annuur 1077

Upload: mzalendonet

Post on 03-Apr-2018

796 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1077SHAABAN 1434, IJUMAA , IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 2013 BEI TShs 500/=,

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    JKT balaa kwa Wasichana WaislamuWavalishwa bukta, wengi wagoma kwenda

    Kongamano kubwa kufanyika Dar kupinga

    Sio kaputura itakayoleta Uzalendo na Utaifa

    NI kipofu gani atabishakwamba Tanganyikana Zanzibar hazikufab a a d a y a u j i o w aMuungano?

    Wanaodai mfumo waSerikali mbili, wanatoawapi ujasiri potofu na wakihafidhina kupotoshaumma juu ya mfumohalali wa Muunganouliokusudiwa?

    Watuambie; kamaZanzibar ilisalimika,Tanganyika ilitowekaje?(Soma Uk. 7)

    Wanajeshi wakolezakipigo kwa WaislamuMkuu wa Mkoa atuhumiwa kuhusika

    Masheikh, vijana wakimbia familia

    Watuhumu kuwepo hujuma za kidini

    Kama Zanzibar ilisalimika

    Tanganyika ilitowekaje!!!!Amesema kweli Jaji Joseph Warioba

    Serikali mbili zitavunja Muungano

    (20) UMESHAWAPELEKA WATOTO HIJJA?

    Sahaba mmoja alimnyanyua mtoto wake

    mdogo na kumuuliza Mtume(saw), Na huyu

    ananufaika na Hijja? Mtume(saw) akajibu,

    Ndiyo, na wewe unapata ujira (kutoka

    kwa Mola wako). Wangapi tumewapeleka

    watoto wetu Hijja? Milioni ngapi tunatumia

    kwa maharusi ya fahari na mambo mengine

    ya kidunia? Karibu uwaandikishe watoto

    na wafanyakazi wako Ahlu Sunna wal

    Jamaa.Gharama zote ni Dola 4,300.

    Tafadhaliwasiliana nasi ifuatavyo: Tanzania

    Bara: 0717224437; 0777462022;Unguja:

    0777458075;Pemba: 0776357117.

    Mwakilishi wa Balozi wa Saudia nchini, Bw.Aaqil (Kulia) akigawa nyama ya Mbuziwaliochinjwa na Mahujaji katika Ibada ya Hja ya mwaka 2012, kwa Waislamu,Mei 25 Jini Dar es Salaam. Picha Na Bakari Mwakangwale.

    Mhe. Shamsi Nahodha, Waziri wa Ulin

    BAADHI ya vana wa Kidato cha sitawaliomaliza mafunzo ya JKT.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    2/12

    2AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Makala

    I M E E L E Z W A k u w avyombo vya habari nchini,viko katika hatari kubwaya kumezwa na tabakakandamizi dhidi yawakandamizwaji iwapohawatakataa kuwa kipazasauti cha agenda za tabakakandamizi.

    A i d h aw a m e t a h a d h a r i s h w akuwa iwapo wataendeleakuweka pembeni maadilina maslahi ya umma nakubeba agenda za tabaka

    kandamizi na kushindwakutimiza wajibu wao wakimsingi wa kupangaagenda zao za habari (seingthe agenda) watanunuliwana kusambaratishwa.

    H a y o y a m e e l e z w akatika Kongamano laMwaka la Maadili yaUandishi wa Habari ,a m b a l o l i l i a m b a t a n ana Mkutano Mkuu waWadau wa Habari (NGC)ulioandaliwa na Baraza laHabari nchini (MCT), nakufanyika katika Hoteliya Blue Pearl, jini Dar esSalaam mwanzoni mwawiki hii.

    A k i s h e r e h e s h a

    muswada uliowasilishwana Bw. Makwaia waKuhenga, Mhadhiri waChuo Kikuu cha Dar esSalaam, Mwalimu BashirAlly, al isema mfumokandamizi wa watawalahauwezi kujisambaratishawenyewe mpaka paleutakaposambaratishwa.

    M w a l i m u B a s h i r ialivitaka vyombo vyahabari kuwa makini nakutumia weledi kuibuaagenda za siri zilizojifichazinazoletwa na tabakakandamizi kwa mgongowa udini, badala ya kuwavipaza vya kufanikisha yaleyanayohubiriwa na tabaka

    hilo kwa lengo la kutimizaagenda zao huku maslahiya umma na wanyongewakiathirika zaidi.

    Kauli za funga yule,kamata wale, tesa, toajic ho ni kau li za tabakatawala kandamizi, kaulihizi zinaweza kutolewapia na vibaraka wa tabakahilo. Alifafanua.

    K u t o k a n a n a h a l ih i y o , m s o m i h u y oaliwataka wanahabarikuvua vikaragosi (mask)zilizovikwa katika nyusozao ili kuuweka mfumohuo kandamizi uchi, kwakuripoti habari zenye

    Wanahabari kataeni kuwa kipaza

    sauti cha tabaka kandamamiziBiashara ya udini, chuki si yenu

    Na shaban Rajab m a s l a h i k w a u m m abadala ya kuripoti habarizinazosababisha chukimiongoni mwa jamii.

    N i w a h a k i k i s h i e n ikabisa, wanahabari mpokatika kipindi kigumuhivi sasa kuliko kipindikingine chochote, msipokuwa kitu kimoja hasa kwakushikana kupitia barazalenu hili, mtanunuliwa namtatumika kwa maslahi yamfumo kandamizi.

    Tabaka hili kandamizilinahitaji sana vyombov y a h a b a r i k u t i m i z am a l e n g o y a k e , k w a

    u p a n d e m w i n g i n e ,t a b a k a k a n d a m i z w an a l o l i n a w a h i t a j i n akuwategemea sana katikakutetea haki zao dhidiya takaba kandamizi ,kama hamtakuwa namsimamo kwa tabaka lawanyonge, hamtaaminiwa.Kutoandika lugha kalina za chuki inategemeamsimamo uliochagua,wa tabaka kandamizi aukandamizwaji alifafanuamwalimu Bashir.

    A k i t o a m f a n o w amaua j i ya ha la iki yaRwanda mwaka 1994, Bw.Bashir alisema matokeoy a n a o n y e s h a k u w awanahabari na vyombovya habari kwa ujumla,waliweka pembeni maadiliyao ya kazi na maslahi yaumma, wakabeba agendaza tabaka kandamizi zakueneza uhasama, chukina ukabila na matokeoyake, taifa lilifura chukina uhasama na kikatokeakilichotokea.

    Awali Bw. Kuhengaalisema udini umekuwani chambo wanachotumiawanasiasa kwa maslahibinafsi.

    Alitosa mfano kuwabaada ya kulipuliwa kanisamkoani Arusha, amaniiliendelea.

    Alisema licha ya mlipuko,wameona kilichokusudiwah a k i j a f a n i k i w a n aWatanzania wameendeleakushikamana.

    Sasa wameingia kwenyesiasa kwa mtindo wamatukio yanayofananakufuatia bomu lililolipukatena kwenye mkutano wahadhara wa kampeni zaudiwani za CHADEMA.

    Alisema propagandaza udini ni mfumo wakuuziwa mbuzi kwenye

    gunia.Akaho j i , kuendele

    kutoa habari hizo zenysura ya kutimiza agendza watu, wahariri kwenypostimortem wanajadili nkupanga agenda gani.

    Alihoji kuna umuhimgani wa kuwatangaza hawaeneza kauli za chukna udini kuliko kuangalagenda zao na maslahnchi?

    Bw. Makwaia aliongezkuwa siku za nyumav y o m b o v y a h a b a rpamoja na kuwa na serzake, lakini msingi wakulikuwa umoja wa kitaif

    kuhimiza maendeleo nkwamba ilikuwa nadrsana kiongozi wa kisiaskwenda kwenye hafla zkidini, labda hafla yenyewiwe na sura ya kitaifa.

    Alisema lakini sikhizi viongozi wanazisakna kujipeleka wenyewkwenye hafla hizo zkidini, huku vyombo vyhabari navyo vikiwa mstawa mbele kuripoti habahizo na kuhoji, kuna hagani ya vyombo vya habakuwa vipaza sauti vyao.

    Akihitimisha mada yBw. Kuhenga, Mwalim

    B a s h i r A l l y a l i s e mlazima vyombo vya habavitambue kwamba itikadya leo ni itikadi kali ya sokhuru ambapo hata mapenyamekuwa bidhaa katikmfumo huo.

    A l i s e m a u d i ninawezakuwa biasharkubwa kwa watu (Mfumkandamizi) na wanahabaw a k a w a s e h e m u ybiashara hiyo.

    A l i s em a b a d a l a yvyombo vya habari kusaidkuzima agenda za biasharhiyo, wanaripoti agendyenyewe ya kuvutankuchinja na kuchinjan

    na kufanikisha agendiliyokusudiwa.

    Alishauri kipindi hikcha hatari, wanahaban a B a r a z a l a o M C Tkuwa ki tu kimoja nkuwa na msimamo wpamoja bila kujali athaz i n a z o w a a n d a m a zkiusalama kwani wajibwao ni kutumikia umma

    Alisema kinyume chwanahabari hao kuwa numoja na msimamo wpamoja, wakishindwa kuwna agenda kwa mstakabawa umma, watanunuliwa

    BARABARA ya Morogoroi m e k u w a n y e u p e ,hakuna mchuuzi walavichuuzwa. Ombaombawote maeneo ya Fire,Kariakoo, Posta, Kisutuna maeneo menginejij ini wamesombwa.W e n y e m a d u k awalitawanya bidhaakatika viambaza vya

    maduka yao, operesheniObama imewamuduna sasa bidhaa zipondani ya maduka na sinje tena. Mama lishew a m e sh a f u n gi sh w avibanda vyao.

    Hata hivyo wasiwasiwetu ni iwapo ombaomban a w a l e m a v u h a otuliozoea kuwaona kilasiku katika maeneo hayowanahifadhiwa sehemusalama ili wasirejee tenabarabarani au la.

    Tunaona hata ki leKipande cha barabara palemakutano ya barabara yaMandela na Morogoro,kuanzia eneo la darajaniRiverside hadi eneo lataa za kuongozea magariUbungo, eneo ambaloliliachwa kwa muda mrefubila kurekebishwa licha yakuwa ni kero ya mudamrefu kutokana na ubovu,sasa pamewekwa lami safikabisa. Bila shaka kufanyahivyo, ni kufanikisha ziaraya Rais Obama katikamtambo wa kuzalishaumeme wa Symbion pale

    Ubungo Power Station.Bila shaka ni ujio wa RaisObama ambao umeletaari hii ya uwajibikaji wamuda mfupi.

    Hatua hizi za harakan a z a m u d a m f u p iz inazochukul iwa naserikali na taasisi zakekatika kipindi hiki chamaandal iz i ya z iaraya Rais Obama nchini,zingekuwepo hata wakatimwingine jiji la Dar esSalaam lingekuwa lakupigiwa mfano japo

    Tungewajibika ki-Obamatungefika mbali

    kwa usafi na mpangiliomzuri wa ji. Lakini zaidiuwajibikaji huu ungekuwaumelifikisha taifa hili mbalikimaendeleo. Lakini wapi,imekuwa ule msemo wanguvu ya soda au motowa kifuu unaowaka wakaviongozi kama Obamana kuzimika mara tu

    wakiondoka.Lakini kwa upande

    mwingine, Ji haliwezikuwa ni maeneo maalumtu ya Posta, barabara yaMorogoro, Bugurunin a U b u n g o p e k e eambako bwana mkubwaatapita. Hata Tegeta,Mbezi, Kimara, Ilala,Mbagala, Changombe,Temeke nako ni sehemukubwa tu ya jiji letulakini operesheni hizihazionekani huko!

    Ni us haur i wetu

    k w a m b a , i w a p ou w a j i b i k a j i h u uunaoonekana sasa katikamaeneo atakapozuruObama, ungekuwa ndioada ya watendaji wetuhata maeneo mengineya nchi, leo yangekuwambali kimaendeleo.

    Ulinzi na usalamaungekuwa wa uhakikak w a W a t a n z a n i a ,

    b a r a b a r a z e t uzinazopitika kwa taabuhuko mitaani zingepitikakwa mwaka mzima.U s a f i u n g e m a l i z akipindupindu cha kilamwaka. Tatizo la majisafi na salama ingekuwahistoria.

    Basi ni vyema tukaanzasasa kuzoea nidhamu yauwajibikaji wa ki-Obamakatika kuwatumikiaWatanzania. Nidhamuy a k i u t e n d a j iinayoonyeshwa kwaObama, sasa tuiendelezehata katika kuwatumikiaWatanzania.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    3/12

    3AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 201Habari

    JKT balaa kwa Wasichana WaislamuWAKATI Serikali imeanzakurejesha utaratibu wawanafunzi wanaomalizakidato cha sita kwenda JKTkwa muda kabla ya amakwenda vyuo vikuu au kuanzakazi, yameibuka malalamikokut oka kw a W a i s l a m uwakisema kuwa kuna dosarizinatakiwa kushughulikiwaili kuhakikisha kuwa mamboyanakwenda vizuri. Kubwalinalolalamikiwa ni mavazi.

    Wazazi wengi wamekuwawakilalamika na kusema kuwawatalazimika kuwazuiyamabinti zao kwenda JKT kwasababu imeonekana kuwawanapofika huko huvishwanguo zisizoendana na maadiliya imani zao.

    Wengi waliofika na kutoamaoni yao katika ofisi zagazeti hili wanasema kuwawangependa sana kuonaw a t o t o w a o w a k i e n d akulitumikia Jeshi la KujengaTaifa ( JKT).

    Hata hivyo wakasemakuwa wanaliomba jeshihilo kutizama upya suala lamavazi hasa kwa upande wawasichana.

    Wakasema badala yakuvaa bukta (kaputura fupi),wanaomba JKT wabadili sarehiyo na kuweka suruali.

