annuur-1046

Upload: mzalendonet

Post on 04-Apr-2018

678 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/30/2019 annuur-1046

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1046 MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23-29, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    RAIS Mstaafu wa ZanzibarMheshimiwa Amani AbeidAman Karume ametakiwa

    Sheikh Farid asemaUnguja itakomboka

    Ataka Tanganyika iungane na KenyaApaza sauti Mahakamani mnautaka?

    Karume atakiwa kusamehe

    wahafidhina wasiojitambuaSkolashipu za Qaboos wanapokea, lakini

    Kudai haki ya Zanzibar wanatishiwa Sultan!

    Mbona Bara hatusikii kitisho cha Malkia (UK)

    Waliotoka rumandewafichua makubwa

    Na Mwandishi Wetu

    Baniani mbaya, ...

    kuwasamehe wanaomkejena kumtukana kwa sababhawajitambui wala kujuwanalolifanya.

    Inaendelea Uk

    Inaendelea Uk. 1

    Washukuru kwa Dawah waliyopiga gerezani

    Wadai Polisi walipora mali za watuhumiwa

    Waislamu wataka kujua

    hatma ya TV yao ImaanNi baada ya kukosa kibali kwa muda mrefu

    Wasema kama tatizo ni fedha waambiwe

    TCRA wasema malalamiko yapelekwe kwa DGNa Mwandishi Wetu

    M W E N Y E K I T I w aIslamic Foundation naTV Imaan, Sheikh ArefM. Nahdi, amesema kuwawametimiza masharitiyote yanayohitaka kupata

    kibali cha kujenga Studiya TV ila hawajui ni kwnini mamlaka husikinachelewa kuwapa kibahicho-yaani ConstructioPermit (CP).

    Nahd amesema kama n

    Taasisi za Kiislamu zisaidie

    wasiopata mkopo wa Bodi

    Wahitimu MUM watakiwa

    kuwa mfano kwa jamii

    Hajat Malale awataka

    kushikamana na Uislamu

    Uk. 12

    Sultan Qaboos wa Oman. Mh. Shamhuna. Uk. 4Unyama wa Israel Gaza - Uk. 3

  • 7/30/2019 annuur-1046

    2/12

    2AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 0713 110148, DSM.www.ipctz.org E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    Sheikh Farid asema Unguja itakombokaMANAUTAKA? Alihojikwa sauti Sheikh Farid nakurudia mara tatu nje yamahakama juzi ambapowananchi waliokuwepowalijibu hatutaki hukuwakimshangilia.

    Hal i h iyo i l ionekanakuwafurahisha wananchiwaliokuja kusikiliza kesihiyo nje ya Mahakama Kuuhuku Sheikh Farid mwenyeweakionyesha kutokuyumbakatika kile anachokisimamiana kupigania.

    Hii ni mara ya pili kwaSheikh Farid kusema manenokama hayo wakati akipandagari kurejeshwa rumandeambapo wiki iliyopita alisema

    Haki haifichwi lazima itakujajuu siku moja wakati SheikhAzzan akisema ZanzibarKwanza.

    Kesi ya watuhumiwahao imekuwa ikisikilizwakatika mahakama kimyakimya bila ya kuruhusiwakuingia ndugu na jamaaza watuhumiwa hao lakiniwamekuwa wakisubiri nje nandipo juzi wakashangiriwawalipowaona wakitolewandani na kuanza kuwapigiatakbira wakimaanisha MunguMkubwa mahakamani hapo.

    K e s i h i y o i m e k u w a

    ikisikilizwa ndani na wenyekuruhusiwa kuingia ndanini maafisa wa polisi wausalama, jeshi la polisi naba ad hi ya wa an di sh i wahabari wachache hata hivyoulinzi katika maeneo yoteukiimarishwa huku badhiya maafisa usalama wakiwawametanda katika kila konaya mahakama hiyo iliyopoMji Mkongwe wa Unguja.

    W a k a t i h u o h u o ,Sheikh Farid Hadi Ahmedna wenzake 7 wataendeleakusota rumande baada yapingam izi lao la dhaman a

    kushindwa kufunguliwa naMkurugenzi wa MashitakaZanzibar (DPP).

    Mrajis wa Mahakama KuuZanzibar George Joseph Kazialitoa uamuzi wake huo baadaya kusikiliza hoja zilizotolewana pande zote mbili wikiiliyopita na kuutaka upandewa utetezi kuwasi l ishamalalamiko yao MahakamaKuu juu ya madai ya ukiukwajiKatiba na sheria yanayodaiwakufanyiwa watuhumiwa haohuko rumande.

    Mrajis al isema kuwa,

    Alghaithiyyah, Zanzibar Mahakama Kuu ndichochombo pekee chenye kutoatafsiri na ufafanuzi wowotewa Katiba, na kwa mujibu washeria mahakama yake hainauwezo kisheria kusikiliza

    madai hayo yaliowasilishwa.Uamuzi huo wa Mrajis

    umekuja kufuatia malalamikoya ukiukwaji wa Katiba yaZanzibar ya mwaka 1984na ukiukwaji wa haki zabi na da mu wa na of an yi waviongozi hao wa Jumuiyaya Uamsho na Mihadhara yaKiislamu Zanzibar (JUMIKI)baada ya kuwasi l ishwamahakamani hapo na mawakiliwao watatu wakiongozwana Salim Tawfik, AbdallahJuma na Suleiman Salum wikiiliyopita.

    Mawakili hao waliiambia

    mahakama kuwa wateja waohuko katika magereza yaKilimani wananyimwa hakizao za msingi za kuonanana ndugu na jamaa zao,wanafungiwa ndani saa24 bila ya kuonana na mtuyeyote wakati watuhumiwawengine wanapewa fursahiyo, wananyimwa haki yakufanya ibada hasa sala yaIjumaa, kunyimwa fursaya kubadilisha nguo nakusababisha kuvaa nguo hizohizo zaidi ya wiki tatu sasa,na pia kutenganishwa kila mtuchumba chake na kukataliwa

    kukutana na wenzao wakatiwao bado ni watuhumiwa nahawajatiwa hatiani.

    M a d a i m e n g i n eyaliowasilisha na mawakilihao ni kule kunyimwa fursaya kuletewa vyakula kutokanyumbani wakati watuhumiwawenzao wanale tewa nakukatazwa kwenda kusalimsiki t in i wakati kat ikamagereza kuna msikiti nawenzao wote wanapata fursahiyo ya kujumuika na wenzaokusali na pia kunyolewa ndevuwakati maafisa wa magarezawanafahamu kuwanyoa ndevuni kuwadhalilisha.

    A w a l i M a h a k a m a n ihapo upande wa Mashitakaulioongozwa na Mwanasheriakutoka ofisi ya Mkurgenziwa Mashitaka Zanzibar(DPP), Ramadhan Nassib,alitetea hoja hizo na kuiambiamahakama hiyo kuwa sualahilo sio pahala pake na kuutakaupande wa utetezi kuwasilishamadai hayo Mahakama Kuuambayo ndiyo yenye uwezowa kutoa tafsri na maelekezoya ukiukwaji wa Katiba.

    Wanasher ia weng inwa upande wa waendeshmashitaka waliosiki l izkesi hiyo kwa upande wMkurugenzi wa Mashitaka Rashid Fadhil na Raya Iss

    Mselem ambaye aliiombmahakama hiyo kutupilmbali hoja ya ukiukwaji whaki za binadamu kwa kuwhapo sio mahali pale na kamwanataka wafungue madkatika mahakama husika.

    Raya aliiomba mahakamhiyo kuiahirisha kesi hiyo nkuipangia tarehe nyenginkwa ajili ya kutajwa kutokanna upelelezi kutokamilika.

    Katika uamuzi wakGeorge Kazi ambaye pni hakimu wa mahakamya mkoa Vuga, alisemmahakama yake haiwe

    kutoa tamko la ukiukwakatiba, na kufahamishkuwa Mahakama Kuu ndiypekee yenye Mamlaka ykusikiliza na kutoa maamuyanayohusiana na ukiukwawa Katiba.

    Mrajis huyo wa MahakamKuu ameutaka upande huwa utetezi kufungua madyao hayo Mahakama Kukwani ndicho chombo pekechenye Mamlaka ya kusikilizmasuala ya Katiba na sikatika mahakama hiyo ambayinasikiliza kesi inayowakabiwatuhumiwa hao wanane.

    Mrajis wa MahakamKuu alikubaliana na omblililowasilishwa kutoka upandwa waendesha mashitakkuiahirisha kesi hiyo haNovemba 29 mwaka huu kwkutajwa.

    Washitakiwa katika kehiyo ni Farid Hadi Ahme(41) mkaazi wa MbuyunMselem Ali Mselem (52) wKwamtipura, Mussa JumIssa (37) mkaazi Makadarna Azzan Khalid Hamdan (4mkaazi wa Mfenesini.

    Wengine wanaokabiliwna kesi hiyo ni SuleimaJuma Suleiman (66) mkaawa Makadara, Khamis ASuleiman (59) mkaazi wMwanakwerekwe, HassaBakari Suleiman (39) wTomondo pamoja na GhalAhmada Omar (39) mkaawa Mwanakwerekwe wote wakaazi wa Zanzibar.

    Wote hao kwa pamojwanakabiliwa na mashitaka yuvunjifu wa amani, ushawiswa kuchochea na kurubunwatu, kula njama pamoja n

    Inaendelea Uk.

    H A B A R I i l i y o r i p o t w ana gazeti la Mwananchila Jumatano Novemba 21,2012, imewashtua wengibaada ya kubainisha kuwasindano za uzazi wa mpango,zimethibitika kuwa ni hatarikwa maisha ya watu.

    Kwamba kutokana na utafitiuliofanywa na wanasayansi waMarekani, tena Tanzania ikiwani moja ya nchi ambazo utafitihuo umefanyika, imebainikakuwa sindano hizo zinaharakishakasi ya maambukizi ya ukimwi,kwa kuwa zina vichocheo vingiambavyo huhuisha virusi vyaukimwi.

    Si hivyo tu, bali pia sindanohizo zina vichocheo ambavyohuongeza hamu ya kufanyamapenzi kwa wanawake.

    Hiyo ni mbali na madharam e n g i n e a m b a y o t a y a r iyanajulikana ambayo yamekuway a k i w a a t h i r i w a n a w a k eyakiwemo kuki th i r i kwamatatizo wakati wa kujifungua,kuharibika mimba au kutokupatakabisa na kuharibika mfumowa kawaida wa mahusiano yamume na mke.

    Swa d a k t a , l a b d a s a s awanaharakati wa uzazi wampango, watakuwa wakitafakari

    juu ya hatma ya maisha na afyaza wanawake wa Kitanzania.Kwa kuwa mstari wa mbele wakuhamasisha na kusisitiza juuya matumizi ya njia za uzaziwa mpango, hususan sindano,vidonge, vijiti na kitanzi.

    M a r a k w a m a r atumeshuhudia baadhi yawanawake wakilalamika kuwawanapotumia njia hizi, hunenepasana, wengine wamedai kukosasiku zao za ada na wapowaliosema kuwa matumizi yanjia hizi kuna uwezekano wakupata saratani.

    Hata hivyo, iliendelezwa

    kampeni kali na wataalamwa uzaz i wa mpango nawanaharakat i wa haki zawanawake, kwamba madaihayo sio sahihi na kwamba,wanawake wasipotoshwe nawaondoe wasiwasi juu yamatumizi ya njia hizo.

    Mara nyingi wakielezwakwamba wanapotokewa na halihizo zinazotajwa kama ndiomadhara, wasiwe na wasiwasikwani njia hizo zimedhibitishwakiafya na hazina madhara kwamwanamke.

    Wapo waliokataa katakatamatumizi ya njia hizi. Bila shakahawa walionekana majuha na

    Dawa za uzazi wa mpangoni hatari. Wananchi tuwe makini

    waoga kwa waume zao katikakuchukua maamuzi.

    Lakini kwa matokeo ya utafitihuu, bila shaka wanawake hawandio waliookoka na wenyekujihakikishia usalama zaidi wamaisha na uzazi wao.

    Walioshikilia ushawishi wawanaharakati na kuonekanan i wa t u n d i o wa k i l e o ,

    bi la ku zi ng at ia kw a ki naathari za kutumia njia hiziza uzazi, bila shaka taarifaza ugunduzi wa utafiti huuzitakuwa zinawaogofya nakuwachanganya.

    Angalizo letu ni kwamba,tusifike mahali tukatekelezamikakati ya watu kwasababuya pato au biashara hasa katikamasuala yanayogusa afya zawatu.

    Tusifanye biashara katikamaisha ya watu. Tatizo lililoponi kuwa hakuna forumi n a y o w a k u t a n i s h a w o t ewaliotumia madawa hayowakapata madhara wakajielezana kutoa uzoefu wao. Kilammoja anajiugulia pweke

    binafsi.Ni muhimu tuwe makini

    kufuatilia kwa kina malalamikoya watu wanaohisi kuathirikana kampeni hizi za kushawishiuzazi wa mpango au chanjo zakinga au maradhi.

    Bila shaka njia hizi artificialza uzazi wa mpango zinamadhara makubwa japo hatutakikukiri kwa kuwa hatujafikiri nakutambua kiwango cha atharikilichopo na kinachokuja.

    Tatizo kubwa ni kuwa mambohaya yamekuwa yakipokewa nakubarikiwa kupitia mikono yakisiasa.

    Wenye makampuni yaoya kimataifa ya kutengenezam a d a w a w a s h a j u a b e iya wanasiasa na namna yakuwafikia.

    Dakitari mmoja bingwawa magonjwa ya wanawakealiwahi kumwonya rafiki yakekwamba asithubutu kumpamkewe madawa ya kuzuiyamimba (uzazi wa mpango).

    Sasa mtu unajiuliza, kwanini liwe ni suala la mtaalamukuwaonya ndugu na rafiki zake?Kwa nini isiwe ni kauli yaserikali na ya kitaalamu kwawatu wote.

    Jibu lake ni kuwa wenyebiashara yao washamalizana nawanasiasa (na hata wataaalmuili wasipige kelee).

    M w a n a n c h i u n a u m i a .Tuchukue tahadhari. Tuwemakini.

  • 7/30/2019 annuur-1046

    3/12

    3AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 201Habari

    Israel yaangamiza raia, watoto GazaIsrael imeangamzia raia

    162 wasio na hatia Gaza kablaya kutangazwa kusitishwa

    mashambulizi hiyo juzi.Kwa upande wa Israel

    imedaiwa kuwa wameuliwawatu watano kutokana namaroketi yanayorushwa nawapiganaji wa Hamas.

    Habari za mashambulizikwa Wapalestina yamekuwayakipotoshwa pale ilipodaiwakuwa kuna vita kati ya Israelna Gaza.

    Hakuwezi kuwa na vitabaina ya Wapalestina wa Gazana Israel.

    G a z a n i s e h e m ui l iyoz ing i rwa na Is rae lhakiingii kitu wala mtu mpakaruhusa ya Israel.

    Nyumba zilizoangamizwana Israel mwaka 2009 mpakaleo hazijajengwa au kufanyiwaukarabati kwa sababu tokamwaka huo mpaka leo, Israelhaijaruhusu kupita hata mfukommoja wa saruji! Sasa watukama hao wanapigana vipi?

    Katika shambulio moja wikiiliyopita, Israel iliangamizanyumba ya familia mojaambapo watu 11 waliuliwawakiwemo wanawake watanoakiwemo bi kizee wa miaka 80na watoto wanne.

    Shambulio hilo la kombora,liliangamiza kabisa nyumbaya familia ya Dalou katika

    wilya ya Sheikh Radwan.Ilikuwa kazi kubwa kufukuamaiti za vichanga katika kifusicha nyumba hiyo na kishakupelekwa moshwari katikahospitali ya Shifa.

    Katika shambulio moja,nyumba ya familia mojailiangamizwa wakiuliwawatoto wawili, watu wazimawawi l i na weng ine 42kujeruhiwa.

    Hali ya kutisha ilielezwakuwepo katika chumba chakuhifadhia mait i kat ikahospitali ya Shifaa ambapoz i n a o n e k a n a m a i t i z awatoto wachanga wakiwawamewekwa pamoja wakiwa

    wamejaa damu na vumbikutokana na kufukiwa nakifusi.

    Kwa mujibu wa taarifaza Shirika la Habari laAssociated Press (AP), watuwengi wameuliwa kutokanana nyumba zao kuangamizwakwa makombora na hivyokufukiwa katika vifusi.

    Katika waliokumbwa nabalaa hilo wiki hii ni pamoja nafamilia ya Abdel Aal ambayonyumba yao iliangamziwakabisa.

    Kama inavyofahamikakuwa Gaza ni mji ambao una

    Na Mwandishi Wetu

    msongamano wa watu, kwamaana ya watu wengi kuishi

    katika sehemu ndogo kulikosehemu yoyote duniani,kwa hiyo kombora likipiganyumba, ni dhahiri nyumbanyingi jirani zitaathirika pia.

    Usiku wa Jumatatu nyumbambili zililipuliwa ambapowatu wane (4) waliuliwawawili wakiwa watoto nawengine 42 kujeruhiwavibaya.

    Baada ya shambulio katikanyumba hizo, yalifuatiamashambul iz i meng inemawili ambapo mtoto mmojaaliuliwa na watu watanowakiwa shambani mwao.

    Kabla ya hapo, nyumba yaghorofa mbili ilishambuliwana kuangamizwa kabisaambapo watu 11, wengi waowakiwa akina mama na watotowaliuliwa.

    Katika uvamizi wa Januari2009 uliopewa jina Cast Lead,Profesa Jeremy Salt aliandikau j u m b e k wa a l i o wa i t amakanda hodari wa Israelakiwahoji, wanajisikia vipiwakiwafyatulia wanawake nawatoto makombora?

    Je, wanaona raha ganiwakichinja wanawake, watotowachanga na raia wa Palestinawasio na hatia!

    Hawaoni hata chembe yahuruma wakati wakivurumisha

    makombora kuangamizanyumba ambazo wana uhakikakuwa ndani yake kuna watuama wanakula, wanapika auwatoto wanafanya kazi zaoza shule?

    H a w a j i s i k i i v i b a y akuangamiza nyumba zawatu, shule zao na hospitaliwalizojenga kwa tabu kutokanana vikwazo walivyowekewana Israel?

    Nyie makanda hodariwa I s r a e l , j e m n a l a l ausingizi na kukoroma walahayawajii maruweruwe juuya unyama mliofanya kwakuuwa familia, baba, mama

    na watoto wao wakiwa jikoni,wengine ukumbini (livingrooms), watoto wakiwawamelala, wakiwa shuleni,na wale mnaowauwa wakiwaMsiki t in i , shambani naofisini?

    Je, wakulima wa Kipalestinawakiwa shambani, akinamama na watoto, walimudarasani na Imam msikitini,wanahatarisha vipi amani yaIsrael?

    H a m u o n i a i b u w a l aku j i s ik ia v ibaya? Nyiewatu gani msioona vibayakuwafanyia wenzenu ukatiliwa aina hii?

    Mateso mikononi mwawakoloni na makaburu wa

    Kiyahudi, yamekuwa ndiomaisha ya Wapalestina kwamiaka mingi sasa.

    Yamekuwa ndio hali yao yakila siku. Hebu fikiria kuishikatika mazingira ambayohujui kama itafika jioni ukiwahai au maiti!

    Mfikirie mtoto anayezaliwana kukulia katika mazingirahaya ya kukaliwa kimabavuna Israel!

    Katika Operation CastLead, ilikuwa msiba mkubwakwa Wapalestina. KwanzaIsrael, ukiacha silaha nzitokama Missiles, bombs, shellsambazo Wapalestina hawana,Israel ilitumia mpaka silahaharamu (illegal weapons)kama White phosphorus)ambayo ni silaha ya kemikaliinayounguza vibaya.

    Lakini pamoja na uhalifuwote huo, hakuna SecurityC o u n c i l n o - f l y z o n e

    pro tec tio n ili yotole wa ikuwalinda raia.

    Umoja wa Mataifa nBaraza lake la Usalama, lilikakimya likitizama zaidi yWapalestina 1,400 wakiuliwna makazi yao kuharibiwkabisa.

    Katika operesheni hiyhakuna kilichosalimikShule, Vyuo Vikuu, Misikithopitali, viwanda, mpakofisi za taasisi za Umoja wMataifa, ziliangamizwa kwmabomu na makombora. Ukimyaa!

    Waliotoka rumande wafichua makubwaBAADHI ya watuhumiwawa kesi ya kiwanja chaMarkazi Changombe, JijiniDar es Salaam, waliotokakwa dhamana mapemawiki iliyopita, wamesemawamejifunza na kubainimambo mengi wakiwagerezani.

    Akiongea na Waislamukatika Msikiti wa Mtambani,kat ika maadhimisho yakuukaribisha mwaka mpyawa Kiislamu 1434, Ijumaaya wiki iliyopita, mmoja wawatuhumiwa hao, UstadhAbubakar Juma, amesema

    kikubwa kilichotawala hukoni udhalilishaji.

    Akifafanua Ustadh Juma,alisema kuna namna nyingiza kudhalilisha Uislamu nambaya zaidi ni pale Muislamuanapowekwa uchi, kwani alidaibaada ya kufikishwa gerezaniwaliamuliwa Waislamu wotekuvuliwa nguo.

    Alisema, walimuelezakiongozi wa gereza kuwahaiwezekani wakavuliwa nguokatika mazingira hayo, hatahivyo kiongozi huyo, alidaiatakachoweza kuwasaidi nikuwatenganisha wale wenyeumri mdogo na wenye umri

    mkubwa.Yule bwana al isema

    wenye umri chini ya miaka 35,watavuliwa kivyao na walewazee kwa wazee watavuliwakivyao. Hii ni hali iliyokuwepohuko. Alisema.

    L a k i n i k w a u p a n d em w i n g i n e a l i s e m a ,wamefurahiya maisha yagerezani kwani kwa mwenyekujitambua hupata mudamwingi wa kufanya ibada, nakwa muda huo waliowekwam a h a b u s u w a m e w e z akusilimisha Wakristo zaidiya 11.

    U s t a d h A b u b a k a r

    aliwatanabaisha Waislamuakisema, kwamba siku zotedhalimu anapodhulumu pindiakibaini yule aliyedhulumiwaanataka kuchukua haki yake,huonekana mwenye hakindiyo anataka kudhulumu.

    Ama akizungumzia kadhiaya Markazi Changombe,kabla na baada ya kukamatwaalisema ilianza Oktoba 12,mwaka huu, baada ya swala yaIjumaa, pale ambapo umma waKiislamu ulipoamua kwendakuinusuri ardhi ya Waislamuambayo imeuzwa na Bakwatakwa mfanyabiashara.

    Alisema, Waislamu wakiwa

    pale waliinua jengo la Msikitina kuupa jina la Hassan BinAmeir, ambaye Waislamuwanapaswa kumkumbuka, naeneo lile ndio ilikuwa mahalapake kulingana na historiayake kwa Waislamu hapanchini.

    Ha s s a n B i n Am e i r ,a l i k u w a n i k i o n g o z impigania haki za Waislamu,kiongozi al iyewatendeahaki Waislamu wa nchi hiiambaye ndiye anastahilikupewa kumbukumbu katikakiwanja kile cha MarkaziChangombe, maana bila yeyena Tewa Said Tewa, huwezikuelezea kiwanja kile bilakuwataja wapambanaji hao.Alisema Ust. Juma.

    Alisema, wakiwa pale kwamuda mchache walisimamishakuta, waliweka sakafu nakupiga bati, lakini alidai katikahatua za awali walifika askarikisha kukutana na UstadhiIsmaili, ambaye aliongeakwa niaba ya Waislamu,akawatembeza eneo hilo nakuwapa histori ya eneo hilokwa kirefu.

    Maafande wale, waliondokahuku wakimtaka UstadhIsamili, afike kituo chaPolisi Changombe, Temeke,

    lakini Waislamu waliafikian

    aongozane na Waislamwengine watatu kituoni hapakiwemo Ustadhi Mukada(anayeshikiliwa na Polisi hasasa).

    Alisema, lengo kuu kuitwa Polisi, walielezwni kukutanishwa na yualiyeuziwa eneo lile, alidkinyume na matarajio haywalikuta ramani ya eneo hiambayo haionyeshi mwanzwa kiwanja wala mwisho wkiwanja.

    Wakiwa huko wajumbhao, walitakiwa waandikmaelezo, jambo ambalhawakulifanya kwa maelez

    kuwa wao si viongozi bawapo viongozi wanaopaswkutoa maelezo hayo kwmaandishi wanayoyataka.

    Alisema, wakiwa MarkaChangombe maj i ra ysaa tano usiku, walipataarifa kuwa Sheikh Pondkakamatwa akiwa MasjiTungi, Temeke, na usiku huhuo wa saa tisa zilivamia gaza Polisi zisizopungua kumna mbili, kikiwemo kikocha mbwa, walivunja geti nkuanza kamata kamata.

    Alisema, baada ya kuinghapakuwa na mtu katika jengla Markaz zaidi ya kinamam

    wasiopungua 12, ndanya Msikiti wa Markaz, nWaislamu wengine walikuwkatika Msikiti walioujengwakiwa pale.

    Ilisikika sauti ya afandikisema, piga risasi walkwa kweli tulijua kuwa ndiyyametimia, tuliwaambmsipige risasi sisi hatuna silahyoyote, sauti ile iliamrishtena toka mbele hatua tantukatekeleza amri hiyoikatoka amri nyingine, inumikono juu, tukainuapiga magoti tukapiga

    Na Bakari Mwakangwale

    Mashambulizi yasitishwa

    Inaendelea Uk.

  • 7/30/2019 annuur-1046

    4/12

    4AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 20Habari

    16th Novemba, 2012

    Kwa niaba ya Rais waZanzibar na Mkuu waSUZA, Mheshimiwa Dr. AliMohamed Shein, nina furahakubwa kupata heshima ya

    kuitangaza Sultan QaboosA c a d e m i c F e l l o w s h i pProgram for SUZA kwaajili ya Wazanzibari kwamintarafu ya kujenga uwezokat ika ras i l imal i watuutakaokuwa na wataalamuw a t a k a o m u d u k u l e t amaendeleo, utangamano naustawi bora wa uchumi waZanzibar.

    Bila shaka yoyote SultanQaboos Academic FellowshipProgram for SUZA itachangiakwa ujumla katika maendeleoya Zanzibar na kwa ajili hiyokuyatimiza matarajio mema yaSultan Qaboos bin Said, Sultanwa Oman na ya Mheshimiwa

    Dr. Ali Mohamed Shein, Raiswa Zanzibar na Mkuu wa ChuoKikuu cha Taifa cha Zanzibarkujenga amani na mustakbalmwema wa Zanzibar.

    SUZA ndiyo taasisi pekee yakizalendo ya umma iliyokuwana mtaala wa kuandaa rasilimaliwatu na maendeleo endelevukatika muktadha wa kuangaliakwa mapana maendeleo yamuda mrefu ya Zanzibar kamakisiwa katika Bahari ya Hindikilicho na mazingira ya kipekeeilhali kipo karibu sana na Barala Afrika.

    Kuna aina tatu za wanafunziwenye sifa ambao wataweza

    KWA muda mrefu sasaZanzibar imekuwa nyumasana kimaendeleo ya Elimu.

    Na hali ya unyuma wenyewehuu unazidi kuwa mkubwapale linapokuja suala laushiriki wetu na nafasiya Wazanzibari kujipatiaElimu ya juu iliyo jambo lamuungano. Zanzibar tukonyuma sana kielimu yajuu na hil i limechangiwan a m a m b o m e n g iukiwemo Muungano wetu,tusioruhusiwa kuuhoji.

    Tangu kianzishwe ChuoKikuu cha Dar Es Salaamambacho ndicho Chuo Kikuucha kwanza hapa Tanzania,sasa ni mwaka usiopunguawa 45. Nakumbuka chuo kilendio chachu ya maendeleo

    unayoyaona leo Bara kwanivijana kadhaa wenye sifana wasio sifa waliwezeshwana kujipatia Elimu yao nawengine magamba yao matupuakina kihio na juzi hapatumeyasikia ya muungao waPemba na Zimbabwe, lakinindio wanazo digirii zao japokaratasini na sio kichwani.Sisi huku tumeachwa namaneno mengi.

    Nakumbuka Wazanzibar iwaliowakipata nafasi yakujiunga pale kwa mwakai l i k u wa n i wa t u k u m ikama sikosei. Sasa wewefikiria Chuo Kikuu kizima

    kinachukuwa Wazanzibarikumi tu hadi mwishoni mwamiaka ya 1990. Na hata baadaya hapo idadi ya Wazanzibarikatika chuo hicho kikuu navyengine vya bara hairidhishi.Na hii haikutokana na kuwakulikuwa hakuna wenye sifahuku Zanzibar. La hasha!Ndio muundo wetu waMuungano. Wanyime Elimu,tuwatawale.

    Kuanzishwa kwa ChuoKikuu cha Taifa- SUZA,Chukwani na Tunguu ,k u m e m k o m b o w a n ak u m f u n g u w a m a c h oM z a n z i b a r i k wa k i a s i

    kikubwa. Naamini kitendoh ik i hak ikuwar idh ishaw e n g i n e w a n a o t a k amfumo huu wa muunganouendelee maana tukisomatutajuwa kudai haki zetu nausawa. Na hili haliepukiki.Tumesoma, japo hivyo hivyokwa taabu, na sasa tunahojiMuungano na hata usawakatika nyadhifa mbali mbalindani ya Muungano. Hili piahaliwapendezi wenzetu.

    Hata hivyo, moja kati yavikwazo vikubwa ambavyokwa sasa v inawakab i l iwanafunzi wa Zanzibarkusonga mbele Elimu ya juu

    Skolashipu za Qabusi- Lengo litafikiwa?Na Mwandishi Maalum hasa kiwango cha Masters na

    PhD ni ukosefu wa Udhamini.Naamini kuna scholarshiplukuki zinazokuja Tanzania,lakini zote hazitufikii sisihuku Zanzibar. Na hata hizo

    chache zinazoletwa wakubwazetu huzifungia mabwetakwani huwa hawana mtotowao, mjomba wala shangaziyao mwenye sifa, kwa hiyohata wenye sifa wakiwepo,wote nao wakose. Hivi ndivyotulivyo.

    Kule Bara mwaka janaChevening Scholarship,hakuna Mzanzibar aliepata.Ndio tuna juwa kuna udin ikatika Scholarship na hilihalina shaka hata Chembe.Kuna Common weal thScholarship kule, sisi hatupatidumu dawamu. Kuna usiasahuko dhidi ya Wazanzibari.

    Kuna Scholarship zikiletwahapa na kumfikia Bwana

    mkubwa mmoja. Ukiritimbamtupu na majibu yasiyoridhisha na hata akizitangazabado siku mbili deadline,hatupati. Ndio sisi kwa sisihao!

    Scholarship pekee ambazoMzanzibari hupata nadra sanani za Ubalozi wa Marekani,nazo basi zisipitie Zanzibarna pia ni kwa juhudi naheshima ya wawakilishiwa ubalozi wa Marekaniwaliopo Zanzibar. Hizi kunavijana wetu wanaozipatalakini ni haba nasi kusemakweli. Na kwa mantiki nasababu kama hizi, utakutabado Wazanzibar i hatuendiusoni katika Elimu ya juu.Kuna Wazanzibari lukukihivi sasa hapa Nyumbaniwenye Admiss ion zavyuo mbalimbali lakiniwameshindwa na udhamini.Hawana msaada.

    Muungu haachi mjawe.

    M u d a m f u p i u l i o p i t atumeenda Tunguu kushuhudiauzinduzi wa Scholarship zaSultan Qabus wa Oman kwaChuo Kikuu cha Zanzibar(SUZA). Scholarship hizi

    ni neema na mafanikio telekwa Wazanzibar iwapo lengolilokusudiwa litasimamiwakwa misingi ya haki, ukwelina uwazi. Udhamini huu waElimu ya juu kutoka Omanutawadhamini Wazanzibar 50kila mwaka kwenda kusomakatika ngazi tafauti katikavyuo tafauti tafauti duniani.

    Kheri iliyoje hii kutokakwa muumba. Kwa sasaakina sisi wenye watoto wakusoma, tumeingia tamaakupita mpaka kwani kamawatakwenda vijana 50 kilamwaka baada ya miaka kumitutakuwa na wangapi? Haya

    ni mafanikio makubwa.Hongera sana mfalme Qabus,

    sadakatu jaariya yako hbaba! Mun gu akuzidishkheri na sie tuneemeke zaiwakitaka watawala wetu.

    Lakini wakati tukijipongezna kufurahia neema h

    najihisi macho yana machona moyo unanipiga kwa kakwa woga. Hii ni ishara ykuwa nina wasiwasi. Khofyangu kubwa ni kuwa jeUdhamini huu utamnufaishMzanzibar kweli? Siamini nsitaki kuamini kama msaadhuu utamnufaisha Mzanzibarisipokuwa tutarajie moja kaya matatu yafuatayo kwudhamini huu.

    Kwanza, iwapo Udhamihuu u tas imamiwa kwhaki wakapatiwa kweWazanzibari watupu 5k i la mwaka, udhaminhuu hautafika miaka min

    utakufa. Wenzetu wa bawatauchochachocha mpakukatike uondolewe. Na hisi geni kwao kutufanyiTulikuwa na maonyesho yBiashara hapa wakati wKomando Salmin. Waliyapigvita mpaka yakasimama nkufa kabisa. Wao hadi leo wansabasaba wala hatuwahoji. Nhili hawataliacha lifanikiwTuombe uhai.

    Pili, ikiwa watashindwkulifanya hili la kwanzkuanzia sasa watapandikizwvijana wa bara wenye digirza akina Vihio, wakishakuwatapewa vitambulisho nvyeti vya kuzaliwa vyZanzibar. Wasiofanyiwtohara watafanyiwa hapusiku usiku. Wasiovaa buibna hijabu watajifunza haphapa mpaka wafanane nsisi. Hawa ndio watakaopanafas i h iz i za mfa lmKabusi na sisi tutabakkusema nami nilipelekmaombi, au tutaambiwhatujui kimombo ila wandio wanaojua kusema hichkiluga cha Wazungu zaikuliko sisi.

    Tatu, nafasi hizi zitatolewkwa wanasiasa. Haya sasniambie kuna Mzanziba

    atakaepata nafasi ya masomhapo? Unamjuwa nanatakwenda kusoma hapoSubiri na chunguza.

    Kwa sasa nabakisha shakzangu hizo tatu tu, lakinnaamini kwa nguvu yohivi ndivyo Scholarshipza Qabus zitakavyotolewna zi takavyosimamiwWazanzibari wachache mnwatakaonufaika na hizi nkama hatuamini tukae mkawa kula. Kila la heri nScholarship za Qabus.

    Zanzibar ni njema, atakaaje!

    Press Release

    Sultan Qaboos Academic Fellowship (SQAF)Program for the State University of Zanzibar

    (SUZA)

    kuomba nafasi katika SultanQaboos Academic FellowshipProgram for SUZA:

    1. Waombaji ambao niwaajiriwa wa SUZA.

    2. Waombaji ambao siwaajiriwa wa SUZA lakiniwatapatiwa Sultan QaboosAcademic Fellowship Programfor SUZA lakini watafanyakazi SUZA baada ya kumalizamasomo yao.

    3 . W a o m b a j i m a k i n ikutoka taasisi nyingine wenyekuonyesha uwezo na utayari wahali ya juu.

    Sultan Qaboos AcademicFellowship Program for SUZAi takuwa na u ta ra t ibu wakuwafunza wasomeshaji katikafani ya elimu, afya, mazingira,miundo mbinu, ujasiriamalikatika ngazi ya Cheti, Shahaday a Kwa n z a , Uz a m i l i n aUzamivu kutegemea mahitajioya kistratijia ya muda mfupi, wa

    kati na mrefu wa Zanzibar.Aina tatu ya waombajiwatanufaika katika nyanja zausomi, ufundi na utawala katikavyuo vya Ulaya, Marekanina Asia na msisitizo maalumutakuwa katika elimu na uhifadhiwa rasilimali watu ndani yaZanzibar kupitia Sultan QaboosAcademic Fellowship Programfor SUZA.

    Wizara ya Elimu ya Juu yaOman itashirikiana na ChuoKikuu cha Taifa cha ZanzibarSUZA kat ika kuutekelezam p a n g o h u u n a S U Z Aitashirikiana moja kwa moja naWizara ya Elimu na Mafunzo ya

    Amali pamoja na taasisi stahilizilizopo kwa lengo la kuwapatawanafunzi bora kutoka sehemuzote za kijamii na za kielimu zaZanzibar watakaoomba nafasikutoka Sultan Qaboos Academic

    Fellowship Program for SUZA.Maombi yatakuwa bure

    k u p i t i a m t a n d a o a m b a outaonyesha taarifa zote kuhususifa za kuchaguliwa, usajilina ukomo wake na taarifahizi zitatolewa kwa njia yamatangazo kupitia vyombo vyahabari ikionyeshwa pia kuanzarasmi kwa mwaka wa masomowa 2013-2014.

    Nato a shukurani zang u zadhati na kumuomba Mola amlipekheri nyingi Sultan Qaboos binSaid kwa juhudi zake katikakutia nguvu maendeleo yakujenga raslimali watu kwaajili ya amani na utengamano

    wa Zanzibar Amin.

    Imetayarishwa na Kamatiya Muda ya SQAF ya baina yaZanzibar na Oman.

    Kupata taarifa zaidi kuhusuSultan Qaboos AcademicFellowship Program for SUZAtafadhali wasiliana na:

    Prof. Idris A. RaiMakamu Mkuu wa ChuoChuo Kikuu cha Zanzibar

    (SUZA)Tel: 0772 195 965Email: [email protected]

  • 7/30/2019 annuur-1046

    5/12

    5AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 201Habari za Kimataifa

    Waliotoka rumande wafichua makubwaInatoka Uk. 3

    waambieni wenzenu wasogee,walikuwa msikitini wakatokapia, kisha tukaambiwa tulale

    chini. Alisema, akihadithiatukio hilo.Alisema, utii wa amri zile

    za maafande kwa Waislamu,ambao alidai walitii kwa ajiliya kuepusha shari, uliwatiamashaka na kuhisi kuwaulikuwa mtego wakidhanikuwa walikuwepo wenginewenye silaha katika eneolile.

    Alisema, baada ya hapok i l i chofua ta , wal ianzakuwasachi mifukoni nakuchukua simu zao na pesana walipojiridhisha kuwaWaislamu wale hawakuwa

    na silaha, pamoja na kutiiamri, askari hao walianzak u w a s h u s h i a v i p i g omfululizo.

    Alisema, baada ya kutokapale, walisogea katika jengo laMarkazi, waliingia na kufanyaupekuzi huku wakitoka navifaa walivyoweza kuvibebana kuingiza katika magariyao.

    Alisema, katika hali yakushangaza askari walewalikuwa wamegawanyikakwani alidai kuna waliokuwawakiwapiga na wengine

    wa k i wa t e t e a n a z a i d imiongoni mwao walikuwawakitokwa na machozi baadaya kuona wenzao walivyo

    washushia vipigo akina mamawa Kiislamu waliokuwawakiwatoa ndani ya Msikitiwa Markazi.

    Kina mama wale waKiislamu pamoja na vipigovikali kutoka kwa maafande

    wale, walikuwa wakitoka

    wakitamka Shahada, kwa

    kumtaja Mwenyezi Mungu

    na Mtume wake, huku

    wakiitwa Malaya, na matusi

    mengine mazito mazito,

    inasikitisha kuona jeshi la

    Polisi wanakuwa makatili

    kiasi kile bila kujali wale ni

    wanawake. Alisema Ust.Abubakar.

    Alisema, majira ya saakumi na moja na nusu,walimaliza uvamizi wao nakujiridhisha na kuondokanao, na katika tukio jingineni pale ambapo wanawakewa Kiislamu walipogomana kuonyesha msimamo wakutokukubali kuvuliwa Hijabzao na kupigwa picha namaafande wa kiume, mpakapale walipopewa afande wakike kwa ajili ya shughulihiyo.

    Sheikh Farid asema Unguja itakombokaInatoka Uk. 2

    shitaka la kufanya kitendo

    kinachoweza kuleta uvunjifuwa amani, ambalo linamkabiliAzzan Khalid Hamdan pekeeyake.

    Katika shitaka la uvunjifuwa amani chini ya kifungu cha3 (d) cha sheria za Usalamawa Taifa sura ya 47 sheria yamwaka 2002, washitakiwawote hao walishitakiwa kwakuhusishwa na matukioyaliyotokea Oktoba 17 na18 mwaka huu kuanzia saa12:00 za asubuhi hadi usikuwa manane.

    Katika shitaka hilo, kupitiabarabara tofaut i zi li zomondani ya mkoa wa Mjini

    Magharibi Unguja walidaiwakuharibu barabara, majengo,vyombo vya moto na pikipiki,na walifanya hivyo bila yakuwepo sababu za msingiza kuharibu na kuteketezakinyume cha maslahi ya ummana kusababisha hasara yazaidi ya shilingi 5,000,000.

    Shitaka la pili linalowakabilini la ushawishi na uchochezi,ambapo ilidaiwa mahakamanihapo kuwa baina ya Mei26 hadi Oktoba 19, 2010watuhumiwa hao walifanyamikutano katika maeneotofauti yakiwemo Lumumba,

    Msumbiji, Fuoni meli sitana Mbuyuni, ambayo kwa

    nyakati tofauti walishawishina kuchochea watu kutendamakosa.

    Makosa waliyodaiwak u f a n y w a n i k u w e k avizuizi barabarani kwakutumia mawe, makontenaya kuhifadhia taka, matawiya miti, mapipa ya mafuta,kuchoma maringi ya magari,kuharibu majengo tofauti,magari na kusababishahuduma muhimu za jamii zaserikali kuweza kuharibwa nakusababisha hasara kuwa kwawatu binafsi na serikali.

    Shitaka la mwisho kwawashitakiwa wote hao ni la

    kula njama, ambapo sehemutofauti zisizojulikana pamojana muda wake ndani yawilaya ya Mjini Unguja,kwa pamoja walidaiwa kulanjama ya kusababisha FaridHadi Ahmed kujificha katikasehemu ambazo hazijulikanina kupelekea uvunjifu waamani katika jamii na kuzushataharuki maeneo mbali mbaliya Zanzibar.

    Katika shitaka la nne lakufanya kitendo kinachowezakuleta uvunjifu wa amani,linamuhusu kiongozi mmojawa Ua m s h o n i Az z a n

    Khalid Hamdan, ambalkatika shitaka hilo alidaiwkumtolea maneno ya kashna matusi Kamishna wPolisi wa Zanzibar MussAli Mussa.

    M b a l i n a k u d a i wkumshambulia kwa matuKamishna huyo lakini pkiongozi huyo alidaiwkumwambia Kamishna huykuwa mjinga, jambo ambamahakama ilidaiwa kuwlingeliweza kusababishuvunjifu wa amani katikjamii.

    Washitakiwa hao pwalitarajiwa kupandishwtena katika mahakama ywilaya Mwanakwerekwmbele ya hakimu AmMsaraka Pinja, kwa ajiya kuendelea na kesi yuchochezi wa kufanya fujinayowakabili ambapo wiiliyopita walipewa shargumu la dhamana ya kimmoja kutakiwa kuwasilishshilingi million moja taslimna wadhamini watatu na kimmoja aje na kiwango hichcha fedha na awe na barua ysheha na awe na kitambulishvya Mzanzibari mkaazi nlazima wadhamini hao wawni wafanyakazi wa Serikali yMapnduzi Zanzibar.

    Karume atakiwa kusameheInatoka Uk. 1

    A i d h a , a m e t a k i w akufahamu kuwa anachofanyani kwa ajili ya nchi yakena watu wake, kwa hiyoasitizame madhara anayopatakama mtu binafsi, bali atizamevile ambavyo wapiganianchi kama ilivyokuwa katikamapinduzi, watu walikuwa

    tayari kupoteza maisha kwaajili ya nchi yao.Katika kupigania masilahi

    ya nchi, mara nyingi gharamahuwa kubwa ambapo watuhuwa tayari hata kufa,ninachomuomba Rais MstaafuKarume ajue kuwa katikastruggle (mapambano)yoyote hapakosekani watuwagumu kuelewa na hatawasaliti, sasa hawa ni wak u w a h u r u m i a m a a n ahawajitambui, ile kukaliwamuda mrefu kumewadumazahata ule uwezo wao wakufikiri na kuyaona mambo nakuyapima, mimi namwombaasamehe na asikasirikemaana akikasirika atakatatamaa kukimbia struggle,amesema Mzee mmojakada wa CCM ambaye hatahivyo hakutaka kutaja jinalake akisema hali ya hewahairuhusu.

    Maoni hayo yanakujakufuatia hali inayoendelea

    hivi sasa Zanzibar ambapobaadhi ya watu wamekuwawakimfanyia dhihaka RaisMstaafu Mheshimiwa AmaniAbeid Karume kwa msimamowake kuwa kila mtu ni lazimaasikilizwe hata anayetaka

    muungano wa mkataba maanahiyo ndiyo demokrasia.

    Ukitaka kujua kuwawatu hawa hawajitambui auwamelemaa, wewe angaliamisaada kupitia serikalinikutoka kwa Sultan wa Omanwanapokea, hutawasikiawakisema serikali imetekwana Sultan, lakini Wazanzibariwanaposema wanataka Kitichao Umoja wa Mataifa,mara propaganda za kurudiSultani zinaibuka, mbonaBara wakipigania mamboyao hatusikii wakitishianakurudi Malikia wa Uingerezaau Kansela wa Ujerumani?Mbona ujinga huu tunakuwanao sisi tu wa Visiwanitunaolalamikia kero zamuungano?

    Al iongeza na kuho j iMzee huyo wa makamoambaye amesema kuwa yeyemsimamo wake ni kuwa na

    serikali ya Zanzibar yenyemamlaka kamili kuliko ilivyohivi sasa na kwamba maonihayo atayasema wazi mbeleya Tume ya Jaji Warioba.

    Alitaja mfano wa misaadakutoka kwa Sultan kuwa nipamoja na msaada wa kielimuunaojulikana kama SultanQaboos Academic Fellowship(SQAF), maalum kwa ajiliya Chuo Kikuu cha SerikaliZanzibar (State University ofZanzibar-SUZA).

    M b o n a w a t u h a w a

    w a n a o w a t i s h i a w a t ukurudi Sultan, hatuwasikiiwakimshambuliwa Waziriwa Elimu MheshimiwaShamhuna kwa kupokeaSkolashipu hizo? Mbona

    watoto wao wanaomba kupatamsaada huo wa kielimu, tena

    wanataka wapewe upendeleo;

    huku ni kupumbazwa nakupumbaa mpaka inafikiamtu ha ju i ha ta l ip i l akukusaidia, alisema Mzeehuyo akionyesha kukerwa nawatu wanaopiga propagandaya kurudi Sultan.

    Toka Rais Mstaafu AmaniAbeid Karume atoe hotubaDodoma inayopinga haliya kutishana Zanzibar nakutaka watu wapewe fursaya kutoa maoni yao hatawale wanaotaka muungano

    wa mkataba, kumekuwa namakundi ya watu ambaowamekuwa wakipita kungoapicha zake na wakati huo huowakitoa kauli za kejeli dhidiyake.

    Watu hao wanadhaniwakuwa ni wale wahafidhinaambao hawakutaka hata

    kuwepo serikali ya maridhianna umoja wa kitaifa.

    Watu ambao inaonekanw a n g e p e n d a k u o nzikiendelea zile siasa zchuki, uhasama na faraka.

    Hata hivyo haijulikankama watu hao wananufaikvipi na siasa hizo au batu wanatumiwa na wat

    wasioitakia mema Zanzibbila wao kujijua.

    Unajua katika ulimwenghuu wa kisiasa, unawezkupenyezewa jambo ambaninakupa masilahi kidogbi na fsi ya mu da mf upwe ukajiona ndio umepaukaharibu masilahi ya tai

    na nchi kwa karne zijazo bi

    kujua au ukajua lakini ukaw

    msaliti au kwa ujinga tu.Hebu niambie kama

    ujinga au usaliti ulio wazkupinga hali hii ya maridhian

    na kupinga Zanzibar kuw

    na mamlaka yake kami

    yaliyoepukana na mazonghaya ya kero za muungankunamsaidia nini mwanancwa Zanzibar na Zanzibayenyewe kama nchi?

    Alisema na kuhitimishMzee huyo akitoa maonyake kwa mwandishi mjinZanzibar mapema wiki hii.

    RAIS Mstaafu AmaniAbeid Karume

  • 7/30/2019 annuur-1046

    6/12

    6AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 20Makala

    IJUMAA iliyopita Novemba16, ilikuwa ngumu kwaW a p a l e s t i n a . W a k a t imabomu na makomborayakivurumishwa Gaza,Yerusalem askari wa Israelwalitanda kila mahali na

    h a k u n a m wa n a m u m ealiyeruhusiwa kuswaliIjumaa ila wazee tu. Kilaaliye na umri chini ya miaka50 hakuruhusiwa kupitavikwazo vya askari kwendamsikitini.

    Hayo yakijiri Yerusalem,R a m a l l a h i l i k u w a n imapambano ya askari waIsrail wenye silaha kalina vijana wa Kipalestinawaliokuwa wakivurumishamawe.

    Ilikuwa mara tu baadaya mshuko wa Ijumaa watuwalimwagika barabaranikuandamana, kwanza ikiwa

    ni kawaida yao kila wikikuonyesha kupinga kwaouvamizi na ukal iaj i wakinguvu wa Israil katikaardhi yao. Na pili, kuwaungamkono ndugu zao Gaza ambaokwa muda huo walikuwawakishambuliwa na Israil.

    Tunafika katika makutanoya barabara mahali penyekizuizi cha polisi, tunakutaaskari wengi wakifyatua risasina mabomu ya machozi. Kwambele tunaona wanaolengwani vijana wa Kipalestinaw a l i o k u w a w a k i r u s h amawe.

    Tunapita harakaharakaeneo hilo, mbele tunakuta

    askari wengine wakifyatuamabomu kuwatimua vijanawaliokuwa wakiandamanahuku wakiwarushia maweaskari wa Israil wakiwaambiawatoke katika nchi yao.

    T u n a p o f i k a h o t e l i n itulipofikia tunakutana nawenzetu kutoka Canada ambaowaliondoka asubuhi kuelekeaYerusalem kisha Tel Avivkwa ajili ya kupanda ndegekurudi makwao. Wanasemawamekwama njiani kwasababu ya mapambano yavijana na askari wa Israil.Barabara zimefungwa.

    Wakati wa Isha unapoingia,

    kishindo cha risasi na mabomukinasikika jirani na hoteli natunaambiwa kuwa mitaanihakupitiki kwa sababu askariwa Israil wametanda mitaaniikitarajiwa kuwa kutakuwana maandamano usiku kupigamashambulizi Gaza. Kwa hiyotunalazimika kubaki ndanijapo tulitamani tungetembeakidogo kutizama mji ikiwa nikuuaga kwa vile asubuhi yakeilikuwa tunaondoka kuelekeaAmman, Jordan ambapo napokupitia televisheni tunaonaghasia za kupinga serikalizinapamba moto.

    Unahitaji kuona kuamini

    Hakuna kuswali Ijumaa ila wazee tuBethlehem mji uliomkataa mwokoziQalqilyah, mji gereza, kutoka kwa kibali

    Na Omar Msangi,Ramallah

    Labda niyaache haynigusie jambo moja lililojisiku mbili kabla amballinahitaji maelezo. Ni sas a b a a d h u h u r i a d h a ninas ik ika ka t ika mi tambalimbali ya BethlehemKama hukuambiwa utadhakuwa upo Istanbul, KhartoumZanzibar au mji wowote w

    Kiislamu. Kumbe upo mahaalipozaliwa Yesu (NabIsa a.s.) ambaye Wakristwanadai kuwa ni mwanwa Mungu aliyekuja ili amsalabani iwe ni kikombolecha dhambi zao.

    Wakati wito wa adhankuita Waislamu kat ikswala ukivuma, nilikuwndani ya Kanisa la Netivilililojengwa mahali ambapndipo inapodhaniwa kuwalizaliwa Yesu. Ni kaniskongwe lenye vitu vingvilivyohifadhiwa vya kaikiwa ni pamoja na vifavilivyokuwa vikitumikkatika ibada ndani ya kanis

    hilo kwa mamia ya miakyaliyopita. Zipo pia picha zmakasisi walioongoza kanihilo kwa nyakati tofauti.

    Wakati huo kulikuwa nmamia ya watu ndani ykanisa hilo. Sio kwa kufanyibada lakini kama watalii toksehemu mbalimbali dunian

    Kwa nje kanisa hilo kubwlimezungukwa na misikiiliyo hai kwa maana ykuswaliwa swala za jamaza kila siku.

    J a m b o l a k w a n zambalo huenda watu wenhawalifahamu ni kuwYesu kazaliwa katika ardh

    inayoitwa Palestina. Pili, wawengi waliokuwa wakiisalipozaliwa Yesu, walifuaUislamu baada ya kujMtume Muhammad (s.a.wndio maana leo unakukuwa Waislamu ndio wenBethlehem na Yerusaleanapodaiwa kuteswa nkuzikwa Yesu.

    Kwa mujibu wa maelezya wenyeji nilioongea nanikiwauliza ni kwa ninWakristo ni wachache sanBethlehem mahali ambapndipo alipozaliwa Yeswalisema kuwa zipo sababkubwa mbili. Kwanza n

    kuwa, Palestina ni ardhya Mitume toka IbrahimIshaq, Yakoub ambao wowal i fund isha Tawhee(Quran) na kwa hivyo suala Mungu mmoja Muumbni kongwe kama ulivymji wenyewe. Kwa hiyukiwaambia kuna Mungmmoja katika nafsi tat(Utatu Matakatifu-Trinityinakuwana dhana tata kwaKwa hiyo haikuwa rahikwao kukubali imani ya utana ndio maana hata Paulalikimbilia kuanzisha Dinhiyo kule Antiokia (Ulaya) n

    Inaendelea Uk.

    ASKARI wa Israel akiwafungulia geti watoto wa Qalqliah wakienda shule.

    JUU bango likionesha muda wa kutoka na kuingia getini. Chini mtoto wa Shulekachelewa, Yahudi keshafunga lango hajui la kufanya.

  • 7/30/2019 annuur-1046

    7/12

    7AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 201Makala

    Unahitaji kuona kuaminialipokuja Mtume Muhammad(s.a.w) ilikuwa rahisi kwaWapalestina kumkubali.

    Pili walisema kuwa hatawale Wakristo wachachewal iokuwepo , mj i huoulipovamiwa na Israi l ,Wakristo wengi walikimbiawakiwaacha Waislamu ambaouzalendo wao ni mkubwa

    na wanaamini katika Jihadna kumtegemea MwenyeziMungu kutetea nchi yao,ardhi yao na haki zao na ndiompaka leo wanapambana naIsrail japo Israil ina maguvuya kijeshi na ikiungwa mkonona mataifa makubwa.

    Pengine jambo jinginemuhimu kusema hapa nikuwa ardhi hii takatifu kwaWaislamu na Wakristo, hivisasa ipo mikononi mwaIsrail (Mayahudi) ambaohawamuamini Yesu walakumfuata Mtume (s.a.w).Lakini kwa sasa wanaingizapesa nyingi sana kupitia utalii

    kwa sababu watu wengi sanahuja kuona alipozaliwa Yesuna anapodaiwa kuteswa nakuzikwa. Japo Bethlehem naTomb Garden zipo Palestina,lakini hivi sasa zinakaliwakimabavu na Israil na kuingiahapo unaingia kwa kibali chaMayahudi. Mpalestina nimarufuku kukanyaga hapo ilayule aliyezaliwa Yerusalemna amepewa kitambulishorasmi.

    Nim ei pa ma ka la ha yakichwa cha habari Unahitajikuona kuamini kwa sababuyapo mambo huwezi kufikiriakuwa yanafanyika katika

    dunia hii ambapo Umoja waKimataifa (UN) na inayoitwajumuiya ya kimataifa inapigakelele kila siku juu ya haki zabinadamu, uhuru, demokrasiana kuna na Mahakama yaUhalifu wa Kivita (ICC)a m b a p o w a t u k a d h a awashapelekewa huko.

    Sasa sikiliza: Qalqilyah nimji mdogo katika Palestina-West Bank, wenye idadi yawatu wasio pungua 50,000.Kat ika sensa ya 2007walikuwa 47,730. WavamiziIsrail wameuzungushia mjihuu mdogo ukuta mkubwawenye urefu wa kilometa700 kuzunguka mji mzima

    na urefu wa kwenda juu mita8 hali inayoufanya mji huokuwa kama gereza na kuachalango moja tu la kutokea.Lango hilo hulindwa na askarina Wapalestina hawaruhusiwikutoka hapo ila kwa mudam a a l u m . Kwa u p a n d emwingine Mpalestina asiyemkazi wa hapo, kwa maanaya kuwa hajapewa kipandemaalum kutoka serikali yaIsrail kuwa ni mkazi waQalq i lyah , haruhus iwikuingia hata kama ana nduguzake humo. Kwa hiyo kamaunakwenda shamba, kazini,

    Inatoka Uk. 6

    hospitali, watoto kwendana kurudi shule; inabidikuja kupiga foleni kusubiri

    lolote unalotaka kufanya njeya Sinza/Kariakoo, lazimaupitie lango linalolindwa na

    geti.Hayo ndiyo maisha ya

    kila siku ya Wapalestina wa

    Baraka Obama, Hil larClinton, David CameronUmoja wa Mataifa, Barazla Usalama la Umoja wMata i fa ; u l i shawas ikk u wa s i k i a wo t e h a wwakizungumzia uvunjaji huwa haki za binadamu?

    WATOTO wa shule wakijaribu kupanda ukuta baada ya kufungiwa lango na askari wa Israel wakati wakirudinyumbani kutoka shule.

    VIJANA wa Kipalestina wakimsaidia mwenzao aliyejeruhiwa katika maandamanomjini Ramallah Ijumaa iliyopita.

    muda wa kufunguliwalango. Ukichelewa, langolikifungwa hata kama nimama mjamzito kashikwana uchungu, atajifunguliaau kufia hapo langoni maanaYahudi hatafungua langompaka muda ufike.

    U n a f i k a a s u b u h iunakuta watoto wa skuliwamewahi wamepiga foleniwanasubiri askari wa Israilaje awafungulie. Wakitokaj ioni n i h ivyo h ivyo .Kama kwa bahati mbayamtoto atachelewa langolikafungwa, itabidi akatafutemahali pa kulala. Yahudihatamfungulia mlango hataakilia vipi na akimghasianaweza kumpiga risasi.

    Hebu jaaliya eneo lote laSinza, Kijitonyama mpakaMwenge au Kariakoo na

    Ilala yote linazungushwaukuta mkubwa ambaomtu huwezi kuruka halafukunawekwa lango mojatu la kutokea na kuingia.Halafu inawekwa ratiba yakutoka na kuingia. Asubuhisaa 1 mpaka saa 3. Langolinafungwa, linafunguliwatena saa 6 mpaka saa 9. Kishalinafungwa na kufunguliwasaa 11 mpaka saa 1 jioni.

    Kama unakwenda kazini,hospitali, shule na jambo

    askari wenye silaha kali.Utatoka kwa ratiba. We hatamkeo akishikwa na uchunguau mtu kapata kiharusi auugonjwa wowote akawamahututi, huwezi kuombakupita kumpeleka mgonjwahospitali ya Muhimbili au

    Mwananyamala/Amana njeya ratiba ya kufunguliwa

    mji mdogo wa Qalqilyahkwa muda wa miaka 9 sasa.Ukuta huo ulijengwa mwaka2003.

    Labda j iu l i ze , kunauvunjaji wa haki za binadamuuliozidi huu? Unageuza mjimzima kuwa gereza!!

    Jiulize tena, ulishawahikumsikia Ban Ki-moon,

    Bila shaka hujasikiwala hujui kama kunwatu duniani wanafanyiwunyama huo kwa sababu hiysio habari kwa BBC, CNNAljazeera, Sky News, Sauya Ujerumani (tunazozionza maana sana)! Ndio maannikasema, unahitaka kuonkuamini.

  • 7/30/2019 annuur-1046

    8/12

    8AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 20Makala/Tangazo

    KITABU cha Jan P. van Bergen,Development and Religionin Tanzania, kimemnukuuMwalimu Nyerere akisemakwamba maslahi ya diniyake (Ukatoliki) yanakujamwanzo na kwamba kamwehatokwenda kinyume nakanisa lake.

    Huu ni ushahidi wa wazikwamba Nyerere alitawalanchi hii kwa maslahi ya kanisalake. Ikumbukwe kwambaWaislamu wa Tanzania ndiyowaliokuwa wa kwanza dunianikuchangia fedha kwa ajili yaWakatoliki waliotaka kujitenganchini Nigeria katika jimbo laBiafra. Nyerere aliwachangishafedha Waislamu wa Tanzania, ilizisaidie kupigana na Waislamuwenzao wa Nigeria.

    Harakati za Ukatoliki Nigeria,nchi yenye Waislamu wengi

    barani Afrika, zilitaka kulitengajimbo la Biafra linalokaliwa na

    Wakristo wengi, ili kuepukanana kile walichoita a calamitousslavery in an ocean of Muslims(balaa la utumwa katika bahariya Waislamu).

    Isitoshe, Nyerere alipoivamiaUganda mwaka 1979 nakumpindua Idd Amin Dada,inasemekana kuna askariwalipewa maelekezo maalumuya kuangamiza miji ya Waislamunchini humo. Dk. Sengendo,msomi mashuhuri kutoka

    Makanisa ndiyo yanayotumiwa

    na mataifa ya nje sio Uamsho

    Na Ibn Rajab

    Uganda, alimwaga machozi pale

    Nkurumah Hall, Chuo Kikuu chaDar es salaam, wakati alipogusianukta hiyo katika mazungumzoyake na Waislamu mwanzonimwa miaka ya tisini.

    N y e r e r e a l i m r e j e s h amadarakani ndugu yake katikaMsalaba, Milton Apollo Obote,Mkristo aliyemsaidia sanakuunda taifa la Tanzania kwamsaada wa Shirika la Ujasusila Marekani (CIA), ambaloMkurugenzi wake wakati ulealikuwa George Bush, ambaye

    baadaye akaja kuwa Rais waMarekani.

    Ujenzi wa makanisa makubwanchini Tanzania, wingi waSeminari za Kikristo, utitiri wa

    mashirika ya Kikristo, idadikubwa ya mapadri wa kigenina masista wao makanisani, niushahidi mzito kwamba Taasisiza Kikristo hapa nchini, zinamafungamano na zinatumiwana mataifa ya kigeni.

    Kwa sababu si rahisi, kwamichango ya waumini wao pekeyake kuendesha shughuli hizo,ikiwa ni pamoja na kugharimiastaili ya maisha ya juu ya viongoziwa makanisa. Makanisa yote ya

    Tanzania ni mali ya mataifa

    ya Magharibi, na huko ndikoyanakopewa maagizo nabajeti za kueneza Injili. Lakiniajabu, utawasikia viongoziwa Serikali wakiishambuliaJumuiya ya Uamsho, etiinatumiwa na maadui kutokanje! Huku kutumika kwamakanisa hawaoni! Nadhaniwanahitaji miwani.

    Kwa m fa n o , Ka n i s aKatoliki Tanzania ni maliya Waitaliano, Wareno,Wahispania,Wabelgiji naWafaransa. Kanisa la Kilutherini mali ya Wajerumanina Wadachi, waasisi waubaguzi wa rangi AfrikaKusini. Kanisa la Anglikanani mali ya Waingereza,Kanisa la Moravian ni maliya nchi za Nordic(Sweden,Denmark, Norway), Kanisala Pen tekos te , Sabato ,African Inland Mission namengine kama hayo ni maliya Marekani.

    Ushahidi mwingine wamafungamano ya makanisah a y o n a m a t a i f a y aMagharibi ni ukweli kwambamakanisa yote katika nchi

    zinazoendelea, Tanzania

    ikiwemo, yanachukuliwakama provinces (majimbo),ikiimanisha kwamba yenyeweni kama matawi tu, lakiniuongozi wa juu kabisa wamakanisa hayo unatoka nchiza Magharibi badala ya nchihusika.

    Kuzagaa kwa makanisamengi ya Kimagharibi nchiniTanzania, kumesababishak u u n d w a k w a t a a s i s inyingi za Kikristo kamavile Baraza la MaaskofuTanzania (TEC), chombokinachowakilisha Wakatoliki,Kanisa la Kiinjili la KilutheriTanzania (ELCT), chombokinachowakilisha makanisayasiyo ya Kikatoliki, Barazala Wakristo Tanzania (CCT),chombo kinachojumuishamakanisa ya Kiprotestanti,Ofisi ya Askofu Mkuu waAnglikana, Ofisi ya AskofuMkuu wa Kanisa la Orthodoxla Ugiriki na Jumuiya yataifa ya Kanisa la Bahai namengineyo.

    Makanisa yote ya Tanzania,ama yamefungamana naBaraza la Makanisa Duniani

    (World Council of Churcheau Shirikisho la Waluthela Dunia (Lutheran WorFederation).

    Kinyume chake, Waislamwa Tanzania wamebanwmno na hawana ruhusa ykufungamana na taasiyoyote ya Kiislamu katikngazi ya dunia, iwe OI

    a u I O A ( J u m u i y a yKiislamu Afrika), kwa hokwamba Tanzania ni nchi yKisekula.

    Lakini Usekula ni Itikadi yKikristo (Mathayo 22:21) ninatoka mataifa ya Magharikama Marekani.

    Is i toshe, Tanzania nmwanachama wa Jumuiyya Madola (Commonwealthambayo mkuu wake lazimawe Kiongozi wa Kanisa Kianglikana.

    N i m a l i z i e t u k wkutanabahisha kwambmataifa ya Magharibi yanhamu kubwa na rasilimaza Tanzania na wanatama

    kuitia nchi hii katika ukolompya. Wanafanikisha ajendyao hiyo kupitia makanisa.

    Kama wanalenga kuvurugamani na utulivu wa nchi h

    ili wapate upenyo wa kuing

    na kutukalia kimabavu, ba

    watasaidiwa na makanis

    kukamilisha ajenda hiyo.

    Maaskofu na viongowa Serikali wasijifanyhawajui hilo. Makanisa ndiyyanayotumiwa na watu wa nj

    Jumuiya ya Wataalaam wa Kiislam Tanzania (TAMPRO) inatoa taarifaya kuwepo kwa Mkutano Mkuu wa Kumi na Tatu (13) wa wanachamawake. Mkutano huo utafanyika siku ya Jumanne na Jumatano, Tarehe25-26 Desemba, 2012, kuanzia saa 2:00 asubuhi katika ukumbi waLamada Hotel Jijini Dar es Salaam.

    Siku ya Jumanne kutakuwa na semina juu ya Cultural Transformationna Uendeshaji wa NGOs, ripoti za matawi, kupitia Mpango Mkakatwa TAMPRO na kupokea salaam za wageni waalikwa.

    Siku ya Jumatano, Mkutano Mkuu utahusika na ajenda zifuatazoUfunguzi, Kuthibitisha akidi na Uanachama, Kupokea ajendaKuthibitisha wanachama wapya, Kuthibitisha kumbukumbu za kikaokilichopita, Yatokanayo, Kupokea na Kujadili Taarifa ya Utendaji naFedha 2012, Kuthibitisha wajumbe wapya wa Bodi ya WadhaminiKupokea na Kujadili Mpango Kazi na Bajeti ya Mwaka 2013, MengineyoKufunga.

    Wanachama wote mnaombwa kuhudhuria.

    TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA KATIBU MKUUBW. PAZI MWINYIMVUA

    TANZANIA MUSLIM PROFESSIONALS ASSOCIATIONP.O. BOX 72045, Dar es Salaam, TANZANIA. TEL+255 0655 654900, +25

    754 208585, +255 752 245446. Email: [email protected], Web: www.tampro.or

    TAARIFA YA MKUTANO MKUU WA MWAKA 2012

    Kamati ya Da-awah ya Afrika

    inawatangazia Waislamu wote

    kwamba zile zawadi za washindi

    wa mashindano kuhusu Familia

    ya Mtume (s.a.w.) na maswahaba

    (r.a.) yaliyofanyika mwaka huu

    1433/ 2012, zitatolewa siku ya

    Ijumaa tarehe 23/ 11 / 2012 katika

    Msikiti wa Morogoro, Ilala Dar es

    Salaam maratu baada ya swala

    ya Ijumaa.

    Nyote mnakaribishwa.

    Wabillahi tawfiq

    KINGDOM OF SAUDI ARABIA

    COMMITTEE OF DA-AWAH IN AFRICA

    ZAWADI ZA MASHINDANO

  • 7/30/2019 annuur-1046

    9/12

    9AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 201Makala/Tangazo

    Tunachukua fursa hii kuwatangazia Waislamu wanaume na wanawake nafasi za mafunzoya Ualimu wa Maarifa ya Uislamu kwa shule za Msingi na Sekondari yatakayoanza Februari2013.

    SIFA NA MASHARTI YA KUJIUNGAMuombaji atimize sifa na masharti yafuatazo:-(i) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu Darasa la Watu wazima

    kabla ya kujiunga.

    (ii) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne na awe anafundisha Madrasaau Maarifa ya Uislamu katika kipindi cha dini shule za Msingi au Sekondari kwa mudausiopungua mwaka mmoja.

    (iii) Awe anajua kusoma Quran kwa ufasaha.

    FOMU ZINAPATIKANA CHUONI UBUNGO KWA GHARAMA YA SHILINGI ELFUTANO TU.

    MUHIMU Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 30/11/2012. Usaili utafanyika siku ya Jumamosi tarehe 01/12/2012 saa 2 asubuhi.Wabillah Tawfiiq

    MKUU WA CHUO

    UBUNGO ISLAMIC TEACHERS COLLEGEP.O. Box 55105, Dar Es Salaam Tel: 2450069 Fax: 2450822, Mob:

    0712557099, TANZANIA

    NAFASI ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO

    UALIMU WA MAARIFA YA UISLAMU KWA

    SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI - 2013

    Kuwalenga raia: Mkakati maalum wa IsraelNovemba 27, 2012 - Mtandaowa kupashana habari

    W A B A B E h u c h a g u a

    washindani dhaifu kubamizamangumi. Ushindani sawahukwepwa. Ndivyo ilivyokatika viwanja vya shule aumedani ya vita.

    Marekani na Israel hulka yaoni hiyo. Wanakwepa washindaniambao watawapa kiwangoambacho wao wametoa. Serikaliza kihuni hazisemi kamwesamahani.

    Katika Operesheni FunikaRisasi mwezi Januari 2009,Profesa Jeremy Salt aliandikaUjumbe kwa wapiganaji jasiriwa jeshi la anga la Israel.Aliyosema yanaonekana kwakile kinachotokea sasa.

    Hivi unajisikiaje unapotupam a k o m b o r a k w a w a t u

    usiowaona, aliuliza.Inasaidia kidogo (kisaikolojia)kutokuona unamwua nani?

    Dhamira yako inalainikakiasi kwa kufanya uharibifumkubwa kwa watu wasiowezakujibu mapigo na kuvurugikakwa miundombinu ya kiraia?Unajisikia vyema kuua raiawanaume, wanawake, watotona vichanga?

    Hii inakusumbua katika hisiazako, au unakuwa umetulia tu?

    Unalala vyema au unapatamajinamizi kuhusu wanaume,wanawake na watoto uliouanyumbani, vitandani, jikoni,sebuleni, shuleni, misikitini,kazini, au wakicheza?

    Hi v i wa k u l i m a k a t i k amashamba yao, kina mama nawatoto, waalimu madarasani,maimamu misikitini, watotowakicheza, wazee, wadhaifuau walemavu wanahatarishausalama wako?

    H i v i k a m w e u n a h o j iulichokifanya na kwa nini?Hivi huna haya, huna dhana yaustaarabu, hujui kabisa tofautikati ya jema na baya?

    Unaifahamu sheria? Kamandivyo, kwanini unaivunja?Kufanya hivyo kunakuingizakatika wahalifu wa vita dhidiya binadamu? Unafahamu hilo?Unafuata tu amri au una akiliyako mwenyewe? Umewahikuua raia kabla ya hapa?

    Utafanya hivyo tena kamaukiamriwa? Utaendelea kufuataamri kama kipofu au utafanyalinalostahili?

    Wanaanga jasiri wa Israel,askari, wanamaji na wapiganajiwengine ni vihoro. Wamekuwawakifanya hivyo kwa miongokadhaa.

    Kuteseka kwa Wapalestinani mfumo wa maisha. Hebufikiria kuishi kila siku na hujuiutaishi au utakufa. Fikiria watotowadogo wanaokua katika halihiyo. Hivi watoto wa Israelwanajua kinachowapata watotowa Palestina? Wanaambiwa?Wanajali? Wazazi wao je?

    Israel inapeleka maelfu yaaskari na silaha nzito katikampaka wa Gaza. Blogu ya

    DEBKAfile yenye uhusianona Mossad, shirika la ujasusi laIsrael, inasema:

    Mkuu wa Majeshi LuteniJenerali Benny Gantz na wakuuwa Jeshi la Ulinzi la Israel(IDF) wanaweka msukumo wakuingiza majeshi Gaza, hatua ya

    pili ya Operesheni Mhimili waWingu, kuanza bila kuchelewa.Waziri Mkuu na Waziri waUlinzi wanapendelea kungoja.

    Mauaji mengine ya halaikiyanahofiwa. Raia huwa ndiyowanaoteseka zaidi . Israelna Marekani wanadhamiriakuwalenga. Ni sehemu yamkakati wa ukandamizaji wanchi hizo mbili. Hawasumbuliwina maisha ya watu, ni kupiga,kukandamiza na kunyonya.

    Funika Risasi ilikuwa namadhara ya kutisha, Makombora,mabomu, mizinga na silahazisirohusiwa zilitumika dhidiya watu wasioweza kujilinda,Mauaji ya watu wengi na

    uharibifu vilifuata. Vitendo vingivya uhalifu mkubwa wa kivitavilifanywa. Maofisa wanaohusika

    bado hawajawajibika. Hapakuwana azimio la Baraza la Usalamala kuzuia ndege zisiruke katikaeneo la Gaza.

    Zaidi ya watu 1,400 wa Gazawaliteketea. Zaidi ya asilimia80 walikuwa raia. Zaidi ya 300walikuwa watoto. Takriban5,300 walijeruhiwa. Zaidi ya1,600 walikuwa watoto auvichanga. Israel iliwalenga kwamakusudi.

    Maeneo ya makazi, mashule,vyuo, misikiti, mahospitali,asasi za Umoja wa Mataifa,mitumbwi ya kuvulia, viwandavya kiraia na karakana, majengo

    ya manispaa, mashirika yamisaada, miundombinu yakiraia, na maeneo mengineyasiyo ya wapiganaji yalilengwana kuvurumishiwa mabomu.

    Mashamba yalisambaratishwana magreda. Njia za umemena mifumo ya umwagiliajiviliteketezwa. Viongozi wakimataifa hawakujali mauajihayo ya watu na mateso. Niaskari watatu tu wa Israel wangazi za chini waliohukumiwaadhabu ndogo zisizo na maana.

    Famil ia ya al-Samouniilipoteza watu 27. Salah al-Samouni aliona mama yakeakilipuliwa. Moto wa maroketina mizinga i l imwua bint iyake mwenye umri wa miaka

    miwili; baba, shangazi, binamuna familia yote. Majinuni wavyombo vya habari hawakusemakitu. Wanaunga mkono uhalifumkubwa wa Israel.

    Chini ya mzingiro, watu waGaza hawajapona madhara yaFunika Risasi. Sasa wanacheleauwezekano wa vita ambayo siajabu ni mbaya zaidi ya ile ya2008-09.

    Viongozi wa kimataifa wanasehemu yao katika dhulmahii kwa ukimya, kutojal i ,na/au kushiriki. Washingtoninahusika katika vita vyote vyaIsrael. Silaha, risasi na fedhazinatolewa. Kuungwa mkonokisiasa kunatolewa.

    O b a m a a l i m w a m b i aNe ta nya hu , ne nd a kap ig emabomu na mizinga utakavyo.Iite kujihami na ujifanye kuwahakuna anayejua kuwa sivyo.Hapo Novemba 15, Baraza laSenate lilipitisha azimio kwakauli moja lisilo la kisheriala kuunga mkono. Hapakuwana sauti iliyoinuliwa kupingaazimio hilo.

    AIPAC (kundi la kuhamasishakuungwa mkono Israel katikaBunge la Marekani) liliwashukuruObama na wajumbe wa Senatekwa kuiunga mkono Israel.Raia wa Gaza na wapiganajiwa kujihami wanatungiwa jinala magaidi. Ni mashujaa, siwahalifu.

    Novemba 14, Mkurugenzi waKitaifa wa Mtandao wa KupingaKashfa (Anti-DefamationLeague, ADL) Abe Foxmanalieleza kuunga mkono upigajimabomu wa Israel na mizinga,akisema Israel imeonyesha

    uvumilivu mkubwa mbeleya utupwaji wa maroketi namakombora kutokea Gaza.Operesheni hii inalenga mojawa moja uongozi unaohusikana mashambulio haya, pamojana maghala na hifadhi nyingineza silaha zao.

    Hakuna nchi duniani ingekaakimya na kuachia mashambuliokama hayo dhidi ya raia zaidi ya

    milioni moja.Jumuia ya Kimataifa ina

    ju ku mu la wa zi la ku la an imashambulio haya na kuungamkono hatua zilizochukuliwana Israel dhidi ya Hamas namakundi mengine ya kigaidiyanayofanyia shughuli zakeGaza wakati Israel ikitekelezawajibu wake wa kwanza kulindaraia wake.

    Kwa karibu karne moja, ADLilikuwa jukwaa la kunadi ubabewa Kiyahudi. Inaunga mkonohulka za kutumia mabavu kwaukali katika kuikalia Palestina.Haijali mateso ya Wapalestina.I n a a n z i s h a k a m p e n i z akuwachafua wakinzani wake.

    Historia yake yote inachefua.Uhalifu wa Israel unaitwakujilinda. Inacheza mchezo uleule wa mlaumu mwathirika,kama Israel , Washington,AIPAC na asasi nyingine zaKizayuni. Ni haki za Wayahuditu zenye umuhimu. Wapalestina

    wanageuzwa magaidi kwakujilinda.

    Israel ilikubali kusimamishaoperesheni za kijeshi wakatiWaziri Mkuu wa Misri HershamKandil akiwa anatembelea Gaza.Yeye na mawaziri wenginewa Misri walifika Gaza sikuya Alhamisi. Alirudi Ijumaa.M a s h a m b u l i o y a I s r a e l

    yaliendelea.Katika hospi tal i ya A

    Shifa, Kandili aliwatembelw a a t h i r i k a . A l i l a a nmashambulizi ya Israel, akisemMkasa huu hauwezi kupikimya kimya, na dunia lazimiwajibike kuzuia ushambuliahuu. Cairo itajitahidi kutafunj ia ya kurudisha amanaliongeza.

    Kuanzia Jumamosi, zaiya Wapalestina 40 waliuawMamia wengine walijeruhiwWengi wako mahututi. Dazeza mashambulizi ya ndegzinaendelea. Vifo na majeruvinaweza kuongezeka kwa kakubwa. Matarakimu ya hivi sayanadumaza athari halisi kwsababu baadhi ya waathirikwamelala chini ya vifusi vynyumba zilizobomolewa.

    Kituo cha Kimataifa chHabari za Mashariki ya Ka(IMEMC) ki l isema Israilifanya mashambulizi 30 katik

    muda usiozidi dakika 30 siku yIjumaa. Kunako saa nne usikAlhamisi, jeshi la Israel lilisemlilipiga maeneo lengwa 70 katiksaa nzima iliyopita.

    Maeneo ya raia na majengya serikali yalipigwa mabomu nmizinga. Shule mbili za Umowa Mataifa zilipigwa. Uharibi

    Inaendelea Uk. 1

    Na Steve Lendman

  • 7/30/2019 annuur-1046

    10/12

    10AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 20Habari

    S I K U y a J u m a t a n o ,Novemba 14 mwaka 2012,majeshi ya Israeli yamemuuaAhmed Al-Jabari, kamanda

    wa kijeshi wa Hamas,mtoto wake wa kiumena Wapalestina wenginekadhaa. Mashambulizi dhidiya Gaza bado yanaendeleana idadi ya Wapalestinawaliouawa na kujeruhiwakupitia mashambulizi hayoinazidi kuongezeka kilauchao.

    Watu wengi duniani, kwausahihi kabisa, wamelaanikitendo hiki cha kihalifu.Kufuatia matukio hayo,ni vizuri kuweka bayananukta chache zifuatazo, ilikuwafanya wasomaji watafsirimatukio hayo kwa kutumia

    akili zao wenyewe, badalaya kulazimishwa na vyombovya habari.

    Ajabu ya Rahman, vyombovya habari vya Magharibivinajenga picha ulimwengunikana kwamba Wayahudindiyo wanaokandamizwana Wapalestina, kwa hiyowana haki ya kujihamikwa kuwaangamiza kwamakombora!

    1 - M a s h a m b u l i z i y akinyama ya Israeli dhidiya Wapalestina wa Gaza,yanathibitisha wazi kwambataifa hili la kiyazuni halinaheshima hata kidogo na uhaiwa binadamu. Hawajali kitukwa sababu walishalaaniwapia katika mauaji waliyofanyamjini Jenin, Lebanon na Gazasiku za nyuma. Miito yamchakato wa amani (peacepr oc es s) ka t ik a en eo laMashariki ya Kati, inazidi tukuiimarisha Israeli dhidi yaWapalestina.

    Ufumbuzi wa kuunda dolambili zilizo sambamba (Atwo-state solution), yaanidola ya Israeli na Palestina,kama unavyopendekezwana mataifa ya Magharibi,utazidi tu kuwatia utumwaniWaislamu wa Palestina. Kwasababu dola ya Wapalestina

    i takuwa dhaifu mno nauzoefu unaonyesha kwambahaitaundwa na Wapalestinawenyewe.

    Matukio ya mara kwamara ya utumiaji nguvu,vitendo vya mauaji, vitishona kibri, ndiyo majibu yamadhalimu wote kat ikahistoria, katika kuhalalishamauaji na ukandamizaji waoili waweze kuwepo. Bila yahivyo hawawezi kuwepongo!

    2-Ni majeshi tu ndiyoyanayoweza kuwalinda watuwanaokaliwa kimabavu na

    Huu si wakati wa maneno, tunahitaji vitendo Gaza!Na Mwandishi Maalum majeshi ya uvamizi, kama

    wal ivyo Wais lamu waPalestina. Nchi za Kiarabuzinazoizunguka Palestina,zina uwezo wa kutoshakijeshi, kuikomboa ardhi

    iliyoporwa ya Palestina nakumaliza kabisa ukandamizajiunaofanywa na Israeli dhidiya Wapalestina. Lakini naniafanye hivyo!

    Kuna zaidi ya askarimilioni 2, katika eneo laMashariki ya Kati, wenyematumizi ya zaidi ya DolaBilioni 100 kwa mwaka kwaajili ya silaha tu. Misri pekeyake, ina ndege za kivita 220za F-16, ambazo ni za kisasakabisa na jeshi bora lenyeaskari 450,000. Hivi hawaMayahudi wana nguvu kiasigani kushinda jeshi hili?

    3-Tatizo ni watawalavibaraka katika nchi zaWaislamu. Hawa ndiyowalinzi halisi wa Israeli.Watawala hawa nd iyowanaozu ia majesh i yaWaislamu katika nchi zaokutimiza jukumu lao. Kutoatu matamko ya kuilaani Israelina kuitisha vikao vya dharurahakuna maana yoyote, wakatibado wanaendeleza uhusianowa kidiplomasia, kibiasharana ushirikiano wa kijeshi naIsraeli.

    Kila Israeli inapofanyavitendo vya kihalifu dhidi yaWapalestina wasio na hatia,watawala hawa katika nchi zaWaislamu wataishia tu kutoa

    matamko matupu ya kulaani,ikiwa ni pamoja na kuitishavikao vya dharura vyaJumuiya ya nchi za Kiarabu(Arab League). Watapigadomo na mwisho wakeni hapo hapo. Wanasubirishambulio lingine la Israeli!

    4 -S e r i k a l i m p y a y aMisri, inayoongozwa naDk.Mohammed Mursi, sasandiyo inatakiwa ionyeshekwa vitendo kama kweliiko pamoja na Waislamuduniani, ambao wanatarajiajeshi la Waislamu kuwalindandugu zao wanaoangamizwakwa mabomu Gaza, ikiwa ni

    pamoja na kufanya harakatiza kuikomboa Palestina.Waislamu duniani kote

    hawatarajii Misri kuwasalitiWaislamu wenzao wa Gazakatika kipindi hiki ambachowanahitaji mno msaada wao.Hatudhani kwamba Utawalawa Misri ni sura mpya tuzinazotekeleza sera zile zileza mabeberu za kudumishaamani na serikal i yaKizayuni ya Israeli.

    5-Nchi za Waislamu katikaeneo la Mashariki ya Katina kwengineko zinahitajikutawaliwa Kiislamu - ziwe nawatawala kama walivyokuwa

    akina Salahuddin Ayubi auMuhammad al Fatih. Watawala

    hawa walihamasisha majeshiyao, walikomboa ardhizilizokaliwa kimabavu nakutawala nchi za Waislamukwa haki, amani na utulivu.

    Ukisoma h i s to r ia yaMashariki ya Kati, utaonakwamba hakuna kipindiambacho eneo hili lilikuwat u l i v u z a i d i n a l e n y eamani kuliko kipindi kilelilipotawaliwa Kiislamu. Huuni ukweli ambao mabeberu waMagharibi hawawezi kuusemaingawa wanaufahamu.

    6 - K u u n g w a m k o n okwa Israeli na Mataifa yaMagharibi, kama Marekani na

    Uingereza, kusiwashangazesana watu. Wazo la kuundwaIsraeli ni la Serikali yaUingereza kupitia azimiola Balfour. Taifa hili laKizayuni katikati ya mataifa

    ya Waislamu, limekuwalikilelewa na kuimarishwa

    na mataifa ya Magharibikwa miaka mingi, ili kulindamaslahi yao katika eneo laMashariki ya Kati.

    Bila shaka watajaribuk u f u f u a m a z u n g u m z oyaliyokwama ya mpango waowa Road Map kuelekea two- state solution kwa maslahiya mataifa yao. Lakini kwaWaislamu wa Palestina,mpango huo ni maangamizikwa sababu unahalalishakukaliwa kimabavu. Palestinainahitaji kukombolewa kabisakutoka kwenye makucha yaIsraeli.

    Huu si wakati wa mikutano,

    vikao vya wakuu wa nchi zaKiarabu, wala mazungumzoya kuleta amani. Israeli kwamara nyingine tena imemwagadamu ya Waislamu waGaza, na Mwenyezi Mungu

    ameamrisha Jihad kamsuluhisho kwa vitendo hivy

    vya woga vinavyofanywa nIsraeli. Majeshi ya Waislamduniani kote yaitikie wiwa Mwenyezi Mungu paaliposema:

    Hawawi sawa Waislamwanaokaa wasende vitanisipokuwa wenye dharur(Hawawi sawa) na wawapiganao katika njia yMwenyezi Mungu kwa mazao na nafsi zao. MwenyeMungu amewafadhilishkatika cheo wale wapiganakatika njia ya MwenyeMungu kwa nafsi zao nmali zao kuliko wakaa( w a s e n d e k u p i g a n aIngawa Mwenyezi Mung

    amewaahidi wote (kupatwema, lakini MwenyeMungu amewafadhilish- wale wapiganao kulikwakaao - kwa ujira mkuuQur(4:95).

    VIWANJA VILIVYOPIMWAKONGOWE- MJI WA KIBAHA VINAUZWA

    (SURVEYED PLOTS AT KONGOWE- KIBAHA TOWNSHIP)Plan Na E`373/109 Reg. No. 70995

    Plots No. Eneo / Sqm Bei

    5 2,259 13,554,000

    6 1,566 9,396,000

    8 1,984 11,904,0009 3,564 21,384,000

    10 2,842 17,052,000

    11 3,732 22,392,000

    15 2,292 13,752,000

    16 2,367 14,202,000

    17 2,423 14,538,000

    NB: Kila Sqm ni shilingi Elfu 6000/tu.Kilo Mita Moja kutoka Barabara ya Morogoro, Kuna Umeme, Maj

    na Barabara.Kwa mawasiliano zaidi piga simu zifuatazo.

    0755 090754 au 0715 090 754

  • 7/30/2019 annuur-1046

    11/12

    11AN-NUU

    MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23 - 29, 201Habari

    Kuwalenga raia: Mkakati maalum wa IsraelInatoka Uk. 9

    mkubwa uliripotiwa. Kituo chakutafiti hali za wafungwa chaAhrar kilisema kanisa lililokuwalinajengwa lililengwa.

    IMEMC ilisema Watoto,v ichanga , wanawame navikongwe ni kati ya waliouawa,ikiwa ni pamoja na watotoambao miili yao iliharibiwavibaya na kuungua kutokana namakombora ya Israel. Mamamjamzito na kichanga chaketumboni ni kati ya waliouawa.

    Wapiganaji wa kujihami waGaza walisema hawataheshimumasharti ya kuacha mapiganomradi Israel inaendelea kuuawanaume, wanawake, watoto,vichanga na vikongwe Palestina.Alhamisi jioni, nyumba mojaya Beit Hanoun ilipigwa bomu.Watoto watatu walikufa. Mmojaalikuwa na miaka tisa.

    Kichanga cha miezi kumiki l iuawa wakat i nyumbanyingine ilipopigwa. Kipindichote cha Ijumaa asubuhi,takriban watoto wanane, mamamjamzito na vikongwe wawiliwanaume walikufa.

    Askari wa akiba 30,000wali i twa. Livu za ki jeshizilifutwa. Vifaru, magari yaderaya na askari walikusanywakatika mpaka wa Gaza. Uvamiziunahofiwa kufuatia.

    Hapo Novemba 16. Mathabaal isema Tume ya Uhalifuwa Kivita ya Kuala Lumpur(KLWCC) nchini Malaysiailipokea malalamishi mengikuhusiana na vi tendo vyakinyama na uwezekano wauhalifu wa kivita uliofanywadhidi ya watu wa Palestina.

    Novemba 20 na 21, siku mbiliza kutoa ushahidi zimewekwa.

    Wajumbe wa tume ni pamojana hakimu wa zamani MusaIsmail, mkuu wa zamani wakitivo katika Chuo Kikuu chaTekinolojia (MARA) ZulaihaIsmail, mkurugenzi wa Kituocha Utafiti wa Kimataifa MichelChossudovsky na wasimamiziwawili wa zamani wa Umojawa Mataifa kwa masualaya kibinadamu nchini Irak,Hans von Sponeck na DenisHalliday.

    Hapo Novemba 16, mtandaowa Al te rna t ive News.orguliandika Hakuna pa kujificha:Raia wako chini ya mashambilizieneo la Gaza. Shuhuda mmoja

    alifika hospitali ya Al Shifa. Raiawengi wa Gaza waliojeruhiwawako katika hali mbaya.

    Salem Waqef, mwenye unriwa miaka 40 alipata jerahala ubongo. Yuko mahututiakisaidiwa na mashine yakupumua. Hakuna uhakika kamaataishi.

    Haneen Tafesh mwenye umriwa miezi kumi alilazwa akiwahana fahamui. Alipaja jerahala fuvu la kichwa na kutokwadamu katika ubongo. Naye

    pia ni mahututi akipumua kwamashine. Madaktari walisemahali yake iliharibika kuanziaalipolazwa, Saa chache baadayeakafa.

    Ahmed Durghmush alipatamshtuko wa ubongo. Chembeza risasi zilipenya fuvu lake.Ubungo ukatokeza katika jerahalake. Hali yake pia iliharibika

    baada ya kufanyiwa upasuaji.

    M u d a wo t e Al h a m i s i ,wauguzi wa chumba cha dharurawalikuwa wakiwahangaikiawagonjwa wapya. Majeruhi nikuanzia wanaotibiwa kwa urahisihadi waliojeruhiwa vibaya nahadi walio hatarini kufa.

    Mkurugenzi wa habari waWizara ya Sheria, Khalid Hamad,alikuwa nyumbani komboralilipopenya nyumba ya jiraniyake. Israel ililenga raia kwamakusudi, alisema. Majeshiya Israel hayafanyi makosa.

    Duaa Hejazi mwenye umri wamiaka 13 aliletwa akivuja damuana.Alipata majeraha ya risasisehemu za juu za mwili. Chembe

    ba do zi ko ki fu an i mw ak e.Alipeleka ujumbe kwa watotowengine wa Gaza, akisema:

    Nasema, sisi ni watoto.Hakuna kilicho makosa yetuili kuhitaji kupata mikasa hii,Wanakalia nchi yetu na nitasema,kama Abuu Omar alivyosema.Kama wewe ni mlima, upepohautakutikisa. Hatuna woga.Tutabaki na nguvu.

    Mkurugenzi Mkuu wa AlShifa Dk. Mithad Abbas alielezamazingira magumu ambakowahudumu wa hospitali inabidiwakabiliane, akisema:

    P a l e m a j e r u h iwanapowasilishwa hospitalinimwetu, siyo katika mazingiraya kawaida. Wanakuja kamanyongeza ya uzingirwaji ,uzuiwaji wa kuagiza vi tunje, ambako kumesababisha

    kukosekana kwa dawa muhimuna mahitaji mengine ya tiba.

    Al Shifa ina upungufu wadawa muhimu, vifaa muhimuna mahitaji ya akiba. Hizi ni

    pamoja na tembe za kumeza kuuawadudu mwilini (antibiotics),maji ya dripu, vileta ganzi,glovu, visafishaji, vitendea kazikadhaa na vifaa vingine muhimuvya kitiba.

    Kukatwa umeme kunazidimasaa 12 kwa siku. Akibakidogo ya mafuta inawezeshaoperesheni katika nyakati hizo.Dk. Abbas alisema akiba yakeitaisha katika siku chache kamahali iliyo hivi sasa inaendelea.

    Hajui ni wapi kombora jinginelitaangukia au bomu litalipua.

    Labda Al Shifa italengwa. Israelinaona asasi yoyote ya kiraia nimawindo halali.

    Hapo Novemba 15, Harakatiya Kimataifa ya BDS (yakuitenga, kuondoa uwekezajina kuiwekea vikwazo Israel)ilitoa taarifa iliyosema, kwauchache:

    Zuia Mauaji Mapya yaIsrael katika Gaza: Itenge IsraelSasa!

    Licha ya taarifa zinazoelemeaupande mmoja za vyombovya habari vya Magharibi,Israel ilianza na kuendelezamashambulio haya mapya katikakipindi cha kujiandaa kwauchaguzi mkuu unaotarajiwa,

    kuyakinisha busara kongwenchini Israel ya mii l i yaWapalestina kupata kura.

    Israel itaendelea kufanyamashambilizi, kutesa na uharamiawa dola kama haitahitajiwakulipa gharama kubwa kwamaovu yake dhidi ya watu waPalestina, Lebanon na wenginekatika nchi za Kiarabu.

    Ni muda muafaka wa BDSdhidi ya Israel. Hii ndiyo njiailiyo wazi zaidi kufikia uhuru,haki na usawa kwa Wapalestinana eneo lote.

    Kinacholeta wasiwasi pia nikura itakayopigwa Novemba 29kuhusu uanachama muangaliziwa Palestina katika Umoja waMataifa. Israel na Marekanizimefanya kila juhudi kuvuruga,

    Nchi wanachama wana kil asababu ya kuiunga mkonoPalestina. Tutajua, chini yawiki mbili.

    Kiongozi wa HezbollahSayyed Hassan Nasral lah

    aliwataka wakuu wa nchi za

    Kiarabu kutumia njia zotewanazoziweza kusimamishamashambulio ya Israel katikaGaza.

    Hakuna anayeziambia nchiza Kiarabu leo, Tafadhali

    nenda fungua mipaka yako naanza operesheni kuikomboaPalestina. Tunachotaka nikumaliza mashambulio Gaza.

    Haya ni mapambano ya kilamtu.... Hatukuhitaji utoe jawabu.Tunataka jitihada.

    W e n g i n e w a n a s e m aWaarabu hawana ujasiri wakuzuia uzal ishaj i mafuta.Punguza uuzaji nje wa mafuta au

    pandisha bei kidogo na utaitikisaMarekani,. Utaitikisa Ulaya.

    N d u g u z a n g u , k a m ahamwezi kukatisha mafuta,

    punguza uzalishaji au pandishabei. Weka msuk umo kido go.Hakuna anayehimiza majeshi auvifaru au ndege za kivita.

    N a s r a l l a h a l i y a t a j a

    mashambul i i z i ya I s rae l

    m a s h a m b u l i z i ykiharamia.Uhalifu mwingi wkivita na dhidi ya binadamunafanyika.

    Mengi yako hatarini Palestineneo la Mashariki ya Kati na n

    ya hapo. Mashambulizi ya kiviya Washington yanaendeleVita nyingine zinapangwa. Israni mshirika muhimu. Nchi hizmbili zina ajenda za kibabe juya nchi nyingine. Vita ni njmuhimu ya kuzifikia.

    Michel Chossudovsky anaikushambuliza na kuvamGazasehemu ya ajenda panya kijeshi ya Marekani-NATna Israel. Kwa msingi wa kikilichotokea baada ya 9/1tarajia mabaya zaidi baadaye.

    (Makala hi i TargetinCivilians: Israels Speciali l i y o a n d i k w a n a S t e vLendman, imefasiriwa kw

    Kiswahili na Anil Kija)

    Waislamu wataka kujua atma ya TV yao ImaanInatoka Uk. 1

    ada inayohitajika wamelipaikiwa ni pamoja na kutoamaelezo ya sera na ratibaya vipindi.

    Hata hivyo akasema, kwamuda mrefu wamekuwawakizungushwa kupata CPna bado wanafuatilia kibalihicho.

    Mwenyekiti huyo wa

    TV Imaan ametoa maelezohayo kufuatia malalamikokutoka kwa Waislamuwengi waliotaka kujuani kwa nini mpaka sasaTV hiyo haijakuwa naStudio na kuanza kurushavipindi.

    Kwa muda mrefu sasa,TV Imaan imekuwakatika majaribio ambapoi l i t a r a j i w a k w a m b ampaka sasa wangekwishakamilisha taratibu zotezilizowekwa na Mamlakahusika, yaani TanzaniaC o m m u n i c a t i o n s

    Regulatory Authority(TCRA), na hivyo kuanzakurusha matangazo rasmi.

    Kwa muda sasa baadhiya Waislamu wamekuwawakihoji, ni kwa nini TVImaan haianzi kurushamatangazo na imebaki tukatika kufanya majaribiokatika satelaiti.

    Kufuatia malalamikoya Waislamu waliofikakatika ofisi za An nuur,Mwenyekiti wa TV Imaanameongea na mwandishiakisema kuwa kwa upande

    wao wametimiza masharitiyote na kwamba hata waowanajiona wapo katikawakati mgumu kwa sababuwanajua hamu waliyo nayoWaislamu kuona TV yaoikiwa hewani.

    A k a s e m a , b a d owanafanya subra wakiaminikuwa TCRA itawapa kibalikinachohitajika, lakini kamamuda utazidi kuwa mkubwa

    watalazimika kuwaitaWaislamu waliokusanyikapa le Uw an ja wa Tai faDar es Salaam na Arushaili kuwaeleza vikwazowanavyokumbana navyokatika kuanzisha TV hiyo.

    A k i f a f a n u a A r e f amesema kuwa hawatawezakuepuka kuwaita Waislamukama watakwama kwasababu kama Waislamuwalivyochangia fedha zao,wana haki pia ya kujua ninikinakwamisha TV hiyokuanza.

    A k i e l e z a h a t u a

    waliyofikia amesemakuwa walipewa mamboya kutekeleza yakiwa nikupata mkataba na MUXO p e r a t o r s a m b a p owameshaingia mkataba naStar Media (T) Limited.

    Jambo la pili lilikuwakuwasilisha sera ya TV(Editorial Policy) ambayowashapeleka na tatu kulipaada ya dola 1,500 ambayonayo washalipa.

    Aref amesema, ni imaniyao kuwa TCRA watawapakibali hicho, CP, kablaya shinikizo kutoka kwa

    Waislamu kuwazidia nguvna kuamua kwenda tenUwanja wa Taifa kujielezkama wal ivyoj ie lezwakiomba michango yWaislamu.

    Kwa upande wa TCRAAn nuur iliwasiliana na F. NNtobi na Chacha ambao katika maofisa waandamiwa taasisi hiyo ambawalisema kuwa kama TImaan wana malalamikhawana sababu ya kusemepemb eni , bali wa fikwaonane na MkurugenMkuu wa Mamlaka.

    Hata hivyo, kwa upandwa TV Imaan, wanadkuwa walishawasilishmalalamiko yao kwMkurugenzi huyo baadya kuona wanazungushwsana katika ngazi za chin

    Katika barua yake kwMkurugenzi Mkuu (TCRDG) Kumb. Namba TVTCRA/V.04/2012 ytarehe 6 Novemba, 201

    Mwenyekiti wa TV ImaaAref Nahdi baada ya kutovielelezo vya kukamilishmashariti waliyopewalimwomba DG huykuingilia kati suala hilkwa vile kwa muda mrefsasa wamekuwa wakipewahadi hewa.

    Akamalizia kwa kasemkuwa kuchelewa kwakutoa kibali, kunasababishsintofahamu baina yviongozi wa TV Imaan nWaislamu waliotoa sadakzao kwa ajili ya TV.

  • 7/30/2019 annuur-1046

    12/12

    AN-NUUR12 MUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 23-29, 2012

    Usikose nakala yako ya

    AN-NUUR kila Ijumaa na

    Jumanne

    MASHEIKH na Wanazuoniwa Kiislamu wa Jijini Dares Salaam, wametakiwakuwafikia Waislamu waliopovijijini ili kutoa elimu kwaWaislamu walioko hukobadala ya kuishia Jijini.

    Wito huo umetolewa na Imamwa Msikiti wa Nur, Masaganya,Wilayani Kisarawe, SheikhSalum Omari Kongoro, katikahafla fupi iliyofanyika Msikitinihapo baada ya kutembelewa naHajjat Rehema Amir Gama.

    Imamu Kongoro alisema

    TAASISI za Kiislamu nchinizimetakiwa kuwasaidia vijanawa Kiislamu wasiokuwa nauwezo wa kujilipia ada yamasomo ya Vyuo Vikuuili kuendeleza Uislamu nawataalamu kwa ujumla.

    Wito huo umetolewa naMweyekit i wa Baraza laChuo Kikuu Cha WaislamuMorogoro, Dr. Mussa Assad,mbele ya Mkuu wa Chuo hichokatika mahafali yaliyofanyikaChuoni hapo, mwishoni mwawiki iliyopita.

    Akisoma nasaha hizo kwaniaba ya Dr. Assad, Bw. AhmadSagafu, aliye mjumbe wa Barazala Chuo hicho alisema, kutokana

    na idadi kubwa iliyopatikanamwaka huu kwa vijana wengiwa Kiislamu kukosa mkopotoka Serikalini kupitia Bodiya Mikopo, ni vyema Taasisiza Kiislamu zikajipanga ilikuwanusuru vijana hao siku zambele.

    ili kusaidia wanachuowasiokuwa na uwezo wakujilipia kwa ajili ya masomoyao, na haswa wanapokosamkopo wa serikali, Taasisi zaKiislamu nchini zingejipangakatika kusaidia kuwalipia walewanachuo wasio na uwezoili kuuendeleza Uislamu nawataalamu nchini. AlisemaBw. Sagafu.

    Wito huo kwa Taasisi za

    Kiislamu umekuja kufuatiawanafunzi wapatao 1600, ambaowalitegemea kupata mikopokutoka Bodi ya Mikopo, kukosamikopo hiyo, hivyo kushindwakujiunga na Chuo.

    A l i s e m a , h a l i h i y oimesababisha na kuchangiau p u n g u w a w a n a f u n z iwaliotarajiwa kujiunga Chuonihapo, baada ya kukosa Mikopona kutokuwepo njia mbadalaya kuweza kuwanusuru nakuwasaidia vijana hao kujiungana Chuo.

    Upungufu huo unatokana

    Taasisi za Kiislamu zisaidiewasiopata mkopo wa Bodi

    Wahitimu MUM watakiwa kuwa mfano kwa jamii

    Hajat Malale awataka kushikamana na Uislamu

    Na Bakari Mwakangwale

    na ukweli kwamba wanachuowaliopata mikopo ni 251 tu,kutoka kwenye orodha yawanachuo 1800 waliopatiwanafasi ya kujiunga na masomomwaka huu wa masomo.Alisema Bw. Sagafu,

    Naye Mak amu Mkuu waChuo hicho, Profesa HamzaMusafa Njozi, akiongea katikamahafali hayo ya Tano toka

    kuanzishwa kwake mwaka2005, alisema jumla ya wahitimu509, wamefanikiwa kumalizamasomo yao salama na kustahikikutunukiwa shahada zao.

    Prof. Njozi, alitumia fursahiyo kuwaombea dua kwaMwenyezi Mungu wahitimuhao awajaalie elimu waliyoipataiwe ni yenye manufaa katika

    jamii kwa ujumla.

    Waliofanikiwa kumalizamasomo yao salama na ambaoleo (Jumamosi i l iyopita)wanatunukiwa shahada zao ni509. Nawaombea kwa Allah(s.w) ajaalie elimu yao iwe niyenye manufaa katika jamiiyetu. Alisema Prof. Njozi.

    Awali Prof. Njozi, alisemawahitimu hao ambao awaliwalikuwa 622, wamesomea

    pr og ra m ta no za ma so m

    akizitaja kuwa ni Shahada ySanaa na Ualimu, Shahada yMaarifa ya Uislamu na UalimShahada ya Mawasiliano yUmma, Shahada ya sayansi nUalimu pamoja na Shahada yLugha na Ukalimani.

    Alisema, kwa muda humfupi toka kuanzishwa kwChuo hicho, jina la Chulimestawi na kuchanua vilivykutokana na kuaminiwa nWatanzania wengi kutokanna ubora wa taaluma na maleyatolewayo.

    A l i s e m a , h a l i h i yinajidhihirisha kutokana nidadi kubwa ya wanafunwanaoomba kudahiliwa katikChuo Kikuu Cha WaislamMorogoro.

    Alisema, kwa mwaka huwa masomo 2012/2013, jumya wanafunzi 1800, wenysifa zinazostahili waliomba nkupewa fursa ya kusoma katikChuo hicho, hata hivyo alisem

    ba ad hi ya o wa me sh in dwkujiunga na masomo kutokanna kukosa Mikopo.

    Kwa upande wake Mkuu wChuo hicho, Hajjat MwantumMalale, amewataka wahitimkufungamana na Uislamu kwaUislamu ndiyo njia sahihi maisha ya mwanaadam.

    Alisema, baada ya kutokchuoni hapo, ni vyema waka wmabalozi wazuri wa Chuo hichna Uislamu kwa ujumla, kwamsomi Muislamu ni lazim

    awe tofauti na yule ambaye Muislamu.

    Ama kwa upande wa wazazHajjat Malale, aliwataka kuwkaribu na watoto wao tokngazi ya chini ya kimasomkwani wao ndio msaadmkubwa katika hatua ya kijananapohitaji kujiunga na elimya Chuo Kikuu.

    Aliwataka wazazi kujiandmapema kwa ajili ya kuwalipwatoto wao ada ya elimu ya jukutokana na hali ilivyo saskwani hakuna uhakika wa mokwa moja wa kupata Mikopo

    Alisema, katika awamhii ya mwaka 2012/201kumekuwa na ongezeko kubw

    la wanafunzi kukosa Mikoptoka Serikalini na miongomwao wamekwama kujiungna vyuo.

    Alisema, ni vyema wazawakawa msaada kwa kuangalnjia mbadala ya kupata fedhili wawawezesha watoto wakujiunga na elimu ya juu, kwaanaamini wanaweza.

    Alisema, badala ya ndugu nwazazi kuchangisha pesa kwajili ya ngoma, Kitchen parsendoff na hata harusi ambavyhutumia pesa nyingi, ni vyemmwenendo huo ukabadilika nmichango hiyo ielekezwe katikmaswala ya elimu.

    Masheikh waende vijijiniNa Abuu KhadijaMasheikh na wanazuoni wengiwa Kiislamu wamejisahaukuwafikia Waislamu wa vijijinina zaidi wameamua kijikitamijini, hususani Jijini Dar esSalaam.

    Masheikh wengi wenyeelimu wapo Jijini tu wakifanyamihadhara ya kiimani lakiniwamejisahau kufika na hukuvijijini kwani huduma yao yakiimani inahitajika sana. Hukuvijijini wengi wetu ni Waislamulakini wanakosa elimu ya dinikwa kuwa walimu hakuna.Alisema imam Kongoro.

    Alisema, pamoja na kuwaikitil ki i k bili

    na tatizo la kupata waendeshajiwa Madrasa za watu wazimana watoto.

    Hajjat, Gama, alifanya ziarahiyo baada ya kutoka kuhijiMakka mapema hivi karibuni,ambapo alifika kuwatembeleawajane na watoto yat imawapatao 20, waliopo katikaWilaya ya Kisarawe, MkoaniPwani.

    Katika ziara hiyo, HajjatGama, al i toa sadaka kwawatoto na wajane hao hukuakikabidhiwa ardhi ya ukubwawa heka moja kwa ajili yakuwajengea kituo maalum kwajili hi i k

    A l i s e m a , b a a d a y akukabidhiwa ardhi h iyo ,Hajjat Gama, alisema atatafutawadhamini pamoja washirikianekatika harakati za kujenga kituohicho.

    Nitakuwa bega kwa begana watoto pamoja na wajanehawa, nimekabidhiwa shamba laheka moja kwa ajili ya kujengakituo cha yatima iwapo nitapatakuungwa mkono nitashukuruMungu.

    Al i sema Haj ja t Gama,ambaye anaendesha MadrasatuJannatil Islaamiyah, iliyopoIlala, Mtaa wa Nzasa, namba17

    MKUU wa Chuo cha Waislamu Morogoro (MUM) Hajat Mwantum Malale (katikati) akiwa nabaadhi ya wahitimu mara baada ya kutunukiwa shahada zao wiki iliyopita chuoani hapo.