annuur 1087

Upload: mzalendonet

Post on 02-Apr-2018

507 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/27/2019 ANNUUR 1087

    1/7

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1087 SHAWWAL1434, IJUMAA , AGOSTI 23-29, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Ruhani Tanganyika ndimzizi wa ftnamuungan

    Nyakati ladaiwakuandika uzushi

    Latakiwa kuomba radhi la sivyo.

    WaislamuKigoma wataka

    Tume huruUk.4

  • 7/27/2019 ANNUUR 1087

    2/7

    2AN-NUUR

    SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 23-29, 2013 3 SHAWWAL 1434, IJUMA

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

    Osi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    HabariTahariri/Habari

    K u f u a t i a m s i m a m ouliowekwa na Shura yaM aim am u M an is p aaya Sumbawanga, kuwakuanzia sasa Waislamukatika Manispaa hiyowatekeleze hadithi yaM t u m e M u h a m m a d( S A W ) y a k u o n d o amunkari kwa mikono nakwa maneno, msimamohuu umeanza kutekelezwatangu Ramadhani 28.

    A w a l i W a i s l a m uwalishuhudia matangazoyakiwa yanabandikwas e h e m u m b a l i m b a l iy a k i s o m e k a k u w a

    kutakuwa na Disko toto nausiku la wakubwa kuanziaEid Mosi.

    Jambo hilo lilisababishaviongozi wa Waislamukuwatangazia wauminiwa j iha dha r i na lo nak uta k iwa k ub a nduam a t a n g a z o y o t eyanayotangua sikukuu yaEid katika Manispaa hiyo.

    Aidha viongozi waKiislamu walikwendakuonana na Mkuu wa kituocha Polisi Sumbawangamjini kumweleza hasaraz ina z op a t ik a na k wamadisko yatakayopigwakatika kumbi za starehesiku hiyo ya Eid hukuwahusika wakitangazakuwa ni kusherekea Eid.

    Mbali na hasara zakiimani, Waislamu haowalimtolea Mkuu huyo waKituo mifano kadhaa yamadhara ikiwa ni pamojana Taifa kupoteza Maishaya watoto katika diskototo la Eid kule mkopaniTabora na Dar es Salaamsiku za nyuma, pamoja nakukithiri vitendo vya zinaakatika sikukuu na mikeshakama hiyo.

    Mkuu huyo alikubalianana Ushauri wa Masheikh nakusema kuwa sababu zao niza msingi, hivyo akaahidi

    Waislamu Sumbawanga waonyesha njiaNa Mwandishi Wetu kushirikiana na Waislamu

    kukomesha uovu huo wakupiga disko kwa ajili yasherehe ya eid.

    Imeelezwa kuwa hatuahiyo iliwafanya Waislamukuandika barua kwaOCD tarehe 8/8/2013 nakuthibitisha msimamowao na kufafanu taarifawaliyoifkisha awali.

    Aidha walibandikav i p e p e r u s h iv i l i v y o a n d a l i w a n aS hur a y a M a im a m ukutahadharisha kuwa Eid elFitri ni ibada ya Waislamu,hivyo hairuhusiwi kufanyasherehe za kumuasi Allah(sw).

    Hata hivyo taar ifazilieleza kuwa ilipofikajioni walionekana askariwa FFU wakiranda napikipiki na kuyabanduamatangazo yaliyowekwana Waislamu.

    Katika Baraza la Eidlilofanyika katika viwanjavya Msikiti wa Qiblatainsiku ya Ijumaa ya Eidkuanzia saa nane mchanana k uhudhur iwa nahalaiki ya Waislamu, madakadhaa zilitolewa, lakinisuala maalumu lilikuwani kuwatahadharishaWaislamu kuwa kuna hilampya inataka kuingizwak a t i k a M i s i k i t i n akuwavuruga Waislamu.

    Ilielezwa kuwa kunampango wa kufanyaushushushu Misikitinina kutoa taarifa Polisi.Kufuatia kuwepo mpango

    wa kuanzishwa kamati zausalama misikitini, ililezwakatika baraza hilo kuwaMtume (SAW) ameamriwana Allah (SW) kuwapigavita makafri na wanafkikwa sababu makazi yao ni

    Jahannam, nako ni mahalapabaya sana. (TAWBA9:73).

    Hata hivyo wakati madahiyo ikiendelea, ghaflailisikika milio ya mabomu.

    Tukio hilo lilikuja kufuatiapolisi kufka katika diskona kuwaona walimu waMadrasa wakiwa nje,wakiangalia na kukaguakwa umakini kama kunawanafunzi wao wanaotakakuingia disko toto iliwawazuie.

    Hali hiyo imedaiwakuwa iliwalazimu baadhiya askari waliokuwepok a t ik a m a eneo ha y okuwapigia simu wenzaokituo kikuu, wakidaikuwa wamezingirwa nawanahitaji nguvu za ziadaambapo waliwasili nakuwatawanya Waislamuhao kwa mabomu ya

    machozi.Katika kuhitimishaBaraza la Eid, Amiri waKamati ya KundelezaUislamu, alitoa taarifa yamatatizo yanayoukabilium m a wa K i i s la m uSumbawanga, ambapoalisema, hivi sasa tareheya kufanyika mtihaniwa taifa wa Maarifa ya

    Kiislamu imegonganishwana zoezi la unyweshwajiwa vidonge vya chanjo kwawanafunzi.

    Baada ya kufuatilia sualahilo, Amiri alitoa taarifakuwa wamekubalianana Mkurugenzi na AfisaElimu kuwa, wanafunziwa Kiislamu hawatapewac h a n j o m p a k a p a l ewatakapomaliza mitihaniyao kwa utulivu.

    Aidha Amir huyo alitoataarifa ya unyanyasaji wawanafunzi wa Kiislamukatika shule za sekondariza Mafulala na Kilimani,ambapo walimu Wakuuwa shule hizo waliwatakawanafunzi wa kidato chapili kufka Ijumaa shulenihuku wakijua siku hiyo nini sikukuu ya Eid .

    Baada ya wanafunzi haokukataa kwenda, wenzaowaliendelea kufundishwa.

    Nyakati ladaiwakuandika uzushiUMOJA wa Hadhiriwa Kiislamu Tanzania,umesema utalichukuliahatua za kisheria, Gazetila Kikristo la Nyakati,kwa kupotosha taarifaya kikao chao na Waziriwa Mambo ya Ndani yaNchi, Mh. EmmanuelNchimbi.

    Akiongea na Gazetila An nuur, UstadhiRajab Salim, alisemakuwa wamelipa gazetila Nyakati, siku sabakukanusha taarifa hizona endapo watakaidiwatalichukulia hatua zakisheria.

    K a t i k a m a s h a r t iwaliyotoa, Umoja huoumelitaka Gazeti hilola Kikristo, kuombar a d h i k w a u z i t oule ule kulingana na

    walivyoripoti katikaupotosh a j i wao n akulitaka kukanushakuwa hawajamtengaSheikh Ponda.

    Pamoja na hayo,tunaomba gazeti lakolituombe radhi ndaniya wiki moja, katikaukurasa wa mbele kwamaandishi makubwak am a m l i vy ofan y a .

    Na Bakari Mwakangwale Wahadhiri wa KiislamuTanzania hawakumtengaSheikh Ponda. Imesemasehemu ya barua.

    Katika barua yao kwaNyakati, kulitaarifu juuya kile walicho kiitakukithiri kwa uzushidhidi ya Waislamuna Uislamu nchini,imesema, katika habarihiyo kuna mengi ambayoyamejitokeza ambayohayana ukweli dhidi yaUmoja huo.

    Miongoni mwa hayoyaliyoripotiwa na gazetihilo ambayo Umoja huounadai ni uzushi ni kuwalimedai kwamba (Umojahuo) walimweleza WaziriNchimbi, kuwa Serikalihaipaswi kuwahusishawao na watu kamaSheikh Ponda, ambaohufanya Makongamanoyenye kuchochea chuki

    ba in a ya Wai sl am uWakristo.Walimweleza namna

    wanavyofanya shughulizao, kisha walimuelezakile ambacho hufanywakwenye Makongamanokama yale yanayofanywana akina Ponda, Hamzana akina Sheikh Ilunga,am b ay o h uch och eachuki. Limeripoti gazeti

    hilo la Nyakati, likidai nimaelezo ya Wahadhirihao.

    Ust . S a l i m , a l i d a ikuwa katika kikao hichohawakumzungumziaSheikh Ponda, walay oy ote k a t i y a h aowaliotajwa na gazetihilo, zaidi ya kuonanana Waziri Nchimbi, kwalengo la kukumbushiaushiriki wake katikaK o n g a m a n o l a owalilo andaa litakalozungumzia juu ya amani.

    Hata hivyo, Ust. Salim,alisema uzushi mwingikatika gazeti hilo, nikudai kuwa katika kikaohicho kwa upande waWahadhiri wa Kiislamuwaliongozwa na SheikhOthman Habib Mazinge,i l i h a l i ( M a z i n g e )hakuhudhuria kabisakatika kikao hicho.

    Tunataka likanusheh ab ari h i zo, k i sh alituombe radhi kwanilimetuzulia uongo kwaWatanzania hususankwa Umma wa Kiislamu,kwa kudai kuwa Umojahuo umemtenga SheikhPonda, sisi tupo pamojanae na hatupinganin a h arak a t i zak e .Amesema Ust. Salim.

    Kwa upande wakeUst. Othman Mzinge,pia ameliandikia baruagazeti hilo, akilitakak u m l i p a f i d i a y aShilingi Milioni Kumi(10,000,000/-), sambambana kumuomba radhindani ya wiki moja.