    Mi sioni kama kuna sababuya msingi ya kuwavalishawasichana chupi (bukta),wanaweza kuvaa suruali nawakapiga kwata na kufanyakazi kama kawaida, kwahiyo mi naomba uongoziwa JKT kubadili sare hii ili

    wasiwakwaze mabinti wetu,wazingatie kuwa suala laimani ni haki ya kikatiba yamwananchi, sasa wasimkwazekiimani katika kupata hakiyake ya kujiunga na jeshihilo.

    Amesema mzazi mmojaa l i y e j i t a m b u l i s h a k w ajina la Omar Sai d ambayeamesema kuwa yeye binafsiatashindwa kumruhusu bintiyake kwenda JKT mwaka huukama anavyowajibika, lakinihata kama yeye angetakabinti aende, binti mwenyewehayupo tayari kuvalishwabukta.

    Hii mimi naona si hakikwa sababu kwa kuweka sare

    ya bukta inakuwa kama njiaya uhakika ya kuwakwazam a b i n t i w a K i i s l a m u ,inakuwa kama wakati ule waukoloni ambapo Waislamuwengi walikosa kusomakwa kuepuka kubatizwa.Alisema.

    Katika ufafanuzi wakeakasema kuwa Serikali zakikoloni ziliweka utaratibuwa kutoa elimu uliowakwazaWaislamu ambapo kulikuwana sharti la kubatizwa ndiomtu asome jambo lililofanyawazee wengi kutowapelekawatoto wao shule.

    Ukitizama historia yakupigania uhuru nchini utaona

    Na Mwandishi Wetu kuwa waliokuwa mstari wambele walikuwa wazee waKiislamu na sababu yake nimoja tu: wao ndio walikuwawadhulumiwa wakubwa,walitaka iondoke ile dhulmaya kubaguliwa Waislamu

    katika elimu.Alisema na kuongeza

    kuwa, leo zaidi ya miaka50 baada ya kuwa huru,haitakuwa sahihi kwa Serikalikuwanyima watoto waKiislamu haki yao ya kwendaJKT kwa kuwawekea sharti lakuvaa kaputura kinyume namaadili ya dini yao.

    Tunachoiomba Serikali nikuwa itizame upya sare hiiya kaputura ili isiwe kikwazokwa mabinti wetu, alisemamzazi huyo.

    Akitoa malalamiko yakemzazi mwingine alisemakuwa kinachosemwa ni kuwalengo la kupeleka vana JKTni kujenga uzalendo, maadili,

    umoja na utaifa.Sasa kama hayo ndiyomalengo, mi sidhani kuwahayo hayawezi kupatikanabi la ya ku vaa bu kt a, si obukta itakayojenga uta ifa ,ila kama watalazimisha,bukta h iyo hiyo ndiyoitakuwa sababu ya kuvunjaumoja na utaifa kwa sababuidadi kubwa ya mabinti waKiislamu watakataa kwendaau hata wakienda kutazukamgogoro wa kugomea buktana wakitendewa vibayaWaislamu na Masheikh waowataingilia kati na hilo litazuamgogoro kwa nchi nzima.

    Alisema na kutahadharishamzazi huyo aliyejitambulisha

    kwa jina moja la Kiravu nakuongeza kuwa angependakuona jambo hili likichukuliwana taasisi za Kiislamu zakitaifa kuzungumza namamlaka husika.

    Kwa hakika hili si sualalangu binafsi au la Muislamum m o j a m m o j a , n i l aWaislamu wote na ingekuwavyema taasisi za kitaifa zaKiislamu zikachukua agendahii na kutafuta namna yakuwasiliana na Serikali ilikulitafutia ufumbuzi.

    Alimalizia mzazi huyoakisema kuwa hapana ubishikuwa mpango wa JKT nimzuri na kwamba yeye binafsiameupokea kwa mikono

    miwili, ila tu lililo muhimukwa sasa ni kushughulikiwahii changamoto ya bukta kwawasichana.

    Wakati huo huo, habarit u l i z o z i p a t a t u k i e n d amitamboni zimefahamishakuwa viongozi wa taasisi zaKiislamu wamefanya shurana kukubaliana kulifikishajambo hili kwa Waislamukwa maana ya kuliandaliautaratibu wa kongamano aukhutba za Ijumaa ili lifahamikevizuri.

    Kwa upande mwinginewakasema kuwa watalifikisharasmi Serikalini wakiombasare ya bukta iondolewe.

    H a b a r i z a a w a l izinafahamisha kuwa Jumuiyana Taasisi za Kiislamu,wan aan d aa barua kwaWaziri wa Ulinzi na Jeshila Kujenga Taifa wakitakajambo hili kutizamwa upya na

    kuwekewa utaratibu mzuri ili

    isekufikia mahali JKT zikawamakambi ya wasichanaWakirsto watupu.

    Taarifa zaidi zinasemakuwa kes h o J um am o s ikutakuwa na mkutano waviongozi wa Jumuiya na

    Taasisi za Kiislamu jini Dar es

    Salaam ambao watapanga nkuratibu kongamano kubwla Waislamu kuzungumzjambo hili na kulipiti shmaamuzi.

    K o n g a m a n o h i llinatarajiwa kufanyika kabya kuanza mwezi mtukufu w

    Ramadhani.

    Wanajeshi wakoleza kipigo kwa WaislamuHALI si shwari Mtwaraa m ba po kum e kuw a namadai ya kukamatwa vanawa Kiislamu, Masheikh nakushushiwa vipigo.

    K a m a t a k a m a t a h i y oi n a d a i w a k u f a n y i k anyumba kwa nyumba nahupelekwa katika kambiya N al ien d e le am bakowanatembezewa kipigo kikali

    hali inayosababisha baadhi yawatu kuzikimbia familia zaona kutafuta maficho.

    Kana mmoja aliyenusurikakufikishwa kambini kwakutoroka wakati wakipelekwahuko amesimulia jinsi watuwanavyopigwa huku haliikielezwa kuwa ni shwari.

    Amesema kuwa kina babawengi wamezikimbia nyumbazao na kuziacha familia zaozikiteseka, kufuatia zoezilinaloendelea la wanajeshikuwasaka na kuwakongota.

    Mateso yanayotolewa nipamoja na kuvuliwa nguokuch arazwa bako ra n akumwagiwa upupu.

    Jambo ambalo limewastua

    Waislamu wengi ni kuwa idadikubwa ya wanaokamatwani Waislamu hasa vana waKiislamu na wazee waliokuwamstari wa mbele katikaharakati za Kiislamu kupitiaBaraza Kuu na Jumuiya naTaasisi za Kiislamu.

    Taarifa zilizopatikanajuzi , zi liba in is ha kwa mbawanajeshi hao wanamtafutakwa udi na uvumba AlhajN a m a k a n y a , a m b a y eamekimbia kwa kuogopakukamatwa na kuangukiakipigo kutoka kwa wanajeshihao.

    T a a r i f a z i m e a r i f ukuwa Sheikh RamadhaniM a t a u k a h i z o , a m b a y e

    alikamatwa hivi karibuni,a m e a c h i w a n a k u r e j e anyumbani lakini akiwaanaugulia kwa kipigo.

    Ust. Bonge Mtarika, yeyeameelezewa kuwa amerejeanyumbani kutoka kambiniJumatatu ya wiki hii akiwahoi.

    H a b a r i t u l i z o z i p a t azinafahamisha kuwa UstadhB o n ge Mta l ika p am o jabaadh i ya watu waliokuwawamekamatwa wamerejea nakuelezea jinsi walivyoteswa.

    Wamesema, walivuliwanguo kumwagiwa upupu nakucharazwa bakora.

    Wamesema, wakati wa

    Na Mwandishi Wetu mateso hayo walikuwawakiulizwa nani mfadhili waona kwa nini wanamsumbuaMkuu wa Mkoa. Swali jingineni kutakiwa kueleza ninichama chao.

    Baadhi ya Waislamu ambaowametajwa kuwa majeruhiwa kipigo hicho cha wanajeshi,ambao walikamatwa Meimwaka huu ni Issa Ndinda,Hamis Mnunga, Ally Mtepa,Said Namata, Ismail Nyambi,

    Salum Sudi (Saibogi) pamojana Ismail Fakhi Mfaume.M w a n a n c h i m m o j a

    mkazi wa Mtwara ambayehakutaka jina lake litajwegazetini kwa usalama wake,amesema kuwa Waislamuwa Mtwara wanashangazwana zoezi hilo la kuwakamatana kuwakongota kuwalengawao pekee.

    Tunashangaa tupo watuwa imani tofauti, kwaninikina baba wa Kiislamu wawewalengwa wakubwa wazoezi hili la utesaji, mpakasasa hakuna mtu wa imaninyingine aliyekamatwa aualiyepigwa zaidi ya Waislamu.Zoezi hili linatutia wasiwasikwa kuwa l inaonekanakuwa na sura ya udini nachuki zaidi na haliwagusiwatu wengine. Alilalamikamwananchi huyo.

    H a t a h i v y o t a a r i f azinabainisha kwamba zoezihilo la kamata piga dhidi yaWaislamu Mtwara, linatokanana kongamano la Shura yaMaimamu katika viwanja vyaMashujaa mkoani MtwaraJanuari 27, 2013.

    Katika Kongamano hilo,pamoja na mambo mengine,lilizungumzia kadhia ya wana-Mtwara kupinga ujenzi wabomba la gesi kutoka Mtwarakwenda Dar es Salaam.

    Aidha inadaiwa kuwakuna uwezekano mkubwaMkuu wa Mkoa huo KanaliMstaafu Joseph Simbakalia,akahusika na zoezi hilokufuatia Waislamu kumtakaaondoke baada ya kuwatusiwatu wa Mtwara kuwa nimbumbumbu na wakamtakakwanza aombe radhi.

    W a i s l a m u M t w a r awanaamini kuwa Mkuu waMkoa ndiye aliyetoa amri yakukamatwa na kupigwa kwaokinyume na sheria.

    Alisema kuwa wanachamawa vyama vya siasa, ambaonao ni waathirika wa kile

    kinachodaiwa kuwa nkupinga gesi kwenda Dar, wawalikamatwa na kufunguliwkesi mahakamani.

    Uledi Hasan, Mwenyekiwa NCCR-Mageuzi mkowa Mtwara, Hamza MasouKatibu wa TLP, Katan AhmaKatan, Mwenyekiti wa VanTaifa CUF, Said Issa KulagKatibu wa CUF Mtwara mjiwalikamatwa kistaarabu n

    kesi zao zinaendelea katikmahakama ya Wilaya MjiniLakini hali ni tofauti kw

    Masheikh na wanaharakaw a K i i s l a m u a m b awamekuwa wakisakwa nwanajeshi majumbani nkatika sehemu zao za kazi nwanaokamatwa kupelekwkambi ya jeshi Naliendeambako huambulia kipigo.

    Imeelezwa kuwa wanajeshao wana orodha ya majinya vijana wanaharakati wkiislamu na Masheikh ambawanasakwa.

    Itakumbukwa kuwa M22, 2013 ghasia zilibukmkoani Mtwara baada yWaziri wa Nishati na MadinPro. Sospeter Muhongkueleza azma ya serikali ykutekeleza mradi wa bombla gesi kutoka Mtwara kwendDar es Salaam, kufuatkugunduliwa gesi nyingi hukMsimbati mkoani humo.

    H a t a h i v y o P r oMuhongo alisema gesi hiyhaitasafirishwa ikiwa ghakwa maana kuwa mtambwa kusafisha gesi utajengwMtwara.

    Siku za hivi karibunMbunge wa Viti maaluClara Mwatuka, alielezB un gen i kuwa h a l i yMtwara si shwari kwan

    watu wanasakwa majumbamwao na kupigwa na kwambwengine wameshakimbfamilia zao.

    Aliitaka Wizara ya Mambya Ndani kutoa maelezo juya kadhia hiyo.

    Naye Mwenyekiti wa kikahicho Jenister Muhagamalifafanua zaidi kwa kuitakWizara kuchukua hoja ymbuge huyo na kufuatilia nkutoa majibu mapema.

    Lakini pamoja na jitihadhizo bungeni, kipigo kutokkwa wanajeshi kwa wanancwa Mtwara kimekolea zaidi nhakuna hatua zilizochukuliwhadi sasa.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    4/12

    4AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 20HABARI

    Jumuiya ya wataalamu wa Kiislamu

    ( TAMPRO) kuelekea Mwezi Mtukufu

    wa Ramadhani Inakukumbusha

    Collection Campaign kuchangia

    Nguo na viatu vilivyo katika hali nzuri

    kwa ajili ya Jamii zetu zilizo vijijini.

    Kukusanya piga Simu 0786 665 375/

    0712 665 375 au fika ofisi zote za

    TAMPRO Mikoani.

    Collection Campaign

    BARAZA Kuu la Jumuia naTaasisi za Kiislamu nchinilimezindua rasmi Ofisi ya

    Baraza Kuu la Wanawake,itakayoshughulikia kaziza Wanawake wa Kiislamunchini.

    Uzinduzi huo umefanyikamwishoni mwa wiki iliyopitaMwembechai, jijini Dar esSalaam ambako ndipo zilipoOfisi hizo.

    Katika hafla ya uzinduziwa ofisi hiyo, wanawakewa Kiislamu wametakiwakuipigania dini yao kwag h a r a m a y o y o t e h a s akatika kipindi hiki kigumu,ambapo dini na wana diniwanaandamwa na aina nyingiza maadui.

    Amiri wa Vijana SheikhShaaban Mapeyo, katika

    uzinduzi wa ofisi hiyo alisemakuwa makafiri walichelewakujua nafasi ya mwanamkekatika jamii, wakati hayoMtume aliyajua tangu enzi zaMitume na akajua umuhimuwa mwanamke katika kuletamaendeleo katika jamii,ndio maana kina Bi. Khada,walikuwa na nafasi kubwakatika kuisaidia dini kusongambele.

    L e o h i i m a k a f i r indio wanagundua kuwamwanamke anatakiwa kuwana haki sawa na mwanaume,ndio pale wanapokuwa namsemo wao kuwa ukionamwanamme ana maendeleoujue kuna mwanamke nyuma

    yake. Lakini Waislamuwanajifunza kutoka kwaMtume Muhammad (s.a.w)na kwa mke wake Khadah,jinsi alivyopigania dini ya

    Baraza Kuu lazindua Ofisi ya WanawakeNa Azza Ally Ahmed Allah kwa kutoa mali yake na

    kumpa Mtume ili kuhakikishadini ya Allah Inasimama..

    Aidha alisema kuwa hivisasa ni vigumu kuwatajaw a s o m i w a k u b w a w a

    Kiis lamu duniani , bi lakuwataja wake zake Mtume( S.a.w) Bi. Aisha (R.a)akiwemo katika kundi hilo.

    Amewataka wanawakehao wa Baraza Kuu kutambuakuwa tayari Allah (sw)ameshawaongoa, basi waweni chachu ya kuhakikishawanawake wengine kupitiawao, wanamjua Mola waokwa vitendo na kuifuata dinikwa ukamilifu wake.

    Aidha amewakumbushakuwa wana jukumu zito lakuhakikisha wanawalinganiakwa uadilifu na kwa mapenzina upole wa hali ya juuwanawake wenzao, ambaoh awaja tam bua jukum u

    kubwa walilo nalo.Amewataka wanawakehao kuwaamsha wenzaoili wajue nafasi zao katikaUislamu na katika kijamii,ili kuweza kuleta maendeoya Waislamu na jamii nzimakwa ujumla.

    Kwa upande wake, Imamuwa Msikiti wa MtambaniSheikh Suleiman Abdallah,amewataka wanawake waKiislamu kujua kuwa Uislamuulipiganiwa na wanawakepamoja na wanaume.

    Walitoa kwa nguvu zao,nafsi zao na mali zao mpakadini ya Allah ikasimama.

    Aidha aliwakumbushakuwa ilipofanyika Hijra ya

    Mtume (s.a.w), hawakuwaw a n a u m e p e k e e , p i awanawake walikuwepokatika vita zilizopiganwaakiwataja wake wa Mtume.

    Amesema ukisoma katikatarekhe, inatuonyesha kuwamwanamke alikuwa wakwanza kufa shahidi, haliinayoonyesha umuhimu waokushiriki katika maendeleo.

    Alisema Bi. Khada, mkewa Mtume ambaye alikuwatajiri mkubwa, baada yakuolewa tu na Mtume, alitoapesa yake yote kumpa Mtumekwa ajili ya kuisimamia diniya Allah (s.w).

    Aidha alisema kazi kubwa

    aliyoifanya Bi. Khada, ndioleo hii Uislamu unaonekanakusambaa duniani kote, ikiwani matokeo ya juhudi kubwaaliyoifanya mwanamke yule.

    Pia ukisoma katika tarekhe,mtu wa mwanzo kumfuata nakumuamini Mtume, alikuwani mwanamke.

    S h e ikh A bd al lah p iaalionyesha jinsi wanawakewalivyo na nafasi katika

    kuleta maendeleo, palealipomzungumzia mke waNabii Ibrahim, Mama yake naIsmail yaani Bibi Hajra.

    N a b i i I b r a h i malipomchukua na kumuachakatika jangwa bila maji walachakula, ndipo pale aliposemaBibi Hajra kumwambiaMtume kuwa kama hilo niagizo kutoka kwa Allah, basiyeye yuko radhi katika hilo.

    H i z o n i h a r a k a t iwalizofanya wanawake enziza Mitume pamoja na nafasi

    zao.Akiwashukuru walewaliotoa michango yao yahali na mali kufanikishakupatikana ofisi hiyo, Ukht.Mayasa Sadallah, ambayen i Kat ibu wa B araza ,akiwashukuru Waislamuwaliochangia Baraza hilohivi karibuni katika ukumbiwa Manispaa ya Kinondoniambapo shilingi milioni

    12 zilitolewa kama ahadna milioni moja tas l izilikusanywa.

    H i v y o a m e w a o bWaislamu wote walioahikutoa michango yao wajitahikuitoa i l i kufanikishmalengo yaliyopangwa.

    Aidha amewakaribishkina mama wa Kiislamkatika Ofisi yao mpya.

    U k h y M a y a samewakumbusha pia kinmama kuhudhuria mkutanwa baraza hilo unaoanza lemkoani iringa Darul uloom

    Mkutano huo hufanyikkwa mwaka mara moja, kujadili changamoto pamona mafanikio, pia mikakawaliojiwekea kuyaingizkatika utekelezaji, mkutanhuo unaohudhuriwa nviongozi wa baraza hipamoja na Maamirat kutokmikoa yote ya Tanzania.

    B a r a z a l a W a dha m i ni

    Masjid Ridhwaa, uliopoKinondoni Mkwajuni JiniDar es Salaam, Jumamosiiliyopita lilitoa pongezina motisha kwa walimuna wafanyakazi wa shuleya Seminari ya Ridhwaa,kufuatia kupata matokeomazuri ya kidato cha sitakatika mwaka huu.

    Hafla hiyo imefanyikashuleni Ridhwa Seminarym wis h o n bi m wa wikiambapo Mwenyekiti waBaraza hilo Mzee RamadhaniSwalehe Tarish, alisemakuwa wamefarijika sanandio maana wameamuakuwapa pongezi walimuna wafanyakazi wenginewa shule hiyo kwa matokeo

    BAADHI ya wanawake wa Kiislamu wakiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzwa ofisi ya Baraza la Wanawake Tanzania mwishoni mwa wiki iliyopita jini Dar e

    Walimu Ridhwaa Seminary wapewa zawadiNa Mwandishi Wetu mazuri ya kidato cha sita

    huku yale ya kidato cha nneyakionekana kuwa ni ya kutiamoyo.

    Tunawomba na kuwasihimkazane na kuongeza juhudiili kupata matokeo yaliyobora zai di ya haya kat ikamtokeo yajayo.

    Bw. Msonde Tarish ambayekitaaluma ni mtaalamu wamambo ya uchumi kwenyefani ya masoko (Marketing),kufuatia matokeo ya kidatocha sita yaliyotangazwa hivikaribuni na Naibu KatibuMtendaj i wa Baraza laMitihani ya Taifa (NECTA)k a t i y a w a n a f u n z i 4 3waliofanya mtihani huo,wanafunzi 42 walifaulu nammoja tu ndiye aliyefeli.

    Aliongeza kuwa kwamatokeo hayo, vijana 40waliohitimu wataweza

    kujiunga na vyuo vikumbalimbali.

    Kwa matokeo hayvana wetu 40 watakwendkusoma shahada ya kwanzm bal im bal i n a wawiw a t a k w e n d a k u s o mDiploma, mmoja tu ndamefeli, hata hivyo shuyetu imekuwa ya 10 kati yshule 31 za mkoa wa Dar esalaam na imeshika nafaya 70 kati ya shule 369 zTanzania nzima. Haya nmafanikio mazuri sana kwshule, vana wetu na jamya Tanzania kwa ujumlaalisema Tarishi.

    Akizungumza kwa niabya Baraza WadhaminMwenyekiti huyo alisempamoja na kwamba zawawalizotoa ni ndogo, lakin

    Inaendelea Uk.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    5/12

    5AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 201Habari za Kimataifa/Tangazo

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

    INAPENDA KUWA TAARlFU MAHUJAJI WAKE WOTE NA WAISLAMU KWA JUMLAKUA:-

    IDADI YA MAHUJAJI WAO WA MWAKA HUU 2013 IMEPUNGUZWA KUTOKA MIA TATUMPAKA MIA MOJA NA SABINI TU. KWA HIVYO;-(a) WALE WOTE W ALIOJIANDIKISHA W A WAHl KUMALIZA KULIPIA GHARAMAZAO.(b) W ALIOJIANDIKISHA TU NA HAW AJALIPIA W AJE KULIPIA AU TUT A

    WAONDOSHA KWENYE ORODHA NA KUW APA NAFASI W ALIOKUW ATAYARI.

    (c) KUWASILISHA PASSPORT AU KOPI ZA PASSPORT KWA MUDA HUU.(d) PICHA MBILI PASSPORT SIZE KW A AJILI Y A VISA.2. (a) BEl YETU NI US DOLA 3550 TU.

    (b) UKIWAHI KULIPIA SA SA NA KUMALIZA TARATlBU ZOTE PUNGUZO NI ASILIMIASITA KWA HIVYOUT ALIPIA US DOLA 3337 TU NA KABLA Y A TAREHE 5 AUGUST 2013.3. KWA MAWASILIANO ZAIDI FIKA OFISINI KWAO;-

    (a) DAR ES SALAAM MTAA W A DOSI NA MKADINI NYUMBA NAMBA 26 MKABALANA SHOW ROOM Y A MAGARI TEL 0713 730444 AU 0785 930444 AU 0773 930444.(b) ZANZIBAR MTAA WA RAHA LEO TEL 0777484982 AU 0777413987 AU WASILIANANA.( c) MAALIM SElF HUMOUD KIJICHI ZANZIBAR TEL 0777417736.(d) ABDALLA SALEH MAZRUI (HOKO) TEL 0715724444 AU 0773 724444 AU 0784724444(e) SALIM IS-HAQ DAR ES SALAAM TEL 0754286010 AU 0774786101KW A BEl NAFUU KULIKO WOTE NA HUDUMA BORA KULIKO WENGI USISAHAU

    AHLUL DAAWA HAJJ AND TRAVEL AGENCY

    Hollande kupambana na chuki dhidi ya UislamuMwanamke Mwislamu mjamzito ahujumiwa

    PARISRais wa Ufaransa FrancoisHol lande, ameahidikupambana na vitendovya kiadui na chuki dhidiya wafuasi wa dini yaKiislamu nchini humo.

    Akizungumza mbeleya halaiki kubwa yawawakilishi wa taasisina asasi za kiserikali nakiraia pembezoni mwaji la Paris, Rais Hollandeamesisitiza kuwa vitendovya chuki na ubaguzi,hasa dhidi ya Waislamuvinapaswa kukomeshwa.

    Miongoni mwa vitendovya chuki na uadui dhidiya wafuasi wa dini yaKiislamu mwaka huu, ni

    mashambulizi kadhaayaliyofanywa dhidi yawanawake waliovaa habukatika eneo la Val- dOise,

    Kaskazini mwa Ufaransa.Viongozi wa Muungano

    wa Taasisi za Kiislamunchini Ufaransa (UOIF),wamesema katika mkutanowao na waandishi wahabari kwamba, chuki nauadui dhidi ya Waislamul i m e k u w a j a m b o l akawaida nchini humo nakuwataka viongozi waserikali ya Paris, kuvunjakimya chao na badala yakekukabiliana na vitendohivyo viovu.

    N a l o B a r a z a l aUtamaduni la Waislamunchini Ufaransa (CFCM)l i m e t a n g a z a k u w a ,zaidi ya Misikiti kumiimeshavunjiwa heshima

    tangu kuanza mwaka huuwa 2013.

    Katika siku za hivikaribuni nchini Ufaransa

    kumeshuhudiwa ongezekokubwa la hujuma dhidiya wanawake Waislamuwanaovaa habu, mitandioau burka.

    W i k i i l i y o p i t amwanamke wa Kiislamualiyekuwa amevaa habu,alishambuliwa na magengeya kibaguzi ya Wanazimamboleo katika kitongojicha Argenteuil jini Paris.

    I m e f a h a m i s h w akuwa mwanamke huyoaliyekuwa na umri wamiaka 21, alikuwa namimba ya miezi minneambayo aliipoteza kufuatiahujuma hiyo.

    Wakili wake anasemaalishambuliwa barabarani

    na watu ambao walaribukupasua mtandio wakehuku wakimpiga mateketumboni.

    K u f u a t i a k i t e n d ohicho cha kinyama, watuwaliokuwa na hasirawaliandamana mbele yaofisi za Meya wa Argenteuil,kulalamikia ongezeko la

    hujuma za magenge yaWanazi mambo-leo dhidiya Waislamu.

    M ey a w a m j i h u oamelaani hujuma hiyo nakusema hatakubali chuki

    kutekelezwa dhidi yUislamu au (Islamophobikatika mji huo.

    Hata hivyo Waislamw a n a s e m a m a k u n d

    ya Wanazi mamboleoy a m e o n e k a n a m j i nhumo na kwamba hakunhatua zozote za kisherizinazochukuliwa dhidyao.

    Rais Rousseff wa Brazilkuitisha kura ya maoniBRASILIARais Dilma Rousseff waBrazil, ameelezea uamuziwa serikali ya nchi hiyowa kuitisha kura ya maonijuu ya marekebisho yakisiasa nchini humo.

    Rais Rousseff amesemakuwa, serikali ya Brazilimeamua kuitisha kurahiyo ya maoni kwa lengo lakukomesha maandamanodhidi ya ser ika l i namachafuko ya kijamiiyaliyoikumba nchi hiyo.

    M a r a b a a d a y akufanya mazungumzona magavana, Mawazirina Mameya wa mi yotenchini humo, Rais Rousseffameongeza kuwa suala la

    kufanyika marekebisho ykisiasa limekuwa likipewkipaumbele na serika

    na kusisitiza kuwa, hivkaribuni watachaguliww a j u m b e w a j o plitakalokuwa na jukumla kutayarisha mchakatwa mabadiliko ya kisiasnchini humo.

    W a n a n c h i wB r a z i l w a m e k u wwakiandamana wakipingg h a r a m a k u b w a zkuandaa fainali za kombla dunia mwaka 201nchini humo, wakitakserikal iboreshe kwanzhali ya maisha na hudumza umma kwa wananchi

    Marekani yazidi kuhangaikana jasusi Edward SnowdenMFANYAKAZI wa zamaniwa Idara ya Ujasusi Marekani(CIA), Edward Snowden,ambaye anatafutwa na taifahilo kwa kosa la uhainikufuatia kutoa taarifa za sirijuu ya mpango wa Marekanikuhusu uchunguzi wamatumizi ya mawasilianoya ki elektroniki, hadi sasahaulikani alipo, licha yaduru nyingi kuendeleakutaja kuwa bado yuponchini Urusi.

    Rais wa Urusi, VladimirPutin, ambaye yupo kimyahadi sasa kuhusu sualahilo la Snowden, huendaakalizungumzia wakati waziara yake katika ji la Turkunchini Finland, ambakoanataraji kufanya mkutanona vyombo vya habari.

    Rais wa Marekani BarackObama, amesema serikali

    yake itatumia njia zote zakisheria kuhakikisha inamtianguvuni mfanyakazi huyowa zamani wa CIA.

    Jumanne hii kulikuwa nataarifa kwamba Snowdenyupo nchini Urusi, ambapoSerikali ya Marekani iliiombaMoscow kushirikiana nayokatika kumsafirisha nchiniMarekani jasusi huyo wazamani wa kituo cha UjasusiCIA, ili kujibu tuhuma dhidiyake.

    Msemaji wa Usalama waTaifa nchini Marekani, CaitlinHayden, amefahamishak u w a k u t o k a n a n aushirikiano wa mataifa

    hayo mawili ulioimarikatangu kutokea mlipuko jiniBoston wakati wa mbio zaMarathon, na utekelezwajiwa usafirishaji wa wahalifu

    wakuu, kuna matumainimakubwa kwamba serikaliya Urusi itamfukuza EdwardSnowden nchini Marekani iliakapambane na mahakama.

    Msemaji huyo alielezakusikitishwa na hatua yaserikali ya Hong Kongk u m u a c h a S n o w d e nkuelekea Urusi, licha ya ombihalali la Marekani la kutakakukamatwa kwake kamaunavyoruhusu mkataba waushirikiano baina ya mataifahayo mawili.

    H a y d e n a m e s e m awamewasilisha lawama zaokwa Hong kong na serikaliya China kupitia njia zakidiplomasia na kufahamishakuwa, uamuzi kama huounaweza kuathiri kwa kiasi

    kikubwa uhusiano uliopo katiya Marekani na Hong Kongna Marekani na China.

    Bw. Edward Snowden,anatafutwa na Marekanikufuatia kuvujisha taarifaza siri dhidi ya taifa hilok w a m b a l i m e k u w alikichunguza mawasilianoya ki elektroniki.

    Taarifa zinaeleza kuwaSnowden, aliwasili Jumapilinchini Moscow akitokeaH o n g K o n g , a m b a k oalikimbilia na sasa anadaiwakuwa anatafuta hifadhi yakisiasa nchini Ecuador.

    M a r e k a n i i m e k u w aikitaka kushikiliwa hatiyake ya kusafiria na kuomba

    mfanyakazi huyo wa zamaniwa CIA na Shirika la Usalamawa Taifa (NSA) kuzuiliwakundelea na safari yake.

    (www. rfi.fr)

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    6/12

    6AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 20TANGAZO

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    7/12

    7AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 201Makala/Tangazo

    INGAWA si kawaida, lakininaomba nianze makala yangu nahitimisho, badala ya utangulizi.Kwamba pendekezo la mfumowa Muungano wenye Serikalitatu (Shirikisho), la Tume yaMarekebisho ya Katiba ya JajiJoseph Warioba, ndiyo mfumosahihi unaotakiwa chini ya

    Mkataba wa Muungano,uliotiwa sahihi na waasisiwake, Mwalimu Julius Nyererewa Tanganyika na SheikhAbeid Amani Karume waZanzibar, Aprili 22, 1964.

    Kwa mantiki hiyo, ilichofanyaTume ya Jaj i Warioba, sikupendekeza mfumo mpya,

    bali ni kurejesha mfumo sahihiuliovurugwa kibabe tofautina kile kilichokusudiwa chiniya Muungano huo, kamatutakavyoona katika makalahaya.

    Kwa hili , hakuna kipyakilichoanzishwa na Tume,mbali na kutukumbusha tukile kilichokusudiwa chini yaMuungano huo wa nchi mbili

    hizo.Mkataba wa k i m atai fa

    uliofikiwa kwa HIYARI katiya nchi mbili zilizokuwa huru;

    Ja mh ur i ya Tan ga ny ik a naJamhuri ya Watu wa Zanzibar,juu ya ushirikiano kwa mambokadhaa chini ya mashartiMAALUM, unajulikana kamaMkataba wa Muungano waTanganyika na Zanzibar.

    Kupinga Serikali tatu ni

    kusaliti Muungano asilia

    Na Mwandishi Wetu

    Mkataba huo ndio uliozaaJa mh ur i ya Mu un ga no waTanzania, kwa nchi mbili hizo

    kujivua mambo hayo tu kilaupande (maarufu kama Mamboya Muungano), na kuyaingizakwenye kapu moja lililoundiwaSerikali ya kuyasimamia, maarufukama Serikali ya Muungano, nakuziacha nchi hizo kubakia namamlaka mengine, kwa yoteyasiyo ya Muungano.

    Mambo kumi na moja (11)kwa mujibu wa Ibara ya 5 yaMkataba huo ni pamoja na; (a)Katiba na Serikali ya Jamhuri yaMuungano; (b) Mambo ya Nje;(c) Ulinzi (si Ulinzi na Usalamakama ilivyo sasa); (d) Polisi; (e)Mamlaka juu ya Hali ya Hatari; (f)Uraia; (g) Uhamiaji; (h) Biasharaya Nje na Mikopo; (i) Utumishiwa Umma katika Jamhuri ya

    Muungano; (j) Kodi ya Mapatokwa watu binafsi na mashirika,ushuru wa forodha na ushuruwa bidhaa; (k) Bandari, usafiriwa anga wa kiraia, posta na simuza maandishi (Telegraphs) .

    K u t h i b i t i s h a k w a m b aTanganyi ka na Zanzi barhazikufa kufuatia kuzaliwa kwa

    Jamhuri ya Muungano, angalia

    matakwa machache yafuatayoya Mkataba wa Muungano. Sotetunafahamu namna Muungano

    huo ulivyofikiwa kwa njia yadharura kwa shinikizo la mataifamakubwa katika kuokoa hali yakisiasa Zanzibar. Kwa dharurahiyo, Muungano ulianzishwa

    bila maandalizi ya Katiba.Kwa hiyo, iliwekwa wazi

    ndani ya Mkataba huo (Ibara ya6) kwamba Rais wa Jamhuri yaMuungano, kwa makubalianona Makamu wa Rais, ambayepia ndiye Mkuu wa Serikali yaZanzibar; (a) Atateua Tume yaKupendekeza Katiba ya Jamhuriya Muungano; (b) AtaitishaBunge la Katiba likihusishawawakilishi kutoka Tanganyika(na si Tanzania wala TanzaniaBara, majina ambayo si yaKikatiba) na kutoka Zanzibar

    kwa idadi watakayoona inafaandani ya mwaka mmoja kutokasiku ya Muungano, kwa ajili yakujadili na kupitisha Katiba ya

    Jamhuri ya Muungano.N i h a r a k i s h e k u t a m k a

    mapema hapa kwamba huundio utaratibu unaotakiwakufuatwa katika kupata Katibaya Jamhuri ya Muungano, na

    kwamba utaratibu uliotumikakatika kutunga Katiba ya 1977inayotumika sasa, kwa kuigeuza

    Tume ya Watu 20 ya vyama vyaTANU na ASP iliyopendekezakuunganishwa kwa vyamahivyo na kuzaa Chama chaMapinduzi (CCM), na kuwaTume ya kupendekeza Katibailiyopo sasa, ni batili kwa mujibuwa matakwa ya Mkataba waMuungano.

    Hivi kwamba uhalali waKatiba hiyo, iliyozaliwa kwautaratibu batili , unahojika.Tume ya sasa ya Jaji Warioba,imezingatia matakwa ya Mkatabahuo wa Muungano, kamayalivyobainishwa kwenye Ibaraya 7 (a) na (b) ya Mkataba.

    Na kwa kuwa ilikuwa dhahirikwamba kwa kipindi cha mwakammoja tangu siku ya Muungano,

    Muungano huo usingekuwana Katiba, ilikubaliwa kwamujibu wa Ibara ya 2, 3, 4 na6 ya Mkataba wa Muungano,kwamba Katiba ya Tanganyikaitumike kwa muda kama Katibaya Muungano, kwa kuingizakatika Katiba hiyo, mambo yotekumi na moja (11) ya Muungano;na hivyo kumfanya (kwa muda)

    Rais wa Tanganyika ambayalikuwa Rais wa Kwanza wMuungano, kuwa Rais wTanganyika na pia Rais wMuungano, chini ya Katiba yTanganyika iliyorekebishwhadi Muungano utakapopaKatiba yake.

    Ilivyotokea ni kwamba Tume ya kupendekeza Katibiliyoteuliwa, wala Bunge Katiba lililoitishwa na hivyk w a k i p i n d i c h a m i a k13 mfulul izo tangu 196Muungano uliendeshwa kwKatiba ya muda hadi mwak1977 ilipotungwa Katiba ya saambayo uhalali wake unahojikkama nilivyoeleza hapo juu.

    Z i p o k u m b u k u m bn a u s h a h i d i w a k u t o s hkuonyesha kuwa Tume yKatiba haikuundwa kutokana nmfarakano baina ya Waasisi wMuungano, kutokana na MzKarume kuamini kuwa aliingMkataba wa Muungano wenySerikali tatu.

    Ndiyo maana, kadri Mwalimalivyokuwa akizidi kusisitizMuungano wenye Serikambili, Mzee Karume alionkama amesalitiwa; na si mahaba alisikika akisema kuwMuungano umembana kamkoti, na hivyo uvunjwe!

    Kwa upande wake, Mwalimkwa kuchoshwa na vitisho vyKarume, alinukuliwa akisemkama Wazanzibari kwa nnjema, na bila ya kurubuniw

    Inaendelea Uk. 9

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    8/12

    8AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 20Makala

    Kupinga Serikali tatu ni

    kusaliti Muungano asilia

    kutoka nje, wataona Muunganounawabana na hivyo hawauhitajitena, asingewapiga mabomukuwalazimisha kuendelea naMuungano huo.

    Na katika kipindi hicho hadisasa, marekebisho lukuki yenyekuleta kero na mkanganyikokwa Muungano yalifanyika ki-imla kwa chukizo na mitafaruku

    ndani ya Muungano. Kwa mfano,kitendo cha kuongeza mambo yaMuungano kutoka kumi na mojaya kimkataba hadi 23, ni ukiukajidhahiri wa Mkataba huo wakimataifa pamoja na sheria mbiliza Muungano (Acts of Union)za mwaka 1964, zilizohalalishautekelezaji wa Muungano huokwa misingi ya Mkataba waMuungano.

    Ukiukaji huo wa Makubalianoya Muungano, bila hofu yakuhojiwa, na ambao kwasehemu kubwa ulifanyika kwaubabe wakati wa utawala waChama kimoja kushika hatamuza uongozi wa nchi, umejengaimani potofu kwamba Serikali yaMuungano inaweza kunyakua

    na kujiongezea mamlaka yoyoteinayofikiri inafaa kufanyahivyo, ambayo vinginevyo nimamlaka ya nchi za Tanganyikana Zanzibar.

    H a y a y a m e w e z e k a n akutokana na sababu kuu mbili.Mosi, ni kwa wananchi kufichwaMkataba wa Muungano, nahivyo tafsiri ya Muungano kuwahaki ya wahafidhina wachachewa kisiasa, tena kwa kupotoshakwa maslahi yao binafsi. Pili,ni ubabe chini ya utawala waChama kimoja, ambapo kuhojiMuungano lilikuwa kosa kubwalinalokaribia uhaini.

    Rais wa awamu ya pi l iwa Zanzibar, Sheikh Aboud

    Jum be, mwa ka 198 4, ali takaufafanuzi juu ya ni upi mfumosahihi wa Muungano, lakini,licha ya kwamba alitumia hakiyake hiyo ya Kikatiba kuhoji,alivuliwa nyadhifa zote zauongozi wa Chama, Muunganona Visiwani.

    D a l i l i z a u b a b e h u ouliozoeleka kutaka kujirudia,z i m e a n z a k u j i o n y e h atunapoambiwa kwamba KamatiKuu ya CCM, hivi karibuniimeketi na kuazimia kukataapendekezo la Muundo waSerikali tatu, na kutaka Muundowa Serikali mbili uendelee,pengine ama kwa makusudi aukwa kutoelewa kuwa wanakiukamatakwa ya Muungano; au kwakuelewa lakini bado wakiaminikwa kujidanganya kwamba

    Watanzania bado wamelala juuya jambo hili.

    Ubabe huo wa kichama,ukiruhusiwa kujirudia, unawezakukaribisha machafuko ya kisiasayanayoepukika, na hata kuvunjaMuungano wenyewe. Wanasiasawetu wanapaswa kusoma vyemaalama za nyakati na hisia zawananchi, na si hisia za viongozi,na kuoanisha kwa makinikero za Muungano ambazozimeyumbisha Muunganowetu tangu uanzishwe miaka49 iliyopita ili kuiepushia nchimitafaruku ya kisiasa.

    A i d h a , W a t a n z a n i aw a m e c h o k a n a k e r o z aMuungano na mitafaruku yake.

    Inatoka Uk. 7

    Ni bora wanasiasa wakaziachasauti za wananchi zisikike katikamchakato huu wa Katiba Mpya.Kutokufa kwa Tanganyikana Zanzibar kama nchi huru,zenye mamlaka ya nchi kwamambo yasiyo ya Muungano,kunathibitishwa na Ibara ya5 ya Mkataba wa Muunganoinayobainisha kwamba pamojana Serikal i ya Muunganokubeba mambo kumi na mojaya Muungano, Sheria zaTanganyika na za Zanzibarzilizopo na zitakazotungwa,zitaendelea kuwa na nguvukatika nchi husika.

    Sheria hizo ni nyingi, lakiniitoshe tu kutoa mifano ya sheriambili za mwaka 1971, miakasaba baada ya Muungano,zilizoendelea kutambua kuwapona kutamka nchi ya Tanganyikakwa kuheshimu Mkataba wa

    Muungano. Moja ya sheriahizo ni Sheria ya Ndoa ya 1971,ambayo imetamka kote kuwa nikwa ajili ya Tanganyika na kwawakazi wa Tanganyika.

    Nyingine ni Sheria ya (muda)ukomo wa Madai (The Law ofLimitation Act) ya mwaka 1971,ambayo inatamka wazi ni kwaajili ya na katika Tanganyikapekee; na sheria nyinginenyingi.

    Kwa mantiki hiyo, kwaniniisiwe kweli kwamba Muunganounaotakiwa na uliokusudiwatangu mwanzo, ni wenye mfumowa Serikali tatu, kwa maana yaSerikali ya Tanganyika na Serikaliya Zanzibar (ambazo hazikufa)na Serikali ya Shirikisho, kwa

    mambo kumi na moja tu yaMuungano?

    Lakini pia, Ibara ya 6 (a)ya Mkataba wa Muunganowa mwaka 1964, inatanabahikuwa; Rais wa Kwanza wa

    Jamhuri ya Muungano, atakuwaMwalimu Julius Nyerere, naatatekeleza shughuli za Serikaliya Jamhuri ya Muungano kwamujibu na kwa kuzingatiamatakwa ya Mkataba huo, kwakusaidiwa na Makamu wa Raiswawili, Mawaziri na Ma-Ofisawengine atakaowateua kutokaTanganyika na Zanzibar.

    Kwa m ael ezo hayo , nikipofu gani atabisha kwambaTanganyi ka na Zanzi barhazikufa baada ya ujio wa

    Muungano? Wanaodai mfumowa Serikali mbili, wanatoa wapiujasiri potofu na wa kihafidhinakupo to sha um m a juu yamfumo halali wa Muunganouliokusudiwa? Watuambie;kama Zanzibar ilisalimika,Tanganyika ilitowekaje?

    Katiba ya Muda ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania yamwaka 1965, kwa kutambuauwepo wa Tanganyika hai, nakwa kuzingatia Mkataba waMuungano, ilibainisha ifuatavyokatika ibara yake ya 13:

    Kutakuwa na Makamuwawili wa Rais wa Jamhuri yaMuungano, ambapo mmojaatakuwa Msaidizi Mkuu wake

    kwa shughuli za kitendajiupande wa Zanzibar, na ambayeatajulikana pia kama Rais naMkuu wa Serikali ya Zanzibar;na mwingine atakuwa MsaidiziMkuu wa Rais kwa shughuliza kitendaji kuhusiana naTanganyika.

    Tena Katiba hiyo hiyo, Ibaraya 20 na 24 (b) inasema: Raisatateua mkuu wa mkoa kwakila mkoa ndani ya Tanganyika,na Bunge litakuwa na uwezowa kurekebi sha i dadi yamikoa kwa Tanganyika na kwaZanzibar

    Na kuhusu majimbo yauchaguzi, Katiba hiyo ya Mudaya mwaka 1965, ikiwa ni mwakammoja baada ya Muungano,na iliyozingatia na kuheshimum atakwa ya Mkataba naSheria za Muungano kabla yakuchakachuliwa na wahafidhina

    wa siasa za kibabe kwa njia yamarekebisho, katika Ibara ya 25(1) na 25(3) inasema:

    Tanganyika itagawanywakatika majimbo kwa kuzingatiawakazi wa majimbo na kila

    jimbo litawakilishwa na mbungemmojaTume ya Uchaguziitapitia upya mgawo wa majimboya uchaguzi ya Tanganyika kilakipindi kisichopungua miakaminane, na kisichozidi miakakumi

    Mara nyingi, ubabe uliotumikakufanyia marekebisho Katibayetu kinyume na matakwa yaMuungano asilia, umefanywa

    kwa maelekezo ya Chama Tawala,hata Chama hicho kufikia kuwasehemu ya Katiba ya Muunganowakati ikifahamika wazi kuwavyama vya siasa si jambo laMuungano.

    Muundo wa Shirikisho lenyeSerikali tatu uliokusudiwa chiniya Mkataba wa Muungano wa1964, na ambao umependekezwapia na Tume ya Katiba ya

    J a j i Wa r i o b a , n i m f u m ounaotambulika kimataifa chiniya Sheria za Kimataifa.

    Ni mfumo ambapo nchizaidi ya moja huungana kwamambo nyeti kadhaa, kama vileuraia, mambo ya nje, ulinzi nausalama, Polisi na kadhalika, nakuyaundia Serikali Kuu mojakuyasimamia, na kuziacha nchihusika kusimamia na kudhibitimambo yake yote mengineyasiyo ya Muungano.

    Bila shaka, wakati MwalimuN y e r e r e a l i p o m w a g i z aMwanasheria Mkuu wakewa Serikali, Roland Brown,Aprili 19, 1964; aandae rasimuya Muungano wa Tanganyikana Zanzibar kwa muundo namfumo wa uhusiano wa Serikaliya Uingereza na Serikali yaIreland Kaskazini, alikuwa namaana ya Muungano aina yaShirikisho kama nilivyoelezahapo juu.

    Chini ya mfumo huo, na kamailivyopendekezwa na Tumeya Jaji Warioba, Tanganyikana Zanzi bar z i tas i m am i a

    mambo yake ya ndani yasiyya Muungano, kama ambavytu Zanzibar inavyosimammambo yake hivi sasa.

    Kwa kuwa, kwa mfanuraia ni jambo la Muunganhapatakuwa na Watanganyikwala Wazanzibari, bali raia wnchi hizi watajulikana kamWatanzania. Vivyo hivykwa kuwa Mambo ya Nje nUshirkiano wa Kimataifa

    jambo la Muungano, Tanzanna si Tanganyika wala Zanzibazitakazofahamika kama nchi aTaifa kimataifa.

    Na ndivyo itakavyokuwkuhusu Ulinzi na Usalamkwamba kushambuliwa kwTanganyika au Zanzibar kushambuliwa kwa TanzaniTanzania, na si Tanganyika waZanzibar, ndiyo itakayokuwdola na Rais wa Tanzanataendelea kuwa Mkuu wVikosi vyote vya Ulinzi na Am

    Jeshi Mkuu.M a a d a m , T u m e y

    Marekebisho ya Katiba ya JaWarioba, kwa mujibu wa Ibara y1 (3) ya rasimu yake, imebainish

    kwamba msingi mkuu wmapendekezo ya marekebishhayo, ni Mkataba wa Muunganya mwaka 1964, ambaykama tulivyoona, unatambumuundo wa Shirikisho lenySerikali tatu, basi msingi huuzingatiwe na kila mtu wakawa kujadili rasimu hii ili tuwekubakiza na kulinda Muunganuliokusudiwa.

    (Makala hii imetolewa kamilivyopatikana katika moja ymitandao ya kamii.)

    Inaendelea Uk

    Walimu Ridhwaa Seminary wapewa zawadiInatoka Uk. 4pamoja na udogo wakelakini inaamanisha jambola shukrani hivyo kuombawahusika waipokee kwamikono miwili.

    Tungeweza kutoa zaidi yahii, lakini wahenga walisemamtu hujikuna kadri ya mkonowake unapofika hata kamani pipi muipokee, ndio kitutulichokichagua kuonyeshafuraha yetu kwenu ,alisisitizaMwenyekiti huyo.

    Hata hivyo Bw. Tarishaliwakumbusha walimu nawafanyakazi wengine washule hiyo kwamba, pamojana matokeo hayo waliyopata,kuna haja ya kuongeza bidiikatika kutekeleza majukumuyao ipasavyo, ili kuleta ta nachachu zaidi ya mafanikio.

    A l i t i l ia m kazo za id imasuala ya nidhamu kwawalimu na wanafunzi wao.

    Aidha alisisitiza walimukupambana vikali na tatizola ucheleweji wanafunzishuleni, kuongeza mkazokatika ufundishaji, kuzingatiausafi wa shule na mazingira,mambo ambayo kwa pamojayataleta ya mafanikio shulenihapo na kwa jamii nzima yaKiislamu.

    K w a u p a n d e w a k e ,Mwenyekiti wa Bodi ya Elimuya Shule hiyo Alhaji HassanMnjeja, ambaye alikuwamgeni rasmi wa tafra hiyo,

    alitoa kongole (pongezi)na shukurani za dhati kwaUongozi wa Baraza la MasjidRidhwaa kwa kutambuamchango wa wafanyakaziwa Taasisi hiyo, akisemakuwa kitendo cha kutoazawadi ni motisha kubwakwa walimu na wafanyakazikatika kuchapa kazi zaidi.

    Alhaji Mnjeja ambayekitaaluma ni mwalimu,alisema motisha ni jambo lamsingi sana kwa wafanyakazikwani huwa ni kichocheokatika kutenda kazi zaidi nakutekeleza majukumu bilakusukumwa.

    A l i s e m a m o t i s h ah u w a j e n g a w a l i m u

    kisaikolojia kwa kufanyakazi zaidi huku wakitarajiakuungwa mkono zaidi.

    A l is i s i t iza um uh im uwa kufanyika mazoezi yaukaguzi wa mara kwa marakwa walimu na wafanyakaziwengine ili kuwakumbushawalimu juu ya majukumuyao.

    Naye Mkuu wa shuleBw. Ahmed Sovu, kwaniaba ya walimu wenzakealiwashukuru Wadhaminikwa zawadi na kujali juhudizao wanazozifanya katikakuhakikisha Seminari yaRidhwaa inarudi katikahistoria yake iliyokuwa nayosiku za nyuma.

    Aidha aliwataka walimu

    kufundisha hasa kwani ndiykazi waliyoajiriwa kwayo.

    Walimu fundishenndiyo kazi yenu na mkichapkazi mtaona faida yake kwamtaitangaza shule yenu nnyie wenyewe mtakuwna soko zaidi. Huko ndikkuupiganiaUislamu na jamya Kiislamu. Alisaa mkuhuyo wa shule.

    Alisema kuwa hatuza kinidhamu zitaendelekuchukuliwa kwa walimna wafanyakazi wengina m b a o w a t a s h i n d wkutekeleza majukumu yaya kufundisha kwa vizingizmbalimbali ambavyo havin

    ta kwa taasisi ya RidhwaSeminari.Aidha Walimu wa semina

    hiyo nao waliwashukurwadhamini kwa kutambumchango wao na kuwapmotisha.

    Mwalimu Mwandamiwa Taaluma wa shule hiyBw. Tanu Kamaze, alisemk w a k a w a i d a z a w a dina pande mbili, moja nfuraha na upande wa pili nchangamoto.

    H i v y o u p a n d e wchangamoto ni walimkuchapa kazi zaidi nakasisitiza kuwa idara yakitaendelea kuwakumbushwalimu wote wajibu wahuo.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    9/12

    9AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 201Makala

    WIKI iliyopita tulikumbushanatakwimu zinazoonyes haukubwa wa tatizo la lisheisiyofaa hapa Tanzania ambayoinasura mbili. Sura ya kwanza nipale ambapo watu wanapokosakula chakula kinachotoshelezamahitaji ya mwili, ambapomatokeo yake hasa kwa watotoni kudumaa au hata vifo.

    Sababu kubwa ya ukosefuwa chakul a ni um asi k i niwa kipato ambapo mtu aufamilia inashindwa kuzalishaau kununua chakul a chakutosha. Moja ya sababu yaumasikini wa kipato ni uvivuna kutokuwajibika.

    Sura ya pili ya lishe isiyofaaambayo inaj i tokeza zaidikwa watu wanaoishi mijini,ni pale ambapo watu sio tuwanamwaga vyakula bali piawanakula sana na kupekeakuugua magonjwa kama vilekisukari , kansa, kiharusi ,shinikizo la damu magonjwaya moyo, na ukusofeu wa nguvuza kiume na kike. Tatizo lashibe iliyopitiliza na kumwagavyakula linasababishwa nauchoyo na kukosa elimu yalishe.

    Leo tutatazam a nam naU i s l a m u u n a v y o h i m i z awatu kuj i tuma kama nj iaya kupambambana na njaainayoletwa na umasikini wakipato, na hatimae kuondo lisheisiyofaa.

    Uislamu umeleweka vibayaNi ukweli usiotaka utafiti

    wa kisayansi kuwa baadhi yawatanzania wakiwemo waislamuni wavivu na hawafanyi kazi iweya kilimo au shughuli zingine.Msiba mkubwa hata baadhi yawaliobobea elimu ya Quranna Sunnah hawataki kufanyakazi, wanaishi kwa kubangaizatu. Kazi za kilimo, ufugaji auzile za ujuzi kama seremalaau ushonaji wanaona ni laana,wakati mitume mbalimbaliwalifanya sana kazi hizo.

    Mwenyezi Mungu akipendafunga ya Ramadhani itaanzaba ada ya si ku ku mi zi jazo .Tutakuja kuona baadhi yawaislamu hasa katika mijiwanakopa ili wanunuwe futarina hana habari tena ya kulipamadeni hhayo. Au waislamuwengine watatumia uwongoili wapate fedha za chakula chafutari na daku.

    Kibaya zaidi, kama ilivyolezwakatika tovuti ya Alhidayakuwa baadhi ya waislamu(waliomasikini) wanajaribukuonyesha kuwa, kuipa nyongodunia ni mtu kuishi kimasikini,na umasikini ni miongoni mwasifa za ucha Mungu, na baadhiyao wanaona kuwa umasikinini moja miongoni mwa Sunnahza Mtume Muhammad (Rehmana Amani za Mwenyezi Munguzimfikie) kwani kiongozi huyoalikuwa masikini na ilikuwainapita siku tatu nyumbanikwake hakukokwi moto kwamujibu wa maelezo ya Mamawa Waumini Aaishah (Radhi zaMwenyezi Mungu zimfikie).

    Mtizamo huo sio sahihi hatakidogo, kama tutakavyokujakuona katika makala haya

    baadae kidogo, in Shaa Allah.Hali katika mkoa wa LindiTutazame hali ya mkoa wa

    Lindi kama mfano wa hali mbayakatika mikoa au maeneo yenyewaislamu wengi hapa nchini,ili tuelewe vizuri hoja yetu yaUislamu kueleweka vibaya.

    Gazeti la MAJIRA la Februari16, 2013, ambalo taarifa yakeya hapa chini kwa kiasi fulani

    Mlo bora kwa aliefunga saumu-2Na: Mujahid Mwinyimvua

    wameitoa kutoka katika Utafitiwa Kidemografia na AfyaTanzania, kwa kimombo unaitwaTanzania Demographic andHealth Survey, inasema kuwaMkoa wa Lindi ni miongonimwa mikoa 30 ya Tanzaniaambapo una jumla ya watu

    596,760, na inakadiriwa asilimia51 ya watu wake wako katikakiwango cha chini cha umaskinicha Taifa.

    Pia, kwa hali ya lishe mkoawa Lindi ni mkoa wa pili kwawatoto wenye udumavu kwaasilimia 54, ukiongozwa namkoa wa Dodoma wenye watotoasilimia 56 wenye udumavu.

    Mkoa huo pia, una watoto waumri wa miezi 0-59 ambao wanauzito pungufu kwa asilimia 23.7,watoto wa umri wa miezi 0-59wana anemia (upungufu wadamu mwilini) ambao sawa naasilimia 76.8.

    Gazeti hilo linazidi kuandikakuwa mkoa wa Lindi ni miongonimwa mikoa yenye fursa nzuri yakilimo, huku wilaya ya Ruangwawakitumia ardhi kwa kilimo kwaasilimia 34 tu, huku wakiwa naeneo la hekta 4332 la kilimo chaumwagiliaji ambapo kati yahizo hekta 80 tu ambayo sawana asilimia 1.8 ambazo kwa sasando zinatumika kwa kilimo chaumwagiliaji.

    P a m o j a n a m k o a h u okutegemea kilimo kama shughulikuu za kiuchumi, wanawakewanaonekana kuwa wazalishajiwakubwa lakini wanaumewanaonekana kuwa wasimamizina wamiliki wa mazao hayo

    baada ya mavuno, matatizo yakinsia (kama talaka) ni tatizokubwa linalojitokeza kipindicha mavuno ambapo wanaumewengi wanaoa wake wengine

    baada ya kuona wana mazaomengi.

    Hali hiyo huchangia kayanyingi zinazoongozwa na

    wanawake kukosa chakulacha kutosha cha kulisha kayazao kutokana na chakula kingikuchuliwa na wanaume.

    Kwa mkoa huu kaya masikinizenye watoto wa umri wa miezi6-24 wanapata tatizo la kula mlowa aina moja katika kipindi chakilimo.

    Uislamu na vita dhidi yaumasikini wa kipato

    Msomi mashuhuri katikaul i m wengu wa k i i s l am u,Profesa Muhammad Qutbkatika kitabu chake cha Islamthe Misunderstood Religion(Uislamu ni Dini IliyofahamikaV i baya) am eo nyesha v yakutosha namna gani Dini yaKiislamu ilivyoeleweka vibayakwa waislamu wenyewe nawasiokuwa waislamu.

    Kuwa na tabia ya uvivu,kudharau kazi za halali na kuwambangaizaji, mkopaji asielipa,na kuona kuwa mtu kuwamasikini ndio ucha Munguni mambo yaliyokinyume naUislamu. Turejee tena hapachini ushahidi uliobainishwa natovuti ya Alhidaya kuhusu hojatulizozieleza hapo juu. Vilevile,tovuti hiyo ikabainisha namnaUislamu unavyofundisha ilikuukabili umasikini wa kipato.

    Uislamu ni Dini ya kazi ni Diniya kuimarisha na kustawishaardhi kama AlivyotuamrishaAllaah. Uislamu si Dini yaomba omba na mtu akawa kilamwaka anasubiri Zakaah naSwadaqah tu, hana kazi yoyote,

    bali tabia hiyo imekemewa vikalina Mtume (Rehma na Amani

    za Mwenyezi Mungu zimfikie)aliposema:

    Hatoacha mtu kuombawatu mpaka ataletwa siku yaQiyaamah na uso wake ukiwahauna kipande cha nyama. (Al-Bukhaariy na Muslim).

    Pia, Mtume (Rehma na

    Amani za Mwenyezi Munguzimfikie) amehimiza watukufanya kazi katika hadithizifuatazo: Hajawahi mja kulachakula chenye kheri kulikokile alichokichuma kwa mkonowake (Al-Bukhaariy).

    Mmoja wenu kubeba kunimgongoni mwake, ni borakuliko kumuomba mtu ampeau amnyime (Al-Bukhaariy naMuslim).

    Alhidaya pia, inatukumbushakwa kusema kazi ndio msingimkuu wa chumo la halali,na ndi o nyenzo m uhi m ualiohimizwa binadamu katikakuijenga ardhi. Na MwenyeziMungu akaidhalilisha ardhikwa ajili ya matumizi na faidaya mwanaadamu.

    Aidha, ardhi ndio msingi

    mkuu wa riziki kwa wanaadamu,na kama mwanaadamu ataitumiavizuri na kwa uadilifu basiutajiri wote umo ardhini, kamavile mazao, chakula, madiniya chuma na mengine, gesiasilia, mafuta, ujenzi wa miundombinu, n.k.

    Mwenyezi Mungu anasemakatika Quran: Yeye ndiyeAliyejaalia ardhi iweze kutumika(kwa kila myatakayo) kwa ajiliyenu, basi nendeni katika pandezake zote na kuleni katika rizkizake (Surat Mulk; 67:15).

    Ni dhahiri kua, aya nahadithi za hapo juu na nyingineambazo hatukuzitaja kutokana

    na nafas i m kuwa ndo go ,zinaonyesha kuwa Uislamu siodini ya kivivu wala ubangaizaji.Na wale wote wenye tabiahizo na hali ni waislamu, hatakama wakiwemo wanaojiona niwasomi wa Quran na Sunnah,wanaufahamu mbaya.

    W a j i b u w a M a s h e i k h n aMaimamuKuna njia mbalimbali za

    kupambana na umasikini wakipato katika jamii. Njia mojani kuwaelimisha wananchiili wauchukie umasikini nakuongeza kasi yao katika kuibuafursa zinazowazunguka nakujiletea maendeleo.

    Kama tulivyoona hapo juumsisitizo wa Quran na Sunnah,tunawaomba Masheikh naMaimamu zetu waliomstariwa mbele katika kuupiganiaUislamu, kuongeza juhudi zaohizo hasa katika ajenda ya vitadhidi ya umasikini.

    Licha ya rasimali nyingikuwepo katika mikoa yenyewaislamu wengi kama vile ardhiyenye rutuba, lakini waislamukatika mikoa hiyo ndio masikini

    zaidi hapa Tanzania na wenwao hawajitumi.

    Katika mwezi unaokuja wRamadhani, nguvu zielekezwkatika mapambano dhidi yumasikini wa kipato na ule wkifikra, na kila msikiti uandmpango kazi wake. Pia kimsikiti lazima uwe na kamana kuanza kutafuta ardhi nje ymji na kuanza mradi wa kilimna ufugaji. Ili ikifikia Ramadhaingine watu wapate futari kutok

    shambani kwao.Na vilevile wanyama w

    kuchinjwa katika msimu wa Hya mwakani (2014/2015) watokkatika shamba la msikiti. Bila yhivyo, omba omba tunaowaonleo katika misikiti ya mijiwataongezeka na hatutawekuwanusuru ndugu zetu haambao wengi wao ni kinmama na watoto zao. Baadya kinamama hao ni wajane awamekimbiwa na waume zakwa sababu mbalimbali ikiwemmaisha magumu.

    T u m u o m b e M w e n y eMungu atukutanishe wiki ayili tuone namna Quran nSunnah zilivyoelekeza maswaya vyakula, lishe na ujenzi wafya bora.

    CHUO CHA UALIMU UNUNIO

    DAR ES SALAAM

    MAFUNZO YA UALIMU 2013

    NAFASI ZA MASOMO

    SIFA ZA MUOMBAJI

    KUJIUNGA NA CHUO PIGA SIMU MOJA KWA MOJA CHUONI

    FOMU ZINAPATIKANA KWA MAWAKALA WETU MIKOANI AU PIGA SIMU MOJA KWA MOJA

    CHUONI A U SHULENI, HAKIKISHA UMEPEWA FOMU ZA CHUO CHA UALIMU UNUNIO SI VINGINEVYO

    BISMILLAHIR RAHMANIR R AHIIM

    USAJILI NA:

    CU. 112

    STASHAHADA (DIPLOMA)AWE AMAMALIZA KIDATO CHA SITA NA KUPATA

    KUANZIA PRINCIPLA (E) 1 NA SUBSIDIARY (S)-1

    CHETI (GRADE III A)AWE AMAMALIZA KIDATO CHA NNE NA

    AMEPATA ALAMA ZISIZOZIDI DIV IV-27

    ALIYERUDIA (RESITING) AWE NA C-4

    CHUO NI CHA BWENI KWA WASICHANA NA WAVULANA HUDUMA ZETU NI ZA KIWANGO CHA

    HALI YA JUU. ADA NI NAFUU SANA KULIKO POPOTE NA INALIPWA KWA AWAMU WAHI SASA

    NAFASI NI CHACHE WAHITIMU WOTE WANAAJIRIWA SERIKALINI

    MKUU WA CHUO

    0713 673495

    MSAJILI

    0715 822332

    0756 822332

    0784 822332

    NAFASI ZA KIDATO CHA TANO F5 KWA WASICHANA COMB ZOTE

    NA WANAORUDIA MTIHANI ZINAPATIKANA KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL

    KWA MAWASILIANO PIGA 0713 465437AU 0713 515054

    CHUO KITAFUNGULIWA

    TAREHE 16/07/2013.

    CHUKUA FOMU MAPEMA0713673405

    Masjid Mtambani inawatangazia Waislamu wotekuhudhuria kwa wingi katika Mhadhara Mkubwa

    utakao fanyika tarehe 28/06/2013 baada ya swala ya

    Ijumaa msikitini hapo na tarehe 29/06/2013 siku yaJumamosi hapo hapo mtambani mhadhara utaanza

    saa 3:00 Asubuhi Kina mama tu.

    Mhadhiri: Babie Sheghele au maarufu baba Kiruwashakutoka Morogoro.

    Wabillah Tawfiq

    Muhadhara

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    10/12

    10AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 20Makala

    A s s a l a a m u a l e i k u mw a r a h m a t u - L l a h iwabarakatuhu,

    Hja ni nguzo ya tano naya mwisho katika nguzo zaKiislamu. Lakini hakunanguzo iliyochambuliwa nakuwekwa bayana zaidi naMwenyezi Mungu katikaQurani kuliko Hja. Qur ani

    inatosha kabisa kumwezeshaMwislamu kuhi kikamilifuna kwa ufanisi mkubwa.Hoja hii inaashiria umuhimuwa Hijja katika maisha yaMwislamu. Hja imekusanyamafunzo na hekima zilizomokatika nguzo zote nyengine,na kisha imekamilishauzuri wa Uislamu. Hivyokiumbe yoyote (Jini aumwanadamu) hawezi kubunijambo lolote, katika nyanjayoyote ya maisha, ambalolinaleta manufaa zaidi kwawengine kuliko mafundishoya Uislamu. Hivyo ni lazimaWaislamu tufahamu Hekimaau falsafa, madhumuni aumalengo, na mafunzo au

    faida za kila moja ya nguzona miongozo ya Uislamu.Kukosa kwetu kufahamu

    mambo haya ndiyo sababukubwa inayozuiya Waislamutusikae katika nafasi yetu yakuiongoza dunia.

    MADHUMUNI NA MALENGO YAHIJJA:

    Hivi tunapokwenda Hjatunategemea kufanikishalengo gani; au kwa ninitumeamrishwa kwendaHijja? Ni imani yangukwamba kama jibu la swalihili lingefahamika vyema,Watanzania tungejaza ndegenyingi kwenda kuhiji kilamwaka musimu unapoingia.

    Ni kweli kabisa kuwa Hjahaiko katika mipango yawengi miongoni mwa vanawa ki-Islamu wenye uwezo wakifedha, afya, na mengineyo.Baadhi yao wanaona Hijjani jambo la kuzingatia mtuanapofikia umri mkubwa.Wasiokuwa wachambuziwanaweza kuiona Hijjakuwa ni mzigo au tatizo, napengine kuhisi inapingana naHoja ya Mwenyezi MunguAnayoikariri katika Qur-anikuwa:

    (Mwenyezi Mungu)Hakuweka amri yoyotengumu katika Dini (Al-Hajj, 22:78)

    Au kuwa: MwenyeziMungu Anakutakieni yaliyomepesi wala hakutakieniyaliyo mazito. (Al-Baqara,2:185)

    Bila shaka karne mojatu iliyopita haikuwa rahisikwa mahujaji wanaotokaKigoma, kwa mfano, kwendaHja. Hakukua na kipandoch o ch o te wakat i h uo ;si ndege, wala Reli, walamagari, nk. Wanahitaji mudagani kufika Dar es Salaam;na kama wakiondoka watu100, wangapi unadhaniwangekuwa na nafasi yakufika salama. WanaofikaD ar es S a laam s a lam awanasubiriwa na safari yabahari kuu yenye mawimbimakali kwa kutumia majahaziyanayotegemea upepo yamuda usiopungua mwezibah arini kuelek ea Jiddah.

    Malengo, faida, na falsafa ya Hijja(Mwandishi: Muhammad AbdulRahman Dedes, Zanzibar.)

    Na wafikao Jiddah salamawanasubiriwa na safari yajangwan i hadi Makka naMadina. Bila shaka safarihiyo ni ngumu na nzito. Nikweli kabisa kuwa safari hiyoilikuwa ngumu sana na nzitosana.

    Wako wasafiri wengikarne zilizopita walikuwawakifanya safari nzitona ngumu kama hizo nakuliko hizo kwa ajili yakutafuta dunia, yaani malina mengineyo, bila ya kuwana uhakika wa mafanikio.Waliongozwa na tamaa yakibinaadamu tu. Hakukuwana uhakika wowote wa

    mafanikio. Lakini walitumiam al i zao , n guv u zao ,kuacha familia zao, bali nakubahatisha uhai wao katikakufanya safari ndefu nanzito. Ilikuwa pata potea,wakifanikiwa walitegemeamambo yatakuwa mazurikatika maisha yao yaliyosalia,pindipo wakifa inakuwa basiajali kazini. Wachachemiongoni mwao waliridhikakuwa wakifa jina lao litabakilikitajika duniani. La muhimukatika maudhui yetu hapa leoni kuwa watu hao hawakuwawameamrishwa na MwenyeziMungu. Tofauti yao nasisi Waislamu ni kuwa sisitumeamrishwa na Allah.Kwa bahati nzuri MwenyeziMungu Ametuambia kuwa

    Hakuacha kitu katika KitabuChake; yaani hakuna swaliila majibu yake yanapatikanakatika Kitabu Kitakatifu,Qurani.

    Katika Qurani, Suratil Hajj(22), Aya za 27-30, MwenyeziMungu Anatoa majibu ya kwanini akatuamrisha kwendaHijja. Mwenyezi Mungu(SW) Anasema:

    Na watangazie watuHijja.ili washuhudiemanufaa yao na walitaje jinala Mwenyezi Mungu katikasiku maalumna waizunguke Nyumbaya Kale.Hayo ndiyokheri yake mbele ya Molawakekwa kumtakasiaimani Mwenyezi Mungu, bilaya kumshirikisha. (22:27-31)

    Hivyo malengo ya Hijjani:

    1. K u i t i k i a w i t ow a M w e y e z i M u n g uAliyetuumba (22:27), jamboambalo ni haki Yake Allah(3:97)

    2. Kushuhudia mamboyenye manufaa kwetu;

    3. Kutaja jina la Allahkatika siku tukufu na katikaardhi takatifu.

    4. Kuizunguka nyumba(takatifu) ya kale kwa vilehiyo ni kheri kwetu.

    Na hayo yote tukayafanyekatika hali ya kumtakasiaMola imani zetu (22:31).

    Katika kufafanua maana ya

    Aya ya 28, Sayyidina Abdullaibn Abbas (RA) amesemakuwa manufaa ambayo AllahAmewaandalia wageni wake(yaani mahujaji) yanapatikanakatika maisha Hajji hapaduniani na pia kesho Qiyama.Siri ya manufaa haya Anauam w e n y e w e M w e n y e z iMungu. Lakini hapana shakani makubwa sana kulikotaabu, gharama na mitihaniinayomkuta Mwislamuanapofanya safari ya Hja.

    WAKATI GANI TWENDE HIJJA?M w e n y e z i M u n g u

    Ameweka wazi katika Qur ani(Suratul Hajj, Aya 27) kuwaYeye ndiye aliyetoa WITO wakwenda kuhi kwa anayepata

    uwezo. Hali kadhalika, AllahAmeitangaza Hijja kuwani HAKI yake kutoka kwawatu:

    Na ni haki ya MwenyeziMungu juu ya waja kuwawahiji katika nyumba hiyokwa mwenye kuweza kuendeanjia hiyo. Na atakayekanusha,basi Mwenyezi Mungu siyoMuhitaji kwa walimwengu.(Aal Imran, 3:97).

    Katika Aya hii, MwenyeziMungu Amebainisha kuwaambaye hakwenda kuhijina ilhali ya kuwa mtu huyoaliwahi kuwa na uwezofulani katika maisha yake,basi Allah hana haja nayetena. Ufafanuzi wa manenohaya ya Allah unapatikanakatika Hadithi mbali mbali.

    Kwa mfano, katika Hadithiiliyonakiliwa na Imamu AbiDaud, Bwana Mtume(SAW)amesema:

    Hakuna dharura katikaUislamu, Mwislamu ambayehakuhiji (na ilhali aliwahikuwa na uwezo wa kuhi),basi Uislamu hautomtambua( y a a n i h a t o h i s a b i w amiongoni mwa WaislamuSiku ya Qiyama) .

    Kwa maana hiyo BwanaMtume (SAW) ametoa witokwa kila Mwislamu kwakusema,

    Harakizeni kwenda Hjakwani hakuna anayeyajuay a l i y o m b e l e y a k e .

    (Usbuhani)Mauti hayana miadi,wala hayachagui umri,wala chochote chengine.Kadhalika uwezo unawezaikatoweka wakati wowote,na mwanadamu unawezaukazukiwa n a m am bobaa da ye katika ma ishayako ukakosa nafasi yakwenda Hajj. Ukweli huuunabainishwa na BwanaMtume (SAW) katika Hadithiiliyopokelewa na SayyidinaAbdullah ibn Abbas (RA)kama ifuatavyo:

    M w e n y e k u t a k akwenda Hijja, basi afanyeharaka. Kwani anawezakuja kuumwa, au anawezakupotelewa na uwezo wakumudu masurufu ya safari,

    au anaweza kutokezewana haja, (na akashindwakwenda). (Ahmad na AbuDaud)

    Hivyo Mwislamu apatapotu uwezo anatakiwa asingojekuoa wala kujenga walaasingoje kufika umri mkubwa,wala jengine lolote. Afuatewasia wa Mtume (SAW), maratu apatapo uwezo, hata akiwandio kwanza amebaleghe,akimbilie kutekeleza fardhina haki ya Muumba kwavile hajui mja yaliyo mbeleyake. Kubwa kuliko yoteMwislamu asiye akafa kablaya kwenda Hja! Maimamuwatatu wamewafikiana kuwawajibu wa kwenda Hijjaunamthibitikia mwislamumara tu anapopata uwezo.

    HADHI NA HESHIMA YA HAKATIKA UISLAMU:

    Anayekwenda kuhikwa kuitikia wito wa Allaanakuwa mgeni wa MwenyeMungu. Mwenyezi MungAnawaenzi na Anaoneshfuraha na mapenzi yakkwa mahujaji katika lughAnayotumia kuwahutubmahujaji katika QuranAllah anasema:

    Na jitengenezeeni zawadKwa hakika zawadi borkuliko zote ni ucha MunguNa nicheni Mimi enyi wenyakili! (Al-Baqara, 2:197)

    Tamko la Uuli-l-albaablimetumika katika Qur-ankama ni tamko maalum kwwatu maalum wanavyuonwenye kumjua Allah nkufahamu hekima na busarza amri zake na kuziaminLakini ni pahala pawili tkatika Qurani tamko hilimetumika katika sura tamuya upenzi, na ya kubembelezYaa uli-l-albaab, yaanEnyi wenye akili!.

    Hivyo Waislamu tunahitatufahamu kuwa anayeamukuchanga fedha zake n

    akafunga safari ya Hijanakuwa amefanya uamuunaothaminiwa mno nAllah. Heshima yake kwMola Mkarimu inakuwkubwa sana. Bali MwenyeMungu Ameonya katikQurani kuwa mtu wa ainhiyo anapokuwa katika safahiyo aheshimiwe sana nasivunjiwe heshima kabisHoja hii inapatikana katikAya ifuatayo:

    E n y i m l i o a m i nmsivunje heshima ya wan ao ien d ea N yum bTakatifu wakitafuta fadhikutoka kwa Mola wao nradhi zake. (Al-Maida, 5:2

    Hajji anadhaminiwa nMola wake wakati wote tanganatoka nyumbani kwakkwa kuitikia wito huo wkwenda Hja mpaka anarudUfafanuzi huu unapatikankatika Hadithi ya Mtum(SAW) iliyopokelewa nSayyidina Jabir(RA), kamifuatavyo:

    Hakika nyumba h(Al-Kaaba) ni nguzo katiknguzo za Kiislamu. Mwenykuikusudia kwa Hijja aUmra amedhaminiwa nAllah, akifa MwenyezMungu Atamtia Peponna akirudi kwa watu waksalama atarudi pamoja nujira mkubwa na zawad

    nyingi. (Aabraany)Katika Hadithi nyengine y

    Sayyidina Jabir (RA), Mtum(SAW) amesema,

    Mwen ye kuf a n j iankwenda Makka au kurudbasi hatokusanywa Siku yQiyama wala hatohisabiwa(Usbuhani)

    T u t a k a p o k u s a n y wSiku ya Qiyama kungojkuhesabiwa kwa miakisiyo na hesabu, wenzetwanaokufa katika safari yHja hawatokuwemo. Wawatafufuliwa huku wanaleTalbiya na watavushwa mokwa moja na kupelekwPeponi.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    11/12

    11AN-NUU

    SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 201Tangazo

    Bismillaahir Rahmaanir Rahiim

    ISLAMIC PROPAGATION CENTREMAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI PAMOJA

    NA NGAZI YA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2013 / 2014

    Wafuatao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Stashahada pamoja na Ngazi ya Che kwa Vyuo vya Ualimu vyaKirinjiko Islamic Teachers College na Ubungo Islamic Teachers College kwa mwaka wa masomo 2013 / 2014.

    A: MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA

    NA. JINA KAMILI JINSICHUOALICHOCHAGULIWA

    ABDALLAH H. HASSAN ME UBUNGO T.C

    2. ABEIDI SALIMU ME UBUNGO T.C

    3. AHMADI BAKARI MNUNGAMO ME UBUNGO T.C

    4. ALLY SINGANO ME KIRINJIKO T.C

    5. EFREM F. BAKARI ME UBUNGO

    6. HAMAD H. ALI ME UBUNGO T.C

    7. HAMIDU M. NGUHWE ME UBUNGO T.C

    8. HEMEDI J. SHEIZA ME KIRINJIKO T.C

    9. KIZAMI K. WASAGA ME KIRINJIKO T.C

    10. MAULID ABASI RAMADHANI ME KIRINJIKO T.C

    11. MIRAJI M. MANGA ME UBUNGO T.C

    12. MZAMIRU B. MUSSA ME UBUNGO T.C

    13. NASSORO J. MWERANGI ME KIRINJIKO T.C

    14. RAMADHANI BARIYE ME UBUNGO T.C

    15. RASHID Z. ATHMAN ME KIRINJIKO T.C

    16. SULEIMAN S. MOHD ME KIRINJIKO T.C

    17. FATMA SULEIMAN SIGE KE UBUNGO T.C

    18. MARYAM M. ALLY KE UBUNGO T.C

    19. MWAJUMA S. LUHULO KE KIRINJIKO T.C

    20. MWANAARABU HEMEDI KE KIRINJIKO T.C

    21.RUKIA KINONGO UPINDE KE KIRINJIKO T.C

    ZUWENA SH. SALEHE KE UBUNGO T.C

    B: MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI (KIRINJIKOISLAMIC TEACHERS COLLEGE)

    NA. JINA KAMILI CHUO

    ABDULRAHMAN HEMED SAID ME KIRINJIKO T.C

    2. ABUBAKARI LAHE ABUBAKARI ME KIRINJIKO T.C

    3. ALMAS KASSIM ME KIRINJIKO T.C

    AMRI NASORO FARAJI ME KIRINJIKO T.C

    DOTTO BAKARI MASALU ME KIRINJIKO T.C

    HASSAN ABBAS MSANGI ME KIRINJIKO T.C

    7. JUMANNE ATHUMAN MALILO ME KIRINJIKO T.C

    8. MAULID MOHAMED LIGAGA ME KIRINJIKO T.C

    9. MKUDE KOMU MOHAMEDI ME KIRINJIKO T.C

    MOHAMED HUSSEIN ME KIRINJIKO T.C

    MOHAMED MILANZI ME KIRINJIKO T.C

    MUSTAFA SAADI ME KIRINJIKO T.C

    13. MWALIMU MWATANDA ME KIRINJIKO T.C

    14. SIRAJI ATHUMAN BONYA ME KIRINJIKO T.C

    NA. JINA KAMILI CHUO

    TANUWIR IDRISA MWITAGE ME KIRINJIKO T.C

    BIHAWA JAMALDIN KE KIRINJIKO T.C

    BIHUSNA MZAMILO KE KIRINJIKO T.C

    18. FATIME A. BAKARI KE KIRINJIKO T.C

    19. HADIJA HABIBU SHABANI KE KIRINJIKO T.C

    HAFSA CHAREMA KE KIRINJIKO T.C

    HAWA MOHAMEDI KE KIRINJIKO T.C

    KULTHUM SUDI LEMA KE KIRINJIKO T.C

    23. MARIAM ABDALLAH ALLY KE KIRINJIKO T.C

    24. MARYAM KHAMIS ALLY KE KIRINJIKO T.C

    25. MWADAWA OMARY OTHMAN KE KIRINJIKO T.C

    MWAJABU TWAHIR OTHMAN KE KIRINJIKO T.C

    MWAJUMA HASSAN KE KIRINJIKO T.CMWAJUMA SHAFII KANGILE KE KIRINJIKO T.C

    29. MWANTUMU RAHIIM MDEE KE KIRINJIKO T.C

    30. NUSWAIBA HASHIM OMAR KE KIRINJIKO T.C

    SHAKILA ISMAIL MYOVELA KE KIRINJIKO T.C

    SHAM CHANZI KE KIRINJIKO T.C

    SITI BAYUNI MUNISI KE KIRINJIKO T.C

    34. TAUSI SAIDI MSEKWA KE KIRINJIKO T.C

    35. UMMUKULTHUM OMARY KE KIRINJIKO T.C

    36. WARDA YUSUF KITUTA KE KIRINJIKO T.C

    ZAINABU ABUBAKARI MKUKI KE KIRINJIKO T.C

    ZAKIA A. SHEMNKAI KE KIRINJIKO T.C

    ZENA ABUBAKARI MVUNGI KE KIRINJIKO T.C

    Maelekezo ya kujiunga na Chuo yanapakana Kirinjiko Islamic

    Teachers College (Same), Ubungo Islamic Teachers College(Dar es Salaam) na Nyasaka Islamic Secondary School (Mwanzakuanzia tarehe 02/07/2013.

    Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mkuu wa Chuo cha Ubungo IslamicTeachers College kwa simu namba 0712 557099 / 0688131397au Mkuu wa Chuo cha Kirinjiko Islamic Teachers College kwasimu namba 0787 188964 / 0657 705878.

    MUHIMU:

    Usaili wa mara ya pili Ngazi ya Che kwa wale waliochelewakuchukua fomu utafanyika siku ya Jumamosi ya tarehe20/07/2013 kaka vituo vya:- Kirinjiko Islamic TeachersCollege (Same), Ubungo Islamic Teachers College (Dar esSalaam) , Nyasaka Islamic Secondary School (Mwanza),MkuzoIslamic Secondary School(Songea Ruvuma) na Katoro IslamicSecondary School(Bukoba) Inshaallah.

    Usaili wa mara ya pili Ngazi ya Stashahada utafanyika vyuoni:Kirinjiko Islamic Teachers College (Same) na Ubungo IslamicTeachers College (Dar es Salaam) kwa maelekezo zaidi wasilianana wakuu wa vyuo husika . (Ubungo T. C :- 0712 557099 /

    0688131397, Kirinjiko T.C :- 0787 188964 au 0657 705878)

    Fomu zinaendelea kutolewa na zinapakana kwa mawakala

    wetu kote nchini.

    Wabillah Tawfiiq

    MKURUGENZI - IPC

  • 7/28/2019 ANNUUR 1077

    12/12

    12 MAKALA

    AN-NUUR12 SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 28 JULAI 4, 2013

    Usikose kusomaAN-NUUR kila

    Ijumaa

    MKANDA (CD) uliorekodiKongamano la Sheikh PondaIssa Ponda, siku moja baadaya hukumu yake imesababishakipigo kwa Muislamu kutokakwa Polisi Wilayani Gairo,Mkoani Morogoro.

    Akiongea na gazeti hili kwa njiaya simu mapema wiki hii akiwakatika kituo cha Polisi Wilaya yaGairo, Bw. Ashraf Rafael, amesemaalipigwa ngumi ya taya na kifuanina afande aliyemkamata, pamojana kutii amri.

    Muislamu huyo, amelalamikiakipigo hicho na kudai kuwaimemsababishia maumivu makalikichwani na kifuani huku akidaikunyimwa fomu ya matibabu yaPolisi (PF3), kutoka kituoni hapo.

    Bw. Ashraf, alisema alikamatwaJuni 19, 2013, akiwa katika ofisiya kaka yake ya kurekodi akiwaakiangalia Kongamano la SheikhPonda, alilofanya Msikiti waMtambani, siku moja baada yahukumu yake.

    Tulikuwa katika ofisi ya nduguyangu ya kurekodi CD, iliyopohapo Gairo, tulikuwa tukiangaliasisi wenyewe CD ile, wakajamaafande na kutuambia kuwatunafanya uchochezi kupitia ile

    CD.Sasa nipo kituo cha Polisi

    cha Wilaya ya Gairo, hapanimekuja kuchukua PF3, kwasababu nilipigwa siku ile lakiniwananizungusha tangu asubuhinimewaeleza lakini hawanipi.Alisema Bw. Ashraf.

    Alisema, akiwa ofisini hapoalikamatwa na askari mmoja akiwaamelewa huku akimtukana, kishaaliamuriwa kupanda katika garilao.

    Bw. Ashraf, alidai kwambawakiwa wanaelekea katika kituocha Polisi, akiwa yeye na afandehuyo aliyelewa alimshambulia kwangumi mbili, moja katika taya naingine puani.

    Alisema, baada ya kufikishwakituo cha Polisi majira ya saatatu us iku walimlaza selo,

    kesho yake asubuhi Waislamuwalifuatilia suala hilo, lakiniwakawa wanazungushwa kumpatiadhamana.

    Baada ya kutwa nzima, ya sikuiliyofutia, majira ya jioni ndipowalinipatia dhamana, hata hivyoleo (Jumatatu Juni 24, 2013) nipohapa kituo cha Polisi, nina maumivumakali sana katika sehemu nilizopo

    pigwa. Alisema Bw. Ashraf.Alisema, akiwa kituoni hapo,

    akidai PF3 ili aende hospitali kwaajili ya kupata matibabu, maafandehao waligoma kumpatia wakidaikwamba hakupigwa.

    Ikiwa wataninyima kabisai tabidi niondoke, nikamezevidonge vya maumivu tu, lakinikutokana na maumivu niliyonayonahitaji kwenda hospitali nikapate

    Polisi amchapa makondekijana akimsikiliza Ponda

    Na Bakari Mwakangwale vipimo zaidi kwani toka siku hiyonikiinama damu inatoka puani.Alisema Bw. Ashraf.

    Akiongea huku akikatishamazungumzo kwa kukohoamara kwa mara, alifafanua kuwatoka alipokamatwa hajapelekwaMahakamani, kwani baada yakupata dhamana alitakiwa aruditena kituoni hapo siku ya Jumatatu(wiki hii).

    Bw. Ashraf, alidai kuwa akiwakituoni hapo maafande walimuelezakuwa, CD hiyo inaleta uchochezina yeye anafanya ushawishi wauchochezi wa kidini.

    Alisema, hata katika jarada lakela mashitaka wameandika Kesiya ushawishi wa uchochezi wakidini, na kudai kwamba anaipingaSerikali.

    Bw. Ashraf, alidai kukataa madaihayo aliyoelezwa na Polisi, nakuwaeleza kwamba Sheikh Pondani kiongizi wake, na anafuatiliamawaidha yake na maelekezoyake.

    Alisema, alitoa maelezo yakekuwa alilazimika kununua CD, hiyokwani hakufanikiwa kuwepo sikuambayo Sheikh Ponda alihutubiaWaislamu Mtambani.

    Walinihoji mambo mengi sana,walichukua maelezo yangu, nawaliniuliza nilichukua CD hiyo

    kwa madhumuni gani niliwaelezakwa madhumuni ya kuona nakupata ujumbe kutoka kwa viongoziwangu kwa kuwa sikuwepo sikuya mkutano huo. Alisema Bw.Ashraf.

    Bw. Ashraf, alisema Polisialiyekuwa akimuhoji alichukuamaelezo yake yote lakini alikataakuandika kuwa amepigwa naafande mwenzake, badala yakealiambiwa atakutanishwa na mkuuwa upelelezi ambaye ndiyo bosi waokwa ajili ya malalamiko yake.

    Lakini mpaka natolewa kwadhamana, sikukutanishwa na huyoafande mpelelezi, leo nafika hapa(Jumatatu) na waeleza wananijibukwa jeuri, nimewaomba hatawanipe dawa kupitia huduma yaoya kwanza (First ID) wamesemawao sio duka la dawa. Alisema

    Bw. Ashraf.Hata hivyo alidai kwamba,Afande mmoja aliamua kumpigiaDaktari mmoja simu mbele yakeakimtaka ampokee kwa ajili yamatibabu.

    Afande mmoja alihoji kuwakama shida yangu ni kwendahospitali, nikamjibu ndiyo, aliamuakumpigia simu daktari mmoja wahospitali ya Gairo, na kusema kunamhalifu anakuja umpatie matibabu,hata hivyo daktari huyo alikataa.Alisema akirejea maongoze yakena Afande huyo.

    Akizungumzia sakata hilo,Katibu wa Shura na Jumuiyana Taasisi za Kiislamu MkoaniMorogoro, Ustadh Jaffar Siraj,alidai kwamba Polisi WilayaniGairo, wanafanya kazi kwa udini

    zaidi kuliko kufuata maadili yakazi yao.

    Alitolea mfano akirejea tukiokatika kipindi cha Sensa ya watu namakazi, kwamba pamoja na Serikalikutoa amri kutaka waliokamatwawaachiwe, lakini Polisi wa Gairowaliendelea na kesi hizo ndani yamiezi sita.

    Huyu Ashraf, ana kaka yakealikamatwa na Polisi hao haowakidai anashawishi Waislamuwasishiriki sensa, waliendelezakesi hiyo Mpaka miezi miwiliiliyopita, baada ya kulalamikiasuala hilo kwa RCO wa Mkoa,ndipo ilipomalizwa. Alisema Ust.Siraj.

    Alisema, kwa sasa wanakusudiakwenda Gairo, kuzungumza naMkuu wa Polisi wa Wilaya, ilikumkabili na kumueleza waachekufanya kazi kwa mtazamo wakidini zaidi.

    Alifafanua kwamba, CD ilehaijapigwa marufuku na wala sikosa mtu kufuatilia mawaidha yaimani yake, ndio sababu wanahizihatua aliyochukuliwa Muislamumwenzao ina harufu ya chuki zakidini zaidi.

    Gazeti hili lilipo wasiliana naKamanda wa Polisi Mkoa waMorogoro (RPC), kwa njia yasimu kuzungumzia kadhia hiyo,

    simu yake ilikuwa ikiita bilakupokelewa.

    Hukumu ya Shkh. Ponda Issa

    SHEIKH Ponda Issa Ponda.

    Ponda na wenzake ilitolewa katikaMahakama ya Kisutu, Jijini Dar es

    Salaam, Mei 8, 2013.Ambapo, Ijumaa ya Mei 9,

    Sheikh Ponda, alihutubia Waislamu

    kati Msikiti wa Mtambani, pamona mambo mengine, aliwatak

    Waislamu kuendelea kupiganhaki zao na kuimarisha umoja mshikamano miongoni mwao.

    WAUMINI wa Kiislamuwamej i to lea kuchangiakutoa damu katika zoezilililofanyika katika Msikitiwa Morogoro, Ilala Jijini Dares Salaam, baada ya swala yaIjumaa Juni 21,2013.

    Zoezi hilo limefanyika ikiwani sehemu ya kutekeleza mpangowa Taifa wa Damu Salama,

    kwa ajili ya kuokoa maishaya wagonjwa mahospitalinimbalimbali nchini.

    Kiongozi na Mtalamu wadamu Bw. Linus Kupuya,alisema Mpango wa TaifaDamu salama ni endelevu nasababu zilizosababisha kufanyazoezi hili misikitini ambakoni maeneo ya ibada, ni kuzidikuwa karibu na wadau wakubwaambao ni waumini.

    Hata hivyo alisema katikaBenki yao kuna upungufu wadamu ndio maana wamelazimikakuwatafuta Waislamu mahaliambako wanapatikana kwawingi zaidi husan katika siku

    Waislamu Msikiti wa Morogoro wachangia damuNa Mwandishi wetu. za ibada ya Ijumaa.

    Alisema japokuwa baadhiwanakuja kituoni kuchangiadamu kwa ajili ya kuokoamaisha ya wananchi wenzao,lakini wameona ni vyemakuwatafuta walipo ambapomchango utakuwa mkubwazaidi.

    Leo inabidi tukiri kuwatulichelewa kufanya maandalizi,wengi hawakufahamu mapema

    japoku wa wengine wanakuja

    pale kituoni kutoa damu zaokwa ajili ya kuokoa maishaya wananchi wenzao, ambaohuwa ni ndugu zao ambao niwagonjwa wao. Alisema Bw.Kupuya.

    Kuhusu matumizi ya damuhiyo, Bw. Kupuya alisemahuwa wanatoa taarifa kuhusumasuala mazima ya damukatika hospitali hapa nchini,kuwa damu haiuzwi.

    Alisema iwapo mtu yeyoteatauziwa damu, basi atoe taarifakwa kupiga simu namba 0715-339 282 lakini muda wa kazitu.

    Baadhi ya waumini waMsikiti huo wa Morogorowaliojitokeza kuchangia kutoa

    damu, walisema wanafanyhivyo kwa kuwa wanajua faidna umuhimu wa kuchangia.

    Hivyo walijitokeza kwmoyo mmoja wakiongozwna Katibu wa Msikiti huo UsAbdulrahman.

    Mtaalamu Kupuya alisemsiku hiyo pamoja na kwambhawakufanya maandalizi, damkiasi cha unit 20 kilipatikana

    Al i sema mtoa j i damakihitaji kutoa tena, ni baad

    ya kupita miezi mitatu.Hata h ivyo kadi yak

    inamruhusu kama ana mgojnwatapatiwa damu kupitia kahiyo.

    Na ye Us t. Ab du lrah maAlly, alisema kuchangia damni moja ya majukumu yWaislamu katika kuokoa maishya wanadamu.

    Ali toa wito kwa Jamkwa ujumla kuwa, anaposikM u i s l a m u k u w a k u nzoezi kama hilo, anatakiwkulichangamkia kwa kuwanapata faida kubwa.

    Alisema kuwa faida hizanazipata hapa duniani na keshhuko akhera ana fungu lake kwkusaidia kuokoa maisha.