, asilimia 99.6 yashughuli zote za kigaidi baraniUlaya, zilifanywa na wasioWaislamu. Na rekodi rasmiza FBI zinaonyesha kwambaasilimia 94 ya mashambuliziya kigaidi katika ardhi yaMarekani kuanzia mwaka 1980mpaka 2005 yalifanywa nawasio Waislamu. Kinachokerazaidi ni kwamba taarifa potofuza vyombo vya habari ndizozinazoaminika na kujengami tazamo has i dhid i yaWaislamu, lakini zile halisihazipewi nafasi, kwa hiyohazijulikani kwa watu wengi.

    Tatizo lingine kubwa lavyombo vya habari ni kutoatuhuma za jumla jumla. YaaniMuislamu mmoja akituhumiwakufanya uhalifu, basi jamiinzima ya Waislamu inalaumiwakwa hilo. Kimsingi, Uislamuunakataza vitendo vya ukatilina kumwaga damu za watuwasio na hatia, kama tulivyoonakatika mabomu ya Boston.Lakini kwanini Waislamuwote wanaoishi Marekaniwalaumiwe, wasumbuliwena watishiwe kwa sababu yamabomu ya Boston?

    Siyo Wakatol ik i wotewanaohusishwa na kashfa yakulawiti watoto, kwa sababu tu

    baadhi ya mapadri wamekuwawakifanya uchafu huo! Siyo

    Mashambulizi ya Boston, nani alaumiwe?Na Said Rajab

    Waingereza wote ni waongo,kwa sababu tu Serikali ya nchihiyo, iliudanganya ulimwengukuhusu Iraq kumiliki silahaza maangamizi mwaka 2003!Vilevile kuhusika kwa Muislamummoja katika uhalifu au tuhuma,haiwafanyi Waislamu wotekat ika jamii husika kuwawahalifu wa tuhuma hizo!

    Vyombo vya habari vyaMagharibi vimewazoesha watuwake kuwaangalia Waislamukama Wao na wenyewekujiona Sisi ingawa woteni raia wa nchi moja. Maranyingi utakuta vyombo hivyovinaripoti matukio kama yaBoston katika misingi ya Wao,Sisi, Yao na Yetu. Huwawanasema Wao hawapendimaadili Yetu. Wameshawekakizingiti katika akili za watuwao na Waislamu. Wamejengamazingira Waislamu waangaliwekwa mashaka kila uhalifu kamawa Boston unapotokea. Lakinimtu anahitaji kuelewa msingihasa wa mashambulizi kama hayani nini? Kwa bahati mbaya sana,

    mjadala kama huu unapuuzwakwa makusudi kwa sababu utatoataswira sahihi na kuzikamataSerikali za Magharibi kuwandizo zinazojenga mazingira yachuki na hasira za kiasi hicho.

    Muongo mmoja tu uliopita,kufuat ia ki le ki l ichoi twamashambulizi ya Septemba 11,Marekani na washirika wakewalifanya uhalifu wa kutishadhidi ya Waislamu. Ukiangaliam a t e s o y a A b u G h r a i b ,Guantanamo Bay, vifo vyaWairaq, uharibifu wa Afghanistanmwaka 2002, mashambulizi yadrones nchini Pakistan, Yemenna Somalia, kuingilia kijeshiMali, kuunga mkono uhalifuwa Israeli dhidi ya Palestina,kuwaunga mkono madiktetakatili katika nchi za Waislamu,

    unaweza kuona sababu halisiza huzuni, hasira na hisia zawale wanaonyanyaswa. Hayandiyo masuala mazito ambayoulimwengu wa Magharibihautaki kuyaangalia kwa ukweliwake. Uvamizi wa mataifa yaMagharibi katika nchi zingine nakudhibiti mambo umesababishaamani kutoweka sehemu kubwaya dunia na uharibifu kutawala,

    jambo ambalo linazalisha chukikwa viwango vikubwa navidogo.

    Ni jambo la upuuzi sanak u j a r i b u k u k we p a h i s i azinazoendana na ukweli huuna kuhamishia lawama kwaUislamu kama Itikadi. Bilashaka, kujibu mapigo kwakuwashambulia wasio na hatiainakatazwa katika Sheria yaKiislamu, na hakuna kisingizio

    chochote cha kuhalal ishahilo, lakini muktadha nyumaya vurugu za kisiasa, ambazoWaislamu wanahusishwa, maranyingi hupuuzwa.

    Tukienda mbal i za id i ,hebu tufanye tathmini ndogotu jinsi shambulizi la Bostonlilivyoripotiwa kwa mapanana vyombo vya habari vyaMagharibi kama unyama,halafu tulinganishe na unyamaunaofanywa na Marekani dhidiya mataifa mengine. Sikuchache tu, kabla ya mabomu yaBoston, mashambulizi ya angaya NATO, yaliua watoto 11 namwanamke mmoja Masharikimwa Afghanistan.

    Vifo vya watoto 11, kwavipimo vyote, ni hali ngumu

    zaidi kuliko vifo vya watuwatatu. Kwanini vyombo vyahabari na huruma ya ulimwenguhailekezwi dhidi ya unyamaunaofanywa Afghanistan, badalayake tunalazimishwa kuaminikwamba kilichofanyika Bostonndiyo unyama zaidi? Au vifo vyawatoto wa Afghanistan ndiyocollateral damage? (uharibifumdogo).

    Hisia hii ya huruma nah u z u n i i l i y o o n y e s h w akwenye shambulio la Bostonhuwa inakwenda wapi wakatiIsraeli inapoangusha mabomumahospitalini na kuua raia kulePalestina? Maneno makali yakulaani mashambulizi dhidiya watu wasio na hatia naupotevu wa maisha ya binadamuhuwa yanakuwa wapi, wakatiwananchi wa Libya, Mali,Iraq, Afghanistan, Pakistan,Chechnya na kwenginekowanapoangamizwa?

    Hao wanaoomboleza uhalifuuliofanyika Boston, wajitathminikama wanaweza kutaja hata jinamoja tu la muathirika wa mabomu

    yanayoangushwa na jeshi la nchiyao, dhidi ya watu wasio nahatia katika baadhi ya nchi hizo!Wajiulize, wanathamini uhai wa

    binadamu wenzao kwa sababuni binadamu, au kwa sababu niWazungu wenzao wanaotokakwenye nchi zao?

    Kama jibu ni binadamuwenzao, kama mtu yeyotemwenye akili atakavyojibu, sasakwanini tunafanya upendeleokatika kutoa huruma, mapenzi

    na simanzi zetu? Lazimatuumizwe na kukasirishwa navitendo vyote vya ukiukajihaki na mauaji ya binadamuwasio na hatia duniani kote.Tunaona upendeleo waziwazi.Vifo vinavyotokea ulimwengu

    wa Magharibi vinaripotiwakwa kina na kugeuzwa ajendaya dunia, lakini vifo na madhilayanayotokea katika ulimwenguwa Waislamu vinaripotiwakidogo sana! Mbaya zaidimadhila hayo huletwa naSerikali za Magharibi, hususanMarekani.

    Ukichimba zaidi, utaonaulimwengu wa Magharibiumetumia shambulio la Bostonkukamilisha ajenda zake zakisiasa. Jinsi vyombo vya habarivilivyoripoti kwa kina tukiohilo, msukosuko waliopataWaislamu kabla ya kutambuliwamtuhumiwa, kukamatwa kwamwanafunzi mmoja wa SaudiArabia, aliyekuwepo kwenyeeneo la tukio na jitihada kubwaza kuwatupia lawama Waislamu,

    kabla ya ukweli kufahamika nisehemu tu ya picha pana zaidi.I n a f a h a m i k a v i z u r i

    kwamba shambulio hili laBoston litageuzwa geuzwa ilikukamilisha malengo fulaniya sera ya nje ya Marekani,ikiwa ni pamoja na kuhalalishamatumizi ya kijeshi, na kuhuisha

    propaganda inayovia kwambaMarekani inakabi l iwa natishio la magaidi. Makaburiya wale waliokufa kwenye

    tukio la Boston, yatakuwndiyo vichuguu vya Serikaya Marekani kusimamia, nkurusha makombora mazidhidi ya wale inayowaonmaadui, huku ikitumia vibayhisia na huruma ya wanancwao kwa watu hao.

    Kwa bahati mbaya, matukhaya ya Boston yanasaidia sankujenga taswira ya Marekankama taifa lililo tayari kujihamkwa vita wakati wote, kwsababu linatishiwa na magai

    wakati wote! Na watu wenginduniani wasiojua vizuri mambhaya , wanaweza kudhaMarekani ina haki ya kufanyvile inavyofanya katika ncnyingine. Wanafikiri inajihamkwa kupambana na magaidLakini ukweli ni kwambMarekani haikuwa na tishio lolola kiusalama wakati ilipoivamAfghanistan, kufuatia shambulla kupanga la Septemba 1au ilipoivamia Iraq baada ykubuni uongo wa silaha zmaangamizi. Huzuni, hurumsimanzi na hasira za wanancwa Marekani zitatumiwa kisanna Serikali yao, ili kukamilishmalengo maovu yaliyopangwmuda mrefu. Hatujui safari hmabomu ya Boston yatalegharika gani! Maana, historinatupa muongozo sahihi, kia

    cha kuweza kufahamu uhaliunaofanywa na Marekani kupitvisingizio.

    Kwa kumalizia, hatua zozozitakazochukuliwa na Marekaau Serikal i za Magharikupanga mashambulizi dhidi yWaislamu kwa kisingizio chkupambana na ugaidi, ikitumhuruma iliyopatikana kufuatuhalifu uliofanyika Bostolazima zipingwe kwa nguvzote.

    Safari hii Vigogo wamejifunzaInatoka Uk. 12

    waliosalimika kuishi maishaya hofu, serikali imeshindwakukomesha hali hiyo.

    Wakati akitoa taarifa Bungeni

    baada ya kuzuru eneo la tukiohuko Arusha kufuatia tukiohilo, Waziri Mkuu, MheshimiwaMizengo Pinda, alisema kuwawatu nane wameshakamatwa,wanne wakiwa ni wa asili yaUarabuni, wanne Watanzaniaambao al iwataja kuwa niVictor Ambrose, mwenzake niJoseph na mwingine ambayehakutajwa.

    Naye kama ilivyokuwa kwawabunge wengine, hakusitakuonya kwamba katika tukio lasafari hii siasa, dini na kauli zakichochezi zisihusishwe na tukiohili, na badala yake vyombo vyadola viachwe vifanye kazi yakena kutoa majibu.

    Hata h ivyo, baadhi yavyombo vya habari na baadhiya wasemaji wa Polisi, badohawajaona kama kuna haja yakuacha kutoa habari za matukioya jinai huku wakidhihirishachuki zao za kidini.

    Baada tu ya kutokea mlipukokatika kanisa hilo, gazeti mojala kila siku liliripoti siku yaJumatatu, kwamba aliyerusha

    bomu hilo alikuw a amevaakanzu nyeupe na koti la mvua.

    Na alikimbia baada ya kurushabomu hilo na kwamba tukio hilolilishuhudiwa na mtoto mdogo.Hiyo ni kauli aliyonukuliwaakizungumza msemaji wa kanisaKatoliki Jimbo la Arusha PadriFestus Mangwangi.

    Iliendelea kuwa aliyerushabomu huyo wakati wanakimbiahuku akiwachanganya watu

    kwa kupiga kelele za mwizi nakuwazubaisha watu na mtotohuyo alithibitisha kuwa ndiyemhusika.

    Katika gazeti la Mtanzania

    la Jumanne Mei 7, lenyewelikimnukuu Waziri wa Mamboya Ndani ya Nchi Dk. Emmanuel

    Nchimbi, lilieleza kuwa Waarabus i t a wa m e k a m a t wa k wakutuhumiwa kulipua kwa bomuKanisa hilo na kusababisha vifovya watu watatu na kujeruhi59.

    Pia likamnukuu akieleza kuwamiongoni mwa waliokamatwa,ni kijana wa umri wa miaka 20,dereva wa boda boda aliyetajwakwa jina la Victor Ambrose,ambaye ndiye anayetuhumiwakurusha bomu hilo.

    Gazeti hilo liliripoti kuwakati ya waliokamatwa, watuwanne ni raia wa kigeni ambaohakutaja nchi zao na mmoja niMtanzania na wanashikiliwakwa mahojiano.

    Katika habari hiyo ya gazetihilo, ni vigumu kupata idadi yaWaarabu sita waliokamatwakama kilivyoeleza kichwa chahabari. Hasa kwa kuzingatia kuwawageni wanaotajwa kukamatwakatika habari yenyewe ni wannetu, na Mtanzania mmoja ukiachakijana Ambrose. Waarabu wawiliwaliosalia watakuwa wapi?

    Waziri Mkuu Pinda yeyealilieleza Bunge kuwa wageniwaliokamatwa ni wanne wenyeasili ya Uarabuni, sio sita.

    Na watan zan ia ni wanne nakuwataja wawili, yaani Ambrosena Joseph.

    Tunajiuliza, katika gazeti laMwananchi la Jumatatu Mei

    6, Msemaji wa Kanisa KatoliJimbo la Arusha Bw. PadFestus Mangwangi amenukuliwakieleza kwamba, aliyerush

    bomu kanisani ni mtu aliyekuw

    kavaa kanzu. Kwamba habaada ya kulirusha, alikimbhuku akipiga kelele za mwizi nkutokomea huku watu wakiwwamezubaa.

    Katika gazeti la Mtanzanla Jumanne, lilitaarifu kuwanayetuhumiwa kurusha bomni dereva wa bodaboda VictAmbrose, ambaye inaonekanalirusha bomu na kutoweka n

    pikipiki.Hapa tunahabarishwa juu y

    watu wawili wanaosadikiwkurusha bomu. Kuna aliyevkanzu nyeupe na koti la mvuna Victor Ambrose, dereva w

    bodaboda! Je, wananchi washilipi?

    Kwa upande mwinginyapo magazeti kama NIPASHambayo yaliripoti kuwa Waarabwalikamatwa WAKITOROKA

    b a a d a y a s h a m b u l i zAnachosema mwandishi hapni kuwa Waarabu hao ndwaliolipua bomu maana kamsi wao hawakuwa na sababu ykutoroka.

    Swal i n i j e , wal ikuwwaki toroka au wakiend

    Nairobi?Katika mazingira haya, kun

    haja ya vyombo vya habari navykuacha kuripoti matukio hayyanayogusa imani za watu, kwkuegemea hisia za mwandisau Mhariri, au kwa msukumwa udini na chuki ili kupoteuhalisia wa tukio lenyewe.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1070

    11/12

    11AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA MEI 10-16, 20Makala/Tangazo

    Je, ni kweli Waislamu waliishambulia Marekani mnamo Septemba 11?Inatoka Uk. 4

    abiria: Tuna ndege kadhaa,Nyie kaeni kimya, na mtakuwasalama tu. Tunarudi uwanjawa ndege. Baada ya kunukuumrusho huo wa redio, Tumeiliandika Mwongozaji ndegealituambia kuwa alifahamuhapo kuwa ilikuwa ni utekajinyara. Je, mrusho huo wa rediosiyo ushahidi wa kutosha kuwandege ya Safari ya 11 ilikutwaimetekwa nyara?

    Ingekuwa imetoa uthibitishokama huo kama tungekuwatunafahamu, kama Ripoti yaTume iliyodai, kuwa mrushohuo ulitoka ndege American(Airlines) safari ya 11. Lakinihatujui. Kwa mujibu wa taarifaya Mamlaka ya Safari za NdegeMarekani (FAA) katika muhtasariwa matukio ya utekaji nyarandege iliyochapishwa Septemba17, 2001, mrusho huo wa redioulikuwa kutoka kusikojulikana.

    Dai la Ripoti ya Tume kuwaulitokea denge ya American 11ulikuwa ni wa kupachika tu.Mrusho huo unawezekana kuwaumetoka katika chumba kimojaambako miito ya simu ya abiriailisikika.

    Hivyo, taarifa ya mrusho waredio kutoka Safari ya 11 ( yashirika la American Airlines),k a m a s i m u z i n a z o d a i wakupigwa kutoka kwenye ndege,haitoi ushahidi kuwa ndegehizo zilitekwa na wafuasi waAl Qaeda.

    5. Hati za kusafir ia nakibana kichwa zinatoa ushahidikuwa washirika wa Al Qaedawalikuwepo kat ika ndege

    zilizotekwa?Hata hivyo, i l ichosema

    serikali kuwa watekaji walikuwawashiriki wa Al Qaeda iliegemeakwa upande mmoja madai kuwahati za kusafiria na kibanio cha

    kichwa vya washirika wa AlQaeda vilikutwa katika maeneoya kuanguka ndege hizo. Lakinimadai yote mawili yalikuwaupuuzi.

    W i k i m o j a b a a d a y amashambulio hayo, shirika laupelelezi la FBI lilitoa taarifakuwa msako kat ika mitaa

    baada ya kuteketea kwa Kituocha Kimataifa cha Biasharauligundua hati ya kusafiria yammoja wa watekaji wa (ndegeya American Airlines) Safariya 11, Satam al-Suqami. Lakinidai hili halikupita mtihani wakuguna. Dhana kuwa hati hiiya kusafiria ilipona katika motohuo bila kuguswa, aliandikamwandishi wa habari mmoja wa

    Uingereza, lingesumbua imaniya mtu anayeunga mkono kwadhati mapambano ya FBI dhidiya ugaidi.

    Kilichoonekana pia ardhini,kwa mujibu wa ushahidi waserikali uliotolewa, ni kibaniokichwa chekundu. Hii ilionekanani ushahidi kuwa wateka nyarawa Al Qaeda walikuwa katikandege ya Safari ya 93 kwasababu walikuwa, kwa mujibu wa

    baadhi ya simu zilizopokelewa,walikuwa wamevaa vibaniokichwa vyekundu. Licha yamadai haya kuwa ya kipuuzi kwasababu hizi hizo kama dai hilokuhusu hati ya kusafiria, dai hilikuhusu kibanio kichwa lilikuwa

    na tatizo kwa sababu nyingine.Mshirika wa CIA wa zamaniMilt Bearden, aliyesaidia kutoamafunzo kwa wapiganaji waMujahidina nchini Afghanistan,amekumbushia kuwa ingekuwa

    jambo la ajabu kuwa wanachamawa Al Qaeda walivaa vibaniokichwa vya aina hiyo.

    Kibanio kichwa chekundu nikielelezo maalum cha mavaziya wafuasi wa madhehebu yaShia. Kinatokea wakati wakuanzishwa kwa dhehebu hilo...Kinawakilisha utayari wamvaaji wa kibanio kichwachekundu kutoa maisha yake,kujiua kwa ajili ya harakati.Wa-Sunni, ambao kwa wingizaidi ndiyo wafuasi wa Osama

    bin Laden hawafanyi h