    U l i a d i k a h a b a r izenye kichwa cha habariSheikhe Ponda sasaatengwa, katika kikaohicho ulinitaja kwa jinakuwa nilikuwa kiongoziupande Wahadhiri waK i i s l a m u

    ilisema sehemu ya baruayake kwa gazeti hilo.U s t . M a z i n g e ,

    a m e l i a m b i a g a z e t ihilo kuwa taarifa hiyosi sahihi, na kwambah a k u s h i r i k i k a t i k ak i k ao h i ch o, za i d igazeti hilo limelengakuwaftinisha Waislamuna kwamba toka habarihiyo itoke kwa upandewake imemsababishaiusum b ufu m k ub wakutoka jamii ya Kiislamu.

    Awali , Ust. Salim,a l i s e m a k w a m b awalilazimika kumonaW a z i r i E m m a n u e lNch i m b i , b aad a y akutakiwa kufanya hivyona viongozi wakuu waJeshi la P olisi, kufuatia

    kunyimwa vibali naJeshi la Polisi kwa a jiliya kufanya Mihadharaya Kidini.

    Alisema, walikuwawak i n y i m wa v i b a l ihivyo katika maeneombalimbali Mikoani,ambapo Polisi hugomakutoa vibali wakisema,kuwa hawezi kuruhusukwa kuwa Mihadharaimesitishwa na Waziriwa Mambo ya Ndani.

    Baada ya kukutana navikwazo hivyo alisema,walilazimika kuundakamati ya kuonana naKam an d a S ul e i m anKova, na kuongea nayejuu ya suala hilo, ambayea l i w a t a k a k w e n d a

    kuonana na IGP, SaidMwema, kulingana nasuala lenyewe lilivyo.

    Kamati ilienda kwaIGP Mwema, na kuongeanaye, hata hivyo nayealitutaka tukamuoneWaziri wa Mambo yaNdani, Mh. Nchimbi,kwa kuwa yeye ndiyealitolea kauli suala hilo.

    AlisakireMwe

    Alilifah a t ik uoNchvikwnavyya kuKidi

    Walituhotuwa D

    Kikrkilicwa SalamgeUst.

    AN c hhotusiku hao kwani mes Samiko

    AkamMaawakmikomaazMko

    ya ncakifaWaz

    Am awalirasmwatazungamb

    UswalilWazhivi l a ahaK o nlinatAgo

    NndiyNyahabn a kishuzuk at ihapkabiPondhatahakuripoSalim

    MANENO kama dawaza kulevya, yamekuwaw im b o u vu m ao k w a

    nguvu hivi sasa hapanchini, lakini ukakosawachezaji.

    Ni v ig um u ik a p i tasiku bila kusikia manenohaya katika vyombovyetu mbalimbali vyahabari. Wenye mamlakana waliopewa dhamana,ambao kwa sehemu kubwawamekuwa ndio vyanzovya habari hizi za dawaza kulevya, tunawasikiawakitumia kila aina yal u g h a , w a k i j i t a h i d ik u w a d h i h i r i s h i awa ta nz a nia k wa m b awa na p a m b a na v ik a l ina biashara ya dawa zakulevya hapa nchini.

    W a k a t i m w i n g i n ewa na onek a na wa k i jana lugha za matumainizaidi, pale wanaposemawamewakamata watukadhaa wakisafirisha auwakitumia dawa hizo.

    Pamoja na jitihada zao zakujaribu kuonyesha kama

    wanawajibika kisawasawakwenye vita hii, lakinipia utakuta miongonimwao, pamoja na kupewadha m a na na ser ik a l ina vyombo vya dola,wamekuwa wakikumbwana kashfa za hapa na paleza kuhusika kwa namnamoja au nyingine katika

    biashara hii ya mihadarati.Tumeshuhudia vithibiti

    vya mihadarati kamacocaine vikipotea aukupungua ujazo vikiwamikononi mwa polisi ,tumeshuhudia maofsa wapolisi wakijihusisha na

    biashara za bangi, tumesikiamadai ya kwamba baadhiya maofisa wa vyombovya dola wakihusishwa narushwa katika biashara hiiya mihadarati n.k.

    Lakini zaidi, hata Waziriwa Uchukuzi Dkt. HarrisonM w a k y e m b e , n a y eameonyesha mashaka yake

    kwa baadhi ya watendaji wavyombo vya dola kuhusikakatika biashara hii.

    Nasi tunapata mashakapia, iweje watumiaji wadawa za kulevya Matejawamejaa mitani chwaka,na vyombo vya dolavinawaona na vinafahamufka kwamba ni watumiajiwa dawa za kulevya, lakinihawachukuliwi hatuazozote.

    Si hivyo tu, tunajuafika kwamba watumiaji

    h a w a k u n a m a h a l iwanaponunulia dawahizo, jambo ambalo ni

    rahisi tu kwa maofisawa vyombo vya usalamakuamua kufuatilia hadikumfikia mhusika wamwisho wa dawa hizo,iweje hatua hazichukuliwina inafanyika hivyo kwamakusudia?

    Inakuaje dawa hizozipenye mahala penyeusamala wa hali ya juukama viwanja vya ndege

    bila wahusika kukamatwa?Katika mazingira haya,

    ni wazi kwamba biasharaya dawa za kulevya hapanchini, kwa kiwangokikubwa hufanywa na

    baadh i ya watu wenyem a m la k a ser ik a l in ina wa f a ny a b ia sha r awakubwa.

    M i o n g o n i m w a oni wa tum ishi wa siow a a m i n i f u k a t i k avyombo vyetu vya dola,ambao hutumia nafasizao kama mwavuli wakufanya uhalifu wao bilakujulikana.

    Lakini pia tunaonakwamba kuna uwezekanom k u b w a k w a m b awa tum ishi ha wa waserikali, kwa nafasi zaoser ikalini hutumiwana wa f a ny a b ia sha r awakubwa wa mihadarati,kwa kuwakingia vifuawasibughudhiwe katikamaeneo yanayohusikana kuingiza au kutoamihadarati, na wakubwahao huambulia posho nenekwa kazi hiyo.

    Ndio maana utaonahata jeshi letu la polisi,l inakuwa ngangarikweli kweli kuwadhitiwaharakati kama akinaPonda au wanasiasa kamaakina Dkt. Slaa. Hawa

    hushughulikiwa kwagharamna yeyote na maramoja hufunguliwa kesimahakamani.

    Lakini uhodari huohauonekani kuwaangukiamagwiji wa biashara zadawa za kulevya!

    M a t o k e o y a k e ,watanzania wanaambuliapropaganda tu kwambad o l a i p o k a t i k amapambano ya dawaza kulevya, wengine

    KATIBU wa BARAZA KUU la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, SheikhRamadhani Sanze akiteta na Imam wa Masjid Mtambani, Sheikh Suleiman Abdallahkatika kongamano la Waislamu Mwembeyanga Jijini Dar es Salaam.

    wakitumia zaidi neno vitadhidi ya dawa za kulevya,la k ini v i ta y eny ewehaionyeshi matunda zaidiya kushuhudiwa vijana,nguvu kazi ya Taifa letuikiendelea kuteketea kilauchao, kwa maslahi yawabinafsi wachache.

    Kwa ujumla tunawezakusema kuwa watanzaniawamechoshwa na nyimboh i z i z a m a p a m b a oy a m d o m o n i d h i d iya muhadarati, hukuwa k ishindwa k uonamatokeo yenye nafuu.Hii yote ni kwasababu

    y a w e z e k a n a k a b i s awanaopiga propagandahii, kwa upande mwinginewanaweza kuwa ndiovinara wa mianya ya

    biashara yenyewe.Katika mazingira haya,

    ni vyema serikali ikatafutautaratibu mwingine wakupambana na magwijihawa wa mihadarati.Na utaratibu wenyeweuanze kwa kuwachunguzana k uwa shug hul ik iakwanza watu wa serikaliw a n a o j i h u s i s h a n a

    bias hara hii na baad aewashughulikiwe raia

    wengine.Hili likifanyika kwa dhati

    na bila hofu, tutafanikiwa.Basi ni vyema tukaanza kwakumuunga mkono Dkt.Mwakyembe katika hili.Vinginevyo tutaendeleakupiga propaganda zadebe tupu, huku vijanawetu wakiteketea.

    Mwisho wa yote, Taifalitasheheni nguvu kaziya wabwia unga, nahatimaye tuje kuongozwana wabwia unga na wavuta

    ban gi, na hap o nd ipotutakapotanabahi.

    Tuache propaganda

    dawa za kulevya

  • 7/27/2019 ANNUUR 1087

    3/7

    4AN-NUUR

    SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 23-29, 2013 5 SHAWWAL 1434, IJUMAHABARI Habari za Kimataifa/Tangazo

    DAMASCUSDuru mbalimbali za habarizimeripoti kupatikanam a f a n i k i o m a k u b w aya jeshi la Syria, katikakukabiliana na makundiya waasi yanayoungwamkono kutoka na madolaya Magharibi, utawala waKizayuni na baadhi ya nchiza Kiarabu.

    Aidha majeshi hayoyamezidi kuungwa mkonona wananchi katika kilakona ya nchi hiyo katikamapambano yake dhidi yawaasi wa nchi hiyo, kufuatiamafanikio ya operesheni kaliza kijeshi dhidi ya waasi haokatika maeneo tofauti nchinihumo.

    Habari zinasema kuwa,hali ya amani na utulivuimeanza kurejea taratibu.

    Rais Bashar al-Assadwa Syra amekutana mjiniDamascus na wawakilishiwa vyama mbalimbaliv y a w a n a n c h i k u t o k aMauritania, ambapo mbalina kuwashukuru kwa juhudizao kubwa zenye lengo lakusaidia kumaliza mgogorowa nchi yake, alisema kuwataifa na wananchi wa Syriawameazimia kukata kabisamzizi wa ugaidi.

    Alisisitiza kuwa kwakuzingatia ushirikianomkubwa kati ya wananchina jeshi la nchi hiyo, Syriaitafanikiwa kuwatokomezakabisa waasi hao na kile

    alichokiita kuwa ni ugaidiwanaoufanya nchini humo.K w a u p a n d e w a o ,

    wawakilishi wa vyama namakundi mbalimbali kutokaMauritania, walitangazakuungana kikamilifu na taifa,jeshi na viongozi wa Syri ana kusisitiza kuwa, taifahilo la Kiarabu litazidi kuwataifa lenye nguvu, baada yakuondokana na jinamizi lamgogoro wa sasa.

    M a p a m b a n o m a k a l iyameendelea kushuhudiwanchini Syria katika mkoa wapwani wa Attaquie, uliopoMagharibi mwa nchi hiyoambapo jeshi limeshambuliak w a m a k o m b o r a n akumuuwa kiongozi mmojawa kundi la waasi, shirikal a h a k i z a b i n a d a m ulimethibitisha.

    W a n a j e s h i z a i d iwametumwa katika eneohilo linaloaminika kuwa ndiokitovu cha Rais Bashar Al

    Assad katika kupambana nawapiganaji walioweka kambikatika milima inayozungukahuo, ambako jeshi lilianzisham a p a m b a n o t a k r i b a nmajuma mawili yaliopita.

    Wakiwa hawana silahaza kutosha, wapiganajihao waliamua kujiunga namakundi ya wapiganaji wajihad wa makundi ya Kiislamkutoka nchini Iraq, lichaya uhusiano mbaya uliopobaina ya waasi na wapiganajiwa makundi ya Jihad nchini

    Rais Al-Assad aapa kuungoa mzizi wa ugaidi SyriaJeshi lashambulia ngome za waasi nchini humo

    Rais Bashar al-Assad wa Syra akimjulia hali mmoja wa afsa wa jeshialiyejeruhiwa na kundi la waasi nchini humo.

    Syria.Mkuu wa shirika la

    haki za binadamu nchiniSyria, Rami Abdel Rahman,amesema majeshi ya serikaliyalimiminika kwa wingikatika eneo hilo la Aaquie,kupambana na waasi nakufanya mashambulizimakali katika maeneoyaliokuwa yanashikiliwa nawaasi hao.

    Kituo cha televisheni yataifa nchini Syria kimesemajeshi limefanikiwa kurejeshakatika himaya yake mijiiliyokuwa inashikiliwa namakundi ya waasi katikajimbo hilo, ikiwa ni pamoja naKharata, Janzuriyeh, Baluta,

    Baruda na Hambushiyeh.Hata hivyo Abdel Rahman,

    ameeleza kuwa mapiganohayo yalikuwa makali mnona kuendelea kudhibitibaadhi ya vijiji.

    Kwa mujibu wa kiongozihuyo wapiganaji wengi wamakundi ya kigeni ya Jihadwameuliwa katika mapiganohayo, akiwemo kiongozi wakundi la EIIL. Kiongozi huyowa kundi la EIIL aliuawawakati wa mapigano katikakijiji cha Jamusiyeh.

    wakati huo huo taarifazinasema kuwa jeshi la anganchini Syria limeshambuliaeneo la Jabal al Arbaine, katika

    mkoa wa Edleb (Kaskazinimagharibi) mwa miji yaDaraya na Zabadani karibuna Damascus, pamoja namji wa Deir Ezzor masharikimwa nchi hiyo.

    Takwimu za Umoja waMataifa zinaonyesha kuwawatu laki moja wamepotezamaisha katika mapiganoh a y o , a m b a y o s a s ayamedumu kwa miezi 29sasa.

    Jumamosi mwishoni mwajuma lil ilop ita , watu 124wamepoteza maisha katikamapigano yaliojiri kwenyemaeneo mbalimbali nchinihumo.

    REP o

    wamkatikJuma

    WaMamimetokwa cha Mambanguvkwa waliwakawakinyinCairo

    Windanwatuchamaliyekukav y o mvimewa dw a kwaankudaimwa

    WwamMisritanokijeshkuendhidi

    Hawaw

    UmojkukuBrussinayo

    KioAbdeamezmwakwanya wwiki ijeshi ile yakupanguvmaankauliMaghkunadamu

    Jijiwa mnje wUmojikiwacha kya jukuzuMisri

    M

    38

    wa

    ge

    LONDONMkuu wa taasisi ya misaadaya kibinaadamu ya TellMama , amesema kunaongezeko la vitendo vyakibaguzi na mashambulizidhidi ya Waislamu nchiniUingereza na Wales.

    Fiyaz Mughal, ambayepia anafuatil ia kesi za

    Waislamu Uingereza wazidi kushamvitendo hivyo nchini humo,amesema kuwa katikakipindi cha miezi 18 iliyopita,watu wasiopungua 1,200walitekeleza mashambuliziya kudhuru Waislamu nchiniUingereza na Wales.

    Mkuu huyo ameelezakusikitishwa kwake namashambulizi na vitendo vya

    ubaguzi dhidi ya jamii hiyondogo ya Waislamu, kwa jinsivinavyozidi kuongezeka sikubaada ya siku.

    Fiyaz Mughal amesemakuwa vitendo hivyo haviishiitu katika mitaa na barabaraza nchi h iyo , bali piavinashuhudiwa hata katikamitandao ya intaneti.

    KammoLondjina kuwhiyombinya kula mavya uwalio

    S E R I K A L I i m e t a k i w akuunda Tume huru yak u s i k i l i z a m a d a i y aWaislamu nchini badalaya kuyafumbia macho nakutaka kujaribu kuwazibamdomo kwa mtutu wabunduki.

    Wito huo kwa Serikaliumetolewa na WaislamuMkoani Kigoma, katikatamko lao lililotolewa naShura ya Maimam Mkoanihumo, mwishoni mwa wikiiliyopita, wakilaani kupigwarisasi Sheikh Ponda IssaPonda.

    Waislamu hao wamesema,w a p o t a y a r i k u f a n y amaamuzi magumu endapoSerikali haitowachukuliahatua za kisheria wale wotewaliohusika na shambuliohilo chini ya Kamanda waMkoa wa Morogoro, FaustineShilogile.

    Tunaitaka Serikali iachempango wake wa kupuuzana kufumbia macho madaiya Waislamu na badalayake iunde tume huru yauchunguzi itakayosikilizakero za Waislamu na iwetayari kuyafanyia kazimajibu ya uchunguzi huo.Limesema tamko hilo.

    Tamko hilo limesema,Waislamu Mkoani Kigomawanaamini kuwa tukiolililofanywa na Jeshi laPolisi kushambulia kwakumpiga risasi hadharaniSheikh Ponda, ni mpangomkakati na muendelezowa kuwahujumu viongoziwa Kiislamu wanaoteteahaki na kupinga dhuluma

    UALIMU:

    STASHAHADA- E moja na S mojaGRADE 3 A Division IV 27

    CHEKECHEA Division Iv 28 na kuendelea

    Note:Nafasi za udhamini kwa waliopata Viwango Ngazi ya

    Diploma na ChetiWahi nafasi ni chache!

    Asiyekuwa na viwango anaruhusiwa kusoma Ualimu huku

    anarudia mitihani

    KOZI ZA BIASHARASecrerial Studies, Records mgt. Project Planning na mgt Ict,

    Simplifed accountancy.Computer Applications

    Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0715 860120 au 0654- 580924

    Bismillah Rahman Rahiim

    CHUO CHA UALIMKIGAMBONI - CU.124/ KIGOGO- CU.130

    Teachers` College

    Nafasi za Masomo 2013/2014

    Waislamu Kigoma wataka Tume huruWakumbusha ya Mwembechai

    Na Bakari Mwakangwale wanazofanyiwa Waislamunchini.

    Likasema, tamko hilokuwa, badala ya kuwasakamaWaislamu na Masheikh wao,kwa kuwaita wachochezi, nivyema Serikali ikaunda tumehuru ya kuchunguza madaina kero zao na si kuwazibamdomo kwa kutumia nguvu

    ya dola. U k w e l i h u uunadhihirishwa na mlolongowa matukio yaliyokwishafanywa na Jeshi la Polisinchini, dhidi ya Waislamukama vile mauji ya kinyamaya Mwembechai Dar esSalaam, mauaji ya Imamuakitoka Msikini Zanzibar, namengine mengi. Lilisematamko hilo.

    Shura hiyo ya MaimamuKigoma imeitaka Serikali navyombo vyake vya usalamakufahamu kwamba kaziinayofanywa na SheikhePonda na baadhi ya viongoziwa dini ya Kiislamu nikuitahadharisha Serikalikuacha kufanya dhulmadhidi ya Waislamu.

    Ikafafanua taarifa hiyokuwa hatua hiyo ya Masheikhkuyasema madhila dhidiya Waislamu ni kutokanana Serikali kushindwakuchukua hatua madhubutijuu ya madai dhidi yake.

    K u u d h i h i r i s h i a n akuufahamisha ummah juuya dhuluma zinazofanywana Serikali si uchochezi kamainavyodaiwa, bali ndio njiapekee itakayodumisha amaniya nchi endapo viongozi wanchii hii watazingatia nakuyafanyia kazi. Lilisematamko hilo.

    Tamko hilo lilibainisha

    kwamba, malalamiko yaWaislamu na madai yoteyanayozungumzwa naSheikh Ponda, na wale wotewanaomuunga mkono yanaushahidi wa wazi na wakisayansi.

    Tamko hilo lilitaja baadhiya kero h izo ambazoWaislamu wanaitaka Serikali

    kutenda haki katika makundiyote kuwa ni mkataba wakifisadi kati ya Serikali naMakanisa (Memorundumof Understanding MoU),kwamba Serikali inatoafungu kuyasaidia Makanisapeke yake.

    K a d h i a n y i n g i n eimetajwa kuwa ni Baraza laMitihani Tanzania (NECTA)linalodaiwa kutokufanyakazi na kutekeleza wajibuwake kwa uadilifu.

    Umetajwa pia mfanounaojitokeza mara kwamara ambapo viongozi waKiislamu huwekwa rumandena kunyimwa haki yao yadhamana.

    Shura hiyo ikafafanua

    k w a m b a , W a i s l a m uwanapenda amani ya nchiyao iendelee kudumu lakiniikaitaka Serikali kufahamukuwa msingi wa amani yakweli ni kusimamia haki kwamakundi yote yaliyo chini yautawala wake sambamba nakuwatendea haki raia wakewote bila kujali rangi, Kabila,Dini na ukanda.

    Katika hatua nyingineShura hiyo ya MaimamMkoani humo, imesemahaitakubaliana na taarifayeyote itakayotolewa natume iliyoundwa na Jeshila Polisi.

    Hatua hiyo ni kutokanana Waislamu kupotezaimani na Jeshi la Polisi kwakukanusha kuhusika na tukiola kupigwa risasi SheikhPonda, mbele ya mamia yaWaislamu wakishuhudiashambulio hilo.

    Katika tukio hili Jeshi laPolisi ni mtuhumiwa nambamoja hivyo taarifa yeyoteitakayotolewa na tumeiliyoundwa na Jeshi hilohaitakuwa ya kuaminiwahata kidogo. ImesemaShura ya Maimam Kigoma.

    Shura h iyo ikasemakwamba, Waislamu Mkoani

    Kigoma wanaamini kuwashambulio hilo lililengakumuua kiongozi huyo,wakizingati kauli ya kibabeya Serikali kupitia kwaWaziri Mkuu wa Jamhuriya Muungano wa Tanzaniaaliyoitoa Bungeni.

    Shura ya Maimam Kigoma,ikaitaka Serikali kuundatume huru ya uchunguzinje ya Jeshi la Polisi, itakayohusisha viongozi wa Dini,wanaoaminiwa na ummah

    wa Kiislamu sambamba nakumuwajibisha Kamandawa Polisi Mkoa wa MorogoroFaustine Shilogile pamojana viongozi waandamizi waJeshi hilo mkoani humo.

    Tukio la kupigwa risasiSheikh Ponda Issa Ponda,lilitokea siku ya JumamosiAgosti 10, 2013, Majira yajion i, Mkoa ni Morog oro,baada askari Polisi kuvamiamsafara wa Waislamuwaliokuwa wakie lekeamsikitini kwa swala yaMagharibi.

    Shambulio hilo lilifanywambele ya mamia ya Waislamuwaliokuwa wakitoka katikaBaraza la Idd, wakielekeakatika Msikiti wa MunguMoja Dini Moja, MkoaniMorogoro.

    Radio Imaan FMInatoka Uk.1

    i j a y o , k i t u o h i c h okinatarajiwa kurejeshamatangazo yake kamakawaida.

    R e d i o I m a a n F Mi l i f ung iwa k ur ushamatangazo yake tangu

    F eb r ua r i 2 6 m wa k ahuu, kutokana na kilekilichoelezwa na serikalikuwa ni kwasababu yakosa la uchochezi, sababukubwa ikielezwa kuwa nikuwashawishi Waislamukutoshiriki katika zoezi lasensa ya watu na makazilililofanyika Agosti mwaka

    jana, ambapo Waislamuwalidai iwapo kipengele

    cha dini hakitajumuishwakatika zoezi hilo, basi waohawatashiriki.

    Wakati Radio Imaanikimaliza kifungo chake,bado hatma ya kurusharasmi matangazo kituocha televisheni cha TVIMAAN imekuwa ni

    kitendawili licha yakituo hicho kudaiwakukamilisha taratibuzainazohitajika.

    H a t a h i v y oM k urug en z i M k uuwa wa TCRA Prof.John Nkoma, amekuwaakieleza kuwa taratibubado zin aen dele a nazitakapokamilika lesenihiyo itatolewa kwamuombaji.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1087

    4/7

    6AN-NUUR

    SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 23-29, 2013 7 SHAWWAL 1434, IJUMAMakala Tangazo

    Ruhani Tanganyika ndio mzizi wa ftna muunganoInatoka uk. 1Amesema, ruhani

    huyo ambaye haonekanikwa uwazi japo yupo,ndiye huzaa Ser ikalimbili katika muungano,m u u n g a n o a m b a ohuifanya Zanzibar kuwakama kasoro koloni.

    Mwanasheria Mkuuhuyo ameyasema hayohivi karibuni alipokuwa

    akifungua kongamano laBaraza la Katiba la VyuoVikuu liliondaliwa naShirikisho la Wanafunziwa Vyuo Vikuu Zanzibar,ZAHILFE, liliofanyikakatika Ukumbi wa SalamaHoteli ya Bwawani.

    Katika hotuba yake yaufunguzi, MwanasheriaMkuu wa SMZ amesemakuwa mfumo huu wamuungano wa Serikalimbili, unainyima Zanzibarfursa ya kuamua nani aweRais wa Nchi, kuweka serana sheria katika mambo yamuungano.

    Aliwataka wanafunzi

    hao kuzungumzia mamboya Muungano na kutakakuwe na usawa kwani

    bila ya kuwa na usawakatika Mungano, huo siMuungano bali ni ukoloni.

    Alitaka kuwe na mfumowa usawa katika Barazala Mawaziri na Bunge nakuwe na makubalianoya thuluthi mbili kilaupande katika kupitishasheria na kuongezwa aukupunguzwa mambo yaMuungano.

    Akifafanua amesema,hiyo ni kwa sababuhivi sasa mambo hayohupitishwa katika vyombovya muungano kwa kanuniya simple majority, kwamaana ya wengi wape nasio Wazanzibari kuulizwakama nchi.

    Kwa hiyo akasema,maadhali Wazanzibariwatakuwa wachachekatika vyombo hivyo,l ik iwem o Bung e , n idhahiri kuwa matakwayao na masilahi yao

    hayatazingatiwa katikamasuala ya muungano.

    Akasema pia kuwamfumo uliopo hautoiusawa katika rasilimaliza muungano akitoleamfano wa makao makuuya taasisi za muunganokwamba zipo Bara nahivyo ndio wanaofaidiajira, fursa za kiuchumi,kusomesha wataalamu namambo kama hayo.

    Akizungumzia ujanja,ghilba na dhulma iliyopokatika Kodi ya Mapato,amesema kodi yote huishiaBara kiasi kwamba hatayale makampuni ambayohufanya kazi zaidi Zanzibarhutakiwa kulipa kodi Bara(mungano uliobeba ruhaniTanganyika).

    Ametoa mfano wamakampuni ya simuambayo wakati yoteyanalipa kodi huko, hivisasa kuna kesi ambapoinashitakiwa Zantel kwanini hailipi kodi Bara.

    Mwanasheria huyo

    alisema kuwa hii ni dhulmana kwamba dhuma ikizidisana hata akili hupotea.

    A l i i ta ja S her ia y aKuanzishwa na Bank Kuuya Tanzania kuwa aliisainiK a r um e m weny ewelakini Karume alipoonamapungufu ya Seria hiyo,akaanzisha PBZ.

    A m e s e m a k u w akwa mwenye akili siovigumu kuona dhulmahizi, ila inavyoonekanakuna mgawanyiko wakupandikizwa.

    Akasema, suala la nchisio la kufanyia mchezona sio la kumuamini mtuyeyote kama ambavyohakuna mtu anayeaminimtu kwa mkewe hataakiwa rafki vipi.

    A m e s e m a , h i imigawanyiko ya maoniy a n a y o o n g o z w a n aushabiki wa kivyama(CCM, CUF) , isif ikiemahali pa kuiweka nchirehani kwa thamani ya

    bidhaa ya d ukani kamamchele.

    K w a m a o n i y a k e

    a na sem a , k uendeleakwa serikali mbili ndiokutavunja muunganotena kwa fujo wakatizikiwepo serikali tatu,hata kama itafikia watukusema hawataki tenamuungano, utaondokakwa mazungumzo na kwaamani.

    Alimalizia nasaha zakekwa kusisitiza kuwamsingi wa Muungano wa

    Tanzania ni kuunganakwa Nchi mbili huru,Tanganyika na Zanzibar,na kwamba lengo lakuungana kwa nchi mbilihizi ni kufanya mamboyao pamoja na kupatafaida zaidi, sio Nchi mojakuitawala Nchi nyengine.

    Alisisitiza kuwa KatibaMpya ni lazima itambuekuwa Zanzibar si Wilaya,si Mkoa, wala Jimbo laTanganyika.

    Na kwamba ni lazimaUruhani wa Serikali yaTanganyika uondokemaana ndio kero kubwaya Muungano.

    Mashitaka mapya PondaM A H A K A M A y aHakim Mkazi MkoaniM r ogor o , A gos t i 19 ,2013, ilifurika maelfu yaWaislamu waliomiminikak u s h u h u d ia S h eik hP o n d a I s s a P o n d a ,akisomea mashitaka.

    Licha ya kubainika kwamuda mfupi kuwa Katibuwa Jumiya na Taasisi zaKiislamu Sheikh. Ponda,yupo Mahakamani hapo,maelfu ya Waislamuwalimiminika ili kujuanini kinachoendelea.

    S h e i k h P o n d a ,alifikishwa Mahakamnaihapo majira ya saa tanoasubuhi, chini ya ulinzimkali wa Jeshi la Polisina wale wa FFU, nakusababisha shughulik a d h a a k u s i m a m a ,

    katika maeneo ya jiranina Mahakama hiyo, nakuelezwa kuwa hali hiyohaijawahi kutokea katikahistoria ya Mahakamahiyo.

    S h e i k h P o n d a ,alifikishwa Mahakamanihapo kwa Helkopta,akitokea Jijini Dar esSalaam, siku hiyo hiyo

    baa da ya kuf iki sh wakatika Mahakama yaHakim Mkazi Kisutu,

    Na Bakari Mwakangwalekisha kufutiwa mashitaka,aliyofunguliwa akiwakitandani katika Hospitaliya Muhimbili.

    Akiwa Mahakamanih a p o , S h e i k hP o n d a , a l i l a z i m i k akusomewa mashitakaanayotuhumiwa kufanyaakiwa amekaa kutokanana kuwa na maumivumakali katika jeraha lake larisasi katika bega la mkonowa kulia.

    Sheikh Ponda alisomewamashitaka matatu mbeleya Hakim Mfawidhi waMahakama ya Mkoa waMorogoro, Bw. RichardKabate, ambayo anadaiwakuyafanya akiwa Mkoanihumo Agosti 10, 2013.

    Wakili wa Ser ikaliKanda ya Morogoro,Benard Kongolo, aliiambiaMahakama hiyo kuwaShkh. Ponda, alitendamakosa hayo akiwa katikaViwanja vya Kiwanjacha Ndege, Manispaa yaMorogoro, majira ya jioni.

    Imeelezwa kuwa SheikhPonda, anadaiwa kukiukaadhabu kwa kutoa kauli zauchochezi kwa jamii, piaanadaiwa kutoa manenoyenye nia ya kuhatarishaimani za watu wenginek wa k utoa m a nenokuwa Serikali iliamuakupeleka Jeshi Mtwara,

    kushughulikia suala la

    vurugu zilizotokana nagesi kwa kuwauwa nakuwatesa wananchi kwakuwa asilimia tisini yawakazi wa Mtwara niWaislamu.

    Katika shitaka linginelinalomkabili shkh. Ponda,ni kushawishi na kutendakosa, kwa kuwatakaWaislamu wasikubaliuundwaji wa kamati zaulinzi na usalama, kwanizinaundwa na BAKWATA,ambao ni vibaraka waCCM na Serikali, na kamakamati hizo zitajitokezai n a d a i w a a l i a m u r uifungwe milango namadirisha na kuwapiga.

    Ha ta hiv y o , S hk h.Ponda, alikana mashitakahayo, ambapo upandewa mashitaka ulipingadhamana yake kwa madaikuwa. Ponda, anatumikiakifungo cha nje, na kwambahakutakiwa kufanya kosalakini pia anakabiliwa namakosa mengine.

    Upande wa mashitakauliileza mahakama kuwaupelelezi umekamilika nakesi hiyo itasomwa tenaAgosti 28, 2013.

    Baada ya kusomewamashitaka hayo, SheikhPonda , a l i r udishwamahabusu kwa helkopta,

    Segerea J i jini Dar esSalaam.

    Awali, Hakim Mkaziwa Mahakama ya Kisutu,Bi. Hellen Riwa, alimfutiaSheikh Ponda, mashita

    ya kuhamasisha vuruguyaliyokuwa yakimkabili,kwa kile kilichoelezwa naMkurugenzi wa Mashitaka(DPP) kuwa hana haja yakuendelea kumshitaki.

    SHEIKH Ponda Issa Ponda

  • 7/27/2019 ANNUUR 1087

    5/7

    8AN-NUUR

    SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 23-29, 2013 9 SHAWWAL 1434, IJUMAMakalaHABARI/SHAIRI

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    Kila sifa njema anastahikiALLAH (SW), mwingi warehema mwenye kurehemu.Muumba wa mbingu naardhi na vyote vilivyomo.

    Hawata kuwa radhijuu yako Mayah udi walaManasara mpaka ufuatemila zao.

    Sema: Hakika uongoziwa Mwenyezi Mungu ndiouongozi (khasa).

    N a k a m a u k i f u a t amatamanio yao baada yayale yaliyokufikia ya ujuzi(wa kweli) hutapata msaidiziyoyote wala mlinzi kwaMwenyezi Mungu

    Ndugu mhariri , leonimefkia kuchukua uamuzihuu wa kutoa maoni yangujuu ya tuki o la shul e yasekondari MBEKENYERAkama mzazi, mlezi namwanajamii wa RUANGWA.

    Nina uhakika kabisampaka hivi sasa ni mudamrefu sana umepita, halivijana wa Kiislamu wakiishikama kondoo wasio namchunga katika vituombalimbali vya E limu,hususani asasi za kiserikalina baadhi ya vituo na taasisibi naf si , amb av yo ba dohavijaelimika juu ya hakina uhuru wa maadili yakuabudu.

    T u n a a m i n i k w a m b akila Mtanzania ana hakiya kuabudu na kila asasiinayotoa huduma za kijamiinchini kwetu, imewekewautaratibu wa kuheshimu nakutekeleza muongozo wanamna bora ya watu wakewashiriki ibada kwa mujibuwa sheria na katiba ya Jamhuriya Muungano wa Tanzaniana miongozo mbalimbaliinayotolewa na makamishnakupitia WIZARA YA ELIMUNCHINI, kama ni sehemu yamiongozo kwa wasimamiziw a v i t u o / a s a s i h i z owakiwemo walimu wakuu,bodi za shule, walimu nawafanyakazi wa shule auvyuo kwa ujumla.

    Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania kwakutambua kwake umuhimuwa kutunza na kuhifadhihisia za Watanzania, ambazozimebebwa na kuongozwakwa kiasi kikubwa namafundisho ya imani zao,imechukua jukumu la kujalina kuheshimu uwepo waraia wake wenye kuabudukatika kila asasi ya kijamii,zikiwemo asasi za elimupasi na kujali madai yakekwamba serikali haina dini.

    Lakini licha ya kutolewam i o n g o z o h i y o , b a d okumejitokeza makundi ya

    Maoni yangu juu ya tukio la Ruawatumishi wenye kudharauna kuvunja kanuni nataratibu zilizorasimishwa naserikali. Wanakuwa kikwazokwa haki ya kuabudu kwawengine.

    Kama wanajamii waRuangwa tusiokubaliana namienendo ya viongozi washule yetu, Leo tumeamuak u t u m a u j u m b e h u uikilengwa kwamba, umfkie

    yeyote yule mwenye uwezowa kusoma au kusikiliza nakutambua kile kilichosomwa.

    K u m e k u w a k o n amalalamiko mengi yavijana wa Kiislamu juu yamanyanyaso yanayokithiriwanayokumbana nayokatika michakato yao yote yakimasomo. Hujuma ambazokwa misingi ya imani nakisheria ni unyanyasaji wakidini wanazofanyiwa nabaadhi ya walimu wanaojiitawakristo mashuleni.

    Miongoni mwazo ni:-1. Kuwazuia vijana

    wa Kiislamu kushiriki nakutekeleza ibada, Mfanoswala za Adhuhuri na Alasirina wakati mwingine hataswala ya Ijumaa.

    2. Kuwanyima fursa yakupata haki zao za msingiza kusoma somo la ELIMUYA DINI YA KIISLAMU/

    ISLAMIC KNOWLEDGE.Mfano, kutoingizwa kipindic h a S o m o l a M a a r i f aya Uislamu katika ratibay a s h u l e , k w a m a d a ikwamba kusoma somo hilikunasababisha kufeli kwamasomo mengine.

    3. K u w a n y i m an a w a k a t i m w i n g i n ekutowatolea kabisa matokeoya Somo la ELIMU YA DINIYA KIISLAMU, hata kamasomo hilo l imefanywakisheria na wameligharamiakifedha. Mfano, mitihaniya mihula na utamilifu yawilaya na mkoa.

    4. Kuwazuia kuvaa nawakati mwingine kuwavuahijabu mabinti wa Kiislamukinyume na taratibu kwakigezo cha kuwakagua.

    5. Kuwazuia vijanawa Kiislamu na kuwakatazakabisa kuvaa mavazi yenye

    kuutangaza utamaduni wavazi la Kiislamu wawaposhuleni katika siku maalumza ibada. Mfano kuvaakanzu na kofa katika sikuza ibada ya ijumaa. hatakama mwanafunzi huyo niwa bweni.

    6. Kuwahujumu vijanawa Kiislamu kupitia viongoziwao wa DINI (Maaskofu/Mapadri na Wachungaji)kwa kuwaita Waislamu

    ni wadini na kuutangazaUislamu kuwa ni udini paleinapotokea ukatekelezwakatika vituo h ivyo vyakielimu.

    7. Walimu Wakristokushirikiana na wanafunziW a k r i s t o k u u k a s h i f uUislamu na Waislamu kwaujumla.

    8. Kulazimis hwa kwawanafunzi wa Kiislamushuleni kushiriki mamboyanayo pingana na imanizao. Mfano kulazimishwakucheza miziki/ngomawawapo shuleni na hatimayekuadhibiwa wanapojiteteajuu ya maadili ya imani yao.

    9. K u i n g i z w amashuleni sera za kitaifazisizozingatia haki yamaadili ya kijana/Binti waKiislamu katika utekelezajiwake. Mfano uingizwajiwa JKT mashuleni pasi nakutolewa mwongozo wa vazila heshma kwa mwanamkekatika kushiriki Sera hiyo.

    1 0. W a n a f u n z i w aK i i s l a m u k u n y i m w amaeneo ya kufanyia ibadakama ambavyo ipo kwaWakristo. Baadhi ya shulezina makanisa katika maeneoya shule lakini si msikiti.

    11. Kupangwa mudaya swala matukio muhimu

    yanayohitaji mjumuiko washule (walimu na wanafunzi)pasi na kuzingatia uwepo wawaumini wenye kuhitajikakutekeleza ibada kwa midahiyo. Mfano imezoeleka sanakuifanya siku ya Ijummakuanzia saa 5:00-8:00 kuwandio siku za kuwekwamahafali ya shule/vyuo.

    H u j u m a k a m a h i z iz i n a z o t o k e a t a k r i b a n ishule nyingi za sekondarinchini, ndizo zilizopelekeakutokea kwa tukio lavijana 24 kusimamishwamasomo katika wilaya yetuya Ruangwa na hatimayewalimu kuwatengenezeam a k o s a w a n a f u n z i i l iwaonekane kuwa wamekosa.

    Mimi kama Mwanajamiiwa Ruangwa mwenyeuchungu na nchi yangu,nimelifuatil ia tukio laRuangwa kwa umakinina ukaribu mkubwa sana,

    na kwa kufahamu atharizinazoweza kutokea hapombeleni kwa kuendeleakulilea tukio hili, nimeonelealeo nitoe mapendekezo yangujuu ya hatima ya mgogorohuu. Katika mapendekezoyangu juu ya nini kifanyikeili kuleta muafaka mzuri wamgogoro huu, nimeyabainimambo kadhaa ambayokwa udhibitifu wake ninauhakika kabisa kwamba

    mgogoro wa Shule yasekondari Mbekenyera, nimatokeo ya mrundikanowa makorokoro chungunzima yaliyopo shuleni hapona katika ngazi za juu zauongozi wilayani. Miongonimwa mambo hayo ni:-

    1. Shule ina mgogorow a m u d a m r e f u k a t iya walimu Wakristo nawanafunzi Waislamu juu yamasuala ya kiimani.

    Ni wazi kabisa mgogoro

    huu unaohusishwa namasuala ya kiimani kati yabaadhi ya walimu Wakristo nawanafunzi Waislamu shulenihapo, ni wa muda mrefu nahivyo umepea kwa kiwangokikubwa hata kufkia hatuaya kujenga mahusianomabaya ya kimalezi kati yawalimu na wanafunzi hao,ambayo kwa kiasi kikubwayanazidi kukuza uadui wakiimani.

    Wanajamii wa Ruangwatuna imani kabisa hali hiiimesababishwa na Mkuuwa Shule yetu, kutokanan a k a s u m b a y a k e y akutopenda kutushirikishakama wanajamii katikakujadili mambo mbalimbaliyanayojiri shuleni petu.Tumeyafuatilia maelezo yavijana kwa kina sana, piahata kuwashirikisha walewaliokwisha maliza mwakazaidi ya mmoja nyuma, juu

    ya tunachokisikia kuwavijana wa Kiislamu huwawamekuwa wakifanyiwa kwamuda mrefu na Mwalimuhuyo, sasa tumethibitishakuwa ndivyo mwalimuMkuu wa Shule yetu yaMbekenyera na baadhi yawalimu wake Wakristo,wana mambo ya udiniwanayowafanyia watotowetu pasi na kuzingatia hakiyao ya msingi ya kuabudu.

    Tuna rekodi ya matukiokadhaa ambayo wenetuwamekuwa wakifanyiwa nawalimu hao, ambayo kamawanajamii na Waislamu waRuangwa hatujafurahikiwanayo. Kama wanajamii waRuangwa hili la Mbekenyeralimetugusa sana. Kwelihakuna mtu anayewezakukubali.

    Uongozi wa shule nimbaya sana. Inaonekanapia katika shule yetu hiiya Mbekenyera, hakunautaratibu mzuri wa uongoziwa shule katika uendeajiwa masuala mbalimbali yakinidhamu katika maleziya wanafunzi hapa shuleni.Hali inayosababisha kila mtukuweza kuchukua maamuzibinafsi ka tika kut afuta njiaza utatuzi wa matatizopindi yanapotokea, hali hiiimekuwa chachu ya kutokea

    na kna mpandna m(mw

    HitukiokatikMkuna Ahatambo

    Kwakwamtoka nMkuAfsawapangeanay

    KU MYA (AIDAU WUHAKUT

    I ntatizkatikna wkulinpandinatakutohali mudna k

    kwa kulikTu

    na kMkukutumaramazili khayaajabuwanauongNa khivy

    Userikya mMkuna Awainukw

    Piharakya pa(waz

    vionwaleSomkulihalijamaku

    Tamalamgo

    AKimb

    MRUA

    1.Ewe redio IMANI,Mwenye aali thamani,

    Akhera na duniani,Karibu twakungojea.

    2.Kwayo aali thamani,Uloitwaa nchini,Kufu yako simuoni,Karibu twakungojea.

    3.Maadili namba 'wani',Kwalo huna mshindani,Bara hata Visiwani,Karibu twakungojea.

    4.Waushika usukani,Bara nako Visiwani,Mijini na vijijini,Karibu twakungojea.

    5.Kipenzi cha waumini,Hata waso waumini,Wapenda haki insani,Karibu twakungojea.

    6.Watueleza bayani,Ya dunia na ya dini,Kwa ya insafu mizani,Karibu twakungojea.

    7.Lengo tuweze 'baini',Stahiki ya insani,Kwa pande zote thinani,Karibu twakungojea.

    8.Waibaini amani,Ya kweli na ya yakini,Changamoto duniani,

    Karibu twakungojea.

    9.Changamoto kwa insani,Tena iso na kifani,Kwa sasa ulimwenguni,Karibu twakungojea.

    10.Adayo puya huneni,Ila haki na yakini,Kumridhisha Manani,Karibu twakungojea.

    KARIBU TENA 'REDIO IMANI'11.Si kumridhi insani,

    Wala rajimi shetani,Wakusifu duniani,Karibu twakungojea.

    12.Ndicho hasa kiini,Cha wewe kukuftini,Na kutiwa kifungoni,Karibu twakungojea.

    13.Mudawe u ukingoni,Wa kutoka gerezani,Tarehe naibaini,Karibu twakungojea.

    14.Mbili nane kalendani,Agosti twatumaini,Kukusikia hewani,Karibu twakungojea.

    15.Jumatano fungueni,Zenu redio nyumbani,Kuipokea IMANI,Karibu twakungojea.

    16.Mahabaye dumisheni,Dawamu msiikhini,Kwa vyovyote abadani,Karibu twakungojea.

    17.Nyote nakutakieni,Utuvu na tamakuni,Na usikizi makini,Karibu twakungojea.

    18.Yailahi Ya Manani,Twakuomba mwenye shani,Ikinge na mafatani,

    Karibu twakungojea.19.Wote wa nje na ndani,

    Wa Bara na Visiwani,Na kote ulimwenguni,Karibu twakungojea.

    20.Kwa yako Allah auni,Idumu yetu IMANI,Idhaa iso kifano,Kwa hamu twaingojea.

    CUF Ilala walaani naokupigwa risasi Ponda

    Na Shaaban Rajab

    U O N G O Z I w aChama cha WananchiCUF-Wilaya ya Ilalakimeliomba jeshi lapolisi liache maramoja kuchukua hatuabila kufuata sheria zanchi, na kulitaka jeshihilo kutambua wajibuwake kuwa ni kulindana kutunza usalamawa raia na mali zao nasio kuua.

    Kwa muj ibu wataarifa ya chama hichoiliyotolewa katikati yawiki hii na kusainiwana Mkurugenzi wakewa Haki za BinadamuWilaya ya Ilala, Bw.B w . M o h a m m e d

    Juma Mluya, ilielezakuwa CUF wanalaanikitendo cha polisikutumia risasi za motokuwapiga raia wasio na

    hatia na kuwahalalishiamakosa ya jinai.

    Polisi wamekuwawakichukua sheriam k o n o n i h u k uM a h a k a m a n aTaasisi nyingine zakisheria zikiangaliabi la ya ku ch uk uahatua, jambo ambalo

    mambo sawa, itajikutainatumia fedha zawalipa kodi vibayakama inavyofanyikahivi sasa katika kesi yaSheikh Ponda, ambapohelkopta inatumikak u m s a f i r i s h a

    linafanya matendohayo yachukue kasihapa nchini. Ilielezasehemu ya taarifa hiyoya CUF.

    A i d h a c h a m ahicho wameiombam a h a k a m ak u w a t e n d e a

    h a k i W a t a n z a n i aw a n a o f i k i s h w akwenye chombo hicho,kwa kuwapa dhamanakwasababu ni hakiyao, kuliko kukubalisheria kuvunjwa kwakuridhia kuondolewahaki ya dhamana kwabaadhi ya Watanzania,

    kama inavyofanyikahivi sasa kwa baadhiya watuhumiwa.

    C h a m a h i c h okimeiomba serikalikuingilia kati sualala Sheikh Ponda, kwakuwawajibisha wotewanaohusika katika

    kuvunja sheria nakuchukua maamuziambayo yanawezak u i g h a r i m u n c h ibaad ae na kuha ribuamani uliyopo.

    Katika taarifa hiyoilieleza kuwa, bilaserikali kuingilia katisuala hili na kuweka

    mtuhumiwa mmojakutoka mahabusuSegerea Dar es Salaamkwenda mahakamaniMorogoro kwa ajili yakesi.

    L i c h a y a m u d akupotea, lakini piamisafara ya magariy a n a y o t u m i k a

    k u m p e l e k am t u h u m i w am a h a k a m a n in a k u m r e j e s h arumande, ni gharamaz i n a z o l i p w a k w akodi za wananchipia, fedha ambazozingetumika katikashughuli nyingine zamaendeleo.

    MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wahadhiri mkoa wa Morogoro Ustadh Idd,akionyesha kibali cha polisi kuruhusu kufanyika kongamano la Waislamu

    Morogoro ambapo Sheikh Ponda alishambuliwa.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1087

    6/7

    10AN-NUUR

    SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 23-29, 2013 11 SHAWWAL 1434, IJUMAMashairi/Tangazo/Makala Tangaz

    1Background TANESCO http://www.tane sco.co.tz

    The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy producNext to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efcient customer focused utility for Tanzania and beyondlargest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company will, in the comin its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites internal and eare self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to ll the under-mentioned posts at Backbone Transmission Inve

    Project Engineers - 7 posts

    POSITION OBJECTIVEThe Project Engineers for the Backbone Transmission Investment Project (BTIP) are required to oversee execution of L

    electrication works subprojects of BTIP during construction works of transmission lines at respective sites. The Project EnProject Managers and will be assisting respective Project Managers with skills related to Transmission Line and Electricatio

    RESPONSIBILITIES:

    1. To assist the project managers in organizing, controlling, monitoring and recording all activities related to construthe respective Lot.

    2. Undertake review of technical standards and specications for design works undertaken by EPC contractor, examcontractor detail design and drawings of respective Lot for compliance with specications and sound engineering

    3. Ensuring that environmental and social impact mitigation and monitoring measures in the Projects EnvironmenAssessment (ESIA) and the environmental and Social Management Plan (ESMP) included in it are appropriately eand EPC contractor as well as relevant community and district and local government authorities.

    4. Verify accuracy of payment invoices of EPC contractor of respective Lot to ensure that payments accurately reeccompleted or goods supplied.

    5. Ensure that safety is adequately provided for and observed in the respective Lot according to TANESCO safety r6. Prepare weekly, monthly, quarterly, biannual project progress reports for submission as appropriate to TANESCO

    Completion Report, which outline, inter alia, achievements in relations to objectives and targets of the substation7. Advising Project Manager any departures from work schedules on all phases of the project during constru

    performance testing and nal commercial operational acceptance including proposals for reducing any delays wwith cost and quality of work.

    8. Assist supervision team (OISF and TANESCO) on supervising contractors construction activities at the site and kof construction progress, reviewing and processing site drawings when submitted by contractor and making/revie

    and preparing change orders to meet changed conditions during construction proceeding for respective Lot.

    PROFESSIONAL AND INTERPERSONAL DETAILS

    MINIMUM REQUIREMENTS:

    Graduate Engineers with good pass mark in BSc. in Civil (Three (3) posts) and Electrical Engineering (Four (4) posts Excellent communications and presentation skills. Proven computer literacy

    Self-management and personal traits: Courage and Conviction the ability to create a sense of excitement about taking on new challenges and a belief in

    deliver results. Relentless Preparation preparing thoroughly for all important management decisions. Drive for results a deep seated inner desire to compete against standards of excellence and achieve step changes Holding people accountable the ability to give clear and unambiguous direction to individuals and teams about wha

    order to meet the organisations objectives. Building capability - developing individuals and groups in order to increase the capability of the whole organisation. Compelling Communication recognising that clear communication is the key to understanding. Leading Others the ability to create a compelling vision of the future and provide inspiration, clarity and dire ction.

    Leadership and self management skills: Focuses on result for the project an d responds positively to feedback. Consistently approaches work with energy and a positive, constructive attitude. Remains calm, in control and good humored even under pressure. Demonstrate openness to change and ability to manage complexities.

    REMUNERATIONAn attractive compensation package base on performance and consummate with the responsibility will a

    candidates. All positions terms of employment are performance based xed contract.

    HOW TO APPLY

    If you are interested in the positions, apply by sending a brief application letter, clearly stating why you shouldposition and how you will add value. With the letter, concise curriculum vitae should be enclosed showing brieyaccomplishments for you to deserve to be considered for the position.If you do not hear from us consider you

    Phonecalls soliciting for these positions by applicants will automatically lead to disqualications.All applications should be submitted to the addressbelow not later than fourteen days after the initial ad

    SENIOR MANAGER HUMAN RESOURCES,TANESCO LTD UMEME PARK,

    UBUNGO P. O BOX 9024DAR ES SALAAM

    ADVERTISMENT

    1. EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

    Ni simanzi Afrika,Mashariki kwa hakika,Kwa mauti kumfka,Aboud si jina geni.

    Sheikh wetu Mujahidi,Kauliye ni Jihadi,Kila mara 'liinadi,kwa ustawi wa dini.

    Hakutaka kuwafcha,Jambo hili wanolicha,Kadhalika wanolacha,Kwa kudhani si la dini.

    Alihoji kulikoni,'Sinadiwe hadharani,

    Kwani nalo ni la dini,Kama hijja kwa kifani.

    Alisimama thabiti,Na kwa hoja madhubuti,Lengo zende harakati,Mbele za yetu dini.

    Alijusurisha umma,Utambue yake dhima,Si nyingine bali hima,Ya kuinusuru dini.

    Alikuwa ni fataki,Dhidi ya wapinga haki,Kadhalika wazandiki,Wanoihujumu dini.

    Akatupa na indhari,Tuchukue tahadhari,Dhidi yazo zao shari,Na mbinuzo wanobuni.

    Hakuwahofu viumbe,Wenye vyeo lembelembe,Aliwapa zao tembe,Si kwa siri hadharani.

    Tegemeole Manani,Hili alilibaini,Si kwa kiumbe insani,Aloumbwa na Manani.

    Ndugu Mhariri,Assalaam ala ik u mwtw.A l i w a h i k u s e m aM u i s r a e l i m m o j akuwa, siku zote mkaaa n a y e k a a k i m y ap i n d i m w e n z a k eanafanyiwa dhulma,iko siku dhulma hiyoatafanyiwa yeye.

    Leo Sheikh PondaIssa Ponda amepigwarisasi, amekamatwa nakuwekwa mahabusu,akiwa bado mgonjwa,a m e f u n g u l i w amkashitaka na majerahayake, tukikaa kimyaiko siku yaliyomkutayatatukuta mimi nawewe!

    Namshukuru ALLAH( S W ) n i l i f a n i k i w ak u m u o n a S h e i k hPonda akiwa hospitaliniMuhimbili chini ulinzi

    Tatizo sio Ponda!mkali wa askari polisiwakiwa na silaha namabomu ya machozi.

    Allah amjalie Sheikhithibati na ISTIQAMAF I I D U N I A W AAKHERA.

    M wi sh o k upi g warisasi Sheikh Ponda iweni darsa kwa Waislamuwanaochukia dhulma na

    wakaipenda haki.Haki iko wapi? SheikhPonda asubuhi yaketangu nilipomjulia hali,al ipelekwa gerezaniSegerea na jeraha lakehuku akiwa na dawazake mkononi.

    K a d h i a h i iinanikumbusha kisacha vijana wa Palestinaw a l i o m v i k a f a r a s ibe nd er a ya Is ra el i,k i sh a a l i pok wen d au p a n d e w a l i p o

    askari wa Kiyahudiwalimpokea vyema tubila hata kumpiga risasi,pembeni yao alikuwepomwandishi wa habari,a k a m u u l i z a y u l emwanajeshi, mbonahujampiga risasi huyofarasi? Mwanajeshiali j ibu, huyu farasia n a w a t e t e z i w a t uwa HUMAN RIGHT

    WATCH, akamuulizavipi kuhusu Waislamum n aowapi g a r i sas ik i l a k u k i c h a ,alijibu wao hawanamtetezi. Kupigwa nakudhulumiwa ni hakiyao.

    Serikali i j ibu hojaza Sheikh Ponda, siyokunyamazisha kwarisasi.

    Mwananchi mpendahaki

    Kumbukumbu ya Sheikh RogoBaa aliweka wazi,Kukusibu haliwezi,Ila kwa yake Azizi,Qadari iso kifani.Lengo kurufai hofu,Kwa wenye 'mani dhaifu,Wasimame mukawafu,Kuihami yao dini.

    Alibaini hawafu,Adhimu tunozihofu,Kifungo pamwe na ufu,Kasetize rejeeni.

    Zilifanywa nyingi njama,Dhidiye arudi nyuma,kadhalika na Hujuma,

    Kutoka nje na ndani.Nyingi alizimaizi,Na kuzitamka wazi,Pasi na kigugumizi,Wala hofu mtimani.

    Akatiwa gerezani,Si kwa jingine kwa dini,Hakurudi abadani,Nyuma kutetea dini.

    Kasiye 'liongezeka,Gerezani 'lipotoka,Kwa shababu kuwataka,Waihami yao dini.

    Aliomba kila mara,Safariye ya akhera,Iwe kwake ya jahara,Si ya hofu kitandani.

    Ilahi mghufrie,Dhunubuze mfutie,Firdaus mtie,Kwa rehemazo na shani.

    Nasi Allah twakuomba,Shahada zisizoyumba,Tushike imara Kamba,Hapa hadi kaburini.

    Abuu NyamkomogiMwanza.

    Kalamu nimeishika, kunena na ikhiwani,Hatamu mloishika, kwa swala za Ramadhani,Kwa safu mkapangika, za mbele misikitiniKutimu kwa Ramadhani, si mwisho wa swala tano.

    Tafakarini wa Bara, na wa Zenji kwa makini,Mliokuwa vinara, wa swala za Ramadhani,SWALA tano ndiyo dira, ya wakweli waumini,Kutimu kwa Ramadhani, si mwisho wa swala tano.

    "Swala ni nguzo ya dini", si kauli ya kubuni,Rasuli 'keshabaini, kwa mawanda hadithini,Nasaili kulikoni, na kwanini mwaikhini,Kutimu kwa Ramadhani, si mwisho wa swala tano.

    Mko wapi hivi sasa, baada ya Ramadhani,Mwatarajiani hasa, kwa swala sasa 'zikhini,Mwaridhia hili kosa, la kuvunja yenu dini,Kutimu kwa Ramadhani, si mwisho wa swala tano.

    Mwaridhikaje mioyoni, kwa ya msimu imani,Falau la kwanini, 'mwakacha' misikitini,Kama ndiyo kulikoni, lengo lenu hasa nini,Kutimu kwa Ramadhani, si mwisho wa swala tano.

    Uasi kwa Maulana, twaa ni kwa Ramadhani,Kama si ushirikina, huu tuiite nini,Nielezeni kwa kina, weledi wa yetu dini,Kutimu kwa Ramadhani, si mwisho wa swala tano.

    Abuu NyamkomogiMwanza.

    Si mwisho wa swala tano !

    TUNAYO FURAHA KUKUTATANGAZIENI WAISLAMU WOTE KWA KUWA

    VITABU MBALIMBALI VYA MAARIFA YA UISLAMU SASA VINAPATIKANA

    BURE KATIKA TOVUTI YETU WWW.ISLAMICEDUCATIONTZ.COM .VITABU VINAVYOPATIKANA NI HIVI VIFUATAVYO:

    I. VITABU VYA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU SHULE YA MSINGI

    KITABU CHA KWANZA HADI CHA SABA

    II. VITABU VYA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU KWA SHULE ZA

    SEKONDARI KITABU CHA KWANZA HADI CHA NNE

    III. ISLAMIC KNOWLEDGE FOR FORM FIVE AND SIX VOLUME

    ONE,TWO AND THREE

    IV. MODULI YA MBINU ZA KUFUNDISHIA ELIMU YA DINI

    YA KIISLAMU UALIMU MAARIFA YA UISLAMU DARASA LA

    WATU WAZIMA JUZUU KWANZA HADI YA SABA

    V. MIHTASARI YA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU KWA ELIMU

    YA AWAL, SHULE ZA MSINGI,SHULE ZA SEKONDARI NA

    UALIMU.

    MAELEKEZO MUHIMU :UNARUHUSIWA KUDURUFISHA (DOWNLOAD) KWA LENGOLA KUENEZA MAFUNZO YA UISLAMU KWA UMMAH ILA

    HURUHUSIWI KUBADILISHA CHOCHOTE WALA KUUZA.

    WABILLAH TAWFIQ

    MWENYEKITI.

    Islamic Education Pane

    http://www.islamiceducationtz.com/http://www.islamiceducationtz.com/http://www.islamiceducationtz.com/
  • 7/27/2019 ANNUUR 1087

    7/7

    12 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 23-29, 2013

    Safari ya Hijja Dola 4450

    tu. 1434/2013Taasisi ya Khidmat Islamiya inawatanganzia Waislamu

    wote Safari ya Hijja kwa Gharama ya Dola 4450 tu.unaweza kulipa kwa awamu

    (Kuhijiwa) ni Dola 1450 tu.Kuondoka ni 5/10/2013 k urudi 27/10/ 2013

    Piga Simu 0784 786680, 0713 986 671, 0774 786 680E-Mail) [email protected] , Tovuti

    (Website) www.khidmatislamiya.com

    Markazi Ummu Suhail ni kituo cha kuhifadhisha Qur aankwa Mabinti wa Kiislamu. Kituo ni cha bweni kipo mkoaniKilimanjaro wilaya ya hai.

    Umri: kuanzia miaka 13 na kuendelea.Kituo kitafunguliwa 9/08/2013 Inshaalah. Fomu za

    kujiunga zinapatikana msikiti wa Riadha, wahi nafasi nichacheKwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba 0754 029 518Mlete mwanao apate elimu yenye manufaa.

    Tanzania Muslim Hajj TrustSafari ya Hijja 2013

    Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja nidola za Kimarekani $ 4200. Safari ni t arehe5 na 7 Octoba, na Kurudi Tarehe 27 na 28

    Octoba, 2013.Wahi kujiandikisha Sasa.

    Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwaKulipia kidogo kidogo, unaendelea.Simu: 0717 000 065, 0784 222 911,

    0754 304 518, 0754 498 888Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org.

    Makamu wa Kwanza waRais wa Zanzibar MaalimS eif S h ar i f H am adamesema anasikitishwana matukio ya hujumayaliyojitokeza Zanzibar,i k i w e m o w a t ukumwagiwa tindikali, nakutaka uchungunguzi wakina ufanywe kuwabainiwahusika, na baadayeripoti ya uchunguzihuo iwekwe wazi kwawananchi.

    Amesema hatua yakuwekwa bayana ripotiza uchunguzi wa matukiohayo ya hujuma, ni jambomuafaka katika kufutadhana zinazojengekamiongoni mwa wananchina jamii ya kimataifak uhusia na na wa tuwanaohusika kufanyahujuma hizo.

    M a a l i m S e i fameyasema hayo katikamahojiano maalum juu yamaadhimisho ya miaka 50ya Mapinduzi ya Zanzibartangu kuasisiwa kwakemwaka 1964.

    Amesema ili amanina m shik a m a no waWazanzibari udumu,matukio kama hayoy a hu jum a a m b a y oyamekuwa yakiwalengazaidi baadhi ya viongoziwa dini na hata wageni,hayana budi kuangaliwakwa upana wake, nakuwataka wananchiwajiepushe na kufikiamaamuzi ya harakakuwahusisha wengine

    bila ya uchunguzi wa kinakufanywa.

    Alisema wananchiwalipata matumainiya kukomeshwa kwavitendo hivyo mara baadaya hujuma zilizofanywadhidi ya viongozi wadini pamoja na mripukouliotokea katika kanisala A r usha a m b a p owaliahidiwa uchunguziwa kina utafanyika nakuhusisha wapeleleziwa kimataifa, lakini hadisasa hakuna ripoti yoyote

    Maalim ahimiza kutolewa

    taarifa za uchunguziiliyowekwa bayana.Maalim Seif ameelezakwamba badala yakem a tuk io y a hu jum ayameendelea na wananchikuendelea kujenga dhanaya kuwahusisha watu aumakundi maalum bilaya kuwa na uthibisho,

    jambo ambalo ni hatarikwa usalama na utulivuwa nchi.

    Ingekuwa wakatiule tungesema ni siasa,lakini sasa tuna serikaliya pamoja Zanzibar ,kwa nini mambo hayayanatokea sasa, huu nimtihani mkubwa kwetu,alisema Maalim Seif.

    Maalim Seif ambaye piani Katibu Mkuu wa ChamaCha Wananchi CUF,

    amesema pia amekuwamgumu kuamini kuwadini inahusika katikam a tuk io y a hu jum ayaliyotokea Zanzibar.

    Amesema, Zanzibarina historia ya kipekeeya uvumilivu wa kidiniduniani, kutokana nawananchi wa visiwa hivikuishi pamoja kwa miakamingi bila ya kubaguanakwa misingi ya dini zao.

    Sisi Zanzibar kiwangochetu cha uvumilivu nikikubwa na nambarim oja dunia ni , ha taukiangalia Ukristo AfrikaMashariki mlango wakeni Zanzibar, alifafanuaMaalim Seif.

    A k i t o a m f a n owa uv um i l iv u huo,Maalim Seif amesemahata unaf ika mweziwa Ramadhan huwezi

    kumuona mtu wa imaniyoyote akila hadharaniwakati wa mchana, nakwamba wananchi wotewanashirikiana katikashughuli za kijamii bila yakujali imani zao.

    Ameeleza kuwa baadaya matukio ya kujeruhiwaPadri Ambrose Mkenda,kuuawa kwa Padri EvaristMushi na mripuko wa

    bomu katika kanisa mjini

    Arusha, Serikali iliahidikuleta makachero waF.B.I, na hata baada yawasichana wa Kiingerezakumwagiwa tindikaliinaelezwa wachunguzikutoka Sckotland Yardwapo, lakini hakunat a a r i f a h a d i s a s ailiyotolewa kuhusiana nauchunguzi huo.

    Tusijiegemeze kwenyedhana, uchunguzi ndiokitu muhimu. Hawaw a n a o a t h i r i k a n ahujuma mbali ya kuwaviongozi wa dini nao ni

    binadamu , tujiu lize jeehawakujenga uhasamaau kutokufahamiana nawengine huko katika

    jamii, alihoji Maalim Seif.Amefahamisha kuwa

    ni makosa kuendeshamambo kwa dhana, kwavile matokeo yake nikuwaadhibu watu kwakuwaweka ndani bila yakuwa na hatia.

    Amewataka wananchik u w a m a k i n i n awaendelee kuwa wamoja,ili amani, mashirikiano naumoja uliodumu uendeleewakati huu ambapoZanzibar inaadhimishamiaka 50 ya Mapinduzi.

    W ak at i h u o h u oMaalim Seif amekutanana Balozi mdogo waChina aliyepo ZanzibarChen QiMan na kuelezeaumakini na uadilifu wamakampuni ya Kichinak a t i k a k u t e k e l e z amajukumu yao.

    A m e s e m a m a r anyingi kazi za kiufundiwanazopewa wataalamu

    wa Kichina zimekuwaz i k i t e k e l e z w a k w aumakini na kwa wakatiuliopangwa, hali inayotoamatumaini ya kuendeleak u t o a t e n d a k w amakampuni hayo.

    A i d h a a m e s i f uushirikiano wa kihistoriauliopo kati ya China naZanzibar ambao umekuaukichangia maendeleo yakiuchumi na ustawi wa

    jamii.A m em ta k a b a loz i

    huyo kuwa kiungo katikakuwashajiisha watalii nawawekezaji wa China kujaZanzibar, ili kuendeleakuunga mkono juhudiza serikali za kuwaleteawananchi maendeleo.

    Amesema China nimshirika wa kweli wam a endeleo a m b a y oimekuwa ikishirikiana naZanzibar katika kutatuakero zinazoikabili ikiwani pamoja na kusaidiawataalamu hasa katikasekta ya afya.

    Naye balozi QiManamesema katika kipindichake cha utumishi hapanchini, ameshuhudia

    mafanikio makubwayakipatikana yakiwemokuimarika kwa majengo,huduma za elimu pamojana miundombinu yamawasiliano.

    Ameahidi kuwa Chinaitaendelea kushirikiana

    na Zanzibar na kutoamichango zaidi katikakusaidia uimarishaji wauchumi wa Zanzibar.

    Balozi Chen QiManamemaliza muda wautumishi hapa nchini,

    baa da ya kui tu mik ianafasi hiyo ya ubalozimdogo kwa kipindi chamiaka miwili na nusu.

    (Habari kwa hisani yaOsi ya MKR)

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar MaalimSeif Sharif Hamad akiteta na wageni wake nyumbanikwake Unguja